picha

DART somo la 45: Jinai ys kutuma mysql database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya mysql kwenye Dart. hakikisha umeelewa vyema na kutekeleza yalioelekezwa kutoka kwenye somo lililopita.

Sasa rudi kwenye software yako uliokuwa ukitumia toka masomo yaliotangulia. Kwa mimi natumia webstorm hivyo nitaifunguwa webstorm kisha nita open project ambayo yumeitengeneza. Kumbuka utaikuta kwenye disk c kama ilivyoelekezwa kwenye somo lililopita.

 

Baada ya kuifunguwa project yako utaona kuna mafolda na mafaili kadhaa kama inavyoonyeshwa kwenye picha hapo chini. Unachotakiw akufanya nikubofya folda lililoandikwa bin humo utakuta faili limendaika tehama.dart hilo ndio faili ambalo tutakwenda kulifanyia kazi.

 

Humo utakuta kuna baadhi ya code tayari zipo sasa futa zote pawe patupu, ili tuanze upya kabisa. Kwanza kabisa tutaanza na ku import dart mysql package kwa kutumia import 'package:mysql1/mysql1.dart';

 

Hakikisha tayari una jina la database, username, na password ya hiyo database.  Sasa vizuri uwe na database kutoka kwenye real hosting, hata hivyo unaweza kutumia free kama nilivyokuelekeza katika somo lililopita, ijapokuwa database za free baadhi ya vipengele vinaweza vikasumbuwa. Hapa nakwenda kutumia real database kutoka kwenye hosting ya kulipia,  hivyo ni matumaini yangu utaelewa vyema.

 

  1. Jinsi ya kuunganisha database:

Hatuwa ya kwanza ni kuu ganisha database yako.

import 'package:mysql1/mysql1.dart';

import 'package:test/expect.dart';

import 'dart:async';

 

Future main() async {

 //funguwa connection

 final conn = await MySqlConnection.connect(ConnectionSettings(

     host: 'mydbhost.com',

     port: 3306,

     user: 'test',

     db: 'user_test',

     password: 'pass'));

if(conn !=isNull){

 print("connected");

}else{

 print("failed to connect");

}

 await conn.close();

}

Hapo nimetumia async  programming kwa ajili ya kupata future.kisha nikatengeneza fariable ambayo itatumia kuangalia connection ambayo ni conn. Baada ya hapo hatuwa inayofuata ni kutengeneza table. Mpaka sasa kwenye database yangu hakuna table.

 

Nakwenda kutengeneza table yenye column 3 ambazo ni id, jina, email. Tafadhali rejea mafunzo ya datbase kama concept hizi za kutumia dtabase zinakusumbuwa tutatumia query hii CREATE TABLE users (id int NOT NULL AUTO_INCREMENT PRIMARY KEY, name varchar(255), email varchar(255), age int

 

Angalia mfano hapo chini:-

import 'package:mysql1/mysql1.dart';

import 'package:test/expect.dart';

import 'dart:async';

 

Future main() async {

 //funguwa connection

 final conn = await MySqlConnection.connect(ConnectionSettings(

     host: 'mydbhost.com',

     port: 3306,

     user: 'test',

     db: 'user_test',

     password: 'pass'));

if(conn !=isNull){

 print("connected");

}else{

 print("failed to connect");

}

 

// Create a table

 await conn.query(

     'CREATE TABLE users (id int NOT NULL AUTO_INCREMENT PRIMARY KEY, name varchar(255), email varchar(255), age int)');

 

 

 await conn.close();

}

 

Hapo utaona tayari database yetu ina table ya users yenye column 4 mabzo ni id, age, name na email. Hatuwa inayouata ni kuingiza data kwenye table yetu.

import 'package:mysql1/mysql1.dart';

import 'package:test/expect.dart';

import 'dart:async';

 

Future main() async {

 //funguwa connection

 final conn = await MySqlConnection.connect(ConnectionSettings(

     host: 'mydbhost.com',

     port: 3306,

     user: 'test',

     db: 'user_test',

     password: 'pass'));

if(conn !=isNull){

 print("connected");

}else{

 print("failed to connect");

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: DART Main: Masomo File: Download PDF Views 1498

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉5 Bongolite - Game zone - Play free game     👉6 Kitau cha Fiqh    

Post zinazofanana:

DART somo la 4: Jinsi ya kuandika na kutumia variable kwenye Dart

Katika somo lililopita tumejifunza kuhusu sintaksia za dart. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza variable kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 39: mixin kwenye dart

Katika somo hii utakwenda kujifunza kuhusu concept mixin na jinsi inavyoweza kutumika kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 12: Kuchukuwa user input kwenye Dart

Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Dart kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program.

Soma Zaidi...
DART somo la 6: Dart operator na jinsi zinavyofanya kazi.

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator kwenye Dart, kazi zake na jinsi ya kuzitumia.

Soma Zaidi...
DART somo la 5: Reserved keywords kwenye lugah ya Dart

Katika soo hili utakwenda kujifunza kuhusu reserved keywords katika Dart

Soma Zaidi...
DART somo la 43: Stream kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda ujifunz akuhusu concept ya stream kwenye Dart. pia ttaona kwa namna gani strean inaweza kutofautiana na future wakati zote mbili zipo kwenye asychronous programming.

Soma Zaidi...