Katika somo hili tutakwenda kujifunza zaidi kuhusu method za getter na setter. Tutakwenda kuona hasa zinavyotumika na zinavyotengenezwa.
Unaweza kutengeneza getter method kwa kutumia keyword get na unaweza kutengeneza setter method kwa kutumia keyword set. Hapa tutatumia arrow => function. (Rejea somo la aina za function)
class gari {
String? _aina;
int? _mwaka;
// Getter method
get model => _aina;
// Setter method
set model(model) => _aina = model;
// Getter method
get year => _mwaka;
// Setter method
set year(year) => _mwaka = year;
}
void main() {
var vehicle = gari();
vehicle.model = "Toyota";
vehicle.year = 2023;
print(vehicle.model);
print(vehicle.year);
}
Kuvalidate kwa kutumia getter:
Wacha tuone mfano wa validation. Angalia mfano hapo chini, kuna provate properties 2, sasa kwenye property name kama hutaweka kitu utaambiwa no name.
class NoteBook {
// Private properties
String _name;
double _prize;
// Constructor
NoteBook(this._name, this._prize);
// Getter to access private property _name
String get name {
if (_name == "") {
return "No Name";
}
return this._name;
}
// Getter to access private property _prize
double get prize {
return this._prize;
}
}
void main() {
// Create an object of NoteBook class
">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua. Umeionaje Makala hii.. ? Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static property na jinsi ambavyo inavyotumika. Katika somo hili utakwenda kujfunza kuhusu String method zinazotumika kwenye Dart. Katika somo hili tutakwenda kuzungumzia kuhusu parameter kwenye Dart function. Pia tutakwenda kuona mambo mengine yanayohusu function Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class interface na inavyotofautiana na class abstract Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator kwenye Dart, kazi zake na jinsi ya kuzitumia. Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu break na continue kwenye Dart loop za for loop na while loop. Katika somo hili tutakwenda kujifunza concept nyingine ya asynchronous programming. Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu enum na inavyotumika kwenye Dart. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika data kwenye faili. Kwanza utajifunza kutengeneza folda, kisha faili na kuweka data, kisha utajifunza kufuta fali. Katika somo hili tutakwenda kujifunz ajinsi ya kutumia library ya html kwenye Dart. somo hili litakupeleka kujifunza jinsi ya ku display dart output kwenye faili la html. Download App Yetu
👉1
Madrasa kiganjani
👉2
Simulizi za Hadithi Audio
👉3
Kitabu cha Afya
👉4
Kitau cha Fiqh
👉5
kitabu cha Simulizi
👉6
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Post zinazofanana:
DART somo la 34: Static variable kwenye Dart
DART SOMO LA 16: String method zinazotumika kwneye Dart
DART somo la 15: parameter kwenye function za Dart
DART somo la 37: Class interface
DART somo la 6: Dart operator na jinsi zinavyofanya kazi.
DART somo la 11:break and continue statement kwenye Dat loop
DART somola 42: Asynchronous programming
DART somo la 35: Enum kwenye Dart:
DART somo la 24: Jinsi ya kutengeneza faili, folda na kuingiza data
DART somo la 22: Jinsi ya kutumia html library kwenye Dart