Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator kwenye Dart, kazi zake na jinsi ya kuzitumia.
Operator ni nini?
Operator hizi ni aalama ambazo hutumikakwa ajili ya kubadili value ama kufanya mahesabu mbalimbali. Ukisha elewa maana ya operator itakubidi uelewe maana ya operand. Sasa ili uelewe vyema viwili hivi nitakupa mfano:
2 + 3 = 5 katika mfano huu namda 2 na 3 ni operand na namba alama ya kujumlisha (+) ni operator. Operator zimegawanyika katika makundi mbalimbali ambayo ni
Katika somo hili tutakwenda kuiangalia aina moja ya operator ambayo ni arithmetic operator.
ARITHMETIC OPERATOR
Operator hizi ni zile ambazo tumezoea katika matendo ya hesabu. Ambazo ni
Agalia mfano hapo chini
void main() {
print(5 + 6);
print(7 - 5);
print(10 / 3);
print(10 ~/ 3);
print(10 % 3);
print(-8 - 4);
print(3 * 4);
}
URINARY OPERATOR
Hizi ni operator ambazo zinafanya kazi ya incrementon ( ++ ) na decrementation ( – - ) kwenye value. Kufanya increment ni kuongeza namba moja kwenye value. Mfano ++20 inakuwa 21. Na decrement ni kutoa namba moja kwenye value. Mfano - - 20 inakuwa 19.
Sasa kwenye Dart kuna post na pre. Unaposema post maana yake hizi alama zinakaa mbele ya value na kazi yake ni kutuma namba halisi kabla ya increment ama decrement mfano 20++ hapa itakupa jibu 20 kwa kuwa ndio namba halisi kabla ya increment. Na 10 - - itakupa jibu 10 kwa kuwa ndio namba halisi kabla ya decrement.
void main() {
var a, b, c, d;
a = 10;
b= 20;
c = 30;
d = 14;
print(a++);
print(++b);
print(c--);
print(--d);
}
ASSIGNMENT OPERATOR
Hizi ni operator ambazo hutumika kwa ajili ya kuipa variable thamani yaani value. Hapo awali tuisha jifunza alama ya ( = ) katika kuipa variable value yake. Sasa hapa tutakwend akuchanganya na operator nyingine ili kuweza ku assign value kwenye variable:-
Miongoni kwa assignment opetaror ni kama :-
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujfunza kuhusu String method zinazotumika kwenye Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza method yhinginge zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hli utakwend akujifunza kuhusu loop kwenye Dart. Loop zimegawanyika katika makundi mnne ambayo ni for loop, while loop, for in loop na do while loop.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunz ajinsi ya kutumia library ya html kwenye Dart. somo hili litakupeleka kujifunza jinsi ya ku display dart output kwenye faili la html.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya class kwenye OOP paradigm, kisha utajifunza jinsi ya kutengeneza class.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu while loop na do while loop zinavyofanya kazi katika Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza concept nyingine ya asynchronous programming.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza Object pamoja na properties. Haa kwa ufupi tutakwenda kujifunza jinsi ya kutumia class.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kuzungumzia kuhusu parameter kwenye Dart function. Pia tutakwenda kuona mambo mengine yanayohusu function
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static property na jinsi ambavyo inavyotumika.
Soma Zaidi...