Katika somo hili tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo la function. Hapa tutakwenda kuona aina za function.
Kawakuwa tumesha jifunza mengi kuhusu function na parameter sasa hapa nakwend akukuletea aina za function ambazo zipo:
Aina za function
Mfano:
void salamu(){
print('habari ya muda huu ');
}
void main(){
salamu();
}
Mfano:
void jumlisha(x, y){
print(x +y);
}
void main(){
jumlisha(4, 9);
}
jumlisha(){
int x = 4; int y = 6;
return x + y;
}
void main(){
print(jumlisha());
}
eneo(int ur, int up) {
return ur * up;
}
void main(){
print(eneo(6, 8));
}
Function ambayo haina jina
Tulishaona kuwa function inatakiwa iwe na jina. Sasa kuna function ambayo yenyewe jina ila inaweza kubeba parameter. Function hii inatambulika kama anonymous function au lambda function au closure function au nameless function. Yenyewe inaweza kuwa katika mtindo huu:-
(parameter){
Code
}
Mfano:
void main() {
var jumlisha = (int x, int y){
return x +y;
};
print(jumlisha(4, 6));
}
Ukiangalia hapo utaona kuwa function yetu haina jina, lakini tumeweza kuitumia.
Lambda function
Huu ni mfuo wa kuandika functio kwa ufupi kw akutumia arrow yaani mshale ( => ) function hii huitwa arrow function wacha tuone mfano hapo chini. Tunakwenda kutengeneza program kwa ajili ya kubadili mita kuwa kilopita.
Kanuni za kihesabu zinasema kilomita moja ni sawa na mita 1000. Hiyo ili tubadili mita kuwa kilomita itatubidi tugawanye kwa 1000.
import 'dart:io';
badili(mita){
return mita /1000;
}
void main(){
print('andika Mita');
double mita = double.parse(stdin.readLineSync()!);
print(badili(mita));
}
Sasa tunakwenda kuibadili function yetu kuwa katika mtindo wa lambda function.
Kanuni
returnType functionName(parameters...) => expression;
Ukiangalia hapo yale mabano {} tumeyatoa.
impor">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujfunza kuhusu String method zinazotumika kwenye Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza zaidi kuhusu method za getter na setter. Tutakwenda kuona hasa zinavyotumika na zinavyotengenezwa.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu namna ambavyo program inaweza kufanya maamuzi kulingana na mashart fulani.ama namna ambavyo program inaweza ku run code zaii ya mara moja kulingana na mashart. Hapa tutazingumzia flow of control statement
Soma Zaidi...Katika somo hili tutawenda kujifunza kuhusu encapsulatio kwenye Dart OOP na jinsi inavyoweza kutumika.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda ujifunz akuhusu concept ya stream kwenye Dart. pia ttaona kwa namna gani strean inaweza kutofautiana na future wakati zote mbili zipo kwenye asychronous programming.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu abstract class na abstract method kwenye Dart.
Soma Zaidi...Ka tika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya named constructor na constant constructor kwenye Object Oriented Programming.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jins ya kutengeneza constructor method, pia utajifunza matumizi yake kwenye OOP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data zinazotumika kwenye Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza method yhinginge zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Dart.
Soma Zaidi...