Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Kinga ya mwili hupatikana vipi?
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habari doctor naomba kuuliza je kwa mtyu mwenye mzunguko wa siku 28 akishiriki tendo la ndoa cku ya kumi kutoka cku ya kuanza mp mfano mp nmeanza trh 6 then nkafanya mapenz trh 15 je naweza kupata ujauzito na je Kuna dalili ambazo naziona maumivu ya mgongo kwa chini kama panawaka moto kichefuchefu mwili kukosa nguvu maumivu ya tumbo hasa upande wa chini naharisha stool mfano wa makohoz na mapovu lakini uke ni mkavu na no discharge na matiti hayaumi wala kujaa je Kuna uwezekano nikawa mjamzito
Mimi mke wangu anapata maumivu ya kichwa tuu na uke ni mkavu sana ninapo mwingia hata ni mwandae vipi
Asante kwa kutuerimisha na nikwa je mimba ya wiki moja unaweza ukapima na ikajulikana?
abali zamajukum kwann mungongo wang unauma alaf natumbo pia linauma linaka napia najisikia njaa mala kwamala et ila mm sitowi utelevu abapo majimaji yanatoka kwan inawezakuwashida nn et
Ninavimba uke na kuwashwa,je nkitmia vidonge viitwavyo " six vaginal tablets vitanisaidia???
kuhusu hizo dawa za fangas zilizo tajwa hapo juu mjamzito anaweza kuzitumia,