DART somo la 6: Dart operator na jinsi zinavyofanya kazi.

DART somo la 6: Dart operator na jinsi zinavyofanya kazi.

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator kwenye Dart, kazi zake na jinsi ya kuzitumia.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Operator ni nini?

Operator hizi ni aalama ambazo hutumikakwa ajili ya kubadili value ama kufanya mahesabu mbalimbali. Ukisha elewa maana ya operator itakubidi uelewe maana ya operand. Sasa ili uelewe vyema viwili hivi nitakupa mfano:

2 + 3 = 5 katika mfano huu namda 2 na 3 ni operand na namba alama ya kujumlisha (+) ni operator. Operator zimegawanyika katika makundi mbalimbali ambayo ni 

  1. Arithmetic operator
  2. Assignment operator
  3. Relational operator
  4. Type test operator
  5. Logical operator
  6. Bitwise operator
  7. Conditional operator
  8. Casecade notational operator

 

Katika somo hili tutakwenda kuiangalia aina moja ya operator ambayo ni arithmetic operator.

 

ARITHMETIC OPERATOR

Operator hizi ni zile ambazo tumezoea katika matendo ya hesabu. Ambazo ni

  1. Addition ( + ) Hitumika kujiumlisha mfano 10 +4 = 14
  2. Substruction  ( - ) Hutumika kutoa mfano  10 - 4 = 6
  3. Divide  ( / ) hutumika kugawanya mfano 10 / 5 = 2
  4. Multiplication ( * ) hii hutumika kuzidisha  mfano  3 * 6 = 18
  5. Modulus ( % ) hii ni sawa na kugawanya ila badala ya kutoa jibu itatoa namba iliyobaki. Mfano 10 % 3 jibu ni 1. Hii inakupa namba iliyobaki.
  6. Division ( ~/) hii hutumika kugawanya ila yenyewe itakupa jibu tu pila ya kuleta desimali kama kuna kilichobaki. Mfano 10 ~/3 hapa jibu ni 3. Bila ya kuleta desiali
  7. Urinary minus ( -() ). Hii hutumika kubadili alama iliyopo kwenye operand. Kama ni negative inakuwa positive na kama ni positive inakuwa negative. Mfano - (10 - 4) = -6 utaona hapo jibu ni - 6 kwa kuwa tumebadli 10 kutoka positive kuwa negative. Kisha tukatoa negative 10 kutoa negative 4 jibu negative 6.

 

Agalia mfano hapo chini

void main() {

 print(5 + 6);

 print(7 - 5);

 print(10 / 3);

 print(10 ~/ 3);

 print(10 % 3);

 print(-8 - 4);

 print(3 * 4);

}

 


 

URINARY OPERATOR

Hizi ni operator ambazo zinafanya kazi ya incrementon ( ++ ) na decrementation ( – - ) kwenye value. Kufanya increment ni kuongeza namba moja kwenye value. Mfano ++20 inakuwa 21. Na decrement ni kutoa namba moja kwenye value. Mfano  - - 20 inakuwa 19.

 

Sasa kwenye Dart kuna post na pre. Unaposema post maana yake hizi alama zinakaa mbele ya value na kazi yake ni kutuma namba halisi kabla ya increment ama decrement mfano 20++ hapa itakupa jibu 20 kwa kuwa ndio namba halisi kabla ya increment. Na 10 - -  itakupa jibu 10 kwa kuwa ndio namba halisi kabla ya decrement.

 

void main() {

 var a, b, c, d;

 a = 10;

 b= 20;

 c = 30;

 d = 14;

 

 print(a++);

 print(++b);

 print(c--);

 print(--d);

}

 

 

ASSIGNMENT OPERATOR

Hizi ni operator ambazo hutumika kwa ajili ya kuipa variable thamani yaani value. Hapo awali tuisha jifunza alama ya ( = ) katika kuipa variable value yake. Sasa hapa tutakwend akuchanganya na operator nyingine ili kuweza ku assign value kwenye variable:-

 

Miongoni kwa assignment opetaror ni kama :-

  1. Assignment operator ( =) hiitumesha izungumzia
  2. Add and assign ( +=)  hii kari yake ni kuongeza value operand ya kulia kwenye value ya operand ya kushoto. Mfano a = 3 na b = 4 sasa kama nitaandika hivi a += b hap a  ndio operand ya kushoto na  b  ndio operand ya kulia ina maana sawa na kuandika hivi a = b + a. Ambapo sasa  a  itapata value mpya ambayo ni 7.
  3. Substract and assign (- =). Hii yenyewe itatoa value kwenye operant ya kushto na kurudisha value kwenye operand ya kushoto. Mfano a 10, b = 4 hivyo nikiandika       x - = y ni sawana kuandiak  x = x - y hivyo value mpya ya variable x ni 6
  4. Multiplay and assign ( * =) mfano k = 10, j = 2 hivyo nikiandika k * = j ni sawa na kuandiaka  k = k *j  hivyovalue mpya ya variable  k itakuwa  20
  5. ...

    Download Post hii hapa

    Download App Yetu

    Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

    Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

    Nyuma Endelea


    Umeionaje Makala hii.. ?

    Nzuri            Mbaya            Save
    Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: DART Main: ICT File: Download PDF Views 512

    Share On:

    Facebook WhatsApp
    Sponsored links
    👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

    Post zinazofanana:

    DART somo la 37: Class interface
    DART somo la 37: Class interface

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class interface na inavyotofautiana na class abstract

    Soma Zaidi...
    DART somo la 31: inheritance kwenye DART OOP
    DART somo la 31: inheritance kwenye DART OOP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu inheritance, na inavyoweza kutumika kwenye Dart OOP.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 15: parameter kwenye function za Dart
    DART somo la 15: parameter kwenye function za Dart

    Katika somo hili tutakwenda kuzungumzia kuhusu parameter kwenye Dart function. Pia tutakwenda kuona mambo mengine yanayohusu function

    Soma Zaidi...
    DART somo la 30 :Jinsi ya kutengeneza setter na geter kwenye OOP
    DART somo la 30 :Jinsi ya kutengeneza setter na geter kwenye OOP

    Katika somo hili tutakwenda kujifunza zaidi kuhusu method za getter na setter. Tutakwenda kuona hasa zinavyotumika na zinavyotengenezwa.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 34: Static variable kwenye Dart
    DART somo la 34: Static variable kwenye Dart

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static property na jinsi ambavyo inavyotumika.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 32: Inheritance kwenye construct method:
    DART somo la 32: Inheritance kwenye construct method:

    Katika masomo yaliopita tumesha jifunza jinsi inheritance inavyokuwa, ila hatujaona kwa namna gani utaweza ku inherit constructor method. Somo hili litashughulika na swla hilo.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 9: for loop na for in loop kwenye dart, kazi zake na jinsi ya kuadika
    DART somo la 9: for loop na for in loop kwenye dart, kazi zake na jinsi ya kuadika

    Katika somo hli utakwend akujifunza kuhusu loop kwenye Dart. Loop zimegawanyika katika makundi mnne ambayo ni for loop, while loop, for in loop na do while loop.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 5: Reserved keywords kwenye lugah ya Dart
    DART somo la 5: Reserved keywords kwenye lugah ya Dart

    Katika soo hili utakwenda kujifunza kuhusu reserved keywords katika Dart

    Soma Zaidi...
    DART somo la 12: Kuchukuwa user input kwenye Dart
    DART somo la 12: Kuchukuwa user input kwenye Dart

    Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Dart kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 41: concept ya generic kwenye dart
    DART somo la 41: concept ya generic kwenye dart

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya generics ili kuweza kufanya kazi na aina mbalimbali za data kwenye class.

    Soma Zaidi...