picha

DART somo la 29: Dart encapsulation

Katika somo hili tutawenda kujifunza kuhusu encapsulatio kwenye Dart OOP na jinsi inavyoweza kutumika.

Encapsulation kwenye Dart:

Katika dart encapsulation inamaanisha kuficha data kwenye library, ili kuzizuia zisituike kusoko hitajika. Katika dart kila faili la .dart ni library. Library ni mkusanyika wa function na class.

 

Encapsulatio  inaweza kufanywa kwa kutumia njia mbili ambazo ni 

  1. Kuifanya class ni private kwa kutumia underscode (_)
  2. Kwa kutumia methods za getter na setter

Getter hii hutumika katika kuzifikia (access) value za property ambayo ni private na setter hutumika ku update values za property ambayo ni private.

 

Ili kufanya property iwe private tutatumia underscoce, mfano _jina

class Gari {

 // Private properties

 int? _namba;

 String? _jina;

}

 

Baada ya kutengeneza hizo private properties sasa ni wakati wa utengeneza method kwa ajili ya kuzifikia (access) hizo properties. Method hizo zinaitwa getter metods.

int pata_namba() {

 return _namba!;

}

String pata_jina() {

 return _jina!;

}

 

Baada ya kutengeneza getter method hatu wainayofuata ni kutengeneza method ambayo itatumi kwa ajili ya ku update taarifa za proerties. Methods hizo zinaitwa setter

void wka_namba(int id) {

 this._namba = _namba;

}

void weka_jina(String jina) {

 this._jina = jina;

}

 

Baada ya hapo hatuwa inayofuata ni kutengeneza object na kuweza ku update property kwa kuweka value. 

 

class Gari {

 // Private properties

 int? _namba;

 String? _jina;

// Getter method 

 int pata_namba() {

   return _namba!;

 }

 String pata_jina() {

   return _jina!;

 }

// Setter method

 void weka_namba(int namba) {

   this._namba = namba;

 }

 void weka_jina(String jina) {

   this._jina = jina;

 }

}

void main() {

 Gari toyota = new Gari();

 toyota.weka_jina("Toyota Avalon");

 toyota.weka_namba(72723);

 print(" Tunauza gari aina ya ${toyota.pata_jina()}. Yenye namba ya usajili ${toyo...

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: DART Main: Masomo File: Download PDF Views 1083

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Simulizi za Hadithi Audio     👉3 web hosting     👉4 Kitau cha Fiqh     👉5 Dua za Mitume na Manabii     👉6 ai web app    

Post zinazofanana:

DART somo la 7: matumizi ya if, else, if else, else if kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu namna ambavyo program inaweza kufanya maamuzi kulingana na mashart fulani.ama namna ambavyo program inaweza ku run code zaii ya mara moja kulingana na mashart. Hapa tutazingumzia flow of control statement

Soma Zaidi...
DART somo la 6: Dart operator na jinsi zinavyofanya kazi.

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator kwenye Dart, kazi zake na jinsi ya kuzitumia.

Soma Zaidi...
DART somo la 27: DART OOP: maana ya constructor method na jinsi inavyotumika kwenye OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jins ya kutengeneza constructor method, pia utajifunza matumizi yake kwenye OOP.

Soma Zaidi...
DART somo la 5: Reserved keywords kwenye lugah ya Dart

Katika soo hili utakwenda kujifunza kuhusu reserved keywords katika Dart

Soma Zaidi...
DART somo la 41: concept ya generic kwenye dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya generics ili kuweza kufanya kazi na aina mbalimbali za data kwenye class.

Soma Zaidi...
DART somo la 45: Jinai ys kutuma mysql database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya mysql kwenye Dart. hakikisha umeelewa vyema na kutekeleza yalioelekezwa kutoka kwenye somo lililopita.

Soma Zaidi...