Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu abstract class na abstract method kwenye Dart.
Abstract class ni nini?
Hii ni class yenye abstract method walau moja. Abstract method ni method ambayo ina umetajwa jina ila implementtation yake (yaani code zake kwa ajili ya kuifanyisha kazi) zitakuwepo kwenye subclass. Ufupi wa maneno hii ni method ambayo haina body hivyo yenyewe itatengenishwa kwa semicolon (;) na hutengenezwa kwa kutumia keyword abstract.
Mfano:
abstract class gari{
//abstract method
tangazo();
taarifa();
}
Hapo kuna abstract method 2 ambazo ni tangazo() na taarifa(). Sasa utaona hizo method zina jina tu lakini hazina body. Sasa body yake tutakwenda kuiona kwenye subclass.
abstract class gari{
//abstract method
tangazo();
taarifa();
}
class toyota extends gari{
@override
tangazo() {
// TODO: implement taarifa
print("Tunauza gari aina ya toyota");
}
@override
taarifa() {
// TODO: implement taarifa
print("Toyota imeuzwa");
}
}
class bugati extends gari{
@override
tangazo() {
// TODO: implement tangazo
print("Tunauza gari aina ya Bugati");
}
@override
taarifa() {
// TODO: implement taarifa
print("Bugati imeuzwa");
}
}
class tipa extends gari{
@override
tangazo() {
// TODO: implement taarifa
print("Tunauza gari aina ya Tipa");
}
@override
taarifa() {
// TODO: implement taarifa
print("Tipa limeuzwa");
}
}
void main(){
bugati bu = bugati();
bu.tangazo();
bu.taarifa();
print(" ");
toyota to = toyota();
to.tangazo();
to.taarifa();
print(" ");
tipa ti = tipa();
ti.tangazo();
ti.taarifa();
}
Mambo ya kuzingatia:
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika data kwenye faili. Kwanza utajifunza kutengeneza folda, kisha faili na kuweka data, kisha utajifunza kufuta fali.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator kwenye Dart, kazi zake na jinsi ya kuzitumia.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu inheritance, na inavyoweza kutumika kwenye Dart OOP.
Soma Zaidi...Katika soo hili utakwenda kujifunza kuhusu reserved keywords katika Dart
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data zinazotumika kwenye Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma na kuandika faili kwa kutumia Dart programming.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo la function. Hapa tutakwenda kuona aina za function.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya generics ili kuweza kufanya kazi na aina mbalimbali za data kwenye class.
Soma Zaidi...Katika somo hli utakwend akujifunza kuhusu loop kwenye Dart. Loop zimegawanyika katika makundi mnne ambayo ni for loop, while loop, for in loop na do while loop.
Soma Zaidi...Leo tutajifunza kuhusu majani ya kunde — mboga za kijani zinazotokana na mmea wa kunde (beans). Wengi hula mbegu za kunde pekee, wakisahau kuwa hata majani yake yana virutubisho vya thamani kubwa kwa mwili. Tutazungumzia vitamini, madini, na faida mbalimbali za kiafya zinazopatikana katika majani haya.
Soma Zaidi...