DART somo la 37: Class interface

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class interface na inavyotofautiana na class abstract

Class interface hii ni class ambayo huweka sintaksia (kanuni, mpangilia) ambapo class zitakuwa zinafuata.unapotaka kuifanyia kazi (impleent) hiyo class anterface utatumia keyword implements

Mfano:

// Abstract class

abstract class gari{

 

}

//

class toyota implements gari{

 

}

 

Kuna namna mbili za kutengeneza interface class, moja ni kutumia abstract  keyword  kama ilivyo kwenye mfano uliotangulia na nyingine ni kutumia class kama hapo chini ila mara nyingi huwa inatumika abstract kutengeneza class insterface.

// Abstract class

class gari{

 

}

//

class toyota implements gari{

 

}

 

Sasa nakwenda kutumia mfano ambao tumeuona kwenye somo lililopita. Huu utaanza kukupa aidia na maswali kadhaa kuhusu interface

abstract class gari{

 //abstract method

 tangazo();

 taarifa();

}

 

 

class toyota implements gari{

 @override

 tangazo() {

   // TODO: implement taarifa

   print("Tunauza gari aina ya toyota");

 }

 @override

 taarifa() {

   // TODO: implement taarifa

   print("Toyota imeuzwa");

 }

 

 

}

 

 

class bugati implements gari{

 @override

 tangazo() {

   // TODO: implement tangazo

   print("Tunauza gari aina ya Bugati");

 }

 @override

 taarifa() {

   // TODO: implement taarifa

   print("Bugati imeuzwa");

 }

}

 

 

class tipa implements gari{

 @override

 tangazo() {

   // TODO: implement taarifa

   print("Tunauza gari aina ya Tipa");

 }

 

 

 @override

 taarifa() {

   // TODO: implement taarifa

   print("Tipa limeuzwa");

...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: DART Main: ICT File: Download PDF Views 590

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 web hosting    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉6 Dua za Mitume na Manabii   

Post zinazofanana:

DART somo la 19: method zinazotumika kwenye set data type kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set.

Soma Zaidi...
DART somo la 41: concept ya generic kwenye dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya generics ili kuweza kufanya kazi na aina mbalimbali za data kwenye class.

Soma Zaidi...
DART somo la 27: DART OOP: maana ya constructor method na jinsi inavyotumika kwenye OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jins ya kutengeneza constructor method, pia utajifunza matumizi yake kwenye OOP.

Soma Zaidi...
DART somo la 5: Reserved keywords kwenye lugah ya Dart

Katika soo hili utakwenda kujifunza kuhusu reserved keywords katika Dart

Soma Zaidi...
DART somo la 40: factory constructor

Katika somo hiliutakwenda kujifunza aina nyingine ya constructor ambayo hutumika kwenye Dart. aina hiyo ni factory constructory.

Soma Zaidi...
DART somo la 29: Dart encapsulation

Katika somo hili tutawenda kujifunza kuhusu encapsulatio kwenye Dart OOP na jinsi inavyoweza kutumika.

Soma Zaidi...
DART somo la 28: Named constructor na constant constructor kwenye OOP

Ka tika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya named constructor na constant constructor kwenye Object Oriented Programming.

Soma Zaidi...
DART - somo la 1: Kazi za dart programming na historia yake

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu kazi za dart language. Pia nimekuandalia istoria fupi ya lugha ya DART.

Soma Zaidi...
DART somo la 17: method za namba zinazotumika kwenye dart

Katika somo hili utakwenda kuziona method za dart zinazotumika kwenye namba. pia utajifunzakuhusu math library

Soma Zaidi...
Dart somo la 26: DART OOP maana ya object, na jinsi ya kuitengeneza kwenye OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza Object pamoja na properties. Haa kwa ufupi tutakwenda kujifunza jinsi ya kutumia class.

Soma Zaidi...