DART somo la 33 concept ya polymorphism

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya polymorphism.

Polymorphism  ni nini?

Polymorphism ni uwezo wa object kubadilika katika hali mbalimbali. Polymorphism huhusika katika ku update properties, function na class, kutoka kwenye class iliyokuwepo. Kwa ufupi polymorphism ni uwezo wa object kuwa katika hali mbalimbali.

 

Unapo override method ina maana umeamuwa kuibadilisha kwa method nyingine, hivyo zote zitakuwa na jina moja inaitwa signature. Ila hii haimaanihi kuwa hatuwezi tena ku access method ya mwanzo.

 

Hapa nakwenda kukuletea mfano ambapo nime override method ya parent class na nikaitumia pia. 

 

class gari{

 void tangazo(){

   print("Tunauza magari");

 }

}

 

class toyota extends gari{

 @override

 void tangazo(){

   print("Tunauza toyota");

 }

}

 

class bugati extends gari{

 @override

 void tangazo(){

   print("Tunauza bugati");

 }

}

 

void main(){

 gari magari=gari();

 toyota toyo=toyota();

 bugati bug = bugati();

 

 magari.tangazo();

 toyo.tangazo();

 bug.tangazo();

 

}

 

 

Utaona hapo kama utabadili signature yaani jina la hiyo method basi itashindwa ku override hivyo itatupa matokeo ya mwanzo kabla ya ku override. Angalia mfano huu

class gari{

 void tangazo(){

   print("Tunauza magari");

 }

}

 

class toyota extends gari{

 @override

 void ujumbe(){

">...

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: DART Main: ICT File: Download PDF Views 328

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

DART somo la 45: Jinai ys kutuma mysql database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya mysql kwenye Dart. hakikisha umeelewa vyema na kutekeleza yalioelekezwa kutoka kwenye somo lililopita.

Soma Zaidi...
DART somo la 41: concept ya generic kwenye dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya generics ili kuweza kufanya kazi na aina mbalimbali za data kwenye class.

Soma Zaidi...
DART somo la 34: Static variable kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static property na jinsi ambavyo inavyotumika.

Soma Zaidi...
DART somo la 7: matumizi ya if, else, if else, else if kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu namna ambavyo program inaweza kufanya maamuzi kulingana na mashart fulani.ama namna ambavyo program inaweza ku run code zaii ya mara moja kulingana na mashart. Hapa tutazingumzia flow of control statement

Soma Zaidi...
Dart somo la 26: DART OOP maana ya object, na jinsi ya kuitengeneza kwenye OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza Object pamoja na properties. Haa kwa ufupi tutakwenda kujifunza jinsi ya kutumia class.

Soma Zaidi...
DART somo la 20: method zinazotumika kwenye map data type kwenye Dart

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu method ambazo hutumika kwenye map data type

Soma Zaidi...
DART - somo la 1: Kazi za dart programming na historia yake

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu kazi za dart language. Pia nimekuandalia istoria fupi ya lugha ya DART.

Soma Zaidi...
DART somo la 39: mixin kwenye dart

Katika somo hii utakwenda kujifunza kuhusu concept mixin na jinsi inavyoweza kutumika kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 12: Kuchukuwa user input kwenye Dart

Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Dart kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program.

Soma Zaidi...
DART SOMO LA 16: String method zinazotumika kwneye Dart

Katika somo hili utakwenda kujfunza kuhusu String method zinazotumika kwenye Dart.

Soma Zaidi...