DART

picha
DART SOMO LA 45: JINAI YS KUTUMA MYSQL DATABASE

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya mysql kwenye Dart. hakikisha umeelewa vyema na kutekeleza yalioelekezwa kutoka kwenye somo lililopita.
picha
DART SOMO LA 44: JINSI YA KU INSTALL MYSQL KWENYE PROGRAM YA DART

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuunganisha databse na Dart. Pia utajifunza jinsi ya kuset environment kwenye kompyuta ili kuweza kutumia Dart sdk kwenye CMD.
picha
DART SOMO LA 43: STREAM KWENYE DART

Katika somo hili utakwenda ujifunz akuhusu concept ya stream kwenye Dart. pia ttaona kwa namna gani strean inaweza kutofautiana na future wakati zote mbili zipo kwenye asychronous programming.
picha
DART SOMOLA 42: ASYNCHRONOUS PROGRAMMING

Katika somo hili tutakwenda kujifunza concept nyingine ya asynchronous programming.
picha
DART SOMO LA 41: CONCEPT YA GENERIC KWENYE DART

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya generics ili kuweza kufanya kazi na aina mbalimbali za data kwenye class.
picha
DART SOMO LA 40: FACTORY CONSTRUCTOR

Katika somo hiliutakwenda kujifunza aina nyingine ya constructor ambayo hutumika kwenye Dart. aina hiyo ni factory constructory.
picha
DART SOMO LA 39: MIXIN KWENYE DART

Katika somo hii utakwenda kujifunza kuhusu concept mixin na jinsi inavyoweza kutumika kwenye Dart.
picha
DART SOMO LA 37: CLASS INTERFACE

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class interface na inavyotofautiana na class abstract
picha
DART SOMO LA 36: ABSTRACT CLASS KWEYE DART

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu abstract class na abstract method kwenye Dart.
picha
DART SOMO LA 35: ENUM KWENYE DART:

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu enum na inavyotumika kwenye Dart.
picha
DART SOMO LA 34: STATIC VARIABLE KWENYE DART

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static property na jinsi ambavyo inavyotumika.
picha
DART SOMO LA 33 CONCEPT YA POLYMORPHISM

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya polymorphism.
picha
DART SOMO LA 32: INHERITANCE KWENYE CONSTRUCT METHOD:

Katika masomo yaliopita tumesha jifunza jinsi inheritance inavyokuwa, ila hatujaona kwa namna gani utaweza ku inherit constructor method. Somo hili litashughulika na swla hilo.
picha
DART SOMO LA 31: INHERITANCE KWENYE DART OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu inheritance, na inavyoweza kutumika kwenye Dart OOP.
picha
DART SOMO LA 30 :JINSI YA KUTENGENEZA SETTER NA GETER KWENYE OOP

Katika somo hili tutakwenda kujifunza zaidi kuhusu method za getter na setter. Tutakwenda kuona hasa zinavyotumika na zinavyotengenezwa.
picha
DART SOMO LA 29: DART ENCAPSULATION

Katika somo hili tutawenda kujifunza kuhusu encapsulatio kwenye Dart OOP na jinsi inavyoweza kutumika.
picha
DART SOMO LA 28: NAMED CONSTRUCTOR NA CONSTANT CONSTRUCTOR KWENYE OOP

Ka tika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya named constructor na constant constructor kwenye Object Oriented Programming.
picha
DART SOMO LA 27: DART OOP: MAANA YA CONSTRUCTOR METHOD NA JINSI INAVYOTUMIKA KWENYE OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jins ya kutengeneza constructor method, pia utajifunza matumizi yake kwenye OOP.
picha
DART SOMO LA 26: DART OOP MAANA YA OBJECT, NA JINSI YA KUITENGENEZA KWENYE OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza Object pamoja na properties. Haa kwa ufupi tutakwenda kujifunza jinsi ya kutumia class.
picha
DART SOMO LA 25: DART OOP NINI MAAAN YA CLASS NA VIPI UTAWEZA KUITENGENEZA

Katika somo hili utajifunza maana ya class kwenye OOP paradigm, kisha utajifunza jinsi ya kutengeneza class.
picha
DART SOMO LA 24: DART OOP MAANA YA OBJECT ORIENTED PROGRAMMING KWENYE DART

Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya OOP na faida zake. Pia utakwenda kujifunza kuhusu features za OOP.
picha
DART SOMO LA 24: JINSI YA KUTENGENEZA FAILI, FOLDA NA KUINGIZA DATA

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika data kwenye faili. Kwanza utajifunza kutengeneza folda, kisha faili na kuweka data, kisha utajifunza kufuta fali.
picha
PHP SOMO LA 54: PHP OOP CLASS CONSTANT

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.
picha
DART SOMO LA 23: JINSI YA KUSOMA MAFAILI KWA KUTUMIA DART

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma na kuandika faili kwa kutumia Dart programming.
picha
DART SOMO LA 22: JINSI YA KUTUMIA HTML LIBRARY KWENYE DART

Katika somo hili tutakwenda kujifunz ajinsi ya kutumia library ya html kwenye Dart. somo hili litakupeleka kujifunza jinsi ya ku display dart output kwenye faili la html.
picha
DART SOMO LA 21: JINSI YA KUTENGENEZA LIBRARY KWENYE DART

Katika somo hili utajifunza kuhusu dart library. Pia tutakwend aktengeneza library yetu wennyewe kwa ajili ya kufanya mazoezi zaidi.
picha
DART SOMO LA 20: METHOD ZINAZOTUMIKA KWENYE MAP DATA TYPE KWENYE DART

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu method ambazo hutumika kwenye map data type
picha
DART SOMO LA 19: METHOD ZINAZOTUMIKA KWENYE SET DATA TYPE KWENYE DART

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set.
picha
DART SOMO LA 18: DART METHOD ZINAZOTUMIKA KWENYE LIST DATA TYPE

Katika somo hili utakwenda kujifunza method yhinginge zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Dart.
picha
DART SOMO LA 17: METHOD ZA NAMBA ZINAZOTUMIKA KWENYE DART

Katika somo hili utakwenda kuziona method za dart zinazotumika kwenye namba. pia utajifunzakuhusu math library
picha
DART SOMO LA 16: STRING METHOD ZINAZOTUMIKA KWNEYE DART

Katika somo hili utakwenda kujfunza kuhusu String method zinazotumika kwenye Dart.
picha
DART SOMO LA 15: PARAMETER KWENYE FUNCTION ZA DART

Katika somo hili tutakwenda kuzungumzia kuhusu parameter kwenye Dart function. Pia tutakwenda kuona mambo mengine yanayohusu function
picha
DART SOMO LA 14: AINA ZA FUNCTION KWENYE DART

Katika somo hili tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo la function. Hapa tutakwenda kuona aina za function.
picha
DART SOMO LA 13: FUNCTION KWENYE DART

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye dart, jisni ya kziandika na matumizi yake.
picha
DART SOMO LA 12: KUCHUKUWA USER INPUT KWENYE DART

Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Dart kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program.
picha
DART SOMO LA 11:BREAK AND CONTINUE STATEMENT KWENYE DAT LOOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu break na continue kwenye Dart loop za for loop na while loop.
picha
DART SOMO LA 10: WHILE LOOP NA DO WHILE LOOP KWENYE DART

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu while loop na do while loop zinavyofanya kazi katika Dart.
picha
DART SOMO LA 9: FOR LOOP NA FOR IN LOOP KWENYE DART, KAZI ZAKE NA JINSI YA KUADIKA

Katika somo hli utakwend akujifunza kuhusu loop kwenye Dart. Loop zimegawanyika katika makundi mnne ambayo ni for loop, while loop, for in loop na do while loop.
picha
DART SOMO LA 8: MATUMIZI YA SWITCH CASE

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu switch case na jinsi inavyofanya kazi kwenye Dart.
picha
DART SOMO LA 7: MATUMIZI YA IF, ELSE, IF ELSE, ELSE IF KWENYE DART

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu namna ambavyo program inaweza kufanya maamuzi kulingana na mashart fulani.ama namna ambavyo program inaweza ku run code zaii ya mara moja kulingana na mashart. Hapa tutazingumzia flow of control statement
picha
DART SOMO LA 6: DART OPERATOR NA JINSI ZINAVYOFANYA KAZI.

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator kwenye Dart, kazi zake na jinsi ya kuzitumia.
picha
DART SOMO LA 5: RESERVED KEYWORDS KWENYE LUGAH YA DART

Katika soo hili utakwenda kujifunza kuhusu reserved keywords katika Dart
picha
DART SOMO LA 4: JINSI YA KUANDIKA NA KUTUMIA VARIABLE KWENYE DART

Katika somo lililopita tumejifunza kuhusu sintaksia za dart. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza variable kwenye Dart.
picha
DART SOMO LA 3: AINA ZA DATA

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data zinazotumika kwenye Dart.
picha
DART SOMO LA 2: SYNTAX ZA DART

Katika somo hili tutatkwenda kuziona baadhi ya xyntax yaani kanunu za uandishi wa code za dart.
picha
DART - SOMO LA 1: KAZI ZA DART PROGRAMMING NA HISTORIA YAKE

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu kazi za dart language. Pia nimekuandalia istoria fupi ya lugha ya DART.