Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je? Ikiwa n ujauzito matone ya dam hutoka kwa siku ngap?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 263
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Shida yangu je matiti yangu yananinyima Raha kabisa yaani sipendi kuvaa brazia kwa mda mrefu Ila kutokana na ukubwa wake inanilazimu nivae tu pindi navyoamka naomba Kama Kuna dawa ambayo inaweza kunisaidia bila madhara ,,sijaolewa bado Wala sijazaa
Habari mi nilikuwa na mimba ya miezi miwili ikawa imeharibiki nikaenda kusafishwa ,baada ya siku tano nikaaanza kushiriki tendo la ndoa hadi leo je sijawahi kushrki tendo hilo na halina madhara
Habari samhn mim naon dalil za ujauzito Kuna muda kichef chef minakuja kwa muda usingizi na mstari chin ya kitovu kun mstar mweus kwa mbali lakin nashangaa Leo naziona siku zangu sjui kwanni inakuw hivi
Nilikuwa nataka kuuliza kwamba iv ukimwi unaonekana baada ya mda gani ukitaka kupima
Smhn n binti mwenye miaka 21 nna tatizo la kutokwa na maji ukeni kama maji ya kawaida tu na n mengi kias kwamba sometym yanaweza vuja had yakanloanisha nguo ya nje na ndani pia, hayana harufu yoyote, na pia sometym mengine yanakuw ya njano, asa hili tatizo gan docta maan nna hofu sn
Mm nmgonjwa wa fangasii za mdomoo na hii naamini kua nmepata kutokana na kutumia anti biotic kwa mda wa miezii miwilii ivo naisii kabsaa njia moja wapo ivo basii nmejalbuu kutumia dawa naona aviponii hii ya kupaka micor oral gel so nfanyajee