Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Kinga ya mwili hupatikana vipi?
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Jabari Doctor Mimi nimeona hedging Tarehe 13/2 an 14/2 Lakini ilikuwa siielewe ilikuwa imetoka sio nyingi na pia ilikuwa inarangi Kama unsenda kwenye Weusi, pia chuchu zangu nikikamua zinatoka Maziwa nimejaribu kupima nyumbani kipimo kinasema negative ina mstari ujakolea wekundu unaonyesha Kama niliyoona kwenye period
Habalì naomba niuliźe mimi nimeng'atwa na nyoka lakini meno yake hayajatoka
Ok mm shida yangu sehem ya uume Kama nikibinya yanatoka maji ambayo Kama usaaa lakin hayajafikia kwenye usaa
Mm tatzo langu asubuhi nikiamka utumbo unakuwa unauma misili yakuwa kama nna sku tatu sjala
Sababu yamapigo ya mtoto kupungua kwamimba ya miezi Tisa nini?
Je kuwa namabaka mekund kwenye mdomo ni dalili mojawapo ya ukimwi