picha

DART SOMO LA 14: Aina za function kwenye Dart

Katika somo hili tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo la function. Hapa tutakwenda kuona aina za function.

Kawakuwa tumesha jifunza mengi kuhusu function na parameter sasa hapa nakwend akukuletea aina za function ambazo zipo:

 

Aina za function

  1. Function ambazo hazina parameter wala return

Mfano:

void salamu(){

 print('habari ya muda huu ');

}

 

void main(){

 salamu();

}

 

  1. Function zenye parameter ila hazina return

Mfano:

void jumlisha(x, y){

 print(x +y);

}

void main(){

 jumlisha(4, 9);

}

 

  1. Function zenye return ila hazima parameter

jumlisha(){

 int x = 4; int y = 6;

 return x + y;

}

void main(){

 print(jumlisha());

}

 

  1. Function ambazo zina parameter na return

eneo(int ur, int up) {

 return ur * up;

}

 void main(){

   print(eneo(6, 8));

}

 

 

Function ambayo haina jina

Tulishaona kuwa function inatakiwa iwe na jina. Sasa kuna function ambayo yenyewe jina ila inaweza kubeba parameter. Function hii inatambulika kama anonymous function  au lambda function au closure function au nameless function. Yenyewe inaweza kuwa katika mtindo huu:-

(parameter){

Code

}

 

Mfano:

void main() {

var jumlisha = (int x, int y){

 return x +y;

};

 

print(jumlisha(4, 6));

}

 

Ukiangalia hapo utaona kuwa function yetu haina jina, lakini tumeweza kuitumia.


 

Lambda function 

Huu ni mfuo wa kuandika functio  kwa ufupi kw akutumia arrow yaani mshale ( => ) function hii huitwa arrow function wacha tuone mfano hapo chini. Tunakwenda kutengeneza program kwa ajili ya kubadili mita kuwa kilopita. 

 

Kanuni za kihesabu zinasema kilomita moja ni sawa na mita 1000. Hiyo ili tubadili mita kuwa kilomita itatubidi tugawanye kwa 1000.

 

import 'dart:io';

badili(mita){

 return mita /1000;

}

void main(){

 print('andika Mita');

 double mita = double.parse(stdin.readLineSync()!);

 print(badili(mita));

}

 

Sasa tunakwenda kuibadili function yetu kuwa katika mtindo wa lambda function.

Kanuni

returnType functionName(parameters...) => expression;

Ukiangalia hapo yale mabano {} tumeyatoa.

import 'dart:io';

badili(mita)=>

 mita /1000;

 

void main(){

 print('andika Mita');

 double mita = double.parse(stdin.readLineSync()!);

 print(badili(mita));

}

 

Nadharia ya scope kwenye Dart:

Tuna...

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: DART Main: Masomo File: Download PDF Views 1011

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 web hosting     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Dua za Mitume na Manabii     👉4 Madrasa kiganjani     👉5 Bongolite - Game zone - Play free game     👉6 kitabu cha Simulizi    

Post zinazofanana:

DART somo la 17: method za namba zinazotumika kwenye dart

Katika somo hili utakwenda kuziona method za dart zinazotumika kwenye namba. pia utajifunzakuhusu math library

Soma Zaidi...
DART somo la 45: Jinai ys kutuma mysql database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya mysql kwenye Dart. hakikisha umeelewa vyema na kutekeleza yalioelekezwa kutoka kwenye somo lililopita.

Soma Zaidi...
DART somo la 15: parameter kwenye function za Dart

Katika somo hili tutakwenda kuzungumzia kuhusu parameter kwenye Dart function. Pia tutakwenda kuona mambo mengine yanayohusu function

Soma Zaidi...
DART somo la 5: Reserved keywords kwenye lugah ya Dart

Katika soo hili utakwenda kujifunza kuhusu reserved keywords katika Dart

Soma Zaidi...
DART somo la 7: matumizi ya if, else, if else, else if kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu namna ambavyo program inaweza kufanya maamuzi kulingana na mashart fulani.ama namna ambavyo program inaweza ku run code zaii ya mara moja kulingana na mashart. Hapa tutazingumzia flow of control statement

Soma Zaidi...
DART somo la 3: Aina za Data

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data zinazotumika kwenye Dart.

Soma Zaidi...