DART SOMO LA 14: Aina za function kwenye Dart

Katika somo hili tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo la function. Hapa tutakwenda kuona aina za function.

Kawakuwa tumesha jifunza mengi kuhusu function na parameter sasa hapa nakwend akukuletea aina za function ambazo zipo:

 

Aina za function

  1. Function ambazo hazina parameter wala return

Mfano:

void salamu(){

 print('habari ya muda huu ');

}

 

void main(){

 salamu();

}

 

  1. Function zenye parameter ila hazina return

Mfano:

void jumlisha(x, y){

 print(x +y);

}

void main(){

 jumlisha(4, 9);

}

 

  1. Function zenye return ila hazima parameter

jumlisha(){

 int x = 4; int y = 6;

 return x + y;

}

void main(){

 print(jumlisha());

}

 

  1. Function ambazo zina parameter na return

eneo(int ur, int up) {

 return ur * up;

}

 void main(){

   print(eneo(6, 8));

}

 

 

Function ambayo haina jina

Tulishaona kuwa function inatakiwa iwe na jina. Sasa kuna function ambayo yenyewe jina ila inaweza kubeba parameter. Function hii inatambulika kama anonymous function  au lambda function au closure function au nameless function. Yenyewe inaweza kuwa katika mtindo huu:-

(parameter){

Code

}

 

Mfano:

void main() {

var jumlisha = (int x, int y){

 return x +y;

};

 

print(jumlisha(4, 6));

}

 

Ukiangalia hapo utaona kuwa function yetu haina jina, lakini tumeweza kuitumia.


 

Lambda function 

Huu ni mfuo wa kuandika functio  kwa ufupi kw akutumia arrow yaani mshale ( => ) function hii huitwa arrow function wacha tuone mfano hapo chini. Tunakwenda kutengeneza program kwa ajili ya kubadili mita kuwa kilopita. 

 

Kanuni za kihesabu zinasema kilomita moja ni sawa na mita 1000. Hiyo ili tubadili mita kuwa kilomita itatubidi tugawanye kwa 1000.

 

import 'dart:io';

badili(mita){

 return mita /1000;

}

void main(){

 print('andika Mita');

 double mita = double.parse(stdin.readLineSync()!);

 print(badili(mita));

}

 

Sasa tunakwenda kuibadili function yetu kuwa katika mtindo wa lambda function.

Kanuni

returnType functionName(parameters...) => expression;

Ukiangalia hapo yale mabano {} tumeyatoa.

impor">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: DART Main: ICT File: Download PDF Views 714

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 web hosting    👉3 Dua za Mitume na Manabii    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina   

Post zinazofanana:

DART somo la 43: Stream kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda ujifunz akuhusu concept ya stream kwenye Dart. pia ttaona kwa namna gani strean inaweza kutofautiana na future wakati zote mbili zipo kwenye asychronous programming.

Soma Zaidi...
DART somo la 7: matumizi ya if, else, if else, else if kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu namna ambavyo program inaweza kufanya maamuzi kulingana na mashart fulani.ama namna ambavyo program inaweza ku run code zaii ya mara moja kulingana na mashart. Hapa tutazingumzia flow of control statement

Soma Zaidi...
DART somo la 29: Dart encapsulation

Katika somo hili tutawenda kujifunza kuhusu encapsulatio kwenye Dart OOP na jinsi inavyoweza kutumika.

Soma Zaidi...
Dart somo la 26: DART OOP maana ya object, na jinsi ya kuitengeneza kwenye OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza Object pamoja na properties. Haa kwa ufupi tutakwenda kujifunza jinsi ya kutumia class.

Soma Zaidi...
DART somo la 22: Jinsi ya kutumia html library kwenye Dart

Katika somo hili tutakwenda kujifunz ajinsi ya kutumia library ya html kwenye Dart. somo hili litakupeleka kujifunza jinsi ya ku display dart output kwenye faili la html.

Soma Zaidi...
DART somo la 19: method zinazotumika kwenye set data type kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set.

Soma Zaidi...
DART somo la 6: Dart operator na jinsi zinavyofanya kazi.

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator kwenye Dart, kazi zake na jinsi ya kuzitumia.

Soma Zaidi...
DART somo la 24: Jinsi ya kutengeneza faili, folda na kuingiza data

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika data kwenye faili. Kwanza utajifunza kutengeneza folda, kisha faili na kuweka data, kisha utajifunza kufuta fali.

Soma Zaidi...
DART somo la 18: Dart method zinazotumika kwenye List data type

Katika somo hili utakwenda kujifunza method yhinginge zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 37: Class interface

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class interface na inavyotofautiana na class abstract

Soma Zaidi...