picha

DART somo la 36: Abstract class kweye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu abstract class na abstract method kwenye Dart.

Abstract class ni nini?

Hii ni class yenye abstract method walau moja. Abstract method ni method ambayo ina umetajwa jina ila implementtation yake (yaani code zake kwa ajili ya kuifanyisha kazi) zitakuwepo kwenye subclass. Ufupi wa maneno hii ni method ambayo haina body hivyo yenyewe itatengenishwa kwa semicolon (;) na hutengenezwa kwa kutumia keyword abstract.

Mfano:

abstract class gari{

 //abstract method

 tangazo();

 taarifa();

}

 

Hapo kuna abstract method 2 ambazo ni tangazo()  na taarifa(). Sasa utaona hizo method zina jina tu lakini hazina body. Sasa body yake tutakwenda kuiona kwenye subclass.

abstract class gari{

 //abstract method

 tangazo();

 taarifa();

}

 

class toyota extends gari{

 @override

 tangazo() {

   // TODO: implement taarifa

   print("Tunauza gari aina ya toyota");

 }

 @override

 taarifa() {

   // TODO: implement taarifa

   print("Toyota imeuzwa");

 }

 

}

 

class bugati extends gari{

 @override

 tangazo() {

   // TODO: implement tangazo

   print("Tunauza gari aina ya Bugati");

 }

 @override

 taarifa() {

   // TODO: implement taarifa

   print("Bugati imeuzwa");

 }

}

 

class tipa extends gari{

 @override

 tangazo() {

   // TODO: implement taarifa

   print("Tunauza gari aina ya Tipa");

 }

 

 @override

 taarifa() {

   // TODO: implement taarifa

   print("Tipa limeuzwa");

 }

}

 

void main(){

 bugati bu = bugati();

 bu.tangazo();

 bu.taarifa();

 print(" ");

 

 toyota to = toyota();

 to.tangazo();

 to.taarifa();

 print(" ");

 

 tipa ti = tipa();

 ti.tangazo();

 ti.taarifa();

 

}

 

 

Mambo ya kuzingatia:

  1. Huwezi kutengeneza object kwa kutumia abstract class
  2. Unaweza kuwa na abstract method na method ambazo sio abstract
  3. Abstract method inakuwa na signator moja tu.
  4. ">...

    Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

    Zoezi la Maswali

    Nyuma Endelea


    Umeionaje Makala hii.. ?

    Nzuri            Mbaya            Save
    Author: Rajabu image Tarehe: 2023-12-17 Topic: DART Main: ICT File: Download PDF Views 1274

    Share On:

    Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
    Sponsored links
    👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 web hosting    👉4 ai web app    👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉6 Dua za Mitume na Manabii   

    Post zinazofanana:

    DART somo la 31: inheritance kwenye DART OOP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu inheritance, na inavyoweza kutumika kwenye Dart OOP.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 35: Enum kwenye Dart:

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu enum na inavyotumika kwenye Dart.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 18: Dart method zinazotumika kwenye List data type

    Katika somo hili utakwenda kujifunza method yhinginge zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Dart.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 9: for loop na for in loop kwenye dart, kazi zake na jinsi ya kuadika

    Katika somo hli utakwend akujifunza kuhusu loop kwenye Dart. Loop zimegawanyika katika makundi mnne ambayo ni for loop, while loop, for in loop na do while loop.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 17: method za namba zinazotumika kwenye dart

    Katika somo hili utakwenda kuziona method za dart zinazotumika kwenye namba. pia utajifunzakuhusu math library

    Soma Zaidi...
    DART somo la 45: Jinai ys kutuma mysql database

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya mysql kwenye Dart. hakikisha umeelewa vyema na kutekeleza yalioelekezwa kutoka kwenye somo lililopita.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 40: factory constructor

    Katika somo hiliutakwenda kujifunza aina nyingine ya constructor ambayo hutumika kwenye Dart. aina hiyo ni factory constructory.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 5: Reserved keywords kwenye lugah ya Dart

    Katika soo hili utakwenda kujifunza kuhusu reserved keywords katika Dart

    Soma Zaidi...
    DART somo la 27: DART OOP: maana ya constructor method na jinsi inavyotumika kwenye OOP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jins ya kutengeneza constructor method, pia utajifunza matumizi yake kwenye OOP.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 4: Jinsi ya kuandika na kutumia variable kwenye Dart

    Katika somo lililopita tumejifunza kuhusu sintaksia za dart. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza variable kwenye Dart.

    Soma Zaidi...