DART somo la 36: Abstract class kweye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu abstract class na abstract method kwenye Dart.

Abstract class ni nini?

Hii ni class yenye abstract method walau moja. Abstract method ni method ambayo ina umetajwa jina ila implementtation yake (yaani code zake kwa ajili ya kuifanyisha kazi) zitakuwepo kwenye subclass. Ufupi wa maneno hii ni method ambayo haina body hivyo yenyewe itatengenishwa kwa semicolon (;) na hutengenezwa kwa kutumia keyword abstract.

Mfano:

abstract class gari{

 //abstract method

 tangazo();

 taarifa();

}

 

Hapo kuna abstract method 2 ambazo ni tangazo()  na taarifa(). Sasa utaona hizo method zina jina tu lakini hazina body. Sasa body yake tutakwenda kuiona kwenye subclass.

abstract class gari{

 //abstract method

 tangazo();

 taarifa();

}

 

class toyota extends gari{

 @override

 tangazo() {

   // TODO: implement taarifa

   print("Tunauza gari aina ya toyota");

 }

 @override

 taarifa() {

   // TODO: implement taarifa

   print("Toyota imeuzwa");

 }

 

}

 

class bugati extends gari{

 @override

 tangazo() {

   // TODO: implement tangazo

   print("Tunauza gari aina ya Bugati");

 }

 @override

 taarifa() {

   // TODO: implement taarifa

   print("Bugati imeuzwa");

 }

}

 

class tipa extends gari{

 @override

 tangazo() {

   // TODO: implement taarifa

   print("Tunauza gari aina ya Tipa");

 }

 

 @override

 taarifa() {

   // TODO: implement taarifa

   print("Tipa limeuzwa");

 }

}

 

void main(){

 bugati bu = bugati();

 bu.tangazo();

 bu.taarifa();

 print(" ");

 

 toyota to = toyota();

 to.tangazo();

 to.taarifa();

 print(" ");

 

 tipa ti = tipa();

 ti.tangazo();

 ti.taarifa();

 

}

 

 

Mambo ya kuzingatia:

  1. Huwezi kutengeneza object kwa kutumia abstract class
  2. Unaweza kuwa na abstract method na method ambazo sio abstract
  3. Abstract method inakuwa na signator moja tu.
  4. ">...

    Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

    Zoezi la Maswali

    Nyuma Endelea


    Umeionaje Makala hii.. ?

    Nzuri            Mbaya            Save
    Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: DART Main: ICT File: Download PDF Views 697

    Share On:

    Facebook WhatsApp
    Sponsored links
    👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Kitau cha Fiqh   

    Post zinazofanana:

    DART somo la 19: method zinazotumika kwenye set data type kwenye Dart

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 8: Matumizi ya switch case

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu switch case na jinsi inavyofanya kazi kwenye Dart.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 44: Jinsi ya ku install mysql kwenye program ya dart

    Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuunganisha databse na Dart. Pia utajifunza jinsi ya kuset environment kwenye kompyuta ili kuweza kutumia Dart sdk kwenye CMD.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 45: Jinai ys kutuma mysql database

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya mysql kwenye Dart. hakikisha umeelewa vyema na kutekeleza yalioelekezwa kutoka kwenye somo lililopita.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 32: Inheritance kwenye construct method:

    Katika masomo yaliopita tumesha jifunza jinsi inheritance inavyokuwa, ila hatujaona kwa namna gani utaweza ku inherit constructor method. Somo hili litashughulika na swla hilo.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 6: Dart operator na jinsi zinavyofanya kazi.

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator kwenye Dart, kazi zake na jinsi ya kuzitumia.

    Soma Zaidi...
    DART SOMO LA 14: Aina za function kwenye Dart

    Katika somo hili tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo la function. Hapa tutakwenda kuona aina za function.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 37: Class interface

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class interface na inavyotofautiana na class abstract

    Soma Zaidi...
    DART somo la 13: function kwenye dart

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye dart, jisni ya kziandika na matumizi yake.

    Soma Zaidi...
    DART - somo la 1: Kazi za dart programming na historia yake

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu kazi za dart language. Pia nimekuandalia istoria fupi ya lugha ya DART.

    Soma Zaidi...