Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ety mwanmke akishapita siku zake za hatari je zinaweza kurudi tena kabla hajapata hedhi nyingine ata kama akikaa miezi miwili
Haziwezi kurudi tena mpaka amalize hedhi yake.
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mimi nilikua na shida ni muhanga kutafta mtoto nilipima nikaambiwa na pld nimetumia dawa nimemaliza pia nilingia p talehe22 mwezi2 mzunguko wanguni28 Hadi leo nina siku kumi na tano chakushangaza nasikia maumivu ya tumbo chini Kama visindano na usingiz pia gesi tumboni na maji maji yanatokea lakini hayana harufu je shida yaweza kua Nini hapo
Mchumbaang huwa anapata maimivu makali na mchubuko seem ya uke
Mm na mwashoo wa macho kila siku piaa yanaonekan ni dhaif San jee! Ni dalili ya nn??
Mfano kama n wiki ya tatu hii saaa alafu nina vipele kwenye uso na maumivu ya mwili mara moja moja yanatokea maumivu je hio n yenyewe dalili ya ukimwi
Wakati wa kukojoa huwa na pata maumivu makari Sana pale ninapomaliza kukojoa na maumivu chini ya kitovu je ni ugonjwa?
ukichanganya majani ya muarobaini, karafuu,na thaumu kisha ukavitwanga inaweza kutibu jino