Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ety mwanmke akishapita siku zake za hatari je zinaweza kurudi tena kabla hajapata hedhi nyingine ata kama akikaa miezi miwili
Haziwezi kurudi tena mpaka amalize hedhi yake.
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habari hongera kwa majukumu naomba msaada kwa mtu mwenye saratani ya shingo ya uzazi atumie vyakula gani
Hellow.... Nimepat taarf zen kutok Google kuhus dalil za mimb Chang... Mim ninalo swal je, maumiv y kiuno n uti wa mgongoo n dalil z mimb??
Habari, nimeng'atwa na nyuki zaidi ya 100 lakini sijaona madhara yoyote na ni wiki sasa imepita, Jumapili 14/05/2023 hadi leo ni 19/05/2023, je, naweza pata madhara siku za baadae?
Toka nianze kupata hedhi yangu sijawahi pitisha mwezi sijapata lakin saiv nimeona mabadiliko sijapa hedhi yangu mwezi mmoja toka nimeingia mwezi wa pili tarehe 22 sijapata tena na pia nakuwa najisikia mchovu mwili pia kichefuchefu mara mojamoja baada ya kla chakla sijajua hii ni shida gan naomba mnisaidie
Hlw nimesoma nakala yenu nasumbuliwa na tumbo upande wa kushoto kuna muta yanakuja na kupotea
Assalamualaykum naomba kupata elimu je mke wa Nabii Nuhu aliitwa nani?