Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Kinga ya mwili hupatikana vipi?
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Kwamfano umejamiiana na mtu wiki iliyopita unatakiwa ukae kwa muda gan ili ukapime
Nina mimba ya wezi na wiki mbili ila kuna siku napat iyo damu alafu inapotea aina shida kwangu??
Mambo...hope uko poa...samahan nataka kujua kuhusu ujauzito mchanga,,,m nasikia tumbo langu ni kama Alina matumbo kabsa n tupu inaweza kuwa dalili ya mimba?
Kuonyesha kwamba mwanamke ana mimba matone ya damu hutoka sku ngapi?
Maziwa kuuma Kwa mbali kuskia gas tumboni na kuwasha kidgo maziwa ni chanzo Cha mimba
Habari! Nilikuwa nasoma makala yako juu ya mapunye na tiba zake, nina mtoto wa umri wa miaka miwili na miezi mitatu, anasumbuliwa na punye ambalo limejitokeza shavuni karibu na jicho.Ni takribani miezi minne sasa natibu kwa tube, sabuni lakini linapona na kujirudia.Nifanyaje ili kutibu lisinirudie kabisa?