Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Dart kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program.
User input ni nini?
User input ni kila ambacho mtumaji wa hiyo program atatakiwa kuwasilisha kwenye hiyo program mfano akiulizwa jina, akiulizwa namba na vinginevyo. Endapo atajaza hizo taaifa ndio zinaitwa user input. Kwa ufupi taarifa ambazo unahitaji mtumiaji wa program ajaze kwenye hiyo program ndio huitwa user input.
Katika Dart kabla ya kuhitaji user input utatakiwa ku import package inayoitwa io. Kufanya hivi tutaweka command hii import 'dart:io'; Mwanzoni mwa program yetu kabla ya main function. Baada ya hapo program yetu itakuwa na uwezo wa kupokea user input. Ili uweze kupokea user input tutatumia method hii stdin.readLineSync()
Wacha tuone mfano:
import 'dart:io';
void main(){
print("Andika jina kisha bofya Enter kwenye keyboard yako");
var name = stdin.readLineSync();
print("Jina lako ni ${name}");
}
Sasa kuna kitu nataka ujijuwe, ni kuwa user input zote ni string data type. Hivyo kama ukitaka kuweka data type kwenye kyrengeneza variable utaongeza alama ya ? kwenye string.String? name = stdin.readLineSync();
Sasa kama utahitaji kufanyia mahesabau user input kuna kazi ya ziada unatakiwa kuifanya. Wacha kwanza tuone mfano huu
Tunataka kutengeneza program ya kujuwa umri wa mtu. Program hii itahitaji mwaka aliozaliwa. Akishaweka mwaka aliozaliwa tutachuku">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua. Umeionaje Makala hii.. ? Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class interface na inavyotofautiana na class abstract Katika somo hili utakwenda ujifunz akuhusu concept ya stream kwenye Dart. pia ttaona kwa namna gani strean inaweza kutofautiana na future wakati zote mbili zipo kwenye asychronous programming. Katika somo hli utakwend akujifunza kuhusu loop kwenye Dart. Loop zimegawanyika katika makundi mnne ambayo ni for loop, while loop, for in loop na do while loop. Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data zinazotumika kwenye Dart. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika data kwenye faili. Kwanza utajifunza kutengeneza folda, kisha faili na kuweka data, kisha utajifunza kufuta fali. Katika somo hili utakwenda kujfunza kuhusu String method zinazotumika kwenye Dart. Katika somo hili tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo la function. Hapa tutakwenda kuona aina za function. Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator kwenye Dart, kazi zake na jinsi ya kuzitumia. Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu abstract class na abstract method kwenye Dart. Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set. Download App Yetu
👉1
Kitau cha Fiqh
👉2
Madrasa kiganjani
👉3
kitabu cha Simulizi
👉4
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉5
Kitabu cha Afya
👉6
Simulizi za Hadithi Audio
Post zinazofanana:
DART somo la 37: Class interface
DART somo la 43: Stream kwenye Dart
DART somo la 9: for loop na for in loop kwenye dart, kazi zake na jinsi ya kuadika
DART somo la 3: Aina za Data
DART somo la 24: Jinsi ya kutengeneza faili, folda na kuingiza data
DART SOMO LA 16: String method zinazotumika kwneye Dart
DART SOMO LA 14: Aina za function kwenye Dart
DART somo la 6: Dart operator na jinsi zinavyofanya kazi.
DART somo la 36: Abstract class kweye Dart
DART somo la 19: method zinazotumika kwenye set data type kwenye Dart