Katika somo hili tutakwenda kujifunza zaidi kuhusu method za getter na setter. Tutakwenda kuona hasa zinavyotumika na zinavyotengenezwa.
Unaweza kutengeneza getter method kwa kutumia keyword get na unaweza kutengeneza setter method kwa kutumia keyword set. Hapa tutatumia arrow => function. (Rejea somo la aina za function)
class gari {
String? _aina;
int? _mwaka;
// Getter method
get model => _aina;
// Setter method
set model(model) => _aina = model;
// Getter method
get year => _mwaka;
// Setter method
set year(year) => _mwaka = year;
}
void main() {
var vehicle = gari();
vehicle.model = "Toyota";
vehicle.year = 2023;
print(vehicle.model);
print(vehicle.year);
}
Kuvalidate kwa kutumia getter:
Wacha tuone mfano wa validation. Angalia mfano hapo chini, kuna provate properties 2, sasa kwenye property name kama hutaweka kitu utaambiwa no name.
class NoteBook {
// Private properties
String _name;
double _prize;
// Constructor
NoteBook(this._name, this._prize);
// Getter to access private property _name
String get name {
if (_name == "") {
return "No Name";
}
return this._name;
}
// Getter to access private property _prize
double get prize {
return this._prize;
}
}
void main() {
// Create an object of NoteBook class
">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua. Umeionaje Makala hii.. ? Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu break na continue kwenye Dart loop za for loop na while loop. Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class interface na inavyotofautiana na class abstract Katika masomo yaliopita tumesha jifunza jinsi inheritance inavyokuwa, ila hatujaona kwa namna gani utaweza ku inherit constructor method. Somo hili litashughulika na swla hilo. Katika soo hili utakwenda kujifunza kuhusu reserved keywords katika Dart Katika somo hili tutakwenda kujifunz ajinsi ya kutumia library ya html kwenye Dart. somo hili litakupeleka kujifunza jinsi ya ku display dart output kwenye faili la html. Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuunganisha databse na Dart. Pia utajifunza jinsi ya kuset environment kwenye kompyuta ili kuweza kutumia Dart sdk kwenye CMD. Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu abstract class na abstract method kwenye Dart. Katika somo hili utakwenda kuziona method za dart zinazotumika kwenye namba. pia utajifunzakuhusu math library Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika data kwenye faili. Kwanza utajifunza kutengeneza folda, kisha faili na kuweka data, kisha utajifunza kufuta fali. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza Object pamoja na properties. Haa kwa ufupi tutakwenda kujifunza jinsi ya kutumia class. Download App Yetu
👉1
Madrasa kiganjani
👉2
Simulizi za Hadithi Audio
👉3
Kitau cha Fiqh
👉4
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉5
Bongolite - Game zone - Play free game
👉6
kitabu cha Simulizi
Post zinazofanana:
DART somo la 11:break and continue statement kwenye Dat loop
DART somo la 37: Class interface
DART somo la 32: Inheritance kwenye construct method:
DART somo la 5: Reserved keywords kwenye lugah ya Dart
DART somo la 22: Jinsi ya kutumia html library kwenye Dart
DART somo la 44: Jinsi ya ku install mysql kwenye program ya dart
DART somo la 36: Abstract class kweye Dart
DART somo la 17: method za namba zinazotumika kwenye dart
DART somo la 24: Jinsi ya kutengeneza faili, folda na kuingiza data
Dart somo la 26: DART OOP maana ya object, na jinsi ya kuitengeneza kwenye OOP