DART somo la 12: Kuchukuwa user input kwenye Dart
Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Dart kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program.
User input ni nini?
User input ni kila ambacho mtumaji wa hiyo program atatakiwa kuwasilisha kwenye hiyo program mfano akiulizwa jina, akiulizwa namba na vinginevyo. Endapo atajaza hizo taaifa ndio zinaitwa user input. Kwa ufupi taarifa ambazo unahitaji mtumiaji wa program ajaze kwenye hiyo program ndio huitwa user input.
Katika Dart kabla ya kuhitaji user input utatakiwa ku import package inayoitwa io. Kufanya hivi tutaweka command hii import 'dart:io'; Mwanzoni mwa program yetu kabla ya main function. Baada ya hapo program yetu itakuwa na uwezo wa kupokea user input. Ili uweze kupokea user input tutatumia method hii stdin.readLineSync()
Wacha tuone mfano:
import 'dart:io';
void main(){
print("Andika jina kisha bofya Enter kwenye keyboard yako");
var name = stdin.readLineSync();
print("Jina lako ni ${name}");
}
Sasa kuna kitu nataka ujijuwe, ni kuwa user input zote ni string data type. Hivyo kama ukitaka kuweka data type kwenye kyrengeneza variable utaongeza alama ya ? kwenye string.String? name = stdin.readLineSync();
Sasa kama utahitaji kufanyia mahesabau user input kuna kazi ya ziada unatakiwa kuifanya. Wacha kwanza tuone mfano huu
Tunataka kutengeneza program ya kujuwa umri wa mtu. Program hii itahitaji mwaka aliozaliwa. Akishaweka mwaka aliozaliwa tutachukuwa 2023 - huo mwaka ili tupata idadi ya miaka yeke.
import 'dart:io';
void main(){
print(...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Kitau cha Fiqh 👉2 Madrasa kiganjani 👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉4 Simulizi za Hadithi Audio 👉5 ai web app 👉6 kitabu cha Simulizi
Post zinazofanana:
DART somo la 20: method zinazotumika kwenye map data type kwenye Dart
Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu method ambazo hutumika kwenye map data type
Soma Zaidi...DART somo la 11:break and continue statement kwenye Dat loop
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu break na continue kwenye Dart loop za for loop na while loop.
Soma Zaidi...DART somo la 43: Stream kwenye Dart
Katika somo hili utakwenda ujifunz akuhusu concept ya stream kwenye Dart. pia ttaona kwa namna gani strean inaweza kutofautiana na future wakati zote mbili zipo kwenye asychronous programming.
Soma Zaidi...DART somo la 17: method za namba zinazotumika kwenye dart
Katika somo hili utakwenda kuziona method za dart zinazotumika kwenye namba. pia utajifunzakuhusu math library
Soma Zaidi...DART somo la 39: mixin kwenye dart
Katika somo hii utakwenda kujifunza kuhusu concept mixin na jinsi inavyoweza kutumika kwenye Dart.
Soma Zaidi...DART somo la 45: Jinai ys kutuma mysql database
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya mysql kwenye Dart. hakikisha umeelewa vyema na kutekeleza yalioelekezwa kutoka kwenye somo lililopita.
Soma Zaidi...