Katika masomo yaliopita tumesha jifunza jinsi inheritance inavyokuwa, ila hatujaona kwa namna gani utaweza ku inherit constructor method. Somo hili litashughulika na swla hilo.
Ineritance kwenye constructor method hasa hapa tunajifunza jins ambavyo utaweza kurithi constructor mrthod kutoka kwenye parent class.
Mfano:
Hapa nina class mbili ambazo ni gari ambayo ni parent class na toyota ambayo ni child class. Kila moja ina constructor method. Hivyo constructor method kutoka kwenye parent class inaanza kitwa kabla ya child class.
class gari {
// Constructor
gari() {
print("Tunauza gari");
}
}
class Toyota extends gari {
// Constructor
Toyota() {
print("Tunauza toyota");
}
}
void main() {
Toyota();
}
Pia unaweza kurirhi constructor yenye patameter. Hapa tunawez atena kutumia keyword supper ili kuweza kuitumia constructor kutoka kwenye parent class kuja kwenye child class.
class gari {
// Constructor
gari(String jina, String rangi) {
print("Tunauza gari");
print("Name: $jina");
print("Color: $rangi");
}
}
class toyota extends gari {
// Constructor
toyota(String jina, String rangi) : super(jina, rangi) {
print("Bei zetu ni nafuu");
}
}
void main() {
toyota("Avalon", "Nyeusi");
}
Pia t">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda ujifunz akuhusu concept ya stream kwenye Dart. pia ttaona kwa namna gani strean inaweza kutofautiana na future wakati zote mbili zipo kwenye asychronous programming.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu kazi za dart language. Pia nimekuandalia istoria fupi ya lugha ya DART.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu inheritance, na inavyoweza kutumika kwenye Dart OOP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujfunza kuhusu String method zinazotumika kwenye Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kuziona method za dart zinazotumika kwenye namba. pia utajifunzakuhusu math library
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class interface na inavyotofautiana na class abstract
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data zinazotumika kwenye Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika data kwenye faili. Kwanza utajifunza kutengeneza folda, kisha faili na kuweka data, kisha utajifunza kufuta fali.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutatkwenda kuziona baadhi ya xyntax yaani kanunu za uandishi wa code za dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza zaidi kuhusu method za getter na setter. Tutakwenda kuona hasa zinavyotumika na zinavyotengenezwa.
Soma Zaidi...