Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Dart kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program.
User input ni nini?
User input ni kila ambacho mtumaji wa hiyo program atatakiwa kuwasilisha kwenye hiyo program mfano akiulizwa jina, akiulizwa namba na vinginevyo. Endapo atajaza hizo taaifa ndio zinaitwa user input. Kwa ufupi taarifa ambazo unahitaji mtumiaji wa program ajaze kwenye hiyo program ndio huitwa user input.
Katika Dart kabla ya kuhitaji user input utatakiwa ku import package inayoitwa io. Kufanya hivi tutaweka command hii import 'dart:io'; Mwanzoni mwa program yetu kabla ya main function. Baada ya hapo program yetu itakuwa na uwezo wa kupokea user input. Ili uweze kupokea user input tutatumia method hii stdin.readLineSync()
Wacha tuone mfano:
import 'dart:io';
void main(){
print("Andika jina kisha bofya Enter kwenye keyboard yako");
var name = stdin.readLineSync();
print("Jina lako ni ${name}");
}
Sasa kuna kitu nataka ujijuwe, ni kuwa user input zote ni string data type. Hivyo kama ukitaka kuweka data type kwenye kyrengeneza variable utaongeza alama ya ? kwenye string.String? name = stdin.readLineSync();
Sasa kama utahitaji kufanyia mahesabau user input kuna kazi ya ziada unatakiwa kuifanya. Wacha kwanza tuone mfano huu
Tunataka kutengeneza program ya kujuwa umri wa mtu. Program hii itahitaji mwaka aliozaliwa. Akishaweka mwaka aliozaliwa tutachuku">... Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu Umeionaje Makala hii.. ? Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static property na jinsi ambavyo inavyotumika. Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu while loop na do while loop zinavyofanya kazi katika Dart. Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu method ambazo hutumika kwenye map data type Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya polymorphism. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya mysql kwenye Dart. hakikisha umeelewa vyema na kutekeleza yalioelekezwa kutoka kwenye somo lililopita. Katika masomo yaliopita tumesha jifunza jinsi inheritance inavyokuwa, ila hatujaona kwa namna gani utaweza ku inherit constructor method. Somo hili litashughulika na swla hilo. Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data zinazotumika kwenye Dart. Katika somo hili tutawenda kujifunza kuhusu encapsulatio kwenye Dart OOP na jinsi inavyoweza kutumika. Katika somo hiliutakwenda kujifunza aina nyingine ya constructor ambayo hutumika kwenye Dart. aina hiyo ni factory constructory. Katika somo lililopita tumejifunza kuhusu sintaksia za dart. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza variable kwenye Dart.
👉1
Kitabu cha Afya
👉2
Simulizi za Hadithi Audio
👉3
Madrasa kiganjani
👉4
Kitau cha Fiqh
👉5
Bongolite - Game zone - Play free game
👉6
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Post zinazofanana:
DART somo la 34: Static variable kwenye Dart
DART somo la 10: while loop na do while loop kwenye Dart
DART somo la 20: method zinazotumika kwenye map data type kwenye Dart
DART somo la 33 concept ya polymorphism
DART somo la 45: Jinai ys kutuma mysql database
DART somo la 32: Inheritance kwenye construct method:
DART somo la 3: Aina za Data
DART somo la 29: Dart encapsulation
DART somo la 40: factory constructor
DART somo la 4: Jinsi ya kuandika na kutumia variable kwenye Dart