Katika somo hiliutakwenda kujifunza aina nyingine ya constructor ambayo hutumika kwenye Dart. aina hiyo ni factory constructory.
Aina ya constructor ambayo tumkuwa tukiitumia toka huko mwanzo inaitwa ganerative constructor hii ina mfanano na factory constructor, ila kwenye generative constructor yenyewe inaweza kutengeneza instance of calss tu yaani object lakini hii ya factory constructor inawez akute geneza instance of class na subclass.
Factory constructory hutengenezwa kwa kutumia keyword factory ikifuatiwa na jina la class kama tulivyoona kwenye generative constructor. pia factory constructory inaweza kuwa named.
class gari {
factory gari() {
}
factory toyota.gari() {
}
}
Hapa nitakupa mfano mmoja ambao kwanza nitatuia generative constructor kama tulivyo zoea kisha nitatumia factoru constructory.
class eneo {
final int urefu;
final int upana;
final int jibu;
// constructor
const eneo(this.urefu, this.upana) : jibu = urefu * upana;
}
void main() {
eneo en = eneo(12, 4);
print("Eneo ni: ${en.jibu}");
}
Sasa wacha tuone jinsi ya kutumia mfano uliotamgulia kwenye factory constructor.
class Eneo {
final int urefu;
final int upana;
final int jibu;
// Regular constructor
const Eneo._internal(this.urefu, this.upana, this.jibu);
// Factory constructor
factory Eneo(int urefu, int upana) {
int jibu = urefu * upana;
// Return an instance using the privat">...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Katika somo hili utakwenda kujfunza kuhusu String method zinazotumika kwenye Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu method ambazo hutumika kwenye map data type
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu kazi za dart language. Pia nimekuandalia istoria fupi ya lugha ya DART.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kuzungumzia kuhusu parameter kwenye Dart function. Pia tutakwenda kuona mambo mengine yanayohusu function
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo la function. Hapa tutakwenda kuona aina za function.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye dart, jisni ya kziandika na matumizi yake.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutatkwenda kuziona baadhi ya xyntax yaani kanunu za uandishi wa code za dart.
Soma Zaidi...Katika soo hili utakwenda kujifunza kuhusu reserved keywords katika Dart
Soma Zaidi...Leo tutajifunza kuhusu majani ya kunde — mboga za kijani zinazotokana na mmea wa kunde (beans). Wengi hula mbegu za kunde pekee, wakisahau kuwa hata majani yake yana virutubisho vya thamani kubwa kwa mwili. Tutazungumzia vitamini, madini, na faida mbalimbali za kiafya zinazopatikana katika majani haya.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu inheritance, na inavyoweza kutumika kwenye Dart OOP.
Soma Zaidi...