Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye dart, jisni ya kziandika na matumizi yake.
Function ni nini?
Function ni kifungu cha code (block of code) ambacho hufanya kazi maalumu. Function inaweza kufanya kazi kwa kujirudia rudia bila ya kikomo kila itakapoitwa. Function husaidia kutokurudiarudia kuandika code.
Mambo ya kuzingatia:
Jinsi ya kuandika function
Returntype name (){
Code
}
Hapo utaona kwanz aunaanza return type hii itafahamisha kuwa function yako ita rudisha data amba laa. Kama haitarudisha data tutaweka void. Baada ya return type inayofuata na name yaani jina la hiyo function, kisha utaweka mabano () ndani ya haya mabano tutakuja kuweka parameter. Kisha utaweka mabano {} ndani ya haya mabano ndipo utaweka code ambazo unataka zifanye kazi. Wacha tuone mifano huwenda ukaelewa zaidi:-
Mfano 1:
Tunatengeneza program ya kuandika neno bongoclass mara 10. Kwanza tuatatengeneza hiyo fnction ambayo ita print nrno bongoclass
void bongo(){
print('Bongoclass');
}
Kisha tutaiita (call) hiyo funcyion kwenye main().
bongo(){
print('Bongoclass');
}
void main(){
bongo(;
}
Sasa kama tutaiita mara 10 itaprint hilo neno mara 10
void bongo(){
print('Bongoclass');
}
void main(){
for(int x = 0; x<10; x++){
bongo();
}
}
Jinsi ya kuweka parameter kwenye function
Tuchukulie mfano kama huu wa mwanzo. Tunataka mtumiaji aweze kuandika kwenye we anataka neno bongoclass litokee mara ngapi. Kwa mfano akitaka litokee mara 6 ataandika 6 kwenye user input kisha function yetu itafanya kazi husika.
Sasa katika hali hiyo tutahitaji kuweka variable ambayo itawakilisha hiyo 6 atakayowekamtu. Hiyo variable ndio parameter kwa mfano tutaiita idadi. Na hiyo namba 6 atakayoinginza mtu huitwa argument. Kwa ufup tunasema parameter ni jina ila argument ni value yenyewe.
Parameter zinaweza kuwa option, default ama required. Tutakwenda kuziona kadiri somo linavyoenda.wacha tuone mfano ambao mtumiaji ataweka argument na program kutoa majibu
import 'dart:io';
void bongo(idadi){
for(int x = 0; x<idadi; x++){
print('Bongoclass');
}
}
void main(){
print('ANDIKA IDADI');
int idadi = int.parse(stdin.readLineSync()!);
bongo(idadi);
}
Kuna kitu hapa tunataka kujifunza kwanza. Ukiangalia hapo utaona variable tumeitengenezea nje ya function.int idadi = int.parse(stdin.readLineSync()!);
Sasa kama utaiweka kwenye function utaona kuna error
import 'dart:io';
void bongo(idadi){
int idadi = int.parse(stdin.readLineSync()!);
for(int x = 0; x<idadi; x++){
print('Bongoclass');
}
}
void main(){
print('ANDIKA IDADI');
bongo(idadi);
}
Sasa ili kutatua tatizo itatibidi mixin hii ni njia ambayo hutumika kufanya class iweze kufanya kazi zaidi na zaidi. Lakini hapa tunakwenda kufanya variable yetu iewe kupatikana kwenye ukurasa wote. Hivyo utaandika mixin ikifuatiwa na jina la hiyo variable ikifuatiwa na mabano {}.
import 'dart:io';
void Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua. Umeionaje Makala hii.. ? Katika somo hili utakwenda kujifunza jins ya kutengeneza constructor method, pia utajifunza matumizi yake kwenye OOP. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya mysql kwenye Dart. hakikisha umeelewa vyema na kutekeleza yalioelekezwa kutoka kwenye somo lililopita. Katika somo hii utakwenda kujifunza kuhusu concept mixin na jinsi inavyoweza kutumika kwenye Dart. Katika somo hili tutakwenda kuzungumzia kuhusu parameter kwenye Dart function. Pia tutakwenda kuona mambo mengine yanayohusu function Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data zinazotumika kwenye Dart. Katika somo hili tutawenda kujifunza kuhusu encapsulatio kwenye Dart OOP na jinsi inavyoweza kutumika. Katika somo hili utakwenda ujifunz akuhusu concept ya stream kwenye Dart. pia ttaona kwa namna gani strean inaweza kutofautiana na future wakati zote mbili zipo kwenye asychronous programming. Katika somo hili utajifunza maana ya class kwenye OOP paradigm, kisha utajifunza jinsi ya kutengeneza class. Katika somo hili tutakwenda kujifunza zaidi kuhusu method za getter na setter. Tutakwenda kuona hasa zinavyotumika na zinavyotengenezwa. Katika somo hili tutatkwenda kuziona baadhi ya xyntax yaani kanunu za uandishi wa code za dart. Download App Yetu
👉1
Bongolite - Game zone - Play free game
👉2
Kitabu cha Afya
👉3
Madrasa kiganjani
👉4
Simulizi za Hadithi Audio
👉5
kitabu cha Simulizi
👉6
Kitau cha Fiqh
Post zinazofanana:
DART somo la 27: DART OOP: maana ya constructor method na jinsi inavyotumika kwenye OOP
DART somo la 45: Jinai ys kutuma mysql database
DART somo la 39: mixin kwenye dart
DART somo la 15: parameter kwenye function za Dart
DART somo la 3: Aina za Data
DART somo la 29: Dart encapsulation
DART somo la 43: Stream kwenye Dart
Dart somo la 25: DART OOP Nini maaan ya class na vipi utaweza kuitengeneza
DART somo la 30 :Jinsi ya kutengeneza setter na geter kwenye OOP
DART somo la 2: syntax za dart