Katika somo hili tutakwenda kujifunza zaidi kuhusu method za getter na setter. Tutakwenda kuona hasa zinavyotumika na zinavyotengenezwa.
Unaweza kutengeneza getter method kwa kutumia keyword get na unaweza kutengeneza setter method kwa kutumia keyword set. Hapa tutatumia arrow => function. (Rejea somo la aina za function)
class gari {
String? _aina;
int? _mwaka;
// Getter method
get model => _aina;
// Setter method
set model(model) => _aina = model;
// Getter method
get year => _mwaka;
// Setter method
set year(year) => _mwaka = year;
}
void main() {
var vehicle = gari();
vehicle.model = "Toyota";
vehicle.year = 2023;
print(vehicle.model);
print(vehicle.year);
}
Kuvalidate kwa kutumia getter:
Wacha tuone mfano wa validation. Angalia mfano hapo chini, kuna provate properties 2, sasa kwenye property name kama hutaweka kitu utaambiwa no name.
class NoteBook {
// Private properties
String _name;
double _prize;
// Constructor
NoteBook(this._name, this._prize);
// Getter to access private property _name
String get name {
if (_name == "") {
return "No Name";
}
return this._name;
}
// Getter to access private property _prize
double get prize {
return this._prize;
}
}
void main() {
// Create an object of NoteBook class
">... Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu Umeionaje Makala hii.. ? Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza Object pamoja na properties. Haa kwa ufupi tutakwenda kujifunza jinsi ya kutumia class. Katika somo hili tutakwenda kujifunza concept nyingine ya asynchronous programming. Katika somo hili tutakwenda kujifunz ajinsi ya kutumia library ya html kwenye Dart. somo hili litakupeleka kujifunza jinsi ya ku display dart output kwenye faili la html. Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu kazi za dart language. Pia nimekuandalia istoria fupi ya lugha ya DART. Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu method ambazo hutumika kwenye map data type Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu switch case na jinsi inavyofanya kazi kwenye Dart. Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya generics ili kuweza kufanya kazi na aina mbalimbali za data kwenye class. Katika somo hili tutakwenda kuzungumzia kuhusu parameter kwenye Dart function. Pia tutakwenda kuona mambo mengine yanayohusu function Katika somo hili utakwenda kujfunza kuhusu String method zinazotumika kwenye Dart. Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu while loop na do while loop zinavyofanya kazi katika Dart.
👉1
Kitau cha Fiqh
👉2
Simulizi za Hadithi Audio
👉3
kitabu cha Simulizi
👉4
Madrasa kiganjani
👉5
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉6
Kitabu cha Afya
Post zinazofanana:
Dart somo la 26: DART OOP maana ya object, na jinsi ya kuitengeneza kwenye OOP
DART somola 42: Asynchronous programming
DART somo la 22: Jinsi ya kutumia html library kwenye Dart
DART - somo la 1: Kazi za dart programming na historia yake
DART somo la 20: method zinazotumika kwenye map data type kwenye Dart
DART somo la 8: Matumizi ya switch case
DART somo la 41: concept ya generic kwenye dart
DART somo la 15: parameter kwenye function za Dart
DART SOMO LA 16: String method zinazotumika kwneye Dart
DART somo la 10: while loop na do while loop kwenye Dart