image

DART somo la 30 :Jinsi ya kutengeneza setter na geter kwenye OOP

Katika somo hili tutakwenda kujifunza zaidi kuhusu method za getter na setter. Tutakwenda kuona hasa zinavyotumika na zinavyotengenezwa.

Unaweza kutengeneza getter method kwa kutumia keyword get na unaweza kutengeneza setter method kwa kutumia keyword  set.  Hapa tutatumia arrow => function. (Rejea somo la aina za function)

class gari {

 String? _aina;

 int? _mwaka;

 

 // Getter method

 get model => _aina;

 

 // Setter method

 set model(model) => _aina = model;

 

 // Getter method

 get year => _mwaka;

 

 // Setter method

 set year(year) => _mwaka = year;

}

 

void main() {

 var vehicle = gari();

 vehicle.model = "Toyota";

 vehicle.year = 2023;

 print(vehicle.model);

 print(vehicle.year);

}

Kuvalidate kwa kutumia getter:

Wacha tuone mfano wa validation. Angalia mfano hapo chini, kuna provate properties 2, sasa kwenye property name kama hutaweka kitu utaambiwa no name.

class NoteBook {

 // Private properties

 String _name;

 double _prize;

 

 // Constructor

 NoteBook(this._name, this._prize);

 

 // Getter to access private property _name

 String get name {

   if (_name == "") {

     return "No Name";

   }

   return this._name;

 }

 

 // Getter to access private property _prize

 double get prize {

   return this._prize;

 }

}

 

void main() {

 // Create an object of NoteBook class

 NoteBook nb = new NoteBook("Ap">...



Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 209


Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

DART somo la 34: Static variable kwenye Dart
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static property na jinsi ambavyo inavyotumika. Soma Zaidi...

DART somo la 5: Reserved keywords kwenye lugah ya Dart
Katika soo hili utakwenda kujifunza kuhusu reserved keywords katika Dart Soma Zaidi...

DART somo la 23: Jinsi ya kusoma mafaili kwa kutumia Dart
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma na kuandika faili kwa kutumia Dart programming. Soma Zaidi...

DART somo la 35: Enum kwenye Dart:
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu enum na inavyotumika kwenye Dart. Soma Zaidi...

DART somo la 39: mixin kwenye dart
Katika somo hii utakwenda kujifunza kuhusu concept mixin na jinsi inavyoweza kutumika kwenye Dart. Soma Zaidi...

DART somo la 29: Dart encapsulation
Katika somo hili tutawenda kujifunza kuhusu encapsulatio kwenye Dart OOP na jinsi inavyoweza kutumika. Soma Zaidi...

DART somola 42: Asynchronous programming
Katika somo hili tutakwenda kujifunza concept nyingine ya asynchronous programming. Soma Zaidi...

DART somo la 4: Jinsi ya kuandika na kutumia variable kwenye Dart
Katika somo lililopita tumejifunza kuhusu sintaksia za dart. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza variable kwenye Dart. Soma Zaidi...

DART SOMO LA 14: Aina za function kwenye Dart
Katika somo hili tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo la function. Hapa tutakwenda kuona aina za function. Soma Zaidi...

DART somo la 15: parameter kwenye function za Dart
Katika somo hili tutakwenda kuzungumzia kuhusu parameter kwenye Dart function. Pia tutakwenda kuona mambo mengine yanayohusu function Soma Zaidi...

DART somo la 9: for loop na for in loop kwenye dart, kazi zake na jinsi ya kuadika
Katika somo hli utakwend akujifunza kuhusu loop kwenye Dart. Loop zimegawanyika katika makundi mnne ambayo ni for loop, while loop, for in loop na do while loop. Soma Zaidi...

DART somo la 11:break and continue statement kwenye Dat loop
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu break na continue kwenye Dart loop za for loop na while loop. Soma Zaidi...