DART somo la 44: Jinsi ya ku install mysql kwenye program ya dart
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuunganisha databse na Dart. Pia utajifunza jinsi ya kuset environment kwenye kompyuta ili kuweza kutumia Dart sdk kwenye CMD.
Jinsi ya kuunganisa mysql database.
Hatuwa ya kwanza tunatakiwa tu set environment variable kwenye kompyuta ili tuweze kutumia Dart sdk kwenye CMD yaani command prompt. Hivyo basi
- Kwanza kabisa nenda kwenye folda lenye sdk yako. Rejea somo la kwanza kujuwa jinsi tulivyoweka sdk kwenye kifaa chako. Kisha funguwa hilo folda utakuta kuna mafolda mengine. Hapo funguwa filda linaloitwa bin, kisha bofya uu kwenye directory ya faili angalia kwenye picha hapo chini nimeweka mshale
Ukibofya hapo utaona kuna address imejitokeza kama invyooneshw akwenye picha hapo chini. Unachotakiwa kufanya kopi hiyo address.
- Hatuwa ya pili neda kwenye control panne kish bofya system and security kisha bofya system hapo ukurasa mwingine wa setting utafunguka. Upande wa kulia kwa juu kuna menyu, tafuta palipoandikwa advanced system settings bofya hapo, utaona kuna kaukurasa kadogo kamefunguka, hapo bofya palipoandikwa environment variable. Kuna ukurasa mwingine umefunguka bofya palipoandikwa path kisha bofya edit kwa chini, kuna ukurasa utafunguka hapo bofya new ili kuweka varible mpya. Utaona kuna sehemu ya kuandika, hapo pest ile address yetu uliokopi hapo mwanzo. Baada ya hapo piga ok kusave na kufunga ukurasa. Hapo tumemaliza hatuwa ya pili.
- Hatuwa ya tatu ni kutest kama kila kitu kipo sawa. Sasa ni vyema ku reatart kompyuta yako. Baada ya kuwaka utakwenda kwen start menyu kisha tafuta cmd utaona kuna palipoandikwa command prompt bofya hapo. Angalia kwenye picha hapo chini
Ikishabofya hapo ukurasa mwingine utafunguka wenye rangi nyeusi tupu. Basi hapo ndipo umefuka kwenye command prompt. Sasa wacha tutest kama tumefanikiwa ku set environment variable. Command za dart huanziwa na neno dart hivyo basi andika neno dart kisa bofya enter kwenye keyboard yako. Uktaona hapo kuna ukurasa umefunguka kama inavyoonekana kwenye picha hapo chini
Kama umefika hatuwa hiyo basi hongera sana.
- Hatuwa inayofuata ni kutengeneza project nyingine. Hakikisha una bando lisilopunguwa mb 200. Sasa ili uweze kutengeneza project nyingine utatumia command ya create ikifuatiwa na jina la h...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Madrasa kiganjani 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉4 Bongolite - Game zone - Play free game 👉5 kitabu cha Simulizi 👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
Post zinazofanana:
Faida za kiafya za kula majani ya kunde
Leo tutajifunza kuhusu majani ya kunde — mboga za kijani zinazotokana na mmea wa kunde (beans). Wengi hula mbegu za kunde pekee, wakisahau kuwa hata majani yake yana virutubisho vya thamani kubwa kwa mwili. Tutazungumzia vitamini, madini, na faida mbalimbali za kiafya zinazopatikana katika majani haya.
Soma Zaidi...DART somo la 43: Stream kwenye Dart
Katika somo hili utakwenda ujifunz akuhusu concept ya stream kwenye Dart. pia ttaona kwa namna gani strean inaweza kutofautiana na future wakati zote mbili zipo kwenye asychronous programming.
Soma Zaidi...Dart somo la 26: DART OOP maana ya object, na jinsi ya kuitengeneza kwenye OOP
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza Object pamoja na properties. Haa kwa ufupi tutakwenda kujifunza jinsi ya kutumia class.
Soma Zaidi...DART SOMO LA 16: String method zinazotumika kwneye Dart
Katika somo hili utakwenda kujfunza kuhusu String method zinazotumika kwenye Dart.
Soma Zaidi...DART somo la 17: method za namba zinazotumika kwenye dart
Katika somo hili utakwenda kuziona method za dart zinazotumika kwenye namba. pia utajifunzakuhusu math library
Soma Zaidi...DART somo la 41: concept ya generic kwenye dart
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya generics ili kuweza kufanya kazi na aina mbalimbali za data kwenye class.
Soma Zaidi...