Katika somo hiliutakwenda kujifunza aina nyingine ya constructor ambayo hutumika kwenye Dart. aina hiyo ni factory constructory.
Aina ya constructor ambayo tumkuwa tukiitumia toka huko mwanzo inaitwa ganerative constructor hii ina mfanano na factory constructor, ila kwenye generative constructor yenyewe inaweza kutengeneza instance of calss tu yaani object lakini hii ya factory constructor inawez akute geneza instance of class na subclass.
Factory constructory hutengenezwa kwa kutumia keyword factory ikifuatiwa na jina la class kama tulivyoona kwenye generative constructor. pia factory constructory inaweza kuwa named.
class gari {
factory gari() {
}
factory toyota.gari() {
}
}
Hapa nitakupa mfano mmoja ambao kwanza nitatuia generative constructor kama tulivyo zoea kisha nitatumia factoru constructory.
class eneo {
final int urefu;
final int upana;
final int jibu;
// constructor
const eneo(this.urefu, this.upana) : jibu = urefu * upana;
}
void main() {
eneo en = eneo(12, 4);
print("Eneo ni: ${en.jibu}");
}
Sasa wacha tuone jinsi ya kutumia mfano uliotamgulia kwenye factory constructor.
class Eneo {
final int urefu;
final int upana;
final int jibu;
// Regular constructor
const Eneo._internal(this.urefu, this.upana, this.jibu);
// Factory constructor
factory Eneo(int urefu, int upana) {
int jibu = urefu * upana;
// Return an instance using the privat">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua. Umeionaje Makala hii.. ? Katika somo hili tutakwenda kujifunza concept nyingine ya asynchronous programming. Katika somo hili utakwenda kujifunza method yhinginge zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Dart. Katika somo hili utajifunza kuhusu dart library. Pia tutakwend aktengeneza library yetu wennyewe kwa ajili ya kufanya mazoezi zaidi. Katika somo hili tutawenda kujifunza kuhusu encapsulatio kwenye Dart OOP na jinsi inavyoweza kutumika. Katika soo hili utakwenda kujifunza kuhusu reserved keywords katika Dart Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma na kuandika faili kwa kutumia Dart programming. Katika somo hili utakwenda kujfunza kuhusu String method zinazotumika kwenye Dart. Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu while loop na do while loop zinavyofanya kazi katika Dart. Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu switch case na jinsi inavyofanya kazi kwenye Dart. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya mysql kwenye Dart. hakikisha umeelewa vyema na kutekeleza yalioelekezwa kutoka kwenye somo lililopita. Download App Yetu
👉1
Kitabu cha Afya
👉2
Simulizi za Hadithi Audio
👉3
kitabu cha Simulizi
👉4
Madrasa kiganjani
👉5
Bongolite - Game zone - Play free game
👉6
Kitau cha Fiqh
Post zinazofanana:
DART somola 42: Asynchronous programming
DART somo la 18: Dart method zinazotumika kwenye List data type
DART somo la 21: Jinsi ya kutengeneza library kwenye Dart
DART somo la 29: Dart encapsulation
DART somo la 5: Reserved keywords kwenye lugah ya Dart
DART somo la 23: Jinsi ya kusoma mafaili kwa kutumia Dart
DART SOMO LA 16: String method zinazotumika kwneye Dart
DART somo la 10: while loop na do while loop kwenye Dart
DART somo la 8: Matumizi ya switch case
DART somo la 45: Jinai ys kutuma mysql database