Menu



DART somo la 40: factory constructor

Katika somo hiliutakwenda kujifunza aina nyingine ya constructor ambayo hutumika kwenye Dart. aina hiyo ni factory constructory.

Aina ya constructor ambayo tumkuwa tukiitumia toka huko mwanzo inaitwa ganerative constructor hii ina mfanano na factory constructor, ila kwenye generative constructor yenyewe inaweza kutengeneza instance of calss tu yaani object lakini hii ya factory constructor inawez akute geneza instance of class na  subclass.

 

Factory constructory hutengenezwa kwa kutumia keyword factory ikifuatiwa na jina la class kama tulivyoona kwenye generative constructor. pia factory constructory inaweza kuwa named.

class gari {

 factory gari() {

 

 }

 

 factory toyota.gari() {

  

 }

}

 

Hapa nitakupa mfano mmoja ambao kwanza nitatuia generative constructor kama tulivyo zoea kisha nitatumia factoru constructory.

class eneo {

 final int urefu;

 final int upana;

 final int jibu;

 

 // constructor

 const eneo(this.urefu, this.upana) : jibu = urefu * upana;

}

 

void main() {

 eneo en = eneo(12, 4);

 print("Eneo ni: ${en.jibu}");

}

 

 

Sasa wacha tuone jinsi ya kutumia mfano uliotamgulia kwenye factory constructor.

class Eneo {

 final int urefu;

 final int upana;

 final int jibu;

 

 // Regular constructor

 const Eneo._internal(this.urefu, this.upana, this.jibu);

 

 // Factory constructor

 factory Eneo(int urefu, int upana) {

   int jibu = urefu * upana;

 

   // Return an instance using the private constructor

">...

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea

Ndio     Hapana     Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: DART Main: Masomo File: Download PDF Views 449

Share On:

Facebook WhatsApp

Post zinazofanana:

DART somo la 37: Class interface

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class interface na inavyotofautiana na class abstract

Soma Zaidi...
DART somo la 15: parameter kwenye function za Dart

Katika somo hili tutakwenda kuzungumzia kuhusu parameter kwenye Dart function. Pia tutakwenda kuona mambo mengine yanayohusu function

Soma Zaidi...
DART somo la 39: mixin kwenye dart

Katika somo hii utakwenda kujifunza kuhusu concept mixin na jinsi inavyoweza kutumika kwenye Dart.

Soma Zaidi...
Dart somo la 25: DART OOP Nini maaan ya class na vipi utaweza kuitengeneza

Katika somo hili utajifunza maana ya class kwenye OOP paradigm, kisha utajifunza jinsi ya kutengeneza class.

Soma Zaidi...
DART somo la 17: method za namba zinazotumika kwenye dart

Katika somo hili utakwenda kuziona method za dart zinazotumika kwenye namba. pia utajifunzakuhusu math library

Soma Zaidi...
DART somo la 33 concept ya polymorphism

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya polymorphism.

Soma Zaidi...
DART somo la 35: Enum kwenye Dart:

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu enum na inavyotumika kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 18: Dart method zinazotumika kwenye List data type

Katika somo hili utakwenda kujifunza method yhinginge zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 21: Jinsi ya kutengeneza library kwenye Dart

Katika somo hili utajifunza kuhusu dart library. Pia tutakwend aktengeneza library yetu wennyewe kwa ajili ya kufanya mazoezi zaidi.

Soma Zaidi...
DART somo la 24: Jinsi ya kutengeneza faili, folda na kuingiza data

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika data kwenye faili. Kwanza utajifunza kutengeneza folda, kisha faili na kuweka data, kisha utajifunza kufuta fali.

Soma Zaidi...