DART somo la 3: Aina za Data

DART somo la 3: Aina za Data

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data zinazotumika kwenye Dart.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Dart ni kama lugha nyinginezo za kompyuta, karibia aina za data zinazotumuka kwenye dart ni sawa katika language nyinginezo. Aina hizo za data ni :-

  1. Namba
  2. String
  3. Boolean
  4. Lists
  5. Map
  6. Runes

 

  1. Namba ni aina za data ambazo ni namba tu. 

Namaba zinaweza kuwa ni int yaani namba nzima ama double yaani namba zenye desimali.

void main(){

 print(2);

 print(1.5);

}

  1. String

Hizi ni data zilizo katika mfumo wa mchanganyiko wa herufi, namba, na alama za uandishi. String huandikwa ndani ya alama za funga na fungua semi mbili (“) ama moja (). Jambo la kuzingatia ni kuwa utakayoa anza nayo ndio umalizie nayo. Yaani ukitumia (“) mwanzo basi na mwisho utumie (“)

void main(){

 print("bongoclass");

 print('info@example.com');

 print("#@?");

}

Pia unaweza kuunganisha string zaidi ya moja yaani kufanya concatnation. Kuna njia 3 ambazo hutumika kuunganisa string zaidi ya moja. Njia hizo ni kama

  1. Kwa kutumia alama ya kujumlisha +
  2. Kwa kutenganisha string mbili kwa kuacha nafasi kati yao
  3. Kwa kutumia interpolation yaani unaunganisha string na variable.

void main(){

 //concatnation kwa kutumia +

 print("karibu "+"Bongoclass");

 //kwa kucha nafasi kati ya string mbili

 print('karibu ' 'Bongoclass');

 //kufanya interpolation

 //x ni variable. Tutajifunza zaidi kwenye somo lijalo

 var x = 'bongoclass';

 print('karibu ${x}');

}

Kwenye string unaweza ku break line kwa kutumia back slash () ikifuatiwa na herufi n hii ni sawa na matumizi ya <br> kwenye html

 

void main(){

print(' karibu bongoclass upate kujifunza');

}

Kuna changamoto nyingine angalia mfano huu

void main(){

print("mama anauza ng'ombe");

}

Hapa utaona hakuna error. Ila sasa wacha tutumia single quotation mark (‘)

void main(){

print('mama anauza ng'ombe');

}

Hapo kwenye neno ng’ombe hiyo alama ya apos">...

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: DART Main: ICT File: Download PDF Views 770

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

DART somo la 10: while loop na do while loop kwenye Dart
DART somo la 10: while loop na do while loop kwenye Dart

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu while loop na do while loop zinavyofanya kazi katika Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 34: Static variable kwenye Dart
DART somo la 34: Static variable kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static property na jinsi ambavyo inavyotumika.

Soma Zaidi...
DART somo la 39: mixin kwenye dart
DART somo la 39: mixin kwenye dart

Katika somo hii utakwenda kujifunza kuhusu concept mixin na jinsi inavyoweza kutumika kwenye Dart.

Soma Zaidi...
Dart somo la 25: DART OOP Nini maaan ya class na vipi utaweza kuitengeneza
Dart somo la 25: DART OOP Nini maaan ya class na vipi utaweza kuitengeneza

Katika somo hili utajifunza maana ya class kwenye OOP paradigm, kisha utajifunza jinsi ya kutengeneza class.

Soma Zaidi...
DART somo la 37: Class interface
DART somo la 37: Class interface

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class interface na inavyotofautiana na class abstract

Soma Zaidi...
DART somo la 30 :Jinsi ya kutengeneza setter na geter kwenye OOP
DART somo la 30 :Jinsi ya kutengeneza setter na geter kwenye OOP

Katika somo hili tutakwenda kujifunza zaidi kuhusu method za getter na setter. Tutakwenda kuona hasa zinavyotumika na zinavyotengenezwa.

Soma Zaidi...
DART somo la 12: Kuchukuwa user input kwenye Dart
DART somo la 12: Kuchukuwa user input kwenye Dart

Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Dart kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program.

Soma Zaidi...
DART somo la 21: Jinsi ya kutengeneza library kwenye Dart
DART somo la 21: Jinsi ya kutengeneza library kwenye Dart

Katika somo hili utajifunza kuhusu dart library. Pia tutakwend aktengeneza library yetu wennyewe kwa ajili ya kufanya mazoezi zaidi.

Soma Zaidi...
DART somo la 24: Jinsi ya kutengeneza faili, folda na kuingiza data
DART somo la 24: Jinsi ya kutengeneza faili, folda na kuingiza data

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika data kwenye faili. Kwanza utajifunza kutengeneza folda, kisha faili na kuweka data, kisha utajifunza kufuta fali.

Soma Zaidi...
DART somo la 43: Stream kwenye Dart
DART somo la 43: Stream kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda ujifunz akuhusu concept ya stream kwenye Dart. pia ttaona kwa namna gani strean inaweza kutofautiana na future wakati zote mbili zipo kwenye asychronous programming.

Soma Zaidi...