picha

DART somo la 30 :Jinsi ya kutengeneza setter na geter kwenye OOP

Katika somo hili tutakwenda kujifunza zaidi kuhusu method za getter na setter. Tutakwenda kuona hasa zinavyotumika na zinavyotengenezwa.

Unaweza kutengeneza getter method kwa kutumia keyword get na unaweza kutengeneza setter method kwa kutumia keyword  set.  Hapa tutatumia arrow => function. (Rejea somo la aina za function)

class gari {

 String? _aina;

 int? _mwaka;

 

 // Getter method

 get model => _aina;

 

 // Setter method

 set model(model) => _aina = model;

 

 // Getter method

 get year => _mwaka;

 

 // Setter method

 set year(year) => _mwaka = year;

}

 

void main() {

 var vehicle = gari();

 vehicle.model = "Toyota";

 vehicle.year = 2023;

 print(vehicle.model);

 print(vehicle.year);

}

Kuvalidate kwa kutumia getter:

Wacha tuone mfano wa validation. Angalia mfano hapo chini, kuna provate properties 2, sasa kwenye property name kama hutaweka kitu utaambiwa no name.

class NoteBook {

 // Private properties

 String _name;

 double _prize;

 

 // Constructor

 NoteBook(this._name, this._prize);

 

 // Getter to access private property _name

 String get name {

   if (_name == "") {

     return "No Name";

   }

   return this._name;

 }

 

 // Getter to access private property _prize

 double get prize {

   return this._prize;

 }

}

 

void main() {

 // Create an object of NoteBook class

 NoteBook nb = new NoteBook("Apple", 1000);

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: DART Main: Masomo File: Download PDF Views 802

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉2 Bongolite - Game zone - Play free game     👉3 Dua za Mitume na Manabii     👉4 ai web app     👉5 Kitabu cha Afya     👉6 Simulizi za Hadithi Audio    

Post zinazofanana:

DART somo la 45: Jinai ys kutuma mysql database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya mysql kwenye Dart. hakikisha umeelewa vyema na kutekeleza yalioelekezwa kutoka kwenye somo lililopita.

Soma Zaidi...
DART somo la 34: Static variable kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static property na jinsi ambavyo inavyotumika.

Soma Zaidi...
DART somo la 13: function kwenye dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye dart, jisni ya kziandika na matumizi yake.

Soma Zaidi...
DART somo la 6: Dart operator na jinsi zinavyofanya kazi.

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator kwenye Dart, kazi zake na jinsi ya kuzitumia.

Soma Zaidi...
DART somola 42: Asynchronous programming

Katika somo hili tutakwenda kujifunza concept nyingine ya asynchronous programming.

Soma Zaidi...
DART somo la 24: Dart OOP maana ya Object Oriented Programming kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya OOP na faida zake. Pia utakwenda kujifunza kuhusu features za OOP.

Soma Zaidi...