picha

DART somo la 6: Dart operator na jinsi zinavyofanya kazi.

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator kwenye Dart, kazi zake na jinsi ya kuzitumia.

Operator ni nini?

Operator hizi ni aalama ambazo hutumikakwa ajili ya kubadili value ama kufanya mahesabu mbalimbali. Ukisha elewa maana ya operator itakubidi uelewe maana ya operand. Sasa ili uelewe vyema viwili hivi nitakupa mfano:

2 + 3 = 5 katika mfano huu namda 2 na 3 ni operand na namba alama ya kujumlisha (+) ni operator. Operator zimegawanyika katika makundi mbalimbali ambayo ni 

  1. Arithmetic operator
  2. Assignment operator
  3. Relational operator
  4. Type test operator
  5. Logical operator
  6. Bitwise operator
  7. Conditional operator
  8. Casecade notational operator

 

Katika somo hili tutakwenda kuiangalia aina moja ya operator ambayo ni arithmetic operator.

 

ARITHMETIC OPERATOR

Operator hizi ni zile ambazo tumezoea katika matendo ya hesabu. Ambazo ni

  1. Addition ( + ) Hitumika kujiumlisha mfano 10 +4 = 14
  2. Substruction  ( - ) Hutumika kutoa mfano  10 - 4 = 6
  3. Divide  ( / ) hutumika kugawanya mfano 10 / 5 = 2
  4. Multiplication ( * ) hii hutumika kuzidisha  mfano  3 * 6 = 18
  5. Modulus ( % ) hii ni sawa na kugawanya ila badala ya kutoa jibu itatoa namba iliyobaki. Mfano 10 % 3 jibu ni 1. Hii inakupa namba iliyobaki.
  6. Division ( ~/) hii hutumika kugawanya ila yenyewe itakupa jibu tu pila ya kuleta desimali kama kuna kilichobaki. Mfano 10 ~/3 hapa jibu ni 3. Bila ya kuleta desiali
  7. Urinary minus ( -() ). Hii hutumika kubadili alama iliyopo kwenye operand. Kama ni negative inakuwa positive na kama ni positive inakuwa negative. Mfano - (10 - 4) = -6 utaona hapo jibu ni - 6 kwa kuwa tumebadli 10 kutoka positive kuwa negative. Kisha tukatoa negative 10 kutoa negative 4 jibu negative 6.

 

Agalia mfano hapo chini

void main() {

 print(5 + 6);

 print(7 - 5);

 print(10 / 3);

 print(10 ~/ 3);

 print(10 % 3);

 print(-8 - 4);

 print(3 * 4);

}

 


 

URINARY OPERATOR

Hizi ni operator ambazo zinafanya kazi ya incrementon ( ++ ) na decrementation ( – - ) kwenye value. Kufanya increment ni kuongeza namba moja kwenye value. Mfano ++20 inakuwa 21. Na decrement ni kutoa namba moja kwenye value. Mfano  - - 20 inakuwa 19.

 

Sasa kwenye Dart kuna post na pre. Unaposema post maana yake hizi alama zinakaa mbele ya value na kazi yake ni kutuma namba halisi kabla ya increment ama decrement mfano 20++ hapa itakupa jibu 20 kwa kuwa ndio namba halisi kabla ya increment. Na 10 - -  itakupa jibu 10 kwa kuwa ndio namba halisi kabla ya decrement.

 

void main() {

 var a, b, c, d;

 a = 10;

 b= 20;

 c = 30;

 d = 14;

 

 print(a++);

 print(++b);

 print(c--);

 print(--d);

}

 

 

ASSIGNMENT OPERATOR

Hizi ni operator ambazo hutumika kwa ajili ya kuipa variable thamani yaani value. Hapo awali tuisha jifunza alama ya ( = ) katika kuipa variable value yake. Sasa hapa tutakwend akuchanganya na operator nyingine ili kuweza ku assign value kwenye variable:-

 

Miongoni kwa assignment opetaror ni kama :-

  1. Assignment operator ( =) hiitumesha izungumzia
  2. Add and assign ( +=)  hii kari yake ni kuongeza value operand ya kulia kwenye value ya operand y...
Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: DART Main: Masomo File: Download PDF Views 1091

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 web hosting     👉4 Kitabu cha Afya     👉5 ai web app     👉6 kitabu cha Simulizi    

Post zinazofanana:

DART somo la 24: Jinsi ya kutengeneza faili, folda na kuingiza data

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika data kwenye faili. Kwanza utajifunza kutengeneza folda, kisha faili na kuweka data, kisha utajifunza kufuta fali.

Soma Zaidi...
DART somo la 39: mixin kwenye dart

Katika somo hii utakwenda kujifunza kuhusu concept mixin na jinsi inavyoweza kutumika kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 4: Jinsi ya kuandika na kutumia variable kwenye Dart

Katika somo lililopita tumejifunza kuhusu sintaksia za dart. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza variable kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 27: DART OOP: maana ya constructor method na jinsi inavyotumika kwenye OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jins ya kutengeneza constructor method, pia utajifunza matumizi yake kwenye OOP.

Soma Zaidi...
DART somo la 2: syntax za dart

Katika somo hili tutatkwenda kuziona baadhi ya xyntax yaani kanunu za uandishi wa code za dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 15: parameter kwenye function za Dart

Katika somo hili tutakwenda kuzungumzia kuhusu parameter kwenye Dart function. Pia tutakwenda kuona mambo mengine yanayohusu function

Soma Zaidi...