DART SOMO LA 14: Aina za function kwenye Dart

DART SOMO LA 14: Aina za function kwenye Dart

Katika somo hili tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo la function. Hapa tutakwenda kuona aina za function.

Download Post hii hapa

Kawakuwa tumesha jifunza mengi kuhusu function na parameter sasa hapa nakwend akukuletea aina za function ambazo zipo:

 

Aina za function

  1. Function ambazo hazina parameter wala return

Mfano:

void salamu(){

 print('habari ya muda huu ');

}

 

void main(){

 salamu();

}

 

  1. Function zenye parameter ila hazina return

Mfano:

void jumlisha(x, y){

 print(x +y);

}

void main(){

 jumlisha(4, 9);

}

 

  1. Function zenye return ila hazima parameter

jumlisha(){

 int x = 4; int y = 6;

 return x + y;

}

void main(){

 print(jumlisha());

}

 

  1. Function ambazo zina parameter na return

eneo(int ur, int up) {

 return ur * up;

}

 void main(){

   print(eneo(6, 8));

}

 

 

Function ambayo haina jina

Tulishaona kuwa function inatakiwa iwe na jina. Sasa kuna function ambayo yenyewe jina ila inaweza kubeba parameter. Function hii inatambulika kama anonymous function  au lambda function au closure function au nameless function. Yenyewe inaweza kuwa katika mtindo huu:-

(parameter){

Code

}

 

Mfano:

void main() {

var jumlisha = (int x, int y){

 return x +y;

};

 

print(jumlisha(4, 6));

}

 

Ukiangalia hapo utaona kuwa function yetu haina jina, lakini tumeweza kuitumia.


 

Lambda function 

Huu ni mfuo wa kuandika functio  kwa ufupi kw akutumia arrow yaani mshale ( => ) function hii huitwa arrow function wacha tuone mfano hapo chini. Tunakwenda kutengeneza program kwa ajili ya kubadili mita kuwa kilopita. 

 

Kanuni za kihesabu zinasema kilomita moja ni sawa na mita 1000. Hiyo ili tubadili mita kuwa kilomita itatubidi tugawanye kwa 1000.

 

import 'dart:io';

badili(mita){

 return mita /1000;

}

void main(){

 print('andika Mita');

 double mita = double.parse(stdin.readLineSync()!);

 print(badili(mita));

}

 

Sasa tunakwenda kuibadili function yetu kuwa katika mtindo wa lambda function.

Kanuni

returnType functionName(parameters...) => expression;

Ukiangalia hapo yale mabano {} tumeyatoa.

impor">...

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: DART Main: ICT File: Download PDF Views 468

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

DART somo la 35: Enum kwenye Dart:
DART somo la 35: Enum kwenye Dart:

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu enum na inavyotumika kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 41: concept ya generic kwenye dart
DART somo la 41: concept ya generic kwenye dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya generics ili kuweza kufanya kazi na aina mbalimbali za data kwenye class.

Soma Zaidi...
DART somo la 8: Matumizi ya switch case
DART somo la 8: Matumizi ya switch case

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu switch case na jinsi inavyofanya kazi kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 3: Aina za Data
DART somo la 3: Aina za Data

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data zinazotumika kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 28: Named constructor na constant constructor kwenye OOP
DART somo la 28: Named constructor na constant constructor kwenye OOP

Ka tika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya named constructor na constant constructor kwenye Object Oriented Programming.

Soma Zaidi...
DART somo la 10: while loop na do while loop kwenye Dart
DART somo la 10: while loop na do while loop kwenye Dart

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu while loop na do while loop zinavyofanya kazi katika Dart.

Soma Zaidi...
DART SOMO LA 16: String method zinazotumika kwneye Dart
DART SOMO LA 16: String method zinazotumika kwneye Dart

Katika somo hili utakwenda kujfunza kuhusu String method zinazotumika kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 23: Jinsi ya kusoma mafaili kwa kutumia Dart
DART somo la 23: Jinsi ya kusoma mafaili kwa kutumia Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma na kuandika faili kwa kutumia Dart programming.

Soma Zaidi...
DART somo la 40: factory constructor
DART somo la 40: factory constructor

Katika somo hiliutakwenda kujifunza aina nyingine ya constructor ambayo hutumika kwenye Dart. aina hiyo ni factory constructory.

Soma Zaidi...
DART somo la 12: Kuchukuwa user input kwenye Dart
DART somo la 12: Kuchukuwa user input kwenye Dart

Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Dart kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program.

Soma Zaidi...