picha

DART somo la 40: factory constructor

Katika somo hiliutakwenda kujifunza aina nyingine ya constructor ambayo hutumika kwenye Dart. aina hiyo ni factory constructory.

Aina ya constructor ambayo tumkuwa tukiitumia toka huko mwanzo inaitwa ganerative constructor hii ina mfanano na factory constructor, ila kwenye generative constructor yenyewe inaweza kutengeneza instance of calss tu yaani object lakini hii ya factory constructor inawez akute geneza instance of class na  subclass.

 

Factory constructory hutengenezwa kwa kutumia keyword factory ikifuatiwa na jina la class kama tulivyoona kwenye generative constructor. pia factory constructory inaweza kuwa named.

class gari {

 factory gari() {

 

 }

 

 factory toyota.gari() {

  

 }

}

 

Hapa nitakupa mfano mmoja ambao kwanza nitatuia generative constructor kama tulivyo zoea kisha nitatumia factoru constructory.

class eneo {

 final int urefu;

 final int upana;

 final int jibu;

 

 // constructor

 const eneo(this.urefu, this.upana) : jibu = urefu * upana;

}

 

void main() {

 eneo en = eneo(12, 4);

 print("Eneo ni: ${en.jibu}");

}

 

 

Sasa wacha tuone jinsi ya kutumia mfano uliotamgulia kwenye factory constructor.

class Eneo {

 final int urefu;

 final int upana;

 final int jibu;

 

 // Regular constructor

 const Eneo._internal(this.urefu, this.upana, this.jibu);

 

 // Factory constructor

 factory Eneo(int urefu, int upana) {

   int jibu = urefu * upana;

 

   // Return an instance using the private constructor

   return Eneo._in...

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: DART Main: Masomo File: Download PDF Views 1102

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉3 Dua za Mitume na Manabii     👉4 Madrasa kiganjani     👉5 web hosting     👉6 Kitau cha Fiqh    

Post zinazofanana:

DART somo la 32: Inheritance kwenye construct method:

Katika masomo yaliopita tumesha jifunza jinsi inheritance inavyokuwa, ila hatujaona kwa namna gani utaweza ku inherit constructor method. Somo hili litashughulika na swla hilo.

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula majani ya kunde

Leo tutajifunza kuhusu majani ya kunde — mboga za kijani zinazotokana na mmea wa kunde (beans). Wengi hula mbegu za kunde pekee, wakisahau kuwa hata majani yake yana virutubisho vya thamani kubwa kwa mwili. Tutazungumzia vitamini, madini, na faida mbalimbali za kiafya zinazopatikana katika majani haya.

Soma Zaidi...
DART somo la 34: Static variable kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static property na jinsi ambavyo inavyotumika.

Soma Zaidi...
Dart somo la 25: DART OOP Nini maaan ya class na vipi utaweza kuitengeneza

Katika somo hili utajifunza maana ya class kwenye OOP paradigm, kisha utajifunza jinsi ya kutengeneza class.

Soma Zaidi...
DART somo la 45: Jinai ys kutuma mysql database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya mysql kwenye Dart. hakikisha umeelewa vyema na kutekeleza yalioelekezwa kutoka kwenye somo lililopita.

Soma Zaidi...
DART somo la 2: syntax za dart

Katika somo hili tutatkwenda kuziona baadhi ya xyntax yaani kanunu za uandishi wa code za dart.

Soma Zaidi...