Menu



DART somo la 8: Matumizi ya switch case

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu switch case na jinsi inavyofanya kazi kwenye Dart.

Katika somo hili tutakwenda kutumia mifano yetu ya somo lililotangulia ili kuweza kujienga uelewa zaidi.

 

Jinsi ya kuandika switch case

switch(expression){

Case value:

Code

break

}

 

Ukiangalia hapo ni kuwa utaanza na keyword switch  utaweka mabano () kama kawaid ndani yake ni value tunayotaka ku test ikufuatiwa na mabano {}. Kisha utaweka keyword case ikifuatiwa na sharti unayotaka ku test kisha utawka nukta pacha ( : ). Baad aya hapo ni code ambazo zita run kisa utaweka keyword break kwa akiji ya ku stop code zisiendelee ku run

 

Wacha tuone mambo yanavyokuwa:

Tunataka ikiwa umri wa mtoto ni miaka 7 aambiwe aende shule.

void main() {

 var umri = 7;

 switch(umri){

   case 7:

     print('aende shule');

     break;

 }

}

 

 

Sasa tunataka kama ni chini ya kiaka 7 aambwe hajafika umri, na kama miaka 7 aambiwe aende shule, na kama ni  miaka 13 au zaidi aambiwe aende mmemkwa. Tutakwenda ku test mia">...

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea

Ndio     Hapana     Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: DART Main: Masomo File: Download PDF Views 440

Share On:

Facebook WhatsApp

Post zinazofanana:

DART somo la 39: mixin kwenye dart

Katika somo hii utakwenda kujifunza kuhusu concept mixin na jinsi inavyoweza kutumika kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 3: Aina za Data

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data zinazotumika kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 17: method za namba zinazotumika kwenye dart

Katika somo hili utakwenda kuziona method za dart zinazotumika kwenye namba. pia utajifunzakuhusu math library

Soma Zaidi...
DART somo la 10: while loop na do while loop kwenye Dart

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu while loop na do while loop zinavyofanya kazi katika Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 21: Jinsi ya kutengeneza library kwenye Dart

Katika somo hili utajifunza kuhusu dart library. Pia tutakwend aktengeneza library yetu wennyewe kwa ajili ya kufanya mazoezi zaidi.

Soma Zaidi...
DART somo la 20: method zinazotumika kwenye map data type kwenye Dart

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu method ambazo hutumika kwenye map data type

Soma Zaidi...
DART somo la 5: Reserved keywords kwenye lugah ya Dart

Katika soo hili utakwenda kujifunza kuhusu reserved keywords katika Dart

Soma Zaidi...
Dart somo la 26: DART OOP maana ya object, na jinsi ya kuitengeneza kwenye OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza Object pamoja na properties. Haa kwa ufupi tutakwenda kujifunza jinsi ya kutumia class.

Soma Zaidi...
DART somo la 22: Jinsi ya kutumia html library kwenye Dart

Katika somo hili tutakwenda kujifunz ajinsi ya kutumia library ya html kwenye Dart. somo hili litakupeleka kujifunza jinsi ya ku display dart output kwenye faili la html.

Soma Zaidi...
DART somo la 31: inheritance kwenye DART OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu inheritance, na inavyoweza kutumika kwenye Dart OOP.

Soma Zaidi...