DART somo la 29: Dart encapsulation
Katika somo hili tutawenda kujifunza kuhusu encapsulatio kwenye Dart OOP na jinsi inavyoweza kutumika.
Encapsulation kwenye Dart:
Katika dart encapsulation inamaanisha kuficha data kwenye library, ili kuzizuia zisituike kusoko hitajika. Katika dart kila faili la .dart ni library. Library ni mkusanyika wa function na class.
Encapsulatio inaweza kufanywa kwa kutumia njia mbili ambazo ni
- Kuifanya class ni private kwa kutumia underscode (_)
- Kwa kutumia methods za getter na setter
Getter hii hutumika katika kuzifikia (access) value za property ambayo ni private na setter hutumika ku update values za property ambayo ni private.
Ili kufanya property iwe private tutatumia underscoce, mfano _jina
class Gari {
// Private properties
int? _namba;
String? _jina;
}
Baada ya kutengeneza hizo private properties sasa ni wakati wa utengeneza method kwa ajili ya kuzifikia (access) hizo properties. Method hizo zinaitwa getter metods.
int pata_namba() {
return _namba!;
}
String pata_jina() {
return _jina!;
}
Baada ya kutengeneza getter method hatu wainayofuata ni kutengeneza method ambayo itatumi kwa ajili ya ku update taarifa za proerties. Methods hizo zinaitwa setter
void wka_namba(int id) {
this._namba = _namba;
}
void weka_jina(String jina) {
this._jina = jina;
}
Baada ya hapo hatuwa inayofuata ni kutengeneza object na kuweza ku update property kwa kuweka value.
class Gari {
// Private properties
int? _namba;
String? _jina;
// Getter method
int pata_namba() {
return _namba!;
}
String pata_jina() {
return _jina!;
}
// Setter method
void weka_namba(int namba) {
this._namba = namba;
}
void weka_jina(String jina) {
this._jina = jina;
}
}
void main() {
Gari toyota = new Gari();
toyota.weka_jina("Toyota Avalon");
toyota.weka_namba(72723);
print(" Tunauza gari aina ya ${toyota.pata_jina()}. Yenye namba ya usajili ${toyo...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Madrasa kiganjani 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 web hosting 👉4 Kitau cha Fiqh 👉5 Dua za Mitume na Manabii 👉6 ai web app
Post zinazofanana:
DART somo la 7: matumizi ya if, else, if else, else if kwenye Dart
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu namna ambavyo program inaweza kufanya maamuzi kulingana na mashart fulani.ama namna ambavyo program inaweza ku run code zaii ya mara moja kulingana na mashart. Hapa tutazingumzia flow of control statement
Soma Zaidi...DART somo la 6: Dart operator na jinsi zinavyofanya kazi.
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator kwenye Dart, kazi zake na jinsi ya kuzitumia.
Soma Zaidi...DART somo la 27: DART OOP: maana ya constructor method na jinsi inavyotumika kwenye OOP
Katika somo hili utakwenda kujifunza jins ya kutengeneza constructor method, pia utajifunza matumizi yake kwenye OOP.
Soma Zaidi...DART somo la 5: Reserved keywords kwenye lugah ya Dart
Katika soo hili utakwenda kujifunza kuhusu reserved keywords katika Dart
Soma Zaidi...DART somo la 41: concept ya generic kwenye dart
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya generics ili kuweza kufanya kazi na aina mbalimbali za data kwenye class.
Soma Zaidi...DART somo la 45: Jinai ys kutuma mysql database
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya mysql kwenye Dart. hakikisha umeelewa vyema na kutekeleza yalioelekezwa kutoka kwenye somo lililopita.
Soma Zaidi...