Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Smhn ugonjwa wa ukimwi unawez kuambukizwa kutkn na mate
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 991
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nasumbuliwa na acid tumboni inawezakuwa sababu ya mm kutoshika ujauzito??
Tatizo langu, ni ku kuwa na mawazo sana,kukosa furaha na kukosa umakini hata ninaooelekezwa jambo. Nifanye nni kuepuka haya?
Ni njia zipi za kuboresha mbengu za kiume ili mwanamke aweze kupata mimba??
Je mtu anaweza kutumia dawa akiwa kwenye siku za hedhi?
Nilipatwa na kisonono Miezi mitatu iliyopita nimetumia Dawa za Hospital lakini napata nafuu kidogo then hali inarudi palepale Nilipoenda kupima tena wakasema ni u.t.i nimepewa Dawa ikapoa naona inarudi tena nimetumia Dawa za kienyeji lakini hali bado siyo nzuri
Njia za kuzuia pepopunda kwa mtoto