DART somo la 44: Jinsi ya ku install mysql kwenye program ya dart

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuunganisha databse na Dart. Pia utajifunza jinsi ya kuset environment kwenye kompyuta ili kuweza kutumia Dart sdk kwenye CMD.

Jinsi ya kuunganisa mysql database.

Hatuwa ya kwanza tunatakiwa tu set environment variable kwenye kompyuta ili tuweze kutumia Dart sdk kwenye CMD yaani command prompt. Hivyo basi 

  1. Kwanza kabisa nenda kwenye folda lenye sdk yako. Rejea somo la kwanza kujuwa jinsi tulivyoweka sdk kwenye kifaa chako. Kisha funguwa hilo folda utakuta kuna mafolda mengine. Hapo funguwa filda linaloitwa bin, kisha bofya uu kwenye directory ya faili angalia kwenye picha hapo chini nimeweka mshale

 

Ukibofya hapo utaona kuna address imejitokeza kama invyooneshw akwenye picha hapo chini. Unachotakiwa kufanya kopi hiyo address.

 

  1. Hatuwa ya pili neda kwenye control panne kish bofya system and security kisha bofya system hapo ukurasa mwingine wa setting utafunguka. Upande wa kulia kwa juu kuna menyu, tafuta palipoandikwa advanced system settings bofya hapo, utaona kuna kaukurasa kadogo kamefunguka, hapo bofya palipoandikwa environment variable. Kuna ukurasa mwingine umefunguka bofya palipoandikwa path kisha bofya edit kwa chini, kuna ukurasa utafunguka hapo bofya new ili kuweka varible mpya. Utaona kuna sehemu ya kuandika, hapo pest ile address yetu uliokopi hapo mwanzo. Baada ya hapo piga ok kusave na kufunga ukurasa. Hapo tumemaliza hatuwa ya pili.


 

  1. Hatuwa ya tatu ni kutest kama kila kitu kipo sawa. Sasa ni vyema ku reatart kompyuta yako. Baada ya kuwaka utakwenda kwen start menyu kisha tafuta cmd utaona kuna palipoandikwa command prompt bofya hapo. Angalia kwenye picha hapo chini

 

Ikishabofya hapo ukurasa mwingine utafunguka wenye rangi nyeusi tupu. Basi hapo ndipo umefuka kwenye command prompt. Sasa wacha tutest kama tumefanikiwa ku set environment variable. Command za dart huanziwa na neno dart hivyo basi andika neno dart kisa bofya enter kwenye keyboard yako. Uktaona hapo kuna ukurasa umefunguka kama inavyoonekana kwenye picha hapo chini

 ...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: DART Main: ICT File: Download PDF Views 783

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

DART somo la 27: DART OOP: maana ya constructor method na jinsi inavyotumika kwenye OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jins ya kutengeneza constructor method, pia utajifunza matumizi yake kwenye OOP.

Soma Zaidi...
DART somo la 28: Named constructor na constant constructor kwenye OOP

Ka tika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya named constructor na constant constructor kwenye Object Oriented Programming.

Soma Zaidi...
DART somo la 37: Class interface

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class interface na inavyotofautiana na class abstract

Soma Zaidi...
DART somo la 6: Dart operator na jinsi zinavyofanya kazi.

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator kwenye Dart, kazi zake na jinsi ya kuzitumia.

Soma Zaidi...
DART somo la 11:break and continue statement kwenye Dat loop

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu break na continue kwenye Dart loop za for loop na while loop.

Soma Zaidi...
DART somo la 15: parameter kwenye function za Dart

Katika somo hili tutakwenda kuzungumzia kuhusu parameter kwenye Dart function. Pia tutakwenda kuona mambo mengine yanayohusu function

Soma Zaidi...
DART somo la 45: Jinai ys kutuma mysql database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya mysql kwenye Dart. hakikisha umeelewa vyema na kutekeleza yalioelekezwa kutoka kwenye somo lililopita.

Soma Zaidi...
DART somo la 23: Jinsi ya kusoma mafaili kwa kutumia Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma na kuandika faili kwa kutumia Dart programming.

Soma Zaidi...
DART somo la 4: Jinsi ya kuandika na kutumia variable kwenye Dart

Katika somo lililopita tumejifunza kuhusu sintaksia za dart. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza variable kwenye Dart.

Soma Zaidi...
Dart somo la 25: DART OOP Nini maaan ya class na vipi utaweza kuitengeneza

Katika somo hili utajifunza maana ya class kwenye OOP paradigm, kisha utajifunza jinsi ya kutengeneza class.

Soma Zaidi...