Katika somo hli utakwend akujifunza kuhusu loop kwenye Dart. Loop zimegawanyika katika makundi mnne ambayo ni for loop, while loop, for in loop na do while loop.
For loop
Hii ni moja katika njia ya kurun code mara nyingi zaidi kulingana na masharti husika. For loop hutumika kama unaelewa ni mara ngapi code zako zinatakiwa ku run. Tuchukulie mfano tunataka kutengeneza tebo ya 7. Hapa code zetu zita run mara 12.
Jinsi ya kuandika for loop
For (initialization ; condition; increment/decrement){
Code
}
Kama unavyoona hapo kwanza utaanza na keyword for ikifuatiwa na mabano ambayo ndani yake utaanza na initial huu ni mwnzo ambapo program yako inatakiwa kuanza ku run..
Baada ya initialization itafuata kuweka condition yaabu sharti ambalo code zako zitaliangalia. Utatenganisha initialization na condition kwa kutumia alama hii ( ; ). Kisha itafuata increment au decrement. Operator. Kisha utaweka mabano {} ambayo ndani yake ndipo utaweka hizo code zitakazofanya kazi.
void main() {
print('TEBO YA 7');
for (int x = 1; x <=12; x++){
print(7*x);
}
}
Kuna namna zaidi tunaweza kuboresha code zetu. Ni kwa kutumia ${} hii hutumika kuweza kutumia interpolation (rejea string interpolation kwenye somo la type of data).
void main() {
print('TEBO YA 7');
for (int x = 1; x <=12; x++){
print('${x}*7 =${x*7}');
}
}
...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu method ambazo hutumika kwenye map data type
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu switch case na jinsi inavyofanya kazi kwenye Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hii utakwenda kujifunza kuhusu concept mixin na jinsi inavyoweza kutumika kwenye Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye dart, jisni ya kziandika na matumizi yake.
Soma Zaidi...Katika masomo yaliopita tumesha jifunza jinsi inheritance inavyokuwa, ila hatujaona kwa namna gani utaweza ku inherit constructor method. Somo hili litashughulika na swla hilo.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static property na jinsi ambavyo inavyotumika.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kuzungumzia kuhusu parameter kwenye Dart function. Pia tutakwenda kuona mambo mengine yanayohusu function
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujfunza kuhusu String method zinazotumika kwenye Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu break na continue kwenye Dart loop za for loop na while loop.
Soma Zaidi...Katika soo hili utakwenda kujifunza kuhusu reserved keywords katika Dart
Soma Zaidi...