DART somo la 36: Abstract class kweye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu abstract class na abstract method kwenye Dart.

Abstract class ni nini?

Hii ni class yenye abstract method walau moja. Abstract method ni method ambayo ina umetajwa jina ila implementtation yake (yaani code zake kwa ajili ya kuifanyisha kazi) zitakuwepo kwenye subclass. Ufupi wa maneno hii ni method ambayo haina body hivyo yenyewe itatengenishwa kwa semicolon (;) na hutengenezwa kwa kutumia keyword abstract.

Mfano:

abstract class gari{

 //abstract method

 tangazo();

 taarifa();

}

 

Hapo kuna abstract method 2 ambazo ni tangazo()  na taarifa(). Sasa utaona hizo method zina jina tu lakini hazina body. Sasa body yake tutakwenda kuiona kwenye subclass.

abstract class gari{

 //abstract method

 tangazo();

 taarifa();

}

 

class toyota extends gari{

 @override

 tangazo() {

   // TODO: implement taarifa

   print("Tunauza gari aina ya toyota");

 }

 @override

 taarifa() {

   // TODO: implement taarifa

   print("Toyota imeuzwa");

 }

 

}

 

class bugati extends gari{

 @override

 tangazo() {

   // TODO: implement tangazo

   print("Tunauza gari aina ya Bugati");

 }

 @override

 taarifa() {

   // TODO: implement taarifa

   print("Bugati imeuzwa");

 }

}

 

class tipa extends gari{

 @override

 tangazo() {

   // TODO: implement taarifa

   print("Tunauza gari aina ya Tipa");

 }

 

 @override

 taarifa() {

   // TODO: implement taarifa

   print("Tipa limeuzwa");

 }

}

 

void main(){

 bugati bu = bugati();

 bu.tangazo();

 bu.taarifa();

 print(" ");

 

 toyota to = toyota();

 to.tangazo();

 to.taarifa();

 print(" ");

 

 tipa ti = tipa();

 ti.tangazo();

 ti.taarifa();

 

}

 

 

Mambo ya kuzingatia:

  1. Huwezi kutengeneza object kwa kutumia abstract class
  2. Unaweza kuwa na abstract method na method ambazo sio abstract
  3. Abstract method inakuwa na signator moja tu.
  4. ">...

    Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

    Zoezi la Maswali

    Nyuma Endelea


    Umeionaje Makala hii.. ?

    Nzuri            Mbaya            Save
    Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: DART Main: ICT File: Download PDF Views 661

    Share On:

    Facebook WhatsApp
    Sponsored links
    👉1 Kitabu cha Afya    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

    Post zinazofanana:

    DART somo la 23: Jinsi ya kusoma mafaili kwa kutumia Dart

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma na kuandika faili kwa kutumia Dart programming.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 33 concept ya polymorphism

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya polymorphism.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 13: function kwenye dart

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye dart, jisni ya kziandika na matumizi yake.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 37: Class interface

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class interface na inavyotofautiana na class abstract

    Soma Zaidi...
    DART somo la 28: Named constructor na constant constructor kwenye OOP

    Ka tika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya named constructor na constant constructor kwenye Object Oriented Programming.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 39: mixin kwenye dart

    Katika somo hii utakwenda kujifunza kuhusu concept mixin na jinsi inavyoweza kutumika kwenye Dart.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 11:break and continue statement kwenye Dat loop

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu break na continue kwenye Dart loop za for loop na while loop.

    Soma Zaidi...
    Dart somo la 26: DART OOP maana ya object, na jinsi ya kuitengeneza kwenye OOP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza Object pamoja na properties. Haa kwa ufupi tutakwenda kujifunza jinsi ya kutumia class.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 5: Reserved keywords kwenye lugah ya Dart

    Katika soo hili utakwenda kujifunza kuhusu reserved keywords katika Dart

    Soma Zaidi...
    DART somo la 6: Dart operator na jinsi zinavyofanya kazi.

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator kwenye Dart, kazi zake na jinsi ya kuzitumia.

    Soma Zaidi...