DART somo la 31: inheritance kwenye DART OOP
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu inheritance, na inavyoweza kutumika kwenye Dart OOP.
Inheritance ni nini?
Inheritance ni uweze wa class zaidi ya moja kushirikiana katika tabia na sifa za class. Yaani method na properties za class moja zinaweza kurithiwa (inherited) kwenye class nyingine. Tunaweza kufanya hivi kwa kutumia keyword extend.
Hivyo hapo tuna class inayorithi na inayorithiwa. Hii inayorithiwa ndio ambayo inaanza, hii huitwa parent class na hii inayorithi hiutwa child class. Kunaweza kuwa na child class zaidi ya moja ambazo zinarithi kutoka kwenye parent class moa. Parent class pia huitwa base class au supper class. Na child class pia hujulikana kama derived class au sub class.
Mfano:
Hapa nina class 2 ya kwanza nimeipa jina la gari yenyewe itakuwa ina print jina la gari na namba yake. Hivyo itakuwa na property mbili.ambazo ni jina na namba
class gari {
// Properties
String? jina;
int? namba;
// Method
void display() {
print("Jina: $jina");
print("Namba: $namba");
}
}
Kisha nina class nyingine nitaiita toyota ambayo ina print rangi ya gazi na idadi ya milango. Hvyo itakuwa na properties mbili ambazo ni rangi na milango
class toyota{
// Fields
String? rangi;
int? milango;
// Method
void displayToyota() {
print("Rangi: $rangi");
print("Milango : $milango");
}
}
Kwa pamoja class hizi mbili zinaweza kuleta matokeo haya:
class gari {
// Properties
String? jina;
int? namba;
// Method
void display() {
print("Jina: $jina");
print("Namba: $namba");
}
}
class toyota{
// Fields
String? rangi;
int? milango;
// Method
void displayToyota() {
print("Rangi: $rangi");
print("Milango : $milango");
}
}
void main() {
// Creating an object of the gari class
var g1 = gari();
g1.jina = "Toyota";
g1.namba = 2023;
g1.display();
var g2 = toyota();
g2.rangi = "Nyeusi";
g2.milango = 4;
g2.displayToyota();
}
Sasa tunakwenda kuchanganya class hizi mbili ili class ya totota iweze kurithi property na method kutoka kwenye class gari ili iweze ku print matokeo.
class gari {
// Properties
String? jina;
int? namba;
// Method
void display() {
print("Jina: $jina");
print("Namba: $namba");
}
}
class toyota extends gari{
// Fields
String? rangi;
int? milango;
// Method
void displayToyota() {
display();
print("Rangi: $rangi");
print("Milango : $milango");
}
}
void main() {
var g = toyota();
g.jina = "Toyota";
g.namba = 2023;
g.rangi = "Nyeusi";
g.milango = 4;
g.displayToyota();
}
Aina za inheritance:
Inheritance imegawanyika katika makundi makuu manne ambayo ni:-
- Single inheritance katika aina hii class itarithi kutoka kwenye class moja tu.
- Multilevel inheritance katika aina hii unaweza kurithi class ambayo nayo inarithi kutoa kwenye class nyingine.
- Hierachical inheritance katika aina hii parent class moja inaweza kurithiwa na class zaidi ya moja.
- Multiple inheritance Katia aina hii ckass inaweza kurithi kutoka kwenye class zaidi ya koja. Hata hivyo aina hii hairuhusiwi kwenye Dart.
Wacha tuone mifano ya kila moja kati ya hizo:-
- Single inheritance. Hii ni kama tulivyoona kwenye mfano wa kwanza.
class Car {
// Properties
String? name;
double? prize;
}
class Tesla extends Car {
// Method to display the values of the properties
void display() {
print("Name: ${name}");
print("Prize: ${prize}");
}
}
void main() {
// Create an object of Tesla class
Tesla t = new Tesla();
// setting values to the object
t.name = "Tesla Model 3";
t.prize = 50000.00;
// Display the values of the object
&nbs...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Dua za Mitume na Manabii 👉2 web hosting 👉3 Madrasa kiganjani 👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉5 ai web app 👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Post zinazofanana:
DART somo la 32: Inheritance kwenye construct method:
Katika masomo yaliopita tumesha jifunza jinsi inheritance inavyokuwa, ila hatujaona kwa namna gani utaweza ku inherit constructor method. Somo hili litashughulika na swla hilo.
Soma Zaidi...DART somo la 9: for loop na for in loop kwenye dart, kazi zake na jinsi ya kuadika
Katika somo hli utakwend akujifunza kuhusu loop kwenye Dart. Loop zimegawanyika katika makundi mnne ambayo ni for loop, while loop, for in loop na do while loop.
Soma Zaidi...DART somo la 13: function kwenye dart
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye dart, jisni ya kziandika na matumizi yake.
Soma Zaidi...DART somo la 36: Abstract class kweye Dart
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu abstract class na abstract method kwenye Dart.
Soma Zaidi...DART somo la 22: Jinsi ya kutumia html library kwenye Dart
Katika somo hili tutakwenda kujifunz ajinsi ya kutumia library ya html kwenye Dart. somo hili litakupeleka kujifunza jinsi ya ku display dart output kwenye faili la html.
Soma Zaidi...DART somo la 12: Kuchukuwa user input kwenye Dart
Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Dart kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program.
Soma Zaidi...