Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Smhn ugonjwa wa ukimwi unawez kuambukizwa kutkn na mate
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 991
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Hello!! Nina swali kwenye mambo ya uzazi. Nilikutana na mwenza wng siku ya hatari na sasa yapata siku ya 12 ila nimekuwa najisikia hamu ya kula vitu tofauti tofauti, naninatoka maji meupe yasiyotoka harufu, matiti nikiyaminya nasikia maumivu ila chuchu hazijabadirika rangi nawala haziumi, ila pia chini ya tumbo upande wa kulia kwangu nakuwa nasikia kitu kinacheza haswa najisikia hiyo hali nikiwa nimelala nimetulia, je hizo zinaweza kuwa dalili za mimba???
Kwahyo kumbe mtume Muhammad, alifiwa na mama yake akiwa na miaka 6?? Nani sasa akamlea baada ya kufiwa na mama Ake?
Samahani naomb kuuliza mapigo yamoyo hua yanaenda mbio sana lakini kwa mda mfupi mpaka naishiwa nguvu nahisi kuchoka,ila nlishawahi kushikwa napresha nkiwa mjamzitoe je nifanyaje hiyo hali ipotee
Nimeishi na mwenye virusi vya ukimwi miaka minne tumeenda kupima yeye anamaambukizi ya virusi vya ukimwi afu Mimi Sina na nimepima mala mbili
Samahan nime nilifanya mapenz na mtu mwenye ukimwi ila nikawa nimemaliza massa 24 kabla sjafka kwenye kituo Cha afya baada ya apo ndo nikajua mwenza wangu nimdonjwa nikaenda wakanipa izo dawa za prepo
Nime maliza masaa 24 kabla ya kuchukuwa dawa izo za prepo ila wakanipatia ivyo ivyo naweza saidika apo naizo dawa doct baada ya kuzitumia