DART somo la 8: Matumizi ya switch case

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu switch case na jinsi inavyofanya kazi kwenye Dart.

Katika somo hili tutakwenda kutumia mifano yetu ya somo lililotangulia ili kuweza kujienga uelewa zaidi.

 

Jinsi ya kuandika switch case

switch(expression){

Case value:

Code

break

}

 

Ukiangalia hapo ni kuwa utaanza na keyword switch  utaweka mabano () kama kawaid ndani yake ni value tunayotaka ku test ikufuatiwa na mabano {}. Kisha utaweka keyword case ikifuatiwa na sharti unayotaka ku test kisha utawka nukta pacha ( : ). Baad aya hapo ni code ambazo zita run kisa utaweka keyword break kwa akiji ya ku stop code zisiendelee ku run

 

Wacha tuone mambo yanavyokuwa:

Tunataka ikiwa umri wa mtoto ni miaka 7 aambiwe aende shule.

void main() {

 var umri = 7;

 switch(umri){

   case 7:

     print('aende shule');

     break;

 }

}

 

 

Sasa tunataka kama ni chini ya kiaka 7 aambwe hajafika umri, na kama miaka 7 aambiwe aende shule, na kama ni  miaka 13 au zaidi aambiwe aend">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: DART Main: ICT File: Download PDF Views 616

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Dua za Mitume na Manabii    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

DART somo la 6: Dart operator na jinsi zinavyofanya kazi.

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator kwenye Dart, kazi zake na jinsi ya kuzitumia.

Soma Zaidi...
DART somo la 32: Inheritance kwenye construct method:

Katika masomo yaliopita tumesha jifunza jinsi inheritance inavyokuwa, ila hatujaona kwa namna gani utaweza ku inherit constructor method. Somo hili litashughulika na swla hilo.

Soma Zaidi...
DART somo la 15: parameter kwenye function za Dart

Katika somo hili tutakwenda kuzungumzia kuhusu parameter kwenye Dart function. Pia tutakwenda kuona mambo mengine yanayohusu function

Soma Zaidi...
DART somo la 41: concept ya generic kwenye dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya generics ili kuweza kufanya kazi na aina mbalimbali za data kwenye class.

Soma Zaidi...
DART somo la 18: Dart method zinazotumika kwenye List data type

Katika somo hili utakwenda kujifunza method yhinginge zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART SOMO LA 14: Aina za function kwenye Dart

Katika somo hili tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo la function. Hapa tutakwenda kuona aina za function.

Soma Zaidi...
DART somo la 39: mixin kwenye dart

Katika somo hii utakwenda kujifunza kuhusu concept mixin na jinsi inavyoweza kutumika kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 2: syntax za dart

Katika somo hili tutatkwenda kuziona baadhi ya xyntax yaani kanunu za uandishi wa code za dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 44: Jinsi ya ku install mysql kwenye program ya dart

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuunganisha databse na Dart. Pia utajifunza jinsi ya kuset environment kwenye kompyuta ili kuweza kutumia Dart sdk kwenye CMD.

Soma Zaidi...
DART somo la 28: Named constructor na constant constructor kwenye OOP

Ka tika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya named constructor na constant constructor kwenye Object Oriented Programming.

Soma Zaidi...