picha

DART somo la 33 concept ya polymorphism

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya polymorphism.

Polymorphism  ni nini?

Polymorphism ni uwezo wa object kubadilika katika hali mbalimbali. Polymorphism huhusika katika ku update properties, function na class, kutoka kwenye class iliyokuwepo. Kwa ufupi polymorphism ni uwezo wa object kuwa katika hali mbalimbali.

 

Unapo override method ina maana umeamuwa kuibadilisha kwa method nyingine, hivyo zote zitakuwa na jina moja inaitwa signature. Ila hii haimaanihi kuwa hatuwezi tena ku access method ya mwanzo.

 

Hapa nakwenda kukuletea mfano ambapo nime override method ya parent class na nikaitumia pia. 

 

class gari{

 void tangazo(){

   print("Tunauza magari");

 }

}

 

class toyota extends gari{

 @override

 void tangazo(){

   print("Tunauza toyota");

 }

}

 

class bugati extends gari{

 @override

 void tangazo(){

   print("Tunauza bugati");

 }

}

 

void main(){

 gari magari=gari();

 toyota toyo=toyota();

 bugati bug = bugati();

 

 magari.tangazo();

 toyo.tangazo();

 bug.tangazo();

 

}

 

 

Utaona hapo kama utabadili signature yaani jina la hiyo method basi itashindwa ku override hivyo itatupa matokeo ya mwanzo kabla ya ku override. Angalia mfano huu

class gari{

 void tangazo(){

   print("Tunauza magari");

 }

}

 

class toyota extends gari{

 @override

 void ujumbe(){

">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2023-12-15 Topic: DART Main: ICT File: Download PDF Views 859

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 ai web app    👉3 web hosting    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

DART somo la 30 :Jinsi ya kutengeneza setter na geter kwenye OOP

Katika somo hili tutakwenda kujifunza zaidi kuhusu method za getter na setter. Tutakwenda kuona hasa zinavyotumika na zinavyotengenezwa.

Soma Zaidi...
DART - somo la 1: Kazi za dart programming na historia yake

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu kazi za dart language. Pia nimekuandalia istoria fupi ya lugha ya DART.

Soma Zaidi...
DART somo la 18: Dart method zinazotumika kwenye List data type

Katika somo hili utakwenda kujifunza method yhinginge zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 37: Class interface

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class interface na inavyotofautiana na class abstract

Soma Zaidi...
DART somo la 27: DART OOP: maana ya constructor method na jinsi inavyotumika kwenye OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jins ya kutengeneza constructor method, pia utajifunza matumizi yake kwenye OOP.

Soma Zaidi...
DART somo la 4: Jinsi ya kuandika na kutumia variable kwenye Dart

Katika somo lililopita tumejifunza kuhusu sintaksia za dart. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza variable kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 9: for loop na for in loop kwenye dart, kazi zake na jinsi ya kuadika

Katika somo hli utakwend akujifunza kuhusu loop kwenye Dart. Loop zimegawanyika katika makundi mnne ambayo ni for loop, while loop, for in loop na do while loop.

Soma Zaidi...
DART somola 42: Asynchronous programming

Katika somo hili tutakwenda kujifunza concept nyingine ya asynchronous programming.

Soma Zaidi...
Dart somo la 25: DART OOP Nini maaan ya class na vipi utaweza kuitengeneza

Katika somo hili utajifunza maana ya class kwenye OOP paradigm, kisha utajifunza jinsi ya kutengeneza class.

Soma Zaidi...
DART somo la 21: Jinsi ya kutengeneza library kwenye Dart

Katika somo hili utajifunza kuhusu dart library. Pia tutakwend aktengeneza library yetu wennyewe kwa ajili ya kufanya mazoezi zaidi.

Soma Zaidi...