Katika somo hili tutakwenda kujifunza zaidi kuhusu method za getter na setter. Tutakwenda kuona hasa zinavyotumika na zinavyotengenezwa.
Unaweza kutengeneza getter method kwa kutumia keyword get na unaweza kutengeneza setter method kwa kutumia keyword set. Hapa tutatumia arrow => function. (Rejea somo la aina za function)
class gari {
String? _aina;
int? _mwaka;
// Getter method
get model => _aina;
// Setter method
set model(model) => _aina = model;
// Getter method
get year => _mwaka;
// Setter method
set year(year) => _mwaka = year;
}
void main() {
var vehicle = gari();
vehicle.model = "Toyota";
vehicle.year = 2023;
print(vehicle.model);
print(vehicle.year);
}
Kuvalidate kwa kutumia getter:
Wacha tuone mfano wa validation. Angalia mfano hapo chini, kuna provate properties 2, sasa kwenye property name kama hutaweka kitu utaambiwa no name.
class NoteBook {
// Private properties
String _name;
double _prize;
// Constructor
NoteBook(this._name, this._prize);
// Getter to access private property _name
String get name {
if (_name == "") {
return "No Name";
}
return this._name;
}
// Getter to access private property _prize
double get prize {
return this._prize;
}
}
void main() {
// Create an object of NoteBook class
">... Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu Umeionaje Makala hii.. ? Katika somo lililopita tumejifunza kuhusu sintaksia za dart. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza variable kwenye Dart. Katika soo hili utakwenda kujifunza kuhusu reserved keywords katika Dart Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class interface na inavyotofautiana na class abstract Katika somo hiliutakwenda kujifunza aina nyingine ya constructor ambayo hutumika kwenye Dart. aina hiyo ni factory constructory. Katika somo hili tutawenda kujifunza kuhusu encapsulatio kwenye Dart OOP na jinsi inavyoweza kutumika. Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya polymorphism. Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator kwenye Dart, kazi zake na jinsi ya kuzitumia. Ka tika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya named constructor na constant constructor kwenye Object Oriented Programming. Katika somo hili utakwenda kujfunza kuhusu String method zinazotumika kwenye Dart. Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu while loop na do while loop zinavyofanya kazi katika Dart.
👉1
Kitabu cha Afya
👉2
Madrasa kiganjani
👉3
kitabu cha Simulizi
👉4
Bongolite - Game zone - Play free game
👉5
Kitau cha Fiqh
👉6
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Post zinazofanana:
DART somo la 4: Jinsi ya kuandika na kutumia variable kwenye Dart
DART somo la 5: Reserved keywords kwenye lugah ya Dart
DART somo la 37: Class interface
DART somo la 40: factory constructor
DART somo la 29: Dart encapsulation
DART somo la 33 concept ya polymorphism
DART somo la 6: Dart operator na jinsi zinavyofanya kazi.
DART somo la 28: Named constructor na constant constructor kwenye OOP
DART SOMO LA 16: String method zinazotumika kwneye Dart
DART somo la 10: while loop na do while loop kwenye Dart