Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je izo protine poda za mazoezi zina mazara kiafya?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1004
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Ivi kweli majivu hutoa mimba baada ya wiki moja
Habari Za. jioni Pole na majukuku. naomba unisaidie chakula matunda MA vyinywaji nitskavyoweza kuvitumia maana mwili unaisha nguvu
Habari, nimeng'atwa na nyuki zaidi ya 100 lakini sijaona madhara yoyote na ni wiki sasa imepita, Jumapili 14/05/2023 hadi leo ni 19/05/2023, je, naweza pata madhara siku za baadae?
Samahani naomba kuuliza nimeingia pireod mwezi wa kwanza na mpaka sahivi sijaingia na mimi ni mama nae nyonyesha je naweza kuwa na mimba au vip
Nina miaka 29 mi Ni mwanaume swali langu nliumwa vidonda vya tumbo soon nkatbiw lkn mdomo kweny lips zinakauka Mara kwa Mara j Inaweza kua n viashiria gan???????? Pli j unawez kusex n mtu mwathiriak hlf usipate maambukiz??
Mm shida yangu huu mwezi wa pili sijaziona sku zang na nimepima mimba kwa kutumia kipimo cha mkojo mara tatu sasa lkn naambiwa mimba sina je tatizo ni nn kwangu.