picha

DART somo la 6: Dart operator na jinsi zinavyofanya kazi.

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator kwenye Dart, kazi zake na jinsi ya kuzitumia.

Operator ni nini?

Operator hizi ni aalama ambazo hutumikakwa ajili ya kubadili value ama kufanya mahesabu mbalimbali. Ukisha elewa maana ya operator itakubidi uelewe maana ya operand. Sasa ili uelewe vyema viwili hivi nitakupa mfano:

2 + 3 = 5 katika mfano huu namda 2 na 3 ni operand na namba alama ya kujumlisha (+) ni operator. Operator zimegawanyika katika makundi mbalimbali ambayo ni 

  1. Arithmetic operator
  2. Assignment operator
  3. Relational operator
  4. Type test operator
  5. Logical operator
  6. Bitwise operator
  7. Conditional operator
  8. Casecade notational operator

 

Katika somo hili tutakwenda kuiangalia aina moja ya operator ambayo ni arithmetic operator.

 

ARITHMETIC OPERATOR

Operator hizi ni zile ambazo tumezoea katika matendo ya hesabu. Ambazo ni

  1. Addition ( + ) Hitumika kujiumlisha mfano 10 +4 = 14
  2. Substruction  ( - ) Hutumika kutoa mfano  10 - 4 = 6
  3. Divide  ( / ) hutumika kugawanya mfano 10 / 5 = 2
  4. Multiplication ( * ) hii hutumika kuzidisha  mfano  3 * 6 = 18
  5. Modulus ( % ) hii ni sawa na kugawanya ila badala ya kutoa jibu itatoa namba iliyobaki. Mfano 10 % 3 jibu ni 1. Hii inakupa namba iliyobaki.
  6. Division ( ~/) hii hutumika kugawanya ila yenyewe itakupa jibu tu pila ya kuleta desimali kama kuna kilichobaki. Mfano 10 ~/3 hapa jibu ni 3. Bila ya kuleta desiali
  7. Urinary minus ( -() ). Hii hutumika kubadili alama iliyopo kwenye operand. Kama ni negative inakuwa positive na kama ni positive inakuwa negative. Mfano - (10 - 4) = -6 utaona hapo jibu ni - 6 kwa kuwa tumebadli 10 kutoka positive kuwa negative. Kisha tukatoa negative 10 kutoa negative 4 jibu negative 6.

 

Agalia mfano hapo chini

void main() {

 print(5 + 6);

 print(7 - 5);

 print(10 / 3);

 print(10 ~/ 3);

 print(10 % 3);

 print(-8 - 4);

 print(3 * 4);

}

 


 

URINARY OPERATOR

Hizi ni operator ambazo zinafanya kazi ya incrementon ( ++ ) na decrementation ( – - ) kwenye value. Kufanya increment ni kuongeza namba moja kwenye value. Mfano ++20 inakuwa 21. Na decrement ni kutoa namba moja kwenye value. Mfano  - - 20 inakuwa 19.

 

Sasa kwenye Dart kuna post na pre. Unaposema post maana yake hizi alama zinakaa mbele ya value na kazi yake ni kutuma namba halisi kabla ya increment ama decrement mfano 20++ hapa itakupa jibu 20 kwa kuwa ndio namba halisi kabla ya increment. Na 10 - -  itakupa jibu 10 kwa kuwa ndio namba halisi kabla ya decrement.

 

void main() {

 var a, b, c, d;

 a = 10;

 b= 20;

 c = 30;

 d = 14;

 

 print(a++);

 print(++b);

 print(c--);

 print(--d);

}

 

 

ASSIGNMENT OPERATOR

Hizi ni operator ambazo hutumika kwa ajili ya kuipa variable thamani yaani value. Hapo awali tuisha jifunza alama ya ( = ) katika kuipa variable value yake. Sasa hapa tutakwend akuchanganya na operator nyingine ili kuweza ku assign value kwenye variable:-

 

Miongoni kwa assignment opetaror ni kama :-

  1. Assignment operator ( =) hiitumesha izungumzia
  2. Add and assign ( +=)  hii kari yake ni kuongeza value operand ya kulia kwenye value ya operand ya kushoto. Mfano a = 3 na b = 4 sasa kama nitaandika hivi a += b hap a  ndio operand ya kushoto na  b  ndio operand ya kulia ina maana sawa na kuandika hivi a = b + a. Ambapo sasa  a  itapata value mpya ambayo ni 7.
  3. Substract and assign (- =). Hii yenyewe itatoa value kwenye operant ya kushto na kurudisha value kwenye operand ya kushoto. Mfano a 10, b = 4 hivyo nikiandika       x - = y ni sawana kuandiak  x = x - y hivyo value mpya ya variable x ni 6
  4. Multiplay and assign ( * =) mfano k = 10, j = 2 hivyo nikiandika k * = j ni sawa na kuandiaka  k = k *j  hivyovalue mpya ya variable  k itakuwa  20
  5. ...

    Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

    Zoezi la Maswali

    Nyuma Endelea


    Umeionaje Makala hii.. ?

    Nzuri            Mbaya            Save
    Author: Rajabu image Tarehe: 2023-11-20 Topic: DART Main: ICT File: Download PDF Views 1064

    Share On:

    Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
    Sponsored links
    👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Dua za Mitume na Manabii    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 ai web app    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 kitabu cha Simulizi   

    Post zinazofanana:

    DART somo la 28: Named constructor na constant constructor kwenye OOP

    Ka tika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya named constructor na constant constructor kwenye Object Oriented Programming.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 36: Abstract class kweye Dart

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu abstract class na abstract method kwenye Dart.

    Soma Zaidi...
    Dart somo la 25: DART OOP Nini maaan ya class na vipi utaweza kuitengeneza

    Katika somo hili utajifunza maana ya class kwenye OOP paradigm, kisha utajifunza jinsi ya kutengeneza class.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 12: Kuchukuwa user input kwenye Dart

    Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Dart kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 19: method zinazotumika kwenye set data type kwenye Dart

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 37: Class interface

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class interface na inavyotofautiana na class abstract

    Soma Zaidi...
    DART somo la 3: Aina za Data

    Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data zinazotumika kwenye Dart.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 24: Jinsi ya kutengeneza faili, folda na kuingiza data

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika data kwenye faili. Kwanza utajifunza kutengeneza folda, kisha faili na kuweka data, kisha utajifunza kufuta fali.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 43: Stream kwenye Dart

    Katika somo hili utakwenda ujifunz akuhusu concept ya stream kwenye Dart. pia ttaona kwa namna gani strean inaweza kutofautiana na future wakati zote mbili zipo kwenye asychronous programming.

    Soma Zaidi...
    DART somo la 44: Jinsi ya ku install mysql kwenye program ya dart

    Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuunganisha databse na Dart. Pia utajifunza jinsi ya kuset environment kwenye kompyuta ili kuweza kutumia Dart sdk kwenye CMD.

    Soma Zaidi...