Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class interface na inavyotofautiana na class abstract
Class interface hii ni class ambayo huweka sintaksia (kanuni, mpangilia) ambapo class zitakuwa zinafuata.unapotaka kuifanyia kazi (impleent) hiyo class anterface utatumia keyword implements .
Mfano:
// Abstract class
abstract class gari{
}
//
class toyota implements gari{
}
Kuna namna mbili za kutengeneza interface class, moja ni kutumia abstract keyword kama ilivyo kwenye mfano uliotangulia na nyingine ni kutumia class kama hapo chini ila mara nyingi huwa inatumika abstract kutengeneza class insterface.
// Abstract class
class gari{
}
//
class toyota implements gari{
}
Sasa nakwenda kutumia mfano ambao tumeuona kwenye somo lililopita. Huu utaanza kukupa aidia na maswali kadhaa kuhusu interface
abstract class gari{
//abstract method
tangazo();
taarifa();
}
class toyota implements gari{
@override
tangazo() {
// TODO: implement taarifa
print("Tunauza gari aina ya toyota");
}
@override
taarifa() {
// TODO: implement taarifa
print("Toyota imeuzwa");
}
}
class bugati implements gari{
@override
tangazo() {
// TODO: implement tangazo
print("Tunauza gari aina ya Bugati");
}
@override
taarifa() {
// TODO: implement taarifa
print("Bugati imeuzwa");
}
}
class tipa implements gari{
@override
tangazo() {
// TODO: implement taarifa
print("Tunauza gari aina ya Tipa");
}
@override
taarifa() {
// TODO: implement taarifa
print("Tipa limeuzwa");
...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu abstract class na abstract method kwenye Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza Object pamoja na properties. Haa kwa ufupi tutakwenda kujifunza jinsi ya kutumia class.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu inheritance, na inavyoweza kutumika kwenye Dart OOP.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza concept nyingine ya asynchronous programming.
Soma Zaidi...Katika somo hli utakwend akujifunza kuhusu loop kwenye Dart. Loop zimegawanyika katika makundi mnne ambayo ni for loop, while loop, for in loop na do while loop.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jins ya kutengeneza constructor method, pia utajifunza matumizi yake kwenye OOP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static property na jinsi ambavyo inavyotumika.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda ujifunz akuhusu concept ya stream kwenye Dart. pia ttaona kwa namna gani strean inaweza kutofautiana na future wakati zote mbili zipo kwenye asychronous programming.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya OOP na faida zake. Pia utakwenda kujifunza kuhusu features za OOP.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutawenda kujifunza kuhusu encapsulatio kwenye Dart OOP na jinsi inavyoweza kutumika.
Soma Zaidi...