Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu inheritance, na inavyoweza kutumika kwenye Dart OOP.
Inheritance ni nini?
Inheritance ni uweze wa class zaidi ya moja kushirikiana katika tabia na sifa za class. Yaani method na properties za class moja zinaweza kurithiwa (inherited) kwenye class nyingine. Tunaweza kufanya hivi kwa kutumia keyword extend.
Hivyo hapo tuna class inayorithi na inayorithiwa. Hii inayorithiwa ndio ambayo inaanza, hii huitwa parent class na hii inayorithi hiutwa child class. Kunaweza kuwa na child class zaidi ya moja ambazo zinarithi kutoka kwenye parent class moa. Parent class pia huitwa base class au supper class. Na child class pia hujulikana kama derived class au sub class.
Mfano:
Hapa nina class 2 ya kwanza nimeipa jina la gari yenyewe itakuwa ina print jina la gari na namba yake. Hivyo itakuwa na property mbili.ambazo ni jina na namba
class gari {
// Properties
String? jina;
int? namba;
// Method
void display() {
print("Jina: $jina");
print("Namba: $namba");
}
}
Kisha nina class nyingine nitaiita toyota ambayo ina print rangi ya gazi na idadi ya milango. Hvyo itakuwa na properties mbili ambazo ni rangi na milango
class toyota{
// Fields
String? rangi;
int? milango;
// Method
void displayToyota() {
print("Rangi: $rangi");
print("Milango : $milango");
}
}
Kwa pamoja class hizi mbili zinaweza kuleta matokeo haya:
class gari {
// Properties
String? jina;
int? namba;
// Method
void display() {
print("Jina: $jina");
print("Namba: $namba");
}
}
class toyota{
// Fields
String? rangi;
int? milango;
// Method
void displayToyota() {
print("Rangi: $rangi");
print("Milango : $milango");
}
}
void main() {
// Creating an object of the gari class
var g1 = gari();
g1.jina = "Toyota";
g1.namba = 2023;
g1.display();
var g2 = toyota();
g2.rangi = "Nyeusi";
g2.milango = 4;
g2.displayToyota();
}
Sasa tunakwenda kuchanganya class hizi mbili ili class ya totota iweze kurithi property na method kutoka kwenye class gari ili iweze ku print matokeo.
class gari {
// Properties
String? jina;
int? namba;
// Method
void display() {
print("Jina: $jina");
print("Namba: $namba");
}
}
class toyota extends gari{
// Fields
String? rangi;
int? milango;
// Method
void displayToyota() {
display();
print("Rangi: $rangi");
print("Milango : $milango");
}
}
void main() {
var g = toyota();
g.jina = "Toyota";
g.namba = 2023;
g.rangi = "Nyeusi";
g.milango = 4;
g.displayToyota();
}
Aina za inheritance:
Inheritance imegawanyika katika makundi makuu manne ambayo ni:-
Wacha tuone mifano ya kila moja kati ya hizo:-
class Car {
// Properties
String? name;
double? prize;
}
class Tesla extends Car {
// Method to display the values of the properties
void display() {
print("Name: ${name}");
print("Prize: ${prize}");
}
}
void main() {
// Create an object of Tesla class
Tesla t = new Tesla();
// setting values to the object
t.name = "Tesla Model 3";
t.prize = 50000.00;
// Display the values of the object
t.display();
}
Katika mfano unaofuata parent class ni gari ambayo imerithiwa na class toyota ambayo pia imerithiwa na class Avalon.
class gari {
// Properties
String? jina;
int? namba;
// Method
void display() {
print("Jina: $jina");
print("Namba: $namba");
}
}
class toyota extends gari{
// Fields
String? rangi;
int? milango;
// Method
void displayToyota() {
display();
print("Rangi: $rangi"...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua. Umeionaje Makala hii.. ? Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma na kuandika faili kwa kutumia Dart programming. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza Object pamoja na properties. Haa kwa ufupi tutakwenda kujifunza jinsi ya kutumia class. Katika soo hili utakwenda kujifunza kuhusu reserved keywords katika Dart Katika somo hili tutakwenda kujifunz ajinsi ya kutumia library ya html kwenye Dart. somo hili litakupeleka kujifunza jinsi ya ku display dart output kwenye faili la html. Katika somo lililopita tumejifunza kuhusu sintaksia za dart. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza variable kwenye Dart. Katika somo hili utajifunza maana ya class kwenye OOP paradigm, kisha utajifunza jinsi ya kutengeneza class. Katika somo hili tutakwenda kujifunza concept nyingine ya asynchronous programming. Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class interface na inavyotofautiana na class abstract Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static property na jinsi ambavyo inavyotumika. Ka tika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya named constructor na constant constructor kwenye Object Oriented Programming. Download App Yetu
👉1
kitabu cha Simulizi
👉2
Madrasa kiganjani
👉3
Simulizi za Hadithi Audio
👉4
Kitabu cha Afya
👉5
Bongolite - Game zone - Play free game
👉6
Kitau cha Fiqh
Post zinazofanana:
DART somo la 23: Jinsi ya kusoma mafaili kwa kutumia Dart
Dart somo la 26: DART OOP maana ya object, na jinsi ya kuitengeneza kwenye OOP
DART somo la 5: Reserved keywords kwenye lugah ya Dart
DART somo la 22: Jinsi ya kutumia html library kwenye Dart
DART somo la 4: Jinsi ya kuandika na kutumia variable kwenye Dart
Dart somo la 25: DART OOP Nini maaan ya class na vipi utaweza kuitengeneza
DART somola 42: Asynchronous programming
DART somo la 37: Class interface
DART somo la 34: Static variable kwenye Dart
DART somo la 28: Named constructor na constant constructor kwenye OOP