DART somo la 29: Dart encapsulation
Katika somo hili tutawenda kujifunza kuhusu encapsulatio kwenye Dart OOP na jinsi inavyoweza kutumika.
Encapsulation kwenye Dart:
Katika dart encapsulation inamaanisha kuficha data kwenye library, ili kuzizuia zisituike kusoko hitajika. Katika dart kila faili la .dart ni library. Library ni mkusanyika wa function na class.
Encapsulatio inaweza kufanywa kwa kutumia njia mbili ambazo ni
- Kuifanya class ni private kwa kutumia underscode (_)
- Kwa kutumia methods za getter na setter
Getter hii hutumika katika kuzifikia (access) value za property ambayo ni private na setter hutumika ku update values za property ambayo ni private.
Ili kufanya property iwe private tutatumia underscoce, mfano _jina
class Gari {
// Private properties
int? _namba;
String? _jina;
}
Baada ya kutengeneza hizo private properties sasa ni wakati wa utengeneza method kwa ajili ya kuzifikia (access) hizo properties. Method hizo zinaitwa getter metods.
int pata_namba() {
return _namba!;
}
String pata_jina() {
return _jina!;
}
Baada ya kutengeneza getter method hatu wainayofuata ni kutengeneza method ambayo itatumi kwa ajili ya ku update taarifa za proerties. Methods hizo zinaitwa setter
void wka_namba(int id) {
this._namba = _namba;
}
void weka_jina(String jina) {
this._jina = jina;
}
Baada ya hapo hatuwa inayofuata ni kutengeneza object na kuweza ku update property kwa kuweka value.
class Gari {
// Private properties
int? _namba;
String? _jina;
// Getter method
int pata_namba() {
return _namba!;
}
String pata_jina() {
return _jina!;
}
// Setter method
void weka_namba(int namba) {
this._namba = namba;
}
void weka_jina(String jina) {
this._jina = jina;
}
}
void main() {
Gari toyota = new Gari();
toyota.weka_jina("Toyota Avalon");
toyota.weka_namba(72723);
print(" Tunauza gari aina ya ${toyota.pata_jina()}. Yenye namba ya usajili ${toyo...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉2 ai web app 👉3 web hosting 👉4 Kitabu cha Afya 👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉6 Madrasa kiganjani
Post zinazofanana:
DART somo la 8: Matumizi ya switch case
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu switch case na jinsi inavyofanya kazi kwenye Dart.
Soma Zaidi...DART somo la 30 :Jinsi ya kutengeneza setter na geter kwenye OOP
Katika somo hili tutakwenda kujifunza zaidi kuhusu method za getter na setter. Tutakwenda kuona hasa zinavyotumika na zinavyotengenezwa.
Soma Zaidi...DART somo la 44: Jinsi ya ku install mysql kwenye program ya dart
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuunganisha databse na Dart. Pia utajifunza jinsi ya kuset environment kwenye kompyuta ili kuweza kutumia Dart sdk kwenye CMD.
Soma Zaidi...Dart somo la 26: DART OOP maana ya object, na jinsi ya kuitengeneza kwenye OOP
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza Object pamoja na properties. Haa kwa ufupi tutakwenda kujifunza jinsi ya kutumia class.
Soma Zaidi...DART somo la 10: while loop na do while loop kwenye Dart
Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu while loop na do while loop zinavyofanya kazi katika Dart.
Soma Zaidi...DART somo la 35: Enum kwenye Dart:
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu enum na inavyotumika kwenye Dart.
Soma Zaidi...