picha

DART somo la 30 :Jinsi ya kutengeneza setter na geter kwenye OOP

Katika somo hili tutakwenda kujifunza zaidi kuhusu method za getter na setter. Tutakwenda kuona hasa zinavyotumika na zinavyotengenezwa.

Unaweza kutengeneza getter method kwa kutumia keyword get na unaweza kutengeneza setter method kwa kutumia keyword  set.  Hapa tutatumia arrow => function. (Rejea somo la aina za function)

class gari {

 String? _aina;

 int? _mwaka;

 

 // Getter method

 get model => _aina;

 

 // Setter method

 set model(model) => _aina = model;

 

 // Getter method

 get year => _mwaka;

 

 // Setter method

 set year(year) => _mwaka = year;

}

 

void main() {

 var vehicle = gari();

 vehicle.model = "Toyota";

 vehicle.year = 2023;

 print(vehicle.model);

 print(vehicle.year);

}

Kuvalidate kwa kutumia getter:

Wacha tuone mfano wa validation. Angalia mfano hapo chini, kuna provate properties 2, sasa kwenye property name kama hutaweka kitu utaambiwa no name.

class NoteBook {

 // Private properties

 String _name;

 double _prize;

 

 // Constructor

 NoteBook(this._name, this._prize);

 

 // Getter to access private property _name

 String get name {

   if (_name == "") {

     return "No Name";

   }

   return this._name;

 }

 

 // Getter to access private property _prize

 double get prize {

   return this._prize;

 }

}

 

void main() {

 // Create an object of NoteBook class

 NoteBook nb = new NoteBook("Apple", 1000);

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: DART Main: Masomo File: Download PDF Views 805

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉4 ai web app     👉5 Madrasa kiganjani     👉6 Dua za Mitume na Manabii    

Post zinazofanana:

DART somo la 22: Jinsi ya kutumia html library kwenye Dart

Katika somo hili tutakwenda kujifunz ajinsi ya kutumia library ya html kwenye Dart. somo hili litakupeleka kujifunza jinsi ya ku display dart output kwenye faili la html.

Soma Zaidi...
DART SOMO LA 14: Aina za function kwenye Dart

Katika somo hili tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo la function. Hapa tutakwenda kuona aina za function.

Soma Zaidi...
Dart somo la 26: DART OOP maana ya object, na jinsi ya kuitengeneza kwenye OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza Object pamoja na properties. Haa kwa ufupi tutakwenda kujifunza jinsi ya kutumia class.

Soma Zaidi...
DART somo la 20: method zinazotumika kwenye map data type kwenye Dart

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu method ambazo hutumika kwenye map data type

Soma Zaidi...
DART somo la 12: Kuchukuwa user input kwenye Dart

Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Dart kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program.

Soma Zaidi...
DART somo la 11:break and continue statement kwenye Dat loop

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu break na continue kwenye Dart loop za for loop na while loop.

Soma Zaidi...