DART somo la 29: Dart encapsulation
Katika somo hili tutawenda kujifunza kuhusu encapsulatio kwenye Dart OOP na jinsi inavyoweza kutumika.
Encapsulation kwenye Dart:
Katika dart encapsulation inamaanisha kuficha data kwenye library, ili kuzizuia zisituike kusoko hitajika. Katika dart kila faili la .dart ni library. Library ni mkusanyika wa function na class.
Encapsulatio inaweza kufanywa kwa kutumia njia mbili ambazo ni
- Kuifanya class ni private kwa kutumia underscode (_)
- Kwa kutumia methods za getter na setter
Getter hii hutumika katika kuzifikia (access) value za property ambayo ni private na setter hutumika ku update values za property ambayo ni private.
Ili kufanya property iwe private tutatumia underscoce, mfano _jina
class Gari {
// Private properties
int? _namba;
String? _jina;
}
Baada ya kutengeneza hizo private properties sasa ni wakati wa utengeneza method kwa ajili ya kuzifikia (access) hizo properties. Method hizo zinaitwa getter metods.
int pata_namba() {
return _namba!;
}
String pata_jina() {
return _jina!;
}
Baada ya kutengeneza getter method hatu wainayofuata ni kutengeneza method ambayo itatumi kwa ajili ya ku update taarifa za proerties. Methods hizo zinaitwa setter
void wka_namba(int id) {
this._namba = _namba;
}
void weka_jina(String jina) {
this._jina = jina;
}
Baada ya hapo hatuwa inayofuata ni kutengeneza object na kuweza ku update property kwa kuweka value.
class Gari {
// Private properties
int? _namba;
String? _jina;
// Getter method
int pata_namba() {
return _namba!;
}
String pata_jina() {
return _jina!;
}
// Setter method
void weka_namba(int namba) {
this._namba = namba;
}
void weka_jina(String jina) {
this._jina = jina;
}
}
void main() {
Gari toyota = new Gari();
toyota.weka_jina("Toyota Avalon");
toyota.weka_namba(72723);
print(" Tunauza gari aina ya ${toyota.pata_jina()}. Yenye namba ya usajili ${toyo...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉2 Kitau cha Fiqh 👉3 Madrasa kiganjani 👉4 kitabu cha Simulizi 👉5 Bongolite - Game zone - Play free game 👉6 Dua za Mitume na Manabii
Post zinazofanana:
DART somola 42: Asynchronous programming
Katika somo hili tutakwenda kujifunza concept nyingine ya asynchronous programming.
Soma Zaidi...DART somo la 3: Aina za Data
Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data zinazotumika kwenye Dart.
Soma Zaidi...DART somo la 24: Jinsi ya kutengeneza faili, folda na kuingiza data
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika data kwenye faili. Kwanza utajifunza kutengeneza folda, kisha faili na kuweka data, kisha utajifunza kufuta fali.
Soma Zaidi...Dart somo la 25: DART OOP Nini maaan ya class na vipi utaweza kuitengeneza
Katika somo hili utajifunza maana ya class kwenye OOP paradigm, kisha utajifunza jinsi ya kutengeneza class.
Soma Zaidi...DART somo la 7: matumizi ya if, else, if else, else if kwenye Dart
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu namna ambavyo program inaweza kufanya maamuzi kulingana na mashart fulani.ama namna ambavyo program inaweza ku run code zaii ya mara moja kulingana na mashart. Hapa tutazingumzia flow of control statement
Soma Zaidi...DART SOMO LA 16: String method zinazotumika kwneye Dart
Katika somo hili utakwenda kujfunza kuhusu String method zinazotumika kwenye Dart.
Soma Zaidi...