Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya polymorphism.
Polymorphism ni nini?
Polymorphism ni uwezo wa object kubadilika katika hali mbalimbali. Polymorphism huhusika katika ku update properties, function na class, kutoka kwenye class iliyokuwepo. Kwa ufupi polymorphism ni uwezo wa object kuwa katika hali mbalimbali.
Unapo override method ina maana umeamuwa kuibadilisha kwa method nyingine, hivyo zote zitakuwa na jina moja inaitwa signature. Ila hii haimaanihi kuwa hatuwezi tena ku access method ya mwanzo.
Hapa nakwenda kukuletea mfano ambapo nime override method ya parent class na nikaitumia pia.
class gari{
void tangazo(){
print("Tunauza magari");
}
}
class toyota extends gari{
@override
void tangazo(){
print("Tunauza toyota");
}
}
class bugati extends gari{
@override
void tangazo(){
print("Tunauza bugati");
}
}
void main(){
gari magari=gari();
toyota toyo=toyota();
bugati bug = bugati();
magari.tangazo();
toyo.tangazo();
bug.tangazo();
}
Utaona hapo kama utabadili signature yaani jina la hiyo method basi itashindwa ku override hivyo itatupa matokeo ya mwanzo kabla ya ku override. Angalia mfano huu
class gari{
void tangazo(){
print("Tunauza magari");
}
}
class toyota extends gari{
@override
void ujumbe(){
">...Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili tutakwenda kuzungumzia kuhusu parameter kwenye Dart function. Pia tutakwenda kuona mambo mengine yanayohusu function
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu kazi za dart language. Pia nimekuandalia istoria fupi ya lugha ya DART.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class interface na inavyotofautiana na class abstract
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza concept nyingine ya asynchronous programming.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutatkwenda kuziona baadhi ya xyntax yaani kanunu za uandishi wa code za dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu switch case na jinsi inavyofanya kazi kwenye Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuunganisha databse na Dart. Pia utajifunza jinsi ya kuset environment kwenye kompyuta ili kuweza kutumia Dart sdk kwenye CMD.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator kwenye Dart, kazi zake na jinsi ya kuzitumia.
Soma Zaidi...Katika somo hii utakwenda kujifunza kuhusu concept mixin na jinsi inavyoweza kutumika kwenye Dart.
Soma Zaidi...