DART somo la 36: Abstract class kweye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu abstract class na abstract method kwenye Dart.

Abstract class ni nini?

Hii ni class yenye abstract method walau moja. Abstract method ni method ambayo ina umetajwa jina ila implementtation yake (yaani code zake kwa ajili ya kuifanyisha kazi) zitakuwepo kwenye subclass. Ufupi wa maneno hii ni method ambayo haina body hivyo yenyewe itatengenishwa kwa semicolon (;) na hutengenezwa kwa kutumia keyword abstract.

Mfano:

abstract class gari{

 //abstract method

 tangazo();

 taarifa();

}

 

Hapo kuna abstract method 2 ambazo ni tangazo()  na taarifa(). Sasa utaona hizo method zina jina tu lakini hazina body. Sasa body yake tutakwenda kuiona kwenye subclass.

abstract class gari{

 //abstract method

 tangazo();

 taarifa();

}

 

class toyota extends gari{

 @override

 tangazo() {

   // TODO: implement taarifa

   print("Tunauza gari aina ya toyota");

 }

 @override

 taarifa() {

   // TODO: implement taarifa

   print("Toyota imeuzwa");

 }

 

}

 

class bugati extends gari{

 @override

 tangazo() {

   // TODO: implement tangazo

   print("Tunauza gari aina ya Bugati");

 }

 @override

 taarifa() {

   // TODO: implement taarifa

   print("Bugati imeuzwa");

 }

}

 

class tipa extends gari{

 @override

 tangazo() {

   // TODO: implement taarifa

   print("Tunauza gari aina ya Tipa");

 }

 

 @override

 taarifa() {

   // TODO: implement taarifa

   print("Tipa limeuzwa");

 }

}

 

void main(){

 bugati bu = bugati();

 bu.tangazo();

 bu.taarifa();

 print(" ");

 

 toyota to = toyota();

 to.tangazo();

 to.taarifa();

 print(" ");

 

 tipa ti = tipa();

 ti.tangazo();

 ti.taarifa();

 

}

 

 

Mambo ya kuzingatia:

  1. Huwezi kutengeneza object kwa kutumia abstract class
  2. Unaweza kuwa na abstract method na method ambazo sio abstract
  3. Abstract method inakuwa na signator moja tu.
  4. ">...

    Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

    Zoezi la Maswali

    Nyuma Endelea


    Umeionaje Makala hii.. ?

    Nzuri            Mbaya            Save
    Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: DART Main: ICT File: Download PDF Views 930

    Share On:

    Facebook WhatsApp
    Sponsored links
    👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 web hosting    👉6 Dua za Mitume na Manabii   

    Post zinazofanana:

    DART somo la 19: method zinazotumika kwenye set data type kwenye Dart

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 31: inheritance kwenye DART OOP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu inheritance, na inavyoweza kutumika kwenye Dart OOP.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 3: Aina za Data

    Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data zinazotumika kwenye Dart.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 45: Jinai ys kutuma mysql database

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya mysql kwenye Dart. hakikisha umeelewa vyema na kutekeleza yalioelekezwa kutoka kwenye somo lililopita.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 10: while loop na do while loop kwenye Dart

    Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu while loop na do while loop zinavyofanya kazi katika Dart.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 41: concept ya generic kwenye dart

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya generics ili kuweza kufanya kazi na aina mbalimbali za data kwenye class.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 22: Jinsi ya kutumia html library kwenye Dart

    Katika somo hili tutakwenda kujifunz ajinsi ya kutumia library ya html kwenye Dart. somo hili litakupeleka kujifunza jinsi ya ku display dart output kwenye faili la html.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 7: matumizi ya if, else, if else, else if kwenye Dart

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu namna ambavyo program inaweza kufanya maamuzi kulingana na mashart fulani.ama namna ambavyo program inaweza ku run code zaii ya mara moja kulingana na mashart. Hapa tutazingumzia flow of control statement

    Soma Zaidi...
    DART somo la 24: Jinsi ya kutengeneza faili, folda na kuingiza data

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika data kwenye faili. Kwanza utajifunza kutengeneza folda, kisha faili na kuweka data, kisha utajifunza kufuta fali.

    Soma Zaidi...
    Dart somo la 25: DART OOP Nini maaan ya class na vipi utaweza kuitengeneza

    Katika somo hili utajifunza maana ya class kwenye OOP paradigm, kisha utajifunza jinsi ya kutengeneza class.

    Soma Zaidi...