Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya mysql kwenye Dart. hakikisha umeelewa vyema na kutekeleza yalioelekezwa kutoka kwenye somo lililopita.
Sasa rudi kwenye software yako uliokuwa ukitumia toka masomo yaliotangulia. Kwa mimi natumia webstorm hivyo nitaifunguwa webstorm kisha nita open project ambayo yumeitengeneza. Kumbuka utaikuta kwenye disk c kama ilivyoelekezwa kwenye somo lililopita.
Baada ya kuifunguwa project yako utaona kuna mafolda na mafaili kadhaa kama inavyoonyeshwa kwenye picha hapo chini. Unachotakiw akufanya nikubofya folda lililoandikwa bin humo utakuta faili limendaika tehama.dart hilo ndio faili ambalo tutakwenda kulifanyia kazi.
Humo utakuta kuna baadhi ya code tayari zipo sasa futa zote pawe patupu, ili tuanze upya kabisa. Kwanza kabisa tutaanza na ku import dart mysql package kwa kutumia import 'package:mysql1/mysql1.dart';
Hakikisha tayari una jina la database, username, na password ya hiyo database. Sasa vizuri uwe na database kutoka kwenye real hosting, hata hivyo unaweza kutumia free kama nilivyokuelekeza katika somo lililopita, ijapokuwa database za free baadhi ya vipengele vinaweza vikasumbuwa. Hapa nakwenda kutumia real database kutoka kwenye hosting ya kulipia, hivyo ni matumaini yangu utaelewa vyema.
Hatuwa ya kwanza ni kuu ganisha database yako.
import 'package:mysql1/mysql1.dart';
import 'package:test/expect.dart';
import 'dart:async';
Future main() async {
//funguwa connection
final conn = await MySqlConnection.connect(ConnectionSettings(
host: 'mydbhost.com',
port: 3306,
user: 'test',
db: 'user_test',
password: 'pass'));
if(conn !=isNull){
print("connected");
}else{
print("failed to connect");
}
await conn.close();
}
Hapo nimetumia async programming kwa ajili ya kupata future.kisha nikatengeneza fariable ambayo itatumia kuangalia connection ambayo ni conn. Baada ya hapo hatuwa inayofuata ni kutengeneza table. Mpaka sasa kwenye database yangu hakuna table.
Nakwenda kutengeneza table yenye column 3 ambazo ni id, jina, email. Tafadhali rejea mafunzo ya datbase kama concept hizi za kutumia dtabase zinakusumbuwa tutatumia query hii CREATE TABLE users (id int NOT NULL AUTO_INCREMENT PRIMARY KEY, name varchar(255), email varchar(255), age int
Angalia mfano hapo chini:-
import 'package:mysql1/mysql1.dart';
import 'package:test/expect.dart';
import 'dart:async';
Future main() async {
//funguwa connection
final conn = await MySqlConnection.connect(ConnectionSettings(
host: 'mydbhost.com',
port: 3306,
user: 'test',
db: 'user_test',
password: 'pass'));
if(conn !=isNull){
print("connected");
}else{
print("failed to connect");
}
// Create a table
await conn.query(
'CREATE TABLE users (id int NOT NULL AUTO_INCREMENT PRIMARY KEY, name varchar(255), email varchar(255), age int)');
await conn.close();
}
Hapo utaona tayari database yetu ina table ya users yenye column 4 mabzo ni id, age, name na email. Hatuwa inayouata ni kuingiza data kwenye table yetu.
import 'package:mysql1/mysql1.dart';
import 'package:test/expect.dart';
import 'dart:async';
Future main() async {
//funguwa connection
final conn = await MySqlConnection.connect(ConnectionSettings(
host: 'mydbhost.com',
port: 3306,
user: 'test',
db: 'user_test',
 ">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili tutawenda kujifunza kuhusu encapsulatio kwenye Dart OOP na jinsi inavyoweza kutumika.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu inheritance, na inavyoweza kutumika kwenye Dart OOP.
Soma Zaidi...Katika somo hli utakwend akujifunza kuhusu loop kwenye Dart. Loop zimegawanyika katika makundi mnne ambayo ni for loop, while loop, for in loop na do while loop.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma na kuandika faili kwa kutumia Dart programming.
Soma Zaidi...Katika somo lililopita tumejifunza kuhusu sintaksia za dart. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza variable kwenye Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya class kwenye OOP paradigm, kisha utajifunza jinsi ya kutengeneza class.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye dart, jisni ya kziandika na matumizi yake.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kuzungumzia kuhusu parameter kwenye Dart function. Pia tutakwenda kuona mambo mengine yanayohusu function
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya OOP na faida zake. Pia utakwenda kujifunza kuhusu features za OOP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static property na jinsi ambavyo inavyotumika.
Soma Zaidi...