Katika somo hili tutakwenda kuzungumzia kuhusu parameter kwenye Dart function. Pia tutakwenda kuona mambo mengine yanayohusu function
Prameter zinatakiwa zifuate utaratibu:
Unapoweka parameter unaziweka kwenye mpangilio, hivyo hata wakati wa kuweka argument unatakiwa ufuate utaratibu huo huo. Mfano kama function ina parameter 2 ya umri na jinsia, basi wakati wa kuweka argument ifuate utaratibu ho huo. Pia unatakiwa kuzingatia na aina zake za data. Kama parameter inahitaji namba wewe unaweka string hapa utasababisha error.
import 'dart:io';
haloo(umri, jinsia){
print('umri wako ni miaka ${umri} na jinsia yako ni $jinsia');
}
void main(){
print('Andika umri wako');
int umri = int.parse(stdin.readLineSync()!);
print('Andika jinsia yako');
String jinsia = stdin.readLineSync()!;
haloo(umri, jinsia);
}
Sasa hapo kama utachanganya mpangilio wa aprameter aina za data utaishia kupata error
Unaweza kuwa na default parameter
Default parameter ni parameter ambayo inakuwa umeshawekwa, hivyo mtumiaji wa program hana haja ya kujaza kitu. Kwa mfano katika program yetu ya hapo juu tunakwenda kuongeza parameter nyingine ambayo itaonyesha makazi. Tutaweka Tanzania kama default parameter
Ili uweze kuandika default parameter utaiweka ndani ya mabano {} utai declare kwa alama ya ( = ). Mfano {makazi = ‘Tanzania’}
import 'dart:io';
haloo(umri, jinsia, {makazi ='Tanzania'}){
print(' umri wako ni miaka ${umri} na jinsia yako ni $jinsia unaishi ${makazi}');
}
void main(){
print('Andika umri wako');
int umri = int.parse(stdin.readLineSync()!);
print('Andika jinsia yako');
String jinsia = stdin.readLineSync()!;
haloo(umri, jinsia);
}
Pia unaweza kuweka parameter ambayo sio lazima ijazwe hivyo inakuwa ni optional. Parameter hii inaweza kuwa ni default parameter. Na endapo hutakuwa na default arameter yenyewe itabeba value null kumaanisha haina kitu. Kwa mfano hapo tunataka kuongeza parameter ya kuweka jina la mkoa. Hiyo ttaifanya sio lazima ijazwe yaani option.
Ili kuweka optional parameter tutaiweka ndani ya mabano [] kisha utaweka aina yake ya data ikifuatiwa na alama ya ? mfano [String? mkoa]
import 'dart:io';
haloo(int umri, String jinsia, [String? mkoa]){
print(' umri wako ni miaka ${umri} na jinsia yako ni $jinsia unaishi $mkoa');
}
void main(){
print('Andika umri wako');
int umri = int.parse(stdin.readLineSync()!);
print('Andika jinsia yako');
String jinsia = stdin.readLineSync()!;
print('Andika Mkoa unaoishi');
St">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download
Download NowJe! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: DART Main: Masomo File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Views 342
Sponsored links
👉1
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉2
kitabu cha Simulizi
👉3
Kitabu cha Afya
👉4
Madrasa kiganjani
👉5
Kitau cha Fiqh
👉6
Simulizi za Hadithi Audio
DART somo la 10: while loop na do while loop kwenye Dart
Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu while loop na do while loop zinavyofanya kazi katika Dart. Soma Zaidi...
DART somo la 5: Reserved keywords kwenye lugah ya Dart
Katika soo hili utakwenda kujifunza kuhusu reserved keywords katika Dart Soma Zaidi...
DART somo la 21: Jinsi ya kutengeneza library kwenye Dart
Katika somo hili utajifunza kuhusu dart library. Pia tutakwend aktengeneza library yetu wennyewe kwa ajili ya kufanya mazoezi zaidi. Soma Zaidi...
DART somo la 9: for loop na for in loop kwenye dart, kazi zake na jinsi ya kuadika
Katika somo hli utakwend akujifunza kuhusu loop kwenye Dart. Loop zimegawanyika katika makundi mnne ambayo ni for loop, while loop, for in loop na do while loop. Soma Zaidi...
DART somo la 41: concept ya generic kwenye dart
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya generics ili kuweza kufanya kazi na aina mbalimbali za data kwenye class. Soma Zaidi...
DART somola 42: Asynchronous programming
Katika somo hili tutakwenda kujifunza concept nyingine ya asynchronous programming. Soma Zaidi...
DART somo la 30 :Jinsi ya kutengeneza setter na geter kwenye OOP
Katika somo hili tutakwenda kujifunza zaidi kuhusu method za getter na setter. Tutakwenda kuona hasa zinavyotumika na zinavyotengenezwa. Soma Zaidi...
DART somo la 37: Class interface
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class interface na inavyotofautiana na class abstract Soma Zaidi...
DART somo la 3: Aina za Data
Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data zinazotumika kwenye Dart. Soma Zaidi...
DART somo la 8: Matumizi ya switch case
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu switch case na jinsi inavyofanya kazi kwenye Dart. Soma Zaidi...