Katika somo hili tutakwenda kujifunza zaidi kuhusu method za getter na setter. Tutakwenda kuona hasa zinavyotumika na zinavyotengenezwa.
Unaweza kutengeneza getter method kwa kutumia keyword get na unaweza kutengeneza setter method kwa kutumia keyword set. Hapa tutatumia arrow => function. (Rejea somo la aina za function)
class gari {
String? _aina;
int? _mwaka;
// Getter method
get model => _aina;
// Setter method
set model(model) => _aina = model;
// Getter method
get year => _mwaka;
// Setter method
set year(year) => _mwaka = year;
}
void main() {
var vehicle = gari();
vehicle.model = "Toyota";
vehicle.year = 2023;
print(vehicle.model);
print(vehicle.year);
}
Kuvalidate kwa kutumia getter:
Wacha tuone mfano wa validation. Angalia mfano hapo chini, kuna provate properties 2, sasa kwenye property name kama hutaweka kitu utaambiwa no name.
class NoteBook {
// Private properties
String _name;
double _prize;
// Constructor
NoteBook(this._name, this._prize);
// Getter to access private property _name
String get name {
if (_name == "") {
return "No Name";
}
return this._name;
}
// Getter to access private property _prize
double get prize {
return this._prize;
}
}
void main() {
// Create an object of NoteBook class
">...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika data kwenye faili. Kwanza utajifunza kutengeneza folda, kisha faili na kuweka data, kisha utajifunza kufuta fali.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutatkwenda kuziona baadhi ya xyntax yaani kanunu za uandishi wa code za dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza method yhinginge zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Dart.
Soma Zaidi...Katika somo lililopita tumejifunza kuhusu sintaksia za dart. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza variable kwenye Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu break na continue kwenye Dart loop za for loop na while loop.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu kazi za dart language. Pia nimekuandalia istoria fupi ya lugha ya DART.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jins ya kutengeneza constructor method, pia utajifunza matumizi yake kwenye OOP.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu method ambazo hutumika kwenye map data type
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu abstract class na abstract method kwenye Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator kwenye Dart, kazi zake na jinsi ya kuzitumia.
Soma Zaidi...