Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Sababu ya kutapikika mwanamke akiwa period
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 106
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nilipatwa na kisonono Miezi mitatu iliyopita nimetumia Dawa za Hospital lakini napata nafuu kidogo then hali inarudi palepale Nilipoenda kupima tena wakasema ni u.t.i nimepewa Dawa ikapoa naona inarudi tena nimetumia Dawa za kienyeji lakini hali bado siyo nzuri
samahan mi miguu yangu inauma kwenye magoti kwa chini
Mimi ni mjazito siku zangu zimekaribia za kujifungua na Niko na shida za saa nyengine ya pumzi shida ni nini
Mimi ninapata maumivu kama tumbo la hedhi ila ni upande wa kushoto ,na nimaumivu makali japo ninayapata mara chache?shida sijaifahamu
Ninatokwa na maji ukeni baada ya kukojoa , na nina mimb ya miezi 7 je shida ni nini?
najickia maumivu maumivu.. sanyingine nakuwa kam mkojo umenibana xn lkn hmn au unakuwa kidogo xn