DART somo la 35: Enum kwenye Dart:
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu enum na inavyotumika kwenye Dart.
Kwenye Dart, enum ni kama ilivyo katika lugha nyingine nyingi. Ni njia ya kutengeneza seti ya thamani zinazojulikana, na kila mojawapo inawakilisha thamani maalum. Enum hutengenezwa kwa kutumia keyword enum.
Hapa kuna mfano wa jinsi enum inavyofanya kazi katika Dart:
enum gari {
toyota,
BMW,
basi,
bugati
}
void main() {
gari mycar = gari.toyota;
switch (mycar) {
case gari.toyota:
print("Gari ni Toyota");
break;
case gari.bugati:
print("Gari ni bugati");
break;
case gari.BMW:
print("Gari ni BMW");
break;
case gari.basi:
print("Gari ni basi");
}
}
Sifa za enum
- Zote zina value ambazo ni constant value walau moja
- Enum huwekwa nje ya class na sio ndani ya class
- Inaweza kuhifadhi constant value nyingi
Angalia mfano mwingine hapa chini
enum Gender { Male, Female, Other }
class Person {
// Prope...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Dua za Mitume na Manabii 👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉3 Kitau cha Fiqh 👉4 kitabu cha Simulizi 👉5 ai web app 👉6 Bongolite - Game zone - Play free game
Post zinazofanana:
DART somo la 32: Inheritance kwenye construct method:
Katika masomo yaliopita tumesha jifunza jinsi inheritance inavyokuwa, ila hatujaona kwa namna gani utaweza ku inherit constructor method. Somo hili litashughulika na swla hilo.
Soma Zaidi...DART somo la 20: method zinazotumika kwenye map data type kwenye Dart
Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu method ambazo hutumika kwenye map data type
Soma Zaidi...DART somo la 45: Jinai ys kutuma mysql database
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya mysql kwenye Dart. hakikisha umeelewa vyema na kutekeleza yalioelekezwa kutoka kwenye somo lililopita.
Soma Zaidi...DART somo la 5: Reserved keywords kwenye lugah ya Dart
Katika soo hili utakwenda kujifunza kuhusu reserved keywords katika Dart
Soma Zaidi...DART somo la 44: Jinsi ya ku install mysql kwenye program ya dart
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuunganisha databse na Dart. Pia utajifunza jinsi ya kuset environment kwenye kompyuta ili kuweza kutumia Dart sdk kwenye CMD.
Soma Zaidi...DART somo la 7: matumizi ya if, else, if else, else if kwenye Dart
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu namna ambavyo program inaweza kufanya maamuzi kulingana na mashart fulani.ama namna ambavyo program inaweza ku run code zaii ya mara moja kulingana na mashart. Hapa tutazingumzia flow of control statement
Soma Zaidi...