Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu while loop na do while loop zinavyofanya kazi katika Dart.
While loop hii hutumika endapo hujui kama code zako zinatakiw aku run mara ngapi. Yenyewe hii ni rahisi sana kutumia. Unachotakiwa kufanya ni kuweka sharti (condition) kisha zitafuata code.
While (condition){
Code
increment/ decrement
}
void main() {
print('ORODHA YA NAMBA');
var x = 1;
print(x);
while(x <12){
x++;
print(x);
}
}
Wach tuone jinsi ambavyo tutaweza kutengeneza tebo yetu ya 7 kwa kutumia while loop.
void main() {
print('TEBO YA 7');
var x = 0;
while(x <12){
x++;
print("${x}*7= ${x *7}");
}
}
Do while loop
Hii ni sawa na while loop ila utofauti wao ni kuwa do while loop yenyewe kwanza itanza na ku run code husika k">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili tutakwenda kujifunza concept nyingine ya asynchronous programming.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class interface na inavyotofautiana na class abstract
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujfunza kuhusu String method zinazotumika kwenye Dart.
Soma Zaidi...Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Dart kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu namna ambavyo program inaweza kufanya maamuzi kulingana na mashart fulani.ama namna ambavyo program inaweza ku run code zaii ya mara moja kulingana na mashart. Hapa tutazingumzia flow of control statement
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu kazi za dart language. Pia nimekuandalia istoria fupi ya lugha ya DART.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutatkwenda kuziona baadhi ya xyntax yaani kanunu za uandishi wa code za dart.
Soma Zaidi...Katika somo lililopita tumejifunza kuhusu sintaksia za dart. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza variable kwenye Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kuzungumzia kuhusu parameter kwenye Dart function. Pia tutakwenda kuona mambo mengine yanayohusu function
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu enum na inavyotumika kwenye Dart.
Soma Zaidi...