Katika soo hili utakwenda kujifunza kuhusu reserved keywords katika Dart
Keyword ni nini kwenye programming language?
Haya ni maneno ambayo yana maana maalumu kwenye lugha hiyo, hivyo hayawezi kutumika kama identifier kutumika kama jina la variable, class, object ama function.
Hapa nyimi nitakuletea orodha ya hizi keywords
Keywords Table |
|||||
abstract |
else |
import |
super |
as |
enum |
in |
switch |
assert |
export |
interface |
sync |
async |
extends |
is |
this |
await |
extension |
library |
throw |
break |
external |
mixin |
true |
case |
factory |
new |
try |
class |
final |
catch |
...
Download App YetuJifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya hapa chini kuipakua sasa! Umeionaje Makala hii.. ? Nzuri Mbaya Save
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 Madrasa kiganjani 👉4 Kitau cha Fiqh 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) Post zinazofanana:![]() DART somo la 22: Jinsi ya kutumia html library kwenye DartKatika somo hili tutakwenda kujifunz ajinsi ya kutumia library ya html kwenye Dart. somo hili litakupeleka kujifunza jinsi ya ku display dart output kwenye faili la html. Soma Zaidi...![]() DART somo la 7: matumizi ya if, else, if else, else if kwenye DartKatika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu namna ambavyo program inaweza kufanya maamuzi kulingana na mashart fulani.ama namna ambavyo program inaweza ku run code zaii ya mara moja kulingana na mashart. Hapa tutazingumzia flow of control statement Soma Zaidi...![]() DART somo la 29: Dart encapsulationKatika somo hili tutawenda kujifunza kuhusu encapsulatio kwenye Dart OOP na jinsi inavyoweza kutumika. Soma Zaidi...![]() DART somo la 18: Dart method zinazotumika kwenye List data typeKatika somo hili utakwenda kujifunza method yhinginge zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Dart. Soma Zaidi...![]() DART somo la 43: Stream kwenye DartKatika somo hili utakwenda ujifunz akuhusu concept ya stream kwenye Dart. pia ttaona kwa namna gani strean inaweza kutofautiana na future wakati zote mbili zipo kwenye asychronous programming. Soma Zaidi...![]() DART somo la 40: factory constructorKatika somo hiliutakwenda kujifunza aina nyingine ya constructor ambayo hutumika kwenye Dart. aina hiyo ni factory constructory. Soma Zaidi...![]() DART somo la 10: while loop na do while loop kwenye DartKatika somo hili utakwend akujifunza kuhusu while loop na do while loop zinavyofanya kazi katika Dart. Soma Zaidi...![]() DART somo la 44: Jinsi ya ku install mysql kwenye program ya dartKatika somo hili utajifunza jinsi ya kuunganisha databse na Dart. Pia utajifunza jinsi ya kuset environment kwenye kompyuta ili kuweza kutumia Dart sdk kwenye CMD. Soma Zaidi...![]() DART somo la 37: Class interfaceKatika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class interface na inavyotofautiana na class abstract Soma Zaidi...![]() DART SOMO LA 14: Aina za function kwenye DartKatika somo hili tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo la function. Hapa tutakwenda kuona aina za function. Soma Zaidi... |