Katika somo hili tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo la function. Hapa tutakwenda kuona aina za function.
Kawakuwa tumesha jifunza mengi kuhusu function na parameter sasa hapa nakwend akukuletea aina za function ambazo zipo:
Aina za function
Mfano:
void salamu(){
print('habari ya muda huu ');
}
void main(){
salamu();
}
Mfano:
void jumlisha(x, y){
print(x +y);
}
void main(){
jumlisha(4, 9);
}
jumlisha(){
int x = 4; int y = 6;
return x + y;
}
void main(){
print(jumlisha());
}
eneo(int ur, int up) {
return ur * up;
}
void main(){
print(eneo(6, 8));
}
Function ambayo haina jina
Tulishaona kuwa function inatakiwa iwe na jina. Sasa kuna function ambayo yenyewe jina ila inaweza kubeba parameter. Function hii inatambulika kama anonymous function au lambda function au closure function au nameless function. Yenyewe inaweza kuwa katika mtindo huu:-
(parameter){
Code
}
Mfano:
void main() {
var jumlisha = (int x, int y){
return x +y;
};
print(jumlisha(4, 6));
}
Ukiangalia hapo utaona kuwa function yetu haina jina, lakini tumeweza kuitumia.
Lambda function
Huu ni mfuo wa kuandika functio kwa ufupi kw akutumia arrow yaani mshale ( => ) function hii huitwa arrow function wacha tuone mfano hapo chini. Tunakwenda kutengeneza program kwa ajili ya kubadili mita kuwa kilopita.
Kanuni za kihesabu zinasema kilomita moja ni sawa na mita 1000. Hiyo ili tubadili mita kuwa kilomita itatubidi tugawanye kwa 1000.
import 'dart:io';
badili(mita){
return mita /1000;
}
void main(){
print('andika Mita');
double mita = double.parse(stdin.readLineSync()!);
print(badili(mita));
}
Sasa tunakwenda kuibadili function yetu kuwa katika mtindo wa lambda function.
Kanuni
returnType functionName(parameters...) => expression;
Ukiangalia hapo yale mabano {} tumeyatoa.
impor">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data zinazotumika kwenye Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kuziona method za dart zinazotumika kwenye namba. pia utajifunzakuhusu math library
Soma Zaidi...Ka tika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya named constructor na constant constructor kwenye Object Oriented Programming.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator kwenye Dart, kazi zake na jinsi ya kuzitumia.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya generics ili kuweza kufanya kazi na aina mbalimbali za data kwenye class.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza zaidi kuhusu method za getter na setter. Tutakwenda kuona hasa zinavyotumika na zinavyotengenezwa.
Soma Zaidi...Katika somo hli utakwend akujifunza kuhusu loop kwenye Dart. Loop zimegawanyika katika makundi mnne ambayo ni for loop, while loop, for in loop na do while loop.
Soma Zaidi...Katika masomo yaliopita tumesha jifunza jinsi inheritance inavyokuwa, ila hatujaona kwa namna gani utaweza ku inherit constructor method. Somo hili litashughulika na swla hilo.
Soma Zaidi...Katika somo hiliutakwenda kujifunza aina nyingine ya constructor ambayo hutumika kwenye Dart. aina hiyo ni factory constructory.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static property na jinsi ambavyo inavyotumika.
Soma Zaidi...