picha

DART somo la 33 concept ya polymorphism

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya polymorphism.

Polymorphism  ni nini?

Polymorphism ni uwezo wa object kubadilika katika hali mbalimbali. Polymorphism huhusika katika ku update properties, function na class, kutoka kwenye class iliyokuwepo. Kwa ufupi polymorphism ni uwezo wa object kuwa katika hali mbalimbali.

 

Unapo override method ina maana umeamuwa kuibadilisha kwa method nyingine, hivyo zote zitakuwa na jina moja inaitwa signature. Ila hii haimaanihi kuwa hatuwezi tena ku access method ya mwanzo.

 

Hapa nakwenda kukuletea mfano ambapo nime override method ya parent class na nikaitumia pia. 

 

class gari{

 void tangazo(){

   print("Tunauza magari");

 }

}

 

class toyota extends gari{

 @override

 void tangazo(){

   print("Tunauza toyota");

 }

}

 

class bugati extends gari{

 @override

 void tangazo(){

   print("Tunauza bugati");

 }

}

 

void main(){

 gari magari=gari();

 toyota toyo=toyota();

 bugati bug = bugati();

 

 magari.tangazo();

 toyo.tangazo();

 bug.tangazo();

 

}

 

 

Utaona hapo kama utabadili signature yaani jina la hiyo method basi itashindwa ku override hivyo itatupa matokeo ya mwanzo kabla ya ku override. Angalia mfano huu

class gari{

 void tangazo(){

   print("Tunauza magari");

 }

}

 

class toyota extends gari{

 @override

 void ujumbe(){

">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2023-12-15 Topic: DART Main: ICT File: Download PDF Views 864

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉3 ai web app    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Dua za Mitume na Manabii    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

DART somo la 8: Matumizi ya switch case

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu switch case na jinsi inavyofanya kazi kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 37: Class interface

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class interface na inavyotofautiana na class abstract

Soma Zaidi...
DART somo la 4: Jinsi ya kuandika na kutumia variable kwenye Dart

Katika somo lililopita tumejifunza kuhusu sintaksia za dart. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza variable kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 31: inheritance kwenye DART OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu inheritance, na inavyoweza kutumika kwenye Dart OOP.

Soma Zaidi...
DART somo la 45: Jinai ys kutuma mysql database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya mysql kwenye Dart. hakikisha umeelewa vyema na kutekeleza yalioelekezwa kutoka kwenye somo lililopita.

Soma Zaidi...
DART somo la 27: DART OOP: maana ya constructor method na jinsi inavyotumika kwenye OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jins ya kutengeneza constructor method, pia utajifunza matumizi yake kwenye OOP.

Soma Zaidi...
DART somo la 39: mixin kwenye dart

Katika somo hii utakwenda kujifunza kuhusu concept mixin na jinsi inavyoweza kutumika kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 24: Dart OOP maana ya Object Oriented Programming kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya OOP na faida zake. Pia utakwenda kujifunza kuhusu features za OOP.

Soma Zaidi...
DART - somo la 1: Kazi za dart programming na historia yake

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu kazi za dart language. Pia nimekuandalia istoria fupi ya lugha ya DART.

Soma Zaidi...
DART SOMO LA 14: Aina za function kwenye Dart

Katika somo hili tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo la function. Hapa tutakwenda kuona aina za function.

Soma Zaidi...