DART somo la 36: Abstract class kweye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu abstract class na abstract method kwenye Dart.

Abstract class ni nini?

Hii ni class yenye abstract method walau moja. Abstract method ni method ambayo ina umetajwa jina ila implementtation yake (yaani code zake kwa ajili ya kuifanyisha kazi) zitakuwepo kwenye subclass. Ufupi wa maneno hii ni method ambayo haina body hivyo yenyewe itatengenishwa kwa semicolon (;) na hutengenezwa kwa kutumia keyword abstract.

Mfano:

abstract class gari{

 //abstract method

 tangazo();

 taarifa();

}

 

Hapo kuna abstract method 2 ambazo ni tangazo()  na taarifa(). Sasa utaona hizo method zina jina tu lakini hazina body. Sasa body yake tutakwenda kuiona kwenye subclass.

abstract class gari{

 //abstract method

 tangazo();

 taarifa();

}

 

class toyota extends gari{

 @override

 tangazo() {

   // TODO: implement taarifa

   print("Tunauza gari aina ya toyota");

 }

 @override

 taarifa() {

   // TODO: implement taarifa

   print("Toyota imeuzwa");

 }

 

}

 

class bugati extends gari{

 @override

 tangazo() {

   // TODO: implement tangazo

   print("Tunauza gari aina ya Bugati");

 }

 @override

 taarifa() {

   // TODO: implement taarifa

   print("Bugati imeuzwa");

 }

}

 

class tipa extends gari{

 @override

 tangazo() {

   // TODO: implement taarifa

   print("Tunauza gari aina ya Tipa");

 }

 

 @override

 taarifa() {

   // TODO: implement taarifa

   print("Tipa limeuzwa");

 }

}

 

void main(){

 bugati bu = bugati();

 bu.tangazo();

 bu.taarifa();

 print(" ");

 

 toyota to = toyota();

 to.tangazo();

 to.taarifa();

 print(" ");

 

 tipa ti = tipa();

 ti.tangazo();

 ti.taarifa();

 

}

 

 

Mambo ya kuzingatia:

  1. Huwezi kutengeneza object kwa kutumia abstract class
  2. Unaweza kuwa na abstract method na method ambazo sio abstract
  3. Abstract method inakuwa na signator moja tu.
  4. ">...

    Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

    Zoezi la Maswali

    Nyuma Endelea


    Umeionaje Makala hii.. ?

    Nzuri            Mbaya            Save
    Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: DART Main: ICT File: Download PDF Views 970

    Share On:

    Facebook WhatsApp
    Sponsored links
    👉1 Dua za Mitume na Manabii    👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 web hosting    👉6 Kitabu cha Afya   

    Post zinazofanana:

    DART somo la 22: Jinsi ya kutumia html library kwenye Dart

    Katika somo hili tutakwenda kujifunz ajinsi ya kutumia library ya html kwenye Dart. somo hili litakupeleka kujifunza jinsi ya ku display dart output kwenye faili la html.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 24: Dart OOP maana ya Object Oriented Programming kwenye Dart

    Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya OOP na faida zake. Pia utakwenda kujifunza kuhusu features za OOP.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 12: Kuchukuwa user input kwenye Dart

    Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Dart kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 15: parameter kwenye function za Dart

    Katika somo hili tutakwenda kuzungumzia kuhusu parameter kwenye Dart function. Pia tutakwenda kuona mambo mengine yanayohusu function

    Soma Zaidi...
    DART somo la 13: function kwenye dart

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye dart, jisni ya kziandika na matumizi yake.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 30 :Jinsi ya kutengeneza setter na geter kwenye OOP

    Katika somo hili tutakwenda kujifunza zaidi kuhusu method za getter na setter. Tutakwenda kuona hasa zinavyotumika na zinavyotengenezwa.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 24: Jinsi ya kutengeneza faili, folda na kuingiza data

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika data kwenye faili. Kwanza utajifunza kutengeneza folda, kisha faili na kuweka data, kisha utajifunza kufuta fali.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 3: Aina za Data

    Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data zinazotumika kwenye Dart.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 39: mixin kwenye dart

    Katika somo hii utakwenda kujifunza kuhusu concept mixin na jinsi inavyoweza kutumika kwenye Dart.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 9: for loop na for in loop kwenye dart, kazi zake na jinsi ya kuadika

    Katika somo hli utakwend akujifunza kuhusu loop kwenye Dart. Loop zimegawanyika katika makundi mnne ambayo ni for loop, while loop, for in loop na do while loop.

    Soma Zaidi...