Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je mimba ya miez 6 inasababisha kuumwa kiuno
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1044
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Naomba kusaidiwa je kutoka na maji sehem za Siri baada ya tendo ni vibaya jmn
Kuna mwanamke nimetembea nae na inasadikiwa ameathirika na ukimwi. Sasa niliposoma kwenye makala yako pale google ukielezea dalili za hawali sijaziona na nilitembea nae mara 2 na ni mwezi 11 mwishoni
Kwanini mjam mzito wamwezi mmoja mbavu zina mbana namaziwa yamejaha yote n a chuchu zina Uma naku washa
Namaswali machache Kuhusiana kushik mimba. Mimi niliingia period tarehe 4 mwez uliopita yaan December, n mwez wa11 pia niliingia hedhi tarehe 4. So maximum kua siku ya hatr n siku ya10 c ndio ambay n tareh13 na nimekutan n mmewangu siku za hatr kimwili, leo nimepima mimba Ila kimekuj kimstari kimoja, inamaanisha sina mimba au nimewahi kupima ujauzito?
Mimi nilibeba mimbA mwez wa tisa ila mda huu naona majimaji na mtoto kachuka je nidariri za kujifungua au lha
Mm naumwa na tumbo side ya left chini kabisa Yani kunadundadunda mpka sometimes nasikia maumivu halafu nakojoa kila mara