DART somo la 45: Jinai ys kutuma mysql database
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya mysql kwenye Dart. hakikisha umeelewa vyema na kutekeleza yalioelekezwa kutoka kwenye somo lililopita.
Sasa rudi kwenye software yako uliokuwa ukitumia toka masomo yaliotangulia. Kwa mimi natumia webstorm hivyo nitaifunguwa webstorm kisha nita open project ambayo yumeitengeneza. Kumbuka utaikuta kwenye disk c kama ilivyoelekezwa kwenye somo lililopita.
Baada ya kuifunguwa project yako utaona kuna mafolda na mafaili kadhaa kama inavyoonyeshwa kwenye picha hapo chini. Unachotakiw akufanya nikubofya folda lililoandikwa bin humo utakuta faili limendaika tehama.dart hilo ndio faili ambalo tutakwenda kulifanyia kazi.
Humo utakuta kuna baadhi ya code tayari zipo sasa futa zote pawe patupu, ili tuanze upya kabisa. Kwanza kabisa tutaanza na ku import dart mysql package kwa kutumia import 'package:mysql1/mysql1.dart';
Hakikisha tayari una jina la database, username, na password ya hiyo database. Sasa vizuri uwe na database kutoka kwenye real hosting, hata hivyo unaweza kutumia free kama nilivyokuelekeza katika somo lililopita, ijapokuwa database za free baadhi ya vipengele vinaweza vikasumbuwa. Hapa nakwenda kutumia real database kutoka kwenye hosting ya kulipia, hivyo ni matumaini yangu utaelewa vyema.
- Jinsi ya kuunganisha database:
Hatuwa ya kwanza ni kuu ganisha database yako.
import 'package:mysql1/mysql1.dart';
import 'package:test/expect.dart';
import 'dart:async';
Future main() async {
//funguwa connection
final conn = await MySqlConnection.connect(ConnectionSettings(
host: 'mydbhost.com',
port: 3306,
user: 'test',
db: 'user_test',
password: 'pass'));
if(conn !=isNull){
print("connected");
}else{
print("failed to connect");
}
await conn.close();
}
Hapo nimetumia async programming kwa ajili ya kupata future.kisha nikatengeneza fariable ambayo itatumia kuangalia connection ambayo ni conn. Baada ya hapo hatuwa inayofuata ni kutengeneza table. Mpaka sasa kwenye database yangu hakuna table.
Nakwenda kutengeneza table yenye column 3 ambazo ni id, jina, email. Tafadhali rejea mafunzo ya datbase kama concept hizi za kutumia dtabase zinakusumbuwa tutatumia query hii CREATE TABLE users (id int NOT NULL AUTO_INCREMENT PRIMARY KEY, name varchar(255), email varchar(255), age int
Angalia mfano hapo chini:-
import 'package:mysql1/mysql1.dart';
import 'package:test/expect.dart';
import 'dart:async';
Future main() async {
//funguwa connection
final conn = await MySqlConnection.connect(ConnectionSettings(
host: 'mydbhost.com',
port: 3306,
user: 'test',
db: 'user_test',
password: 'pass'));
if(conn !=isNull){
print("connected");
}else{
print("failed to connect");
}
// Create a table
await conn.query(
'CREATE TABLE users (id int NOT NULL AUTO_INCREMENT PRIMARY KEY, name varchar(255), email varchar(255), age int)');
await conn.close();
}
Hapo utaona tayari database yetu ina table ya users yenye column 4 mabzo ni id, age, name na email. Hatuwa inayouata ni kuingiza data kwenye table yetu.
import 'package:mysql1/mysql1.dart';
import 'package:test/expect.dart';
import 'dart:async';
Future main() async {
//funguwa connection
final conn = await MySqlConnection.connect(ConnectionSettings(
host: 'mydbhost.com',
port: 3306,
user: 'test',
db: 'user_test',
password: 'pass'));
if(conn !=isNull){
print("connected");
}else{
print("failed to connect");
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Kitau cha Fiqh 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 Bongolite - Game zone - Play free game 👉4 Dua za Mitume na Manabii 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 ai web app
Post zinazofanana:
DART somo la 4: Jinsi ya kuandika na kutumia variable kwenye Dart
Katika somo lililopita tumejifunza kuhusu sintaksia za dart. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza variable kwenye Dart.
Soma Zaidi...DART somo la 28: Named constructor na constant constructor kwenye OOP
Ka tika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya named constructor na constant constructor kwenye Object Oriented Programming.
Soma Zaidi...Dart somo la 25: DART OOP Nini maaan ya class na vipi utaweza kuitengeneza
Katika somo hili utajifunza maana ya class kwenye OOP paradigm, kisha utajifunza jinsi ya kutengeneza class.
Soma Zaidi...Dart somo la 26: DART OOP maana ya object, na jinsi ya kuitengeneza kwenye OOP
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza Object pamoja na properties. Haa kwa ufupi tutakwenda kujifunza jinsi ya kutumia class.
Soma Zaidi...DART somo la 24: Dart OOP maana ya Object Oriented Programming kwenye Dart
Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya OOP na faida zake. Pia utakwenda kujifunza kuhusu features za OOP.
Soma Zaidi...DART somo la 44: Jinsi ya ku install mysql kwenye program ya dart
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuunganisha databse na Dart. Pia utajifunza jinsi ya kuset environment kwenye kompyuta ili kuweza kutumia Dart sdk kwenye CMD.
Soma Zaidi...