Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye dart, jisni ya kziandika na matumizi yake.
Function ni nini?
Function ni kifungu cha code (block of code) ambacho hufanya kazi maalumu. Function inaweza kufanya kazi kwa kujirudia rudia bila ya kikomo kila itakapoitwa. Function husaidia kutokurudiarudia kuandika code.
Mambo ya kuzingatia:
Jinsi ya kuandika function
Returntype name (){
Code
}
Hapo utaona kwanz aunaanza return type hii itafahamisha kuwa function yako ita rudisha data amba laa. Kama haitarudisha data tutaweka void. Baada ya return type inayofuata na name yaani jina la hiyo function, kisha utaweka mabano () ndani ya haya mabano tutakuja kuweka parameter. Kisha utaweka mabano {} ndani ya haya mabano ndipo utaweka code ambazo unataka zifanye kazi. Wacha tuone mifano huwenda ukaelewa zaidi:-
Mfano 1:
Tunatengeneza program ya kuandika neno bongoclass mara 10. Kwanza tuatatengeneza hiyo fnction ambayo ita print nrno bongoclass
void bongo(){
print('Bongoclass');
}
Kisha tutaiita (call) hiyo funcyion kwenye main().
bongo(){
print('Bongoclass');
}
void main(){
bongo(;
}
Sasa kama tutaiita mara 10 itaprint hilo neno mara 10
void bongo(){
print('Bongoclass');
}
void main(){
for(int x = 0; x<10; x++){
bongo();
}
}
Jinsi ya kuweka parameter kwenye function
Tuchukulie mfano kama huu wa mwanzo. Tunataka mtumiaji aweze kuandika kwenye we anataka neno bongoclass litokee mara ngapi. Kwa mfano akitaka litokee mara 6 ataandika 6 kwenye user input kisha function yetu itafanya kazi husika.
Sasa katika hali hiyo tutahitaji kuweka variable ambayo itawakilisha hiyo 6 atakayowekamtu. Hiyo variable ndio parameter kwa mfano tutaiita idadi. Na hiyo namba 6 atakayoinginza mtu huitwa argument. Kwa ufup tunasema parameter ni jina ila argument ni value yenyewe.
Parameter zinaweza kuwa option, default ama required. Tutakwenda kuziona kadiri somo linavyoenda.wacha tuone mfano ambao mtumiaji ataweka argument na program kutoa majibu
import 'dart:io';
void bongo(idadi){
for(int x = 0; x<idadi; x++){
print('Bongoclass');
}
}
void main(){
print('ANDIKA IDADI');
int idadi = int.parse(stdin.readLineSync()!);
bongo(idadi);
}
Kuna kitu hapa tunataka kujifunza kwanza. Ukiangalia hapo utaona variable tumeitengenezea nje ya function.int idadi = int.parse(stdin.readLineSync()!);
Sasa kama utaiweka kwenye function utaona kuna error
import 'dart:io';
void bongo(idadi){
int idadi = int.parse(stdin.readLineSync()!);
for(int x = 0; x<idadi; x++){
print('Bongoclass');
}
}
void main(){
print('ANDIKA IDADI');
bongo(idadi);
}
Sasa ili kutatua tatizo itatibidi mixin hii ni njia ambayo hutumika kufanya class iweze kufanya kazi zaidi na zaidi. Lakini hapa tunakwenda kufanya variable yetu iewe kupatikana kwenye ukurasa wote. Hivyo utaandika mixin ikifuatiwa na jina la hiyo variable ikifuatiwa na mabano {}.
import 'dart:io';
void bongo(idadi){...
Je! umeipenda hii post?
Rajabu
Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF
Share On
Facebook
or
Whatsapp
Imesomwa mara 314
Sponsored links
DART somo la 28: Named constructor na constant constructor kwenye OOP
DART somo la 37: Class interface
DART somo la 45: Jinai ys kutuma mysql database
DART somo la 13: function kwenye dart
DART somo la 12: Kuchukuwa user input kwenye Dart
DART somo la 18: Dart method zinazotumika kwenye List data type
DART SOMO LA 14: Aina za function kwenye Dart
DART somo la 8: Matumizi ya switch case
DART somo la 27: DART OOP: maana ya constructor method na jinsi inavyotumika kwenye OOP
DART somo la 40: factory constructor
DART somo la 32: Inheritance kwenye construct method:
DART somo la 22: Jinsi ya kutumia html library kwenye Dart
Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa
Ndio Hapana Save post
👉1 Kitabu cha Afya
👉2 kitabu cha Simulizi
👉3 Madrasa kiganjani
👉4 Kitau cha Fiqh
Post zifazofanana:-
Ka tika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya named constructor na constant constructor kwenye Object Oriented Programming. Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class interface na inavyotofautiana na class abstract Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya mysql kwenye Dart. hakikisha umeelewa vyema na kutekeleza yalioelekezwa kutoka kwenye somo lililopita. Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye dart, jisni ya kziandika na matumizi yake. Soma Zaidi...
Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Dart kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program. Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwenda kujifunza method yhinginge zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Dart. Soma Zaidi...
Katika somo hili tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo la function. Hapa tutakwenda kuona aina za function. Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu switch case na jinsi inavyofanya kazi kwenye Dart. Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwenda kujifunza jins ya kutengeneza constructor method, pia utajifunza matumizi yake kwenye OOP. Soma Zaidi...
Katika somo hiliutakwenda kujifunza aina nyingine ya constructor ambayo hutumika kwenye Dart. aina hiyo ni factory constructory. Soma Zaidi...
Katika masomo yaliopita tumesha jifunza jinsi inheritance inavyokuwa, ila hatujaona kwa namna gani utaweza ku inherit constructor method. Somo hili litashughulika na swla hilo. Soma Zaidi...
Katika somo hili tutakwenda kujifunz ajinsi ya kutumia library ya html kwenye Dart. somo hili litakupeleka kujifunza jinsi ya ku display dart output kwenye faili la html. Soma Zaidi...