Pata jibu kamili kuhusu swali lako
nina tatizo la kuchubuka uume wakati wa ku sex
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1144
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habari Doctor pole na majukumu,nna tatizo la kuumwa chini ya kitovu uume unawasha kwa ndani na nikikojoa mkojo unanuka then unatoka na vitu vyeupe vyeupe ukiwa na rangi ya njano lkn nimeenda kupima UTI nikaambiwa sina naomba ushauri Doctor
samahani mimi nimeingia piriod tarehe 2 mwezi huu na nimemaliza rarehe 9 je mzunguko wangu ni wa siku ngapi?na siku zangu za hatari ni zip? asante
Nisaidie dalili za ukimwi baada kuupata after 1 weak
Habari napenda kuuliza jinsi ya kutengeneza mafuta ya zaituni na faida ya kula matunda yake
abali zamajukum kwann mungongo wang unauma alaf natumbo pia linauma linaka napia najisikia njaa mala kwamala et
Nina miaka 49, mwanamke.nimeenda hospitari nimeambiwa na presha nimepewa vidonge ila bado miguu inauma sio kawaida wiki mbili zimepita naomba msaada nifanyeje