DART somo la 12: Kuchukuwa user input kwenye Dart

Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Dart kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program.

User input ni nini?

User input ni kila ambacho mtumaji wa hiyo program atatakiwa kuwasilisha kwenye hiyo program mfano akiulizwa jina, akiulizwa namba na vinginevyo. Endapo atajaza hizo taaifa ndio zinaitwa user input. Kwa ufupi taarifa ambazo unahitaji mtumiaji wa program ajaze kwenye hiyo program ndio huitwa user input.

 

Katika Dart kabla ya kuhitaji user input utatakiwa ku import package inayoitwa io. Kufanya hivi tutaweka command hii  import 'dart:io'; Mwanzoni mwa program yetu kabla ya main function. Baada ya hapo program yetu itakuwa na uwezo wa kupokea user input. Ili uweze kupokea user input tutatumia method hii stdin.readLineSync()

 

Wacha tuone mfano:

import 'dart:io';

void main(){

 print("Andika jina kisha bofya Enter kwenye keyboard yako");

 var name  = stdin.readLineSync();

 print("Jina lako ni ${name}");

}

 

Sasa kuna kitu nataka ujijuwe, ni kuwa user input zote ni string data type. Hivyo kama ukitaka kuweka data type kwenye kyrengeneza variable utaongeza alama ya ?  kwenye string.String? name  = stdin.readLineSync();

 

Sasa kama utahitaji kufanyia mahesabau user input kuna kazi ya ziada unatakiwa kuifanya. Wacha kwanza tuone mfano huu

 

Tunataka kutengeneza program ya kujuwa umri wa mtu. Program hii itahitaji mwaka aliozaliwa. Akishaweka mwaka aliozaliwa tutachuku">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: DART Main: ICT File: Download PDF Views 620

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

DART somo la 19: method zinazotumika kwenye set data type kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set.

Soma Zaidi...
Dart somo la 26: DART OOP maana ya object, na jinsi ya kuitengeneza kwenye OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza Object pamoja na properties. Haa kwa ufupi tutakwenda kujifunza jinsi ya kutumia class.

Soma Zaidi...
DART somo la 9: for loop na for in loop kwenye dart, kazi zake na jinsi ya kuadika

Katika somo hli utakwend akujifunza kuhusu loop kwenye Dart. Loop zimegawanyika katika makundi mnne ambayo ni for loop, while loop, for in loop na do while loop.

Soma Zaidi...
DART SOMO LA 14: Aina za function kwenye Dart

Katika somo hili tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo la function. Hapa tutakwenda kuona aina za function.

Soma Zaidi...
DART somo la 18: Dart method zinazotumika kwenye List data type

Katika somo hili utakwenda kujifunza method yhinginge zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 7: matumizi ya if, else, if else, else if kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu namna ambavyo program inaweza kufanya maamuzi kulingana na mashart fulani.ama namna ambavyo program inaweza ku run code zaii ya mara moja kulingana na mashart. Hapa tutazingumzia flow of control statement

Soma Zaidi...
DART somo la 45: Jinai ys kutuma mysql database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya mysql kwenye Dart. hakikisha umeelewa vyema na kutekeleza yalioelekezwa kutoka kwenye somo lililopita.

Soma Zaidi...
DART somo la 5: Reserved keywords kwenye lugah ya Dart

Katika soo hili utakwenda kujifunza kuhusu reserved keywords katika Dart

Soma Zaidi...
DART somo la 40: factory constructor

Katika somo hiliutakwenda kujifunza aina nyingine ya constructor ambayo hutumika kwenye Dart. aina hiyo ni factory constructory.

Soma Zaidi...
Dart somo la 25: DART OOP Nini maaan ya class na vipi utaweza kuitengeneza

Katika somo hili utajifunza maana ya class kwenye OOP paradigm, kisha utajifunza jinsi ya kutengeneza class.

Soma Zaidi...