DART somo la 40: factory constructor

Katika somo hiliutakwenda kujifunza aina nyingine ya constructor ambayo hutumika kwenye Dart. aina hiyo ni factory constructory.

Aina ya constructor ambayo tumkuwa tukiitumia toka huko mwanzo inaitwa ganerative constructor hii ina mfanano na factory constructor, ila kwenye generative constructor yenyewe inaweza kutengeneza instance of calss tu yaani object lakini hii ya factory constructor inawez akute geneza instance of class na  subclass.

 

Factory constructory hutengenezwa kwa kutumia keyword factory ikifuatiwa na jina la class kama tulivyoona kwenye generative constructor. pia factory constructory inaweza kuwa named.

class gari {

 factory gari() {

 

 }

 

 factory toyota.gari() {

  

 }

}

 

Hapa nitakupa mfano mmoja ambao kwanza nitatuia generative constructor kama tulivyo zoea kisha nitatumia factoru constructory.

class eneo {

 final int urefu;

 final int upana;

 final int jibu;

 

 // constructor

 const eneo(this.urefu, this.upana) : jibu = urefu * upana;

}

 

void main() {

 eneo en = eneo(12, 4);

 print("Eneo ni: ${en.jibu}");

}

 

 

Sasa wacha tuone jinsi ya kutumia mfano uliotamgulia kwenye factory constructor.

class Eneo {

 final int urefu;

 final int upana;

 final int jibu;

 

 // Regular constructor

 const Eneo._internal(this.urefu, this.upana, this.jibu);

 

 // Factory constructor

 factory Eneo(int urefu, int upana) {

   int jibu = urefu * upana;

 

   // Return an instance using the privat">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: DART Main: ICT File: Download PDF Views 651

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

DART somo la 12: Kuchukuwa user input kwenye Dart

Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Dart kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program.

Soma Zaidi...
DART SOMO LA 14: Aina za function kwenye Dart

Katika somo hili tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo la function. Hapa tutakwenda kuona aina za function.

Soma Zaidi...
DART somo la 18: Dart method zinazotumika kwenye List data type

Katika somo hili utakwenda kujifunza method yhinginge zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 43: Stream kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda ujifunz akuhusu concept ya stream kwenye Dart. pia ttaona kwa namna gani strean inaweza kutofautiana na future wakati zote mbili zipo kwenye asychronous programming.

Soma Zaidi...
DART somo la 5: Reserved keywords kwenye lugah ya Dart

Katika soo hili utakwenda kujifunza kuhusu reserved keywords katika Dart

Soma Zaidi...
DART somo la 11:break and continue statement kwenye Dat loop

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu break na continue kwenye Dart loop za for loop na while loop.

Soma Zaidi...
DART SOMO LA 16: String method zinazotumika kwneye Dart

Katika somo hili utakwenda kujfunza kuhusu String method zinazotumika kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 7: matumizi ya if, else, if else, else if kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu namna ambavyo program inaweza kufanya maamuzi kulingana na mashart fulani.ama namna ambavyo program inaweza ku run code zaii ya mara moja kulingana na mashart. Hapa tutazingumzia flow of control statement

Soma Zaidi...
DART somo la 19: method zinazotumika kwenye set data type kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set.

Soma Zaidi...
DART somo la 3: Aina za Data

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data zinazotumika kwenye Dart.

Soma Zaidi...