Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je izo protine poda za mazoezi zina mazara kiafya?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1004
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Namaswali machache Kuhusiana kushik mimba. Mimi niliingia period tarehe 4 mwez uliopita yaan December, n mwez wa11 pia niliingia hedhi tarehe 4. So maximum kua siku ya hatr n siku ya10 c ndio ambay n tareh13 na nimekutan n mmewangu siku za hatr kimwili, leo nimepima mimba Ila kimekuj kimstari kimoja, inamaanisha sina mimba au nimewahi kupima ujauzito?
Mke wangu ni mjamzito anategemea kujifungua mwezi huu ila naja amelala na maumivu ya tumbo mpaka asubuhi . ila muda huu amenipigia simu kuwa anaona matone ya damu yanatoka ukeni pa maumivu yanaendelea.
Hv ukishiriki na mtu mwenye ukimwi waweza pata papo kwa papo
Je ulcers na vichomi vyaweza sababisha kutoona siku zako
Sawa ila mi natakakujua je hivi vipimo vya hospitali za selikali uwonesha majibu mudagani baada ya mutu kuasilika?
Mm ninafangas uken nimechubuka nitumie daw gan