picha

DART somo la 35: Enum kwenye Dart:

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu enum na inavyotumika kwenye Dart.

Kwenye Dart, enum ni kama ilivyo katika lugha nyingine nyingi. Ni njia ya kutengeneza seti ya thamani zinazojulikana, na kila mojawapo inawakilisha thamani maalum. Enum hutengenezwa kwa kutumia keyword enum.

 

Hapa kuna mfano wa jinsi enum inavyofanya kazi katika Dart:

enum gari {

 toyota,

 BMW,

 basi,

 bugati

}

 

void main() {

 gari mycar = gari.toyota;

 

 switch (mycar) {

   case gari.toyota:

     print("Gari ni Toyota");

     break;

   case gari.bugati:

     print("Gari ni bugati");

     break;

   case gari.BMW:

     print("Gari ni BMW");

     break;

   case gari.basi:

     print("Gari ni basi");

 }

}

 

 

Sifa za enum

  1. Zote zina value ambazo ni constant value walau moja
  2. Enum huwekwa nje ya class na sio ndani ya class
  3. Inaweza kuhifadhi constant value nyingi

 

Angalia mfano mwingine hapa chini

enum Gender { Male, Female, Other }

 

class Person {

 // Properties

 String? firstName;

 String? lastName;

 Gender? gender;

 

 // Constructor

 Person(this.firstName, this.lastName, this.gender);

 

 // display() method

 void display() {

 &nbs">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2023-12-15 Topic: DART Main: ICT File: Download PDF Views 802

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉4 web hosting    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

DART somo la 19: method zinazotumika kwenye set data type kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set.

Soma Zaidi...
DART somo la 39: mixin kwenye dart

Katika somo hii utakwenda kujifunza kuhusu concept mixin na jinsi inavyoweza kutumika kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 23: Jinsi ya kusoma mafaili kwa kutumia Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma na kuandika faili kwa kutumia Dart programming.

Soma Zaidi...
DART somo la 30 :Jinsi ya kutengeneza setter na geter kwenye OOP

Katika somo hili tutakwenda kujifunza zaidi kuhusu method za getter na setter. Tutakwenda kuona hasa zinavyotumika na zinavyotengenezwa.

Soma Zaidi...
DART somo la 15: parameter kwenye function za Dart

Katika somo hili tutakwenda kuzungumzia kuhusu parameter kwenye Dart function. Pia tutakwenda kuona mambo mengine yanayohusu function

Soma Zaidi...
DART somo la 8: Matumizi ya switch case

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu switch case na jinsi inavyofanya kazi kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 10: while loop na do while loop kwenye Dart

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu while loop na do while loop zinavyofanya kazi katika Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 4: Jinsi ya kuandika na kutumia variable kwenye Dart

Katika somo lililopita tumejifunza kuhusu sintaksia za dart. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza variable kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 29: Dart encapsulation

Katika somo hili tutawenda kujifunza kuhusu encapsulatio kwenye Dart OOP na jinsi inavyoweza kutumika.

Soma Zaidi...
DART somo la 45: Jinai ys kutuma mysql database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya mysql kwenye Dart. hakikisha umeelewa vyema na kutekeleza yalioelekezwa kutoka kwenye somo lililopita.

Soma Zaidi...