Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu abstract class na abstract method kwenye Dart.
Abstract class ni nini?
Hii ni class yenye abstract method walau moja. Abstract method ni method ambayo ina umetajwa jina ila implementtation yake (yaani code zake kwa ajili ya kuifanyisha kazi) zitakuwepo kwenye subclass. Ufupi wa maneno hii ni method ambayo haina body hivyo yenyewe itatengenishwa kwa semicolon (;) na hutengenezwa kwa kutumia keyword abstract.
Mfano:
abstract class gari{
//abstract method
tangazo();
taarifa();
}
Hapo kuna abstract method 2 ambazo ni tangazo() na taarifa(). Sasa utaona hizo method zina jina tu lakini hazina body. Sasa body yake tutakwenda kuiona kwenye subclass.
abstract class gari{
//abstract method
tangazo();
taarifa();
}
class toyota extends gari{
@override
tangazo() {
// TODO: implement taarifa
print("Tunauza gari aina ya toyota");
}
@override
taarifa() {
// TODO: implement taarifa
print("Toyota imeuzwa");
}
}
class bugati extends gari{
@override
tangazo() {
// TODO: implement tangazo
print("Tunauza gari aina ya Bugati");
}
@override
taarifa() {
// TODO: implement taarifa
print("Bugati imeuzwa");
}
}
class tipa extends gari{
@override
tangazo() {
// TODO: implement taarifa
print("Tunauza gari aina ya Tipa");
}
@override
taarifa() {
// TODO: implement taarifa
print("Tipa limeuzwa");
}
}
void main(){
bugati bu = bugati();
bu.tangazo();
bu.taarifa();
print(" ");
toyota to = toyota();
to.tangazo();
to.taarifa();
print(" ");
tipa ti = tipa();
ti.tangazo();
ti.taarifa();
}
Mambo ya kuzingatia:
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo lililopita tumejifunza kuhusu sintaksia za dart. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza variable kwenye Dart.
Soma Zaidi...Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Dart kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya mysql kwenye Dart. hakikisha umeelewa vyema na kutekeleza yalioelekezwa kutoka kwenye somo lililopita.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye dart, jisni ya kziandika na matumizi yake.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya OOP na faida zake. Pia utakwenda kujifunza kuhusu features za OOP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya class kwenye OOP paradigm, kisha utajifunza jinsi ya kutengeneza class.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data zinazotumika kwenye Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza method yhinginge zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu namna ambavyo program inaweza kufanya maamuzi kulingana na mashart fulani.ama namna ambavyo program inaweza ku run code zaii ya mara moja kulingana na mashart. Hapa tutazingumzia flow of control statement
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo la function. Hapa tutakwenda kuona aina za function.
Soma Zaidi...