picha

DART somo la 29: Dart encapsulation

Katika somo hili tutawenda kujifunza kuhusu encapsulatio kwenye Dart OOP na jinsi inavyoweza kutumika.

Encapsulation kwenye Dart:

Katika dart encapsulation inamaanisha kuficha data kwenye library, ili kuzizuia zisituike kusoko hitajika. Katika dart kila faili la .dart ni library. Library ni mkusanyika wa function na class.

 

Encapsulatio  inaweza kufanywa kwa kutumia njia mbili ambazo ni 

  1. Kuifanya class ni private kwa kutumia underscode (_)
  2. Kwa kutumia methods za getter na setter

Getter hii hutumika katika kuzifikia (access) value za property ambayo ni private na setter hutumika ku update values za property ambayo ni private.

 

Ili kufanya property iwe private tutatumia underscoce, mfano _jina

class Gari {

 // Private properties

 int? _namba;

 String? _jina;

}

 

Baada ya kutengeneza hizo private properties sasa ni wakati wa utengeneza method kwa ajili ya kuzifikia (access) hizo properties. Method hizo zinaitwa getter metods.

int pata_namba() {

 return _namba!;

}

String pata_jina() {

 return _jina!;

}

 

Baada ya kutengeneza getter method hatu wainayofuata ni kutengeneza method ambayo itatumi kwa ajili ya ku update taarifa za proerties. Methods hizo zinaitwa setter

void wka_namba(int id) {

 this._namba = _namba;

}

void weka_jina(String jina) {

 this._jina = jina;

}

 

Baada ya hapo hatuwa inayofuata ni kutengeneza object na kuweza ku update property kwa kuweka value. 

 

class Gari {

 // Private properties

 int? _namba;

 String? _jina;

// Getter method 

 int pata_namba() {

   return _namba!;

 }

 String pata_jina() {

   return _jina!;

 }

// Setter method

 void weka_namba(int namba) {

   this._namba = namba;

 }

 void weka_jina(String jina) {

   this._jina = jina;

 }

}

void main() {

 Gari toyota = new Gari();

 toyota.weka_jina("Toyota Avalon");

 toyota.weka_namba(72723);

 print(" Tunauza gari aina ya ${toyota.pata_jina()}. Yenye namba ya usajili ${toyo...

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: DART Main: Masomo File: Download PDF Views 1032

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉2 ai web app     👉3 web hosting     👉4 Simulizi za Hadithi Audio     👉5 Dua za Mitume na Manabii     👉6 kitabu cha Simulizi    

Post zinazofanana:

DART somo la 7: matumizi ya if, else, if else, else if kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu namna ambavyo program inaweza kufanya maamuzi kulingana na mashart fulani.ama namna ambavyo program inaweza ku run code zaii ya mara moja kulingana na mashart. Hapa tutazingumzia flow of control statement

Soma Zaidi...
DART somo la 17: method za namba zinazotumika kwenye dart

Katika somo hili utakwenda kuziona method za dart zinazotumika kwenye namba. pia utajifunzakuhusu math library

Soma Zaidi...
DART SOMO LA 16: String method zinazotumika kwneye Dart

Katika somo hili utakwenda kujfunza kuhusu String method zinazotumika kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 35: Enum kwenye Dart:

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu enum na inavyotumika kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 22: Jinsi ya kutumia html library kwenye Dart

Katika somo hili tutakwenda kujifunz ajinsi ya kutumia library ya html kwenye Dart. somo hili litakupeleka kujifunza jinsi ya ku display dart output kwenye faili la html.

Soma Zaidi...
DART somo la 3: Aina za Data

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data zinazotumika kwenye Dart.

Soma Zaidi...