Katika somo hiliutakwenda kujifunza aina nyingine ya constructor ambayo hutumika kwenye Dart. aina hiyo ni factory constructory.
Aina ya constructor ambayo tumkuwa tukiitumia toka huko mwanzo inaitwa ganerative constructor hii ina mfanano na factory constructor, ila kwenye generative constructor yenyewe inaweza kutengeneza instance of calss tu yaani object lakini hii ya factory constructor inawez akute geneza instance of class na subclass.
Factory constructory hutengenezwa kwa kutumia keyword factory ikifuatiwa na jina la class kama tulivyoona kwenye generative constructor. pia factory constructory inaweza kuwa named.
class gari {
factory gari() {
}
factory toyota.gari() {
}
}
Hapa nitakupa mfano mmoja ambao kwanza nitatuia generative constructor kama tulivyo zoea kisha nitatumia factoru constructory.
class eneo {
final int urefu;
final int upana;
final int jibu;
// constructor
const eneo(this.urefu, this.upana) : jibu = urefu * upana;
}
void main() {
eneo en = eneo(12, 4);
print("Eneo ni: ${en.jibu}");
}
Sasa wacha tuone jinsi ya kutumia mfano uliotamgulia kwenye factory constructor.
class Eneo {
final int urefu;
final int upana;
final int jibu;
// Regular constructor
const Eneo._internal(this.urefu, this.upana, this.jibu);
// Factory constructor
factory Eneo(int urefu, int upana) {
int jibu = urefu * upana;
// Return an instance using the privat">... Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu Umeionaje Makala hii.. ? Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Dart kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program. Katika somo hili tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo la function. Hapa tutakwenda kuona aina za function. Katika somo hili utakwenda kujifunza method yhinginge zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Dart. Katika somo hili utakwenda ujifunz akuhusu concept ya stream kwenye Dart. pia ttaona kwa namna gani strean inaweza kutofautiana na future wakati zote mbili zipo kwenye asychronous programming. Katika soo hili utakwenda kujifunza kuhusu reserved keywords katika Dart Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu break na continue kwenye Dart loop za for loop na while loop. Katika somo hili utakwenda kujfunza kuhusu String method zinazotumika kwenye Dart. Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu namna ambavyo program inaweza kufanya maamuzi kulingana na mashart fulani.ama namna ambavyo program inaweza ku run code zaii ya mara moja kulingana na mashart. Hapa tutazingumzia flow of control statement Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set. Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data zinazotumika kwenye Dart.
👉1
Kitabu cha Afya
👉2
Kitau cha Fiqh
👉3
Tafasiri ya Riyadh Swalihina
👉4
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉5
Bongolite - Game zone - Play free game
👉6
Simulizi za Hadithi Audio
Post zinazofanana:
DART somo la 12: Kuchukuwa user input kwenye Dart
DART SOMO LA 14: Aina za function kwenye Dart
DART somo la 18: Dart method zinazotumika kwenye List data type
DART somo la 43: Stream kwenye Dart
DART somo la 5: Reserved keywords kwenye lugah ya Dart
DART somo la 11:break and continue statement kwenye Dat loop
DART SOMO LA 16: String method zinazotumika kwneye Dart
DART somo la 7: matumizi ya if, else, if else, else if kwenye Dart
DART somo la 19: method zinazotumika kwenye set data type kwenye Dart
DART somo la 3: Aina za Data