SWALI
Je kugusana na mwanamke ambaye unaruhusiwa kumuoa kama mkeo ukiwa na udhu je habatwilishii udhuu?
Swali No. 666
JIBU
Kumgusa mwanamke ama mke hakuharibu udhu kwa maoni ya baadhi ya Maulamaa. Katika mapokezi ya Hadithi Mtume siku moja alikuwa nyumbani kwake. Sasa ikawa sehemu ambayo anasujudi mkewe Aisha alikuwa amelala na kuweka miguu yake. Hivyo akawa Mtume anamgusa miguu yake ili aondoke apate kusujudi.
Kumbukumbu
Swali hili limeulizwa na Muulizaji Kutoka WhatsApp Chat yetu tarehe 09-03-2023-04:41:23 . Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nicheki Nicheki WhatsApp