DART somo la 13: function kwenye dart
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye dart, jisni ya kziandika na matumizi yake.
Function ni nini?
Function ni kifungu cha code (block of code) ambacho hufanya kazi maalumu. Function inaweza kufanya kazi kwa kujirudia rudia bila ya kikomo kila itakapoitwa. Function husaidia kutokurudiarudia kuandika code.
Mambo ya kuzingatia:
- Function hutumika zaidi ya mara moja
- Function haifanyikazi mpaka iitwe
- Function inakuwa na parameter
Jinsi ya kuandika function
- Function ambayo haihitaji ku return value
Returntype name (){
Code
}
Hapo utaona kwanz aunaanza return type hii itafahamisha kuwa function yako ita rudisha data amba laa. Kama haitarudisha data tutaweka void. Baada ya return type inayofuata na name yaani jina la hiyo function, kisha utaweka mabano () ndani ya haya mabano tutakuja kuweka parameter. Kisha utaweka mabano {} ndani ya haya mabano ndipo utaweka code ambazo unataka zifanye kazi. Wacha tuone mifano huwenda ukaelewa zaidi:-
Mfano 1:
Tunatengeneza program ya kuandika neno bongoclass mara 10. Kwanza tuatatengeneza hiyo fnction ambayo ita print nrno bongoclass
void bongo(){
print('Bongoclass');
}
Kisha tutaiita (call) hiyo funcyion kwenye main().
bongo(){
print('Bongoclass');
}
void main(){
bongo(;
}
Sasa kama tutaiita mara 10 itaprint hilo neno mara 10
void bongo(){
print('Bongoclass');
}
void main(){
for(int x = 0; x<10; x++){
bongo();
}
}
Jinsi ya kuweka parameter kwenye function
Tuchukulie mfano kama huu wa mwanzo. Tunataka mtumiaji aweze kuandika kwenye we anataka neno bongoclass litokee mara ngapi. Kwa mfano akitaka litokee mara 6 ataandika 6 kwenye user input kisha function yetu itafanya kazi husika.
Sasa katika hali hiyo tutahitaji kuweka variable ambayo itawakilisha hiyo 6 atakayowekamtu. Hiyo variable ndio parameter kwa mfano tutaiita idadi. Na hiyo namba 6 atakayoinginza mtu huitwa argument. Kwa ufup tunasema parameter ni jina ila argument ni value yenyewe.
Parameter zinaweza kuwa option, default ama required. Tutakwenda kuziona kadiri somo linavyoenda.wacha tuone mfano ambao mtumiaji ataweka argument na program kutoa majibu
import 'dart:io';
void bongo(idadi){
for(int x = 0; x<idadi; x++){
print('Bongoclass');
}
}
void main(){
print('ANDIKA IDADI');
int idadi = int.parse(stdin.readLineSync()!);
bongo(idadi);
}
Kuna kitu hapa tunataka kujifunza kwanza. Ukiangalia hapo utaona variable tumeitengenezea nje ya function.int idadi = int.parse(stdin.readLineSync()!);
Sasa kama utaiweka kwenye function utaona kuna error
import 'dart:io';
void bongo(idadi){
int idadi = int.parse(stdin.readLineSync()!);
for(int x = 0; x<idadi; x++){
print('Bongoclass');
}
}
void main(){
print('ANDIKA IDADI');
bongo(idadi);
}
Sasa ili kutatua tatizo itatibidi mixin hii ni njia ambayo hutumika kufanya class iweze kufanya kazi zaidi na zaidi. Lakini h...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉2 Kitau cha Fiqh 👉3 Madrasa kiganjani 👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 ai web app
Post zinazofanana:
DART somo la 37: Class interface
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class interface na inavyotofautiana na class abstract
Soma Zaidi...Dart somo la 25: DART OOP Nini maaan ya class na vipi utaweza kuitengeneza
Katika somo hili utajifunza maana ya class kwenye OOP paradigm, kisha utajifunza jinsi ya kutengeneza class.
Soma Zaidi...DART - somo la 1: Kazi za dart programming na historia yake
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu kazi za dart language. Pia nimekuandalia istoria fupi ya lugha ya DART.
Soma Zaidi...DART somo la 17: method za namba zinazotumika kwenye dart
Katika somo hili utakwenda kuziona method za dart zinazotumika kwenye namba. pia utajifunzakuhusu math library
Soma Zaidi...DART somo la 19: method zinazotumika kwenye set data type kwenye Dart
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set.
Soma Zaidi...DART somo la 20: method zinazotumika kwenye map data type kwenye Dart
Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu method ambazo hutumika kwenye map data type
Soma Zaidi...