picha

DART somo la 45: Jinai ys kutuma mysql database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya mysql kwenye Dart. hakikisha umeelewa vyema na kutekeleza yalioelekezwa kutoka kwenye somo lililopita.

Sasa rudi kwenye software yako uliokuwa ukitumia toka masomo yaliotangulia. Kwa mimi natumia webstorm hivyo nitaifunguwa webstorm kisha nita open project ambayo yumeitengeneza. Kumbuka utaikuta kwenye disk c kama ilivyoelekezwa kwenye somo lililopita.

 

Baada ya kuifunguwa project yako utaona kuna mafolda na mafaili kadhaa kama inavyoonyeshwa kwenye picha hapo chini. Unachotakiw akufanya nikubofya folda lililoandikwa bin humo utakuta faili limendaika tehama.dart hilo ndio faili ambalo tutakwenda kulifanyia kazi.

 

Humo utakuta kuna baadhi ya code tayari zipo sasa futa zote pawe patupu, ili tuanze upya kabisa. Kwanza kabisa tutaanza na ku import dart mysql package kwa kutumia import 'package:mysql1/mysql1.dart';

 

Hakikisha tayari una jina la database, username, na password ya hiyo database.  Sasa vizuri uwe na database kutoka kwenye real hosting, hata hivyo unaweza kutumia free kama nilivyokuelekeza katika somo lililopita, ijapokuwa database za free baadhi ya vipengele vinaweza vikasumbuwa. Hapa nakwenda kutumia real database kutoka kwenye hosting ya kulipia,  hivyo ni matumaini yangu utaelewa vyema.

 

  1. Jinsi ya kuunganisha database:

Hatuwa ya kwanza ni kuu ganisha database yako.

import 'package:mysql1/mysql1.dart';

import 'package:test/expect.dart';

import 'dart:async';

 

Future main() async {

 //funguwa connection

 final conn = await MySqlConnection.connect(ConnectionSettings(

     host: 'mydbhost.com',

     port: 3306,

     user: 'test',

     db: 'user_test',

     password: 'pass'));

if(conn !=isNull){

 print("connected");

}else{

 print("failed to connect");

}

 await conn.close();

}

Hapo nimetumia async  programming kwa ajili ya kupata future.kisha nikatengeneza fariable ambayo itatumia kuangalia connection ambayo ni conn. Baada ya hapo hatuwa inayofuata ni kutengeneza table. Mpaka sasa kwenye database yangu hakuna table.

 

Nakwenda kutengeneza table yenye column 3 ambazo ni id, jina, email. Tafadhali rejea mafunzo ya datbase kama concept hizi za kutumia dtabase zinakusumbuwa tutatumia query hii CREATE TABLE users (id int NOT NULL AUTO_INCREMENT PRIMARY KEY, name varchar(255), email varchar(255), age int

 

Angalia mfano hapo chini:-

import 'package:mysql1/mysql1.dart';

import 'package:test/expect.dart';

import 'dart:async';

 

Future main() async {

 //funguwa connection

 final conn = await MySqlConnection.connect(ConnectionSettings(

     host: 'mydbhost.com',

     port: 3306,

     user: 'test',

     db: 'user_test',

     password: 'pass'));

if(conn !=isNull){

 print("connected");

}else{

 print("failed to connect");

}

 

// Create a table

 await conn.query(

     'CREATE TABLE users (id int NOT NULL AUTO_INCREMENT PRIMARY KEY, name varchar(255), email varchar(255), age int)');

 

 

 await conn.close();

}

 

Hapo utaona tayari database yetu ina table ya users yenye column 4 mabzo ni id, age, name na email. Hatuwa inayouata ni kuingiza data kwenye table yetu.

import 'package:mysql1/mysql1.dart';

import 'package:test/expect.dart';

import 'dart:async';

 

Future main() async {

 //funguwa connection

 final conn = await MySqlConnection.connect(ConnectionSettings(

     host: 'mydbhost.com',

     port: 3306,

     user: 'test',

     db: 'user_test',

     password: 'pass'));

if(conn !=isNull){

 print("connected");

}else{

 print("failed to connect");

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: DART Main: Masomo File: Download PDF Views 1610

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Bongolite - Game zone - Play free game     👉4 Madrasa kiganjani     👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    

Post zinazofanana:

DART somo la 24: Jinsi ya kutengeneza faili, folda na kuingiza data

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika data kwenye faili. Kwanza utajifunza kutengeneza folda, kisha faili na kuweka data, kisha utajifunza kufuta fali.

Soma Zaidi...
DART somo la 29: Dart encapsulation

Katika somo hili tutawenda kujifunza kuhusu encapsulatio kwenye Dart OOP na jinsi inavyoweza kutumika.

Soma Zaidi...
DART somo la 2: syntax za dart

Katika somo hili tutatkwenda kuziona baadhi ya xyntax yaani kanunu za uandishi wa code za dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 18: Dart method zinazotumika kwenye List data type

Katika somo hili utakwenda kujifunza method yhinginge zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 11:break and continue statement kwenye Dat loop

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu break na continue kwenye Dart loop za for loop na while loop.

Soma Zaidi...
DART somo la 41: concept ya generic kwenye dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya generics ili kuweza kufanya kazi na aina mbalimbali za data kwenye class.

Soma Zaidi...