Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu enum na inavyotumika kwenye Dart.
Kwenye Dart, enum ni kama ilivyo katika lugha nyingine nyingi. Ni njia ya kutengeneza seti ya thamani zinazojulikana, na kila mojawapo inawakilisha thamani maalum. Enum hutengenezwa kwa kutumia keyword enum.
Hapa kuna mfano wa jinsi enum inavyofanya kazi katika Dart:
enum gari {
toyota,
BMW,
basi,
bugati
}
void main() {
gari mycar = gari.toyota;
switch (mycar) {
case gari.toyota:
print("Gari ni Toyota");
break;
case gari.bugati:
print("Gari ni bugati");
break;
case gari.BMW:
print("Gari ni BMW");
break;
case gari.basi:
print("Gari ni basi");
}
}
Sifa za enum
Angalia mfano mwingine hapa chini
enum Gender { Male, Female, Other }
class Person {
// Properties
String? firstName;
String? lastName;
Gender? gender;
// Constructor
Person(this.firstName, this.lastName, this.gender);
// display() method
void display() {
print("First Name: $">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowKatika somo hili tutakwenda kujifunza zaidi kuhusu method za getter na setter. Tutakwenda kuona hasa zinavyotumika na zinavyotengenezwa.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu method ambazo hutumika kwenye map data type
Soma Zaidi...Ka tika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya named constructor na constant constructor kwenye Object Oriented Programming.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya class kwenye OOP paradigm, kisha utajifunza jinsi ya kutengeneza class.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu switch case na jinsi inavyofanya kazi kwenye Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza method yhinginge zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu break na continue kwenye Dart loop za for loop na while loop.
Soma Zaidi...Katika somo lililopita tumejifunza kuhusu sintaksia za dart. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza variable kwenye Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static property na jinsi ambavyo inavyotumika.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu inheritance, na inavyoweza kutumika kwenye Dart OOP.
Soma Zaidi...