picha

DART somo la 15: parameter kwenye function za Dart

Katika somo hili tutakwenda kuzungumzia kuhusu parameter kwenye Dart function. Pia tutakwenda kuona mambo mengine yanayohusu function

Prameter zinatakiwa zifuate utaratibu:

Unapoweka parameter unaziweka kwenye mpangilio, hivyo hata wakati wa kuweka argument unatakiwa ufuate utaratibu huo huo. Mfano kama function ina parameter 2 ya umri na jinsia, basi wakati wa kuweka argument ifuate utaratibu ho huo. Pia unatakiwa kuzingatia na aina zake za data. Kama parameter inahitaji namba wewe unaweka string hapa utasababisha error.

 

import 'dart:io';

haloo(umri, jinsia){

 print('umri wako ni miaka ${umri} na jinsia yako ni $jinsia');

}

 

void main(){

 print('Andika umri wako');

 int umri = int.parse(stdin.readLineSync()!);

 print('Andika jinsia yako');

 String jinsia = stdin.readLineSync()!;

 haloo(umri, jinsia);

}

Sasa hapo kama utachanganya mpangilio wa aprameter aina za data utaishia kupata error


 

Unaweza kuwa na default parameter

Default parameter ni parameter ambayo inakuwa umeshawekwa, hivyo mtumiaji wa program hana haja ya kujaza kitu. Kwa mfano katika program yetu ya hapo juu tunakwenda kuongeza parameter nyingine ambayo itaonyesha makazi. Tutaweka Tanzania kama default parameter

 

Ili uweze kuandika default parameter utaiweka ndani ya mabano {} utai declare kwa alama ya ( = ). Mfano {makazi = ‘Tanzania’}

 

import 'dart:io';

haloo(umri, jinsia, {makazi ='Tanzania'}){

 print(' umri wako ni miaka ${umri} na jinsia yako ni $jinsia unaishi ${makazi}');

}

 

void main(){

 print('Andika umri wako');

 int umri = int.parse(stdin.readLineSync()!);

 print('Andika jinsia yako');

 String jinsia = stdin.readLineSync()!;

 haloo(umri, jinsia);

}

 

Pia unaweza kuweka parameter ambayo sio lazima ijazwe hivyo inakuwa ni optional. Parameter hii inaweza kuwa ni default parameter. Na endapo hutakuwa na default arameter yenyewe itabeba value null kumaanisha haina kitu. Kwa mfano hapo tunataka kuongeza parameter ya kuweka jina la mkoa. Hiyo ttaifanya sio lazima ijazwe yaani option.

 

Ili kuweka optional parameter tutaiweka ndani ya mabano [] kisha utaweka aina yake ya data ikifuatiwa na alama ya ? mfano [String? mkoa]

import 'dart:io';

haloo(int umri, String jinsia, [String? mkoa]){

 print(' umri wako ni miaka ${umri} na jinsia yako ni $jinsia unaishi $mkoa');

}

 

void main(){

 print('Andika umri wako');

 int umri = int.parse(stdin.readLineSync()!);

 print('Andika jinsia yako');

 String jinsia = stdin.readLineSync()!;

 print('Andika Mkoa unaoishi');

 String mkoa = stdin.readLineSync()!;

...
Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: DART Main: Masomo File: Download PDF Views 1016

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉2 web hosting     👉3 ai web app     👉4 Madrasa kiganjani     👉5 Bongolite - Game zone - Play free game     👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    

Post zinazofanana:

DART somo la 19: method zinazotumika kwenye set data type kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set.

Soma Zaidi...
DART somo la 39: mixin kwenye dart

Katika somo hii utakwenda kujifunza kuhusu concept mixin na jinsi inavyoweza kutumika kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somola 42: Asynchronous programming

Katika somo hili tutakwenda kujifunza concept nyingine ya asynchronous programming.

Soma Zaidi...
DART somo la 23: Jinsi ya kusoma mafaili kwa kutumia Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma na kuandika faili kwa kutumia Dart programming.

Soma Zaidi...
DART somo la 45: Jinai ys kutuma mysql database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya mysql kwenye Dart. hakikisha umeelewa vyema na kutekeleza yalioelekezwa kutoka kwenye somo lililopita.

Soma Zaidi...
DART somo la 13: function kwenye dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye dart, jisni ya kziandika na matumizi yake.

Soma Zaidi...