Pata jibu kamili kuhusu swali lako
nina tatizo la kuchubuka uume wakati wa ku sex
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1144
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Ni msichana namiaka 30.nahitaji kujua dawa ya chango.
Habari zenu ,ninao maswali mngi sana kuhusu ukimwi ,sawali la kwanza ukimwi kuweza kuonekana kwenye kipimo baada ya kuathirika inachukua mda gani jee haiezi kuonekana baada ya miezi miwili?
Je kucha hubadilika rangi na kuwa rangi ni dalili ya ukimwi?
Nina umri wa miaka 21 msichana naomb uxhaur nilitoka period siku ya 5 nikakaa siku mbili nikafanya mapenz je naeza pata miba
Niko na shida nikimaliza sector ya mapenzi na mkee wangu kuna unyevunyevu kwa sehemu yangu ya Siri na mwashowasho kiasi ndani ndani inaweza kua ni shida gani
Naomba kujua dawa za kushusha pressure nazipatje ninaitaji ninasumburiwa na pressure