Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class interface na inavyotofautiana na class abstract
Class interface hii ni class ambayo huweka sintaksia (kanuni, mpangilia) ambapo class zitakuwa zinafuata.unapotaka kuifanyia kazi (impleent) hiyo class anterface utatumia keyword implements .
Mfano:
// Abstract class
abstract class gari{
}
//
class toyota implements gari{
}
Kuna namna mbili za kutengeneza interface class, moja ni kutumia abstract keyword kama ilivyo kwenye mfano uliotangulia na nyingine ni kutumia class kama hapo chini ila mara nyingi huwa inatumika abstract kutengeneza class insterface.
// Abstract class
class gari{
}
//
class toyota implements gari{
}
Sasa nakwenda kutumia mfano ambao tumeuona kwenye somo lililopita. Huu utaanza kukupa aidia na maswali kadhaa kuhusu interface
abstract class gari{
//abstract method
tangazo();
taarifa();
}
class toyota implements gari{
@override
tangazo() {
// TODO: implement taarifa
print("Tunauza gari aina ya toyota");
}
@override
taarifa() {
// TODO: implement taarifa
print("Toyota imeuzwa");
}
}
class bugati implements gari{
@override
tangazo() {
// TODO: implement tangazo
print("Tunauza gari aina ya Bugati");
}
@override
taarifa() {
// TODO: implement taarifa
print("Bugati imeuzwa");
}
}
class tipa implements gari{
@override
tangazo() {
// TODO: implement taarifa
print("Tunauza gari aina ya Tipa");
}
@override
taarifa() {
// TODO: implement taarifa
print("Tipa limeuzwa");
}
Je! umeipenda hii post?
Rajabu
Sponsored links
DART somo la 17: method za namba zinazotumika kwenye dart
DART somo la 5: Reserved keywords kwenye lugah ya Dart
DART somo la 21: Jinsi ya kutengeneza library kwenye Dart
DART somo la 28: Named constructor na constant constructor kwenye OOP
DART somo la 29: Dart encapsulation
DART somo la 20: method zinazotumika kwenye map data type kwenye Dart
DART somo la 15: parameter kwenye function za Dart
DART somo la 11:break and continue statement kwenye Dat loop
DART somo la 23: Jinsi ya kusoma mafaili kwa kutumia Dart
DART somo la 12: Kuchukuwa user input kwenye Dart
DART somo la 9: for loop na for in loop kwenye dart, kazi zake na jinsi ya kuadika
DART somo la 34: Static variable kwenye Dart
Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa
Ndio Hapana Save post
Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF
Share On
Facebook
or
Whatsapp
Imesomwa mara 208
👉1 Madrasa kiganjani
👉2 kitabu cha Simulizi
👉3 Kitabu cha Afya
👉4 Kitau cha Fiqh
Post zifazofanana:-
Katika somo hili utakwenda kuziona method za dart zinazotumika kwenye namba. pia utajifunzakuhusu math library Soma Zaidi...
Katika soo hili utakwenda kujifunza kuhusu reserved keywords katika Dart Soma Zaidi...
Katika somo hili utajifunza kuhusu dart library. Pia tutakwend aktengeneza library yetu wennyewe kwa ajili ya kufanya mazoezi zaidi. Soma Zaidi...
Ka tika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya named constructor na constant constructor kwenye Object Oriented Programming. Soma Zaidi...
Katika somo hili tutawenda kujifunza kuhusu encapsulatio kwenye Dart OOP na jinsi inavyoweza kutumika. Soma Zaidi...
Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu method ambazo hutumika kwenye map data type Soma Zaidi...
Katika somo hili tutakwenda kuzungumzia kuhusu parameter kwenye Dart function. Pia tutakwenda kuona mambo mengine yanayohusu function Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu break na continue kwenye Dart loop za for loop na while loop. Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma na kuandika faili kwa kutumia Dart programming. Soma Zaidi...
Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Dart kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program. Soma Zaidi...
Katika somo hli utakwend akujifunza kuhusu loop kwenye Dart. Loop zimegawanyika katika makundi mnne ambayo ni for loop, while loop, for in loop na do while loop. Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static property na jinsi ambavyo inavyotumika. Soma Zaidi...