picha

DART somo la 44: Jinsi ya ku install mysql kwenye program ya dart

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuunganisha databse na Dart. Pia utajifunza jinsi ya kuset environment kwenye kompyuta ili kuweza kutumia Dart sdk kwenye CMD.

Jinsi ya kuunganisa mysql database.

Hatuwa ya kwanza tunatakiwa tu set environment variable kwenye kompyuta ili tuweze kutumia Dart sdk kwenye CMD yaani command prompt. Hivyo basi 

  1. Kwanza kabisa nenda kwenye folda lenye sdk yako. Rejea somo la kwanza kujuwa jinsi tulivyoweka sdk kwenye kifaa chako. Kisha funguwa hilo folda utakuta kuna mafolda mengine. Hapo funguwa filda linaloitwa bin, kisha bofya uu kwenye directory ya faili angalia kwenye picha hapo chini nimeweka mshale

 

Ukibofya hapo utaona kuna address imejitokeza kama invyooneshw akwenye picha hapo chini. Unachotakiwa kufanya kopi hiyo address.

 

  1. Hatuwa ya pili neda kwenye control panne kish bofya system and security kisha bofya system hapo ukurasa mwingine wa setting utafunguka. Upande wa kulia kwa juu kuna menyu, tafuta palipoandikwa advanced system settings bofya hapo, utaona kuna kaukurasa kadogo kamefunguka, hapo bofya palipoandikwa environment variable. Kuna ukurasa mwingine umefunguka bofya palipoandikwa path kisha bofya edit kwa chini, kuna ukurasa utafunguka hapo bofya new ili kuweka varible mpya. Utaona kuna sehemu ya kuandika, hapo pest ile address yetu uliokopi hapo mwanzo. Baada ya hapo piga ok kusave na kufunga ukurasa. Hapo tumemaliza hatuwa ya pili.


 

  1. Hatuwa ya tatu ni kutest kama kila kitu kipo sawa. Sasa ni vyema ku reatart kompyuta yako. Baada ya kuwaka utakwenda kwen start menyu kisha tafuta cmd utaona kuna palipoandikwa command prompt bofya hapo. Angalia kwenye picha hapo chini

 

Ikishabofya hapo ukurasa mwingine utafunguka wenye rangi nyeusi tupu. Basi hapo ndipo umefuka kwenye command prompt. Sasa wacha tutest kama tumefanikiwa ku set environment variable. Command za dart huanziwa na neno dart hivyo basi andika neno dart kisa bofya enter kwenye keyboard yako. Uktaona hapo kuna ukurasa umefunguka kama inavyoonekana kwenye picha hapo chini

 

Kama umefika hatuwa hiyo basi hongera sana. 


 

  1. Hatuwa inayofuata ni kutengeneza project nyingine. Hakikisha una bando lisilopunguwa mb 200. Sasa ili uweze kutengeneza project nyingine utatumia command ya create ikifuatiwa na jina la h...
Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: DART Main: Masomo File: Download PDF Views 1656

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Simulizi za Hadithi Audio     👉5 Madrasa kiganjani     👉6 Bongolite - Game zone - Play free game    

Post zinazofanana:

DART somo la 23: Jinsi ya kusoma mafaili kwa kutumia Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma na kuandika faili kwa kutumia Dart programming.

Soma Zaidi...
Dart somo la 26: DART OOP maana ya object, na jinsi ya kuitengeneza kwenye OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza Object pamoja na properties. Haa kwa ufupi tutakwenda kujifunza jinsi ya kutumia class.

Soma Zaidi...
DART somo la 45: Jinai ys kutuma mysql database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya mysql kwenye Dart. hakikisha umeelewa vyema na kutekeleza yalioelekezwa kutoka kwenye somo lililopita.

Soma Zaidi...
DART somo la 3: Aina za Data

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data zinazotumika kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 40: factory constructor

Katika somo hiliutakwenda kujifunza aina nyingine ya constructor ambayo hutumika kwenye Dart. aina hiyo ni factory constructory.

Soma Zaidi...
DART somo la 22: Jinsi ya kutumia html library kwenye Dart

Katika somo hili tutakwenda kujifunz ajinsi ya kutumia library ya html kwenye Dart. somo hili litakupeleka kujifunza jinsi ya ku display dart output kwenye faili la html.

Soma Zaidi...