Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class interface na inavyotofautiana na class abstract
Class interface hii ni class ambayo huweka sintaksia (kanuni, mpangilia) ambapo class zitakuwa zinafuata.unapotaka kuifanyia kazi (impleent) hiyo class anterface utatumia keyword implements .
Mfano:
// Abstract class
abstract class gari{
}
//
class toyota implements gari{
}
Kuna namna mbili za kutengeneza interface class, moja ni kutumia abstract keyword kama ilivyo kwenye mfano uliotangulia na nyingine ni kutumia class kama hapo chini ila mara nyingi huwa inatumika abstract kutengeneza class insterface.
// Abstract class
class gari{
}
//
class toyota implements gari{
}
Sasa nakwenda kutumia mfano ambao tumeuona kwenye somo lililopita. Huu utaanza kukupa aidia na maswali kadhaa kuhusu interface
abstract class gari{
//abstract method
tangazo();
taarifa();
}
class toyota implements gari{
@override
tangazo() {
// TODO: implement taarifa
print("Tunauza gari aina ya toyota");
}
@override
taarifa() {
// TODO: implement taarifa
print("Toyota imeuzwa");
}
}
class bugati implements gari{
@override
tangazo() {
// TODO: implement tangazo
print("Tunauza gari aina ya Bugati");
}
@override
taarifa() {
// TODO: implement taarifa
print("Bugati imeuzwa");
}
}
class tipa implements gari{
@override
tangazo() {
// TODO: implement taarifa
print("Tunauza gari aina ya Tipa");
}
@override
taarifa() {
// TODO: implement taarifa
print("Tipa limeuzwa");
...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza jins ya kutengeneza constructor method, pia utajifunza matumizi yake kwenye OOP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma na kuandika faili kwa kutumia Dart programming.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutatkwenda kuziona baadhi ya xyntax yaani kanunu za uandishi wa code za dart.
Soma Zaidi...Katika masomo yaliopita tumesha jifunza jinsi inheritance inavyokuwa, ila hatujaona kwa namna gani utaweza ku inherit constructor method. Somo hili litashughulika na swla hilo.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya generics ili kuweza kufanya kazi na aina mbalimbali za data kwenye class.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu switch case na jinsi inavyofanya kazi kwenye Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya OOP na faida zake. Pia utakwenda kujifunza kuhusu features za OOP.
Soma Zaidi...Katika somo hii utakwenda kujifunza kuhusu concept mixin na jinsi inavyoweza kutumika kwenye Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza method yhinginge zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Dart.
Soma Zaidi...Ka tika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya named constructor na constant constructor kwenye Object Oriented Programming.
Soma Zaidi...