DART somo la 44: Jinsi ya ku install mysql kwenye program ya dart

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuunganisha databse na Dart. Pia utajifunza jinsi ya kuset environment kwenye kompyuta ili kuweza kutumia Dart sdk kwenye CMD.

Jinsi ya kuunganisa mysql database.

Hatuwa ya kwanza tunatakiwa tu set environment variable kwenye kompyuta ili tuweze kutumia Dart sdk kwenye CMD yaani command prompt. Hivyo basi 

  1. Kwanza kabisa nenda kwenye folda lenye sdk yako. Rejea somo la kwanza kujuwa jinsi tulivyoweka sdk kwenye kifaa chako. Kisha funguwa hilo folda utakuta kuna mafolda mengine. Hapo funguwa filda linaloitwa bin, kisha bofya uu kwenye directory ya faili angalia kwenye picha hapo chini nimeweka mshale

 

Ukibofya hapo utaona kuna address imejitokeza kama invyooneshw akwenye picha hapo chini. Unachotakiwa kufanya kopi hiyo address.

 

  1. Hatuwa ya pili neda kwenye control panne kish bofya system and security kisha bofya system hapo ukurasa mwingine wa setting utafunguka. Upande wa kulia kwa juu kuna menyu, tafuta palipoandikwa advanced system settings bofya hapo, utaona kuna kaukurasa kadogo kamefunguka, hapo bofya palipoandikwa environment variable. Kuna ukurasa mwingine umefunguka bofya palipoandikwa path kisha bofya edit kwa chini, kuna ukurasa utafunguka hapo bofya new ili kuweka varible mpya. Utaona kuna sehemu ya kuandika, hapo pest ile address yetu uliokopi hapo mwanzo. Baada ya hapo piga ok kusave na kufunga ukurasa. Hapo tumemaliza hatuwa ya pili.


 

  1. Hatuwa ya tatu ni kutest kama kila kitu kipo sawa. Sasa ni vyema ku reatart kompyuta yako. Baada ya kuwaka utakwenda kwen start menyu kisha tafuta cmd utaona kuna palipoandikwa command prompt bofya hapo. Angalia kwenye picha hapo chini

 

Ikishabofya hapo ukurasa mwingine utafunguka wenye rangi nyeusi tupu. Basi hapo ndipo umefuka kwenye command prompt. Sasa wacha tutest kama tumefanikiwa ku set environment variable. Command za dart huanziwa na neno dart hivyo basi andika neno dart kisa bofya enter kwenye keyboard yako. Uktaona hapo kuna ukurasa umefunguka kama inavyoonekana kwenye picha hapo chini

 ...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: DART Main: ICT File: Download PDF Views 1292

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉4 Dua za Mitume na Manabii    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

DART somo la 30 :Jinsi ya kutengeneza setter na geter kwenye OOP

Katika somo hili tutakwenda kujifunza zaidi kuhusu method za getter na setter. Tutakwenda kuona hasa zinavyotumika na zinavyotengenezwa.

Soma Zaidi...
DART somo la 24: Jinsi ya kutengeneza faili, folda na kuingiza data

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika data kwenye faili. Kwanza utajifunza kutengeneza folda, kisha faili na kuweka data, kisha utajifunza kufuta fali.

Soma Zaidi...
DART somo la 17: method za namba zinazotumika kwenye dart

Katika somo hili utakwenda kuziona method za dart zinazotumika kwenye namba. pia utajifunzakuhusu math library

Soma Zaidi...
DART somo la 33 concept ya polymorphism

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya polymorphism.

Soma Zaidi...
DART somo la 18: Dart method zinazotumika kwenye List data type

Katika somo hili utakwenda kujifunza method yhinginge zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 21: Jinsi ya kutengeneza library kwenye Dart

Katika somo hili utajifunza kuhusu dart library. Pia tutakwend aktengeneza library yetu wennyewe kwa ajili ya kufanya mazoezi zaidi.

Soma Zaidi...
DART somo la 12: Kuchukuwa user input kwenye Dart

Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Dart kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program.

Soma Zaidi...
DART somo la 8: Matumizi ya switch case

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu switch case na jinsi inavyofanya kazi kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 40: factory constructor

Katika somo hiliutakwenda kujifunza aina nyingine ya constructor ambayo hutumika kwenye Dart. aina hiyo ni factory constructory.

Soma Zaidi...
DART somo la 10: while loop na do while loop kwenye Dart

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu while loop na do while loop zinavyofanya kazi katika Dart.

Soma Zaidi...