Menu



DART somo la 6: Dart operator na jinsi zinavyofanya kazi.

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator kwenye Dart, kazi zake na jinsi ya kuzitumia.

Operator ni nini?

Operator hizi ni aalama ambazo hutumikakwa ajili ya kubadili value ama kufanya mahesabu mbalimbali. Ukisha elewa maana ya operator itakubidi uelewe maana ya operand. Sasa ili uelewe vyema viwili hivi nitakupa mfano:

2 + 3 = 5 katika mfano huu namda 2 na 3 ni operand na namba alama ya kujumlisha (+) ni operator. Operator zimegawanyika katika makundi mbalimbali ambayo ni 

  1. Arithmetic operator
  2. Assignment operator
  3. Relational operator
  4. Type test operator
  5. Logical operator
  6. Bitwise operator
  7. Conditional operator
  8. Casecade notational operator

 

Katika somo hili tutakwenda kuiangalia aina moja ya operator ambayo ni arithmetic operator.

 

ARITHMETIC OPERATOR

Operator hizi ni zile ambazo tumezoea katika matendo ya hesabu. Ambazo ni

  1. Addition ( + ) Hitumika kujiumlisha mfano 10 +4 = 14
  2. Substruction  ( - ) Hutumika kutoa mfano  10 - 4 = 6
  3. Divide  ( / ) hutumika kugawanya mfano 10 / 5 = 2
  4. Multiplication ( * ) hii hutumika kuzidisha  mfano  3 * 6 = 18
  5. Modulus ( % ) hii ni sawa na kugawanya ila badala ya kutoa jibu itatoa namba iliyobaki. Mfano 10 % 3 jibu ni 1. Hii inakupa namba iliyobaki.
  6. Division ( ~/) hii hutumika kugawanya ila yenyewe itakupa jibu tu pila ya kuleta desimali kama kuna kilichobaki. Mfano 10 ~/3 hapa jibu ni 3. Bila ya kuleta desiali
  7. Urinary minus ( -() ). Hii hutumika kubadili alama iliyopo kwenye operand. Kama ni negative inakuwa positive na kama ni positive inakuwa negative. Mfano - (10 - 4) = -6 utaona hapo jibu ni - 6 kwa kuwa tumebadli 10 kutoka positive kuwa negative. Kisha tukatoa negative 10 kutoa negative 4 jibu negative 6.

 

Agalia mfano hapo chini

void main() {

 print(5 + 6);

 print(7 - 5);

 print(10 / 3);

 print(10 ~/ 3);

 print(10 % 3);

 print(-8 - 4);

 print(3 * 4);

}

 


 

URINARY OPERATOR

Hizi ni operator ambazo zinafanya kazi ya incrementon ( ++ ) na decrementation ( – - ) kwenye value. Kufanya increment ni kuongeza namba moja kwenye value. Mfano ++20 inakuwa 21. Na decrement ni kutoa namba moja kwenye value. Mfano  - - 20 inakuwa 19.

 

Sasa kwenye Dart kuna post na pre. Unaposema post maana yake hizi alama zinakaa mbele ya value na kazi yake ni kutuma namba halisi kabla ya increment ama decrement mfano 20++ hapa itakupa jibu 20 kwa kuwa ndio namba halisi kabla ya increment. Na 10 - -  itakupa jibu 10 kwa kuwa ndio namba halisi kabla ya decrement.

 

void main() {

 var a, b, c, d;

 a = 10;

 b= 20;

 c = 30;

 d = 14;

 

 print(a++);

 print(++b);

 print(c--);

 print(--d);

}

 

 

ASSIGNMENT OPERATOR

Hizi ni operator ambazo hutumika kwa ajili ya kuipa variable thamani yaani value. Hapo awali tuisha jifunza alama ya ( = ) katika kuipa variable value yake. Sasa hapa tutakwend akuchanganya na operator nyingine ili kuweza ku assign value kwenye variable:-

 

Miongoni kwa assignment opetaror ni kama :-

  1. Assignment operator ( =) hiitumesha izungumzia
  2. Add and assign ( +=)  hii kari yake ni kuongeza value operand ya kulia kwenye value ya operand ya kushoto. Mfano a = 3 na b = 4 sasa kama nitaandika hivi a += b hap a  ndio operand ya kushoto na  b  ndio operand ya kulia ina maana sawa na kuandika hivi a = b + a. Ambapo sasa  a  itapata value mpya ambayo ni 7.
  3. Substract and assign (- =). Hii yenyewe itatoa value kwenye operant ya kushto na kurudisha value kwenye operand ya kushoto. Mfano a 10, b = 4 hivyo nikiandika       x - = y ni sawana kuandiak  x = x - y hivyo value mpya ya variable x ni 6
  4. Multiplay and assign ( * =) mfano k = 10, j = 2 hivyo nikiandika k * = j ni sawa na kuandiaka  k = k *j  hivyovalue mpya ya variable  k itakuwa  20
  5. Divide and assign ( /=) mfano c ">...

    Download App Yetu

    Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

    Download Now Bongoclass

    Nyuma Endelea

    Ndio     Hapana     Save post
    Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: DART Main: Masomo File: Download PDF Views 422

    Share On:

    Facebook WhatsApp

    Post zinazofanana:

    DART somo la 11:break and continue statement kwenye Dat loop

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu break na continue kwenye Dart loop za for loop na while loop.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 3: Aina za Data

    Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data zinazotumika kwenye Dart.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 9: for loop na for in loop kwenye dart, kazi zake na jinsi ya kuadika

    Katika somo hli utakwend akujifunza kuhusu loop kwenye Dart. Loop zimegawanyika katika makundi mnne ambayo ni for loop, while loop, for in loop na do while loop.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 22: Jinsi ya kutumia html library kwenye Dart

    Katika somo hili tutakwenda kujifunz ajinsi ya kutumia library ya html kwenye Dart. somo hili litakupeleka kujifunza jinsi ya ku display dart output kwenye faili la html.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 18: Dart method zinazotumika kwenye List data type

    Katika somo hili utakwenda kujifunza method yhinginge zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Dart.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 12: Kuchukuwa user input kwenye Dart

    Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Dart kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 19: method zinazotumika kwenye set data type kwenye Dart

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 39: mixin kwenye dart

    Katika somo hii utakwenda kujifunza kuhusu concept mixin na jinsi inavyoweza kutumika kwenye Dart.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 40: factory constructor

    Katika somo hiliutakwenda kujifunza aina nyingine ya constructor ambayo hutumika kwenye Dart. aina hiyo ni factory constructory.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 21: Jinsi ya kutengeneza library kwenye Dart

    Katika somo hili utajifunza kuhusu dart library. Pia tutakwend aktengeneza library yetu wennyewe kwa ajili ya kufanya mazoezi zaidi.

    Soma Zaidi...