Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Dart kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program.
User input ni nini?
User input ni kila ambacho mtumaji wa hiyo program atatakiwa kuwasilisha kwenye hiyo program mfano akiulizwa jina, akiulizwa namba na vinginevyo. Endapo atajaza hizo taaifa ndio zinaitwa user input. Kwa ufupi taarifa ambazo unahitaji mtumiaji wa program ajaze kwenye hiyo program ndio huitwa user input.
Katika Dart kabla ya kuhitaji user input utatakiwa ku import package inayoitwa io. Kufanya hivi tutaweka command hii import 'dart:io'; Mwanzoni mwa program yetu kabla ya main function. Baada ya hapo program yetu itakuwa na uwezo wa kupokea user input. Ili uweze kupokea user input tutatumia method hii stdin.readLineSync()
Wacha tuone mfano:
import 'dart:io';
void main(){
print("Andika jina kisha bofya Enter kwenye keyboard yako");
var name = stdin.readLineSync();
print("Jina lako ni ${name}");
}
Sasa kuna kitu nataka ujijuwe, ni kuwa user input zote ni string data type. Hivyo kama ukitaka kuweka data type kwenye kyrengeneza variable utaongeza alama ya ? kwenye string.String? name = stdin.readLineSync();
Sasa kama utahitaji kufanyia mahesabau user input kuna kazi ya ziada unatakiwa kuifanya. Wacha kwanza tuone mfano huu
Tunataka kutengeneza program ya kujuwa umri wa mtu. Program hii itahitaji mwaka aliozaliwa. Akishaweka mwaka aliozaliwa tutachuku">... Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu Umeionaje Makala hii.. ? Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza Object pamoja na properties. Haa kwa ufupi tutakwenda kujifunza jinsi ya kutumia class. Katika somo hli utakwend akujifunza kuhusu loop kwenye Dart. Loop zimegawanyika katika makundi mnne ambayo ni for loop, while loop, for in loop na do while loop. Katika somo hili tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo la function. Hapa tutakwenda kuona aina za function. Katika somo hili utakwenda kujifunza method yhinginge zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Dart. Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu namna ambavyo program inaweza kufanya maamuzi kulingana na mashart fulani.ama namna ambavyo program inaweza ku run code zaii ya mara moja kulingana na mashart. Hapa tutazingumzia flow of control statement Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya mysql kwenye Dart. hakikisha umeelewa vyema na kutekeleza yalioelekezwa kutoka kwenye somo lililopita. Katika soo hili utakwenda kujifunza kuhusu reserved keywords katika Dart Katika somo hiliutakwenda kujifunza aina nyingine ya constructor ambayo hutumika kwenye Dart. aina hiyo ni factory constructory. Katika somo hili utajifunza maana ya class kwenye OOP paradigm, kisha utajifunza jinsi ya kutengeneza class.
👉1
Madrasa kiganjani
👉2
Simulizi za Hadithi Audio
👉3
Kitau cha Fiqh
👉4
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉5
Tafasiri ya Riyadh Swalihina
👉6
Bongolite - Game zone - Play free game
Post zinazofanana:
DART somo la 19: method zinazotumika kwenye set data type kwenye Dart
Dart somo la 26: DART OOP maana ya object, na jinsi ya kuitengeneza kwenye OOP
DART somo la 9: for loop na for in loop kwenye dart, kazi zake na jinsi ya kuadika
DART SOMO LA 14: Aina za function kwenye Dart
DART somo la 18: Dart method zinazotumika kwenye List data type
DART somo la 7: matumizi ya if, else, if else, else if kwenye Dart
DART somo la 45: Jinai ys kutuma mysql database
DART somo la 5: Reserved keywords kwenye lugah ya Dart
DART somo la 40: factory constructor
Dart somo la 25: DART OOP Nini maaan ya class na vipi utaweza kuitengeneza