picha

DART somo la 13: function kwenye dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye dart, jisni ya kziandika na matumizi yake.

Function ni nini?

Function ni kifungu cha code (block of code) ambacho hufanya kazi maalumu. Function inaweza kufanya kazi kwa kujirudia rudia bila ya kikomo kila itakapoitwa. Function husaidia kutokurudiarudia kuandika code.

 

Mambo ya kuzingatia:

  1. Function hutumika zaidi ya mara moja
  2. Function haifanyikazi mpaka iitwe
  3. Function inakuwa na parameter

 

Jinsi ya kuandika function

  1. Function ambayo haihitaji ku return value

Returntype  name (){

Code

}

 

Hapo utaona kwanz aunaanza return type hii itafahamisha kuwa function yako ita rudisha data amba laa. Kama haitarudisha data tutaweka void.  Baada ya return type inayofuata na name yaani  jina la hiyo function, kisha utaweka mabano () ndani ya haya mabano tutakuja kuweka parameter. Kisha utaweka mabano {} ndani ya haya mabano ndipo utaweka code ambazo unataka zifanye kazi. Wacha tuone mifano huwenda ukaelewa zaidi:-

 

Mfano 1: 

Tunatengeneza program ya kuandika neno bongoclass mara 10. Kwanza tuatatengeneza hiyo fnction ambayo ita print nrno bongoclass

void bongo(){

 print('Bongoclass');

}

 

Kisha tutaiita (call) hiyo funcyion kwenye main().

bongo(){

 print('Bongoclass');

}

void main(){

 bongo(;

}

Sasa kama tutaiita mara 10 itaprint hilo neno mara 10

void bongo(){

 print('Bongoclass');

}

void main(){

 for(int x = 0; x<10; x++){

   bongo();

 }

}

 

Jinsi ya kuweka parameter kwenye function

Tuchukulie mfano kama huu wa mwanzo. Tunataka mtumiaji aweze kuandika kwenye we anataka neno bongoclass litokee mara ngapi. Kwa mfano akitaka litokee mara 6 ataandika 6 kwenye user input kisha function yetu itafanya kazi husika.

 

Sasa katika hali hiyo tutahitaji kuweka variable ambayo itawakilisha hiyo 6 atakayowekamtu. Hiyo variable ndio parameter kwa mfano tutaiita idadi. Na hiyo namba 6 atakayoinginza mtu huitwa argument. Kwa ufup tunasema parameter ni jina ila argument ni value yenyewe.

 

Parameter zinaweza kuwa option, default ama required. Tutakwenda kuziona kadiri somo linavyoenda.wacha tuone mfano ambao mtumiaji ataweka argument na program kutoa majibu

 

 import 'dart:io';

void bongo(idadi){

 for(int x = 0; x<idadi; x++){

   print('Bongoclass');

 }

}

void main(){

 print('ANDIKA IDADI');

 int idadi = int.parse(stdin.readLineSync()!);

 bongo(idadi);

}

 

Kuna kitu hapa tunataka kujifunza kwanza. Ukiangalia hapo utaona variable tumeitengenezea nje ya function.int idadi = int.parse(stdin.readLineSync()!);

 Sasa kama utaiweka kwenye function utaona kuna error

import 'dart:io';

void bongo(idadi){

 int idadi = int.parse(stdin.readLineSync()!);

 for(int x = 0; x<idadi; x++){

   print('Bongoclass');

 }

}

void main(){

 print('ANDIKA IDADI');

 bongo(idadi);

}

 

Sasa ili kutatua tatizo itatibidi mixin hii ni njia ambayo hutumika kufanya class iweze kufanya kazi zaidi na zaidi. Lakini hapa tunakwenda kufanya variable yetu iewe kupatikana kwenye ukurasa wote. Hivyo utaandika mixin ikifuatiwa na jina la hiyo variable ikifuatiwa na mabano {}.

 

import 'dart:io';

void ...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2023-11-23 Topic: DART Main: ICT File: Download PDF Views 774

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 ai web app    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 web hosting    👉6 Dua za Mitume na Manabii   

Post zinazofanana:

DART somo la 31: inheritance kwenye DART OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu inheritance, na inavyoweza kutumika kwenye Dart OOP.

Soma Zaidi...
DART somo la 3: Aina za Data

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data zinazotumika kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 20: method zinazotumika kwenye map data type kwenye Dart

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu method ambazo hutumika kwenye map data type

Soma Zaidi...
DART somo la 12: Kuchukuwa user input kwenye Dart

Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Dart kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program.

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula majani ya kunde

Leo tutajifunza kuhusu majani ya kunde — mboga za kijani zinazotokana na mmea wa kunde (beans). Wengi hula mbegu za kunde pekee, wakisahau kuwa hata majani yake yana virutubisho vya thamani kubwa kwa mwili. Tutazungumzia vitamini, madini, na faida mbalimbali za kiafya zinazopatikana katika majani haya.

Soma Zaidi...
DART somo la 10: while loop na do while loop kwenye Dart

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu while loop na do while loop zinavyofanya kazi katika Dart.

Soma Zaidi...
DART SOMO LA 14: Aina za function kwenye Dart

Katika somo hili tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo la function. Hapa tutakwenda kuona aina za function.

Soma Zaidi...
DART somo la 28: Named constructor na constant constructor kwenye OOP

Ka tika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya named constructor na constant constructor kwenye Object Oriented Programming.

Soma Zaidi...
DART somo la 8: Matumizi ya switch case

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu switch case na jinsi inavyofanya kazi kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 32: Inheritance kwenye construct method:

Katika masomo yaliopita tumesha jifunza jinsi inheritance inavyokuwa, ila hatujaona kwa namna gani utaweza ku inherit constructor method. Somo hili litashughulika na swla hilo.

Soma Zaidi...