DART somo la 32: Inheritance kwenye construct method:

DART somo la 32: Inheritance kwenye construct method:

Katika masomo yaliopita tumesha jifunza jinsi inheritance inavyokuwa, ila hatujaona kwa namna gani utaweza ku inherit constructor method. Somo hili litashughulika na swla hilo.

Download Post hii hapa

Ineritance kwenye constructor method hasa hapa tunajifunza jins ambavyo utaweza kurithi constructor mrthod kutoka kwenye parent class.

 

Mfano:

Hapa nina class mbili ambazo ni gari ambayo ni parent class na toyota ambayo ni child class. Kila moja ina constructor method. Hivyo constructor method kutoka kwenye parent class inaanza kitwa kabla ya child class.

class gari {

 // Constructor

 gari() {

   print("Tunauza gari");

 }

}

 

class Toyota extends gari {

 // Constructor

 Toyota() {

   print("Tunauza toyota");

 }

}

 

void main() {

 Toyota();

}

 

 

Pia unaweza kurirhi constructor yenye patameter. Hapa tunawez atena kutumia keyword supper ili kuweza kuitumia constructor kutoka kwenye parent class kuja kwenye child class.

class gari {

 // Constructor

 gari(String jina, String rangi) {

   print("Tunauza gari");

   print("Name: $jina");

   print("Color: $rangi");

 }

}

 

class toyota extends gari {

 // Constructor

 toyota(String jina, String rangi) : super(jina, rangi) {

   print("Bei zetu ni nafuu");

 }

}

 

void main() {

 toyota("Avalon", "Nyeusi");

}

 

 

Pia t">...

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: DART Main: ICT File: Download PDF Views 630

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

DART somo la 34: Static variable kwenye Dart
DART somo la 34: Static variable kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static property na jinsi ambavyo inavyotumika.

Soma Zaidi...
DART somo la 18: Dart method zinazotumika kwenye List data type
DART somo la 18: Dart method zinazotumika kwenye List data type

Katika somo hili utakwenda kujifunza method yhinginge zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 5: Reserved keywords kwenye lugah ya Dart
DART somo la 5: Reserved keywords kwenye lugah ya Dart

Katika soo hili utakwenda kujifunza kuhusu reserved keywords katika Dart

Soma Zaidi...
DART somo la 39: mixin kwenye dart
DART somo la 39: mixin kwenye dart

Katika somo hii utakwenda kujifunza kuhusu concept mixin na jinsi inavyoweza kutumika kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 44: Jinsi ya ku install mysql kwenye program ya dart
DART somo la 44: Jinsi ya ku install mysql kwenye program ya dart

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuunganisha databse na Dart. Pia utajifunza jinsi ya kuset environment kwenye kompyuta ili kuweza kutumia Dart sdk kwenye CMD.

Soma Zaidi...
DART somo la 33 concept ya polymorphism
DART somo la 33 concept ya polymorphism

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya polymorphism.

Soma Zaidi...
DART somo la 4: Jinsi ya kuandika na kutumia variable kwenye Dart
DART somo la 4: Jinsi ya kuandika na kutumia variable kwenye Dart

Katika somo lililopita tumejifunza kuhusu sintaksia za dart. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza variable kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 22: Jinsi ya kutumia html library kwenye Dart
DART somo la 22: Jinsi ya kutumia html library kwenye Dart

Katika somo hili tutakwenda kujifunz ajinsi ya kutumia library ya html kwenye Dart. somo hili litakupeleka kujifunza jinsi ya ku display dart output kwenye faili la html.

Soma Zaidi...
DART somo la 30 :Jinsi ya kutengeneza setter na geter kwenye OOP
DART somo la 30 :Jinsi ya kutengeneza setter na geter kwenye OOP

Katika somo hili tutakwenda kujifunza zaidi kuhusu method za getter na setter. Tutakwenda kuona hasa zinavyotumika na zinavyotengenezwa.

Soma Zaidi...
DART - somo la 1: Kazi za dart programming na historia yake
DART - somo la 1: Kazi za dart programming na historia yake

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu kazi za dart language. Pia nimekuandalia istoria fupi ya lugha ya DART.

Soma Zaidi...