image

DART somo la 31: inheritance kwenye DART OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu inheritance, na inavyoweza kutumika kwenye Dart OOP.

Inheritance ni nini?

Inheritance ni uweze wa class zaidi ya moja kushirikiana katika tabia na sifa za class. Yaani method na properties za class moja  zinaweza kurithiwa (inherited) kwenye class nyingine. Tunaweza kufanya hivi kwa kutumia keyword extend.

 

Hivyo hapo tuna class inayorithi na inayorithiwa. Hii inayorithiwa ndio ambayo inaanza, hii huitwa parent class na hii inayorithi hiutwa child class. Kunaweza kuwa na child class zaidi ya moja ambazo zinarithi kutoka kwenye parent class moa. Parent class pia huitwa base class  au  supper class. Na child class pia hujulikana kama derived class au sub class.  

 

Mfano:

Hapa nina class 2 ya kwanza nimeipa jina la gari yenyewe itakuwa ina print jina la gari na namba yake. Hivyo itakuwa na property mbili.ambazo ni jina  na namba

class gari {

 // Properties

 String? jina;

 int? namba;

 

 // Method

 void display() {

   print("Jina: $jina");

   print("Namba: $namba");

 }

}

 

Kisha nina class nyingine nitaiita toyota ambayo ina print rangi ya gazi na idadi ya milango. Hvyo itakuwa na properties mbili ambazo ni rangi na  milango

class toyota{

 // Fields

 String? rangi;

 int? milango;

 

 // Method

 void displayToyota() {

   print("Rangi: $rangi");

   print("Milango : $milango");

 }

}

 

Kwa pamoja class hizi mbili zinaweza kuleta matokeo haya:

class gari {

 // Properties

 String? jina;

 int? namba;

 

 // Method

 void display() {

   print("Jina: $jina");

   print("Namba: $namba");

 }

}

 

class toyota{

 // Fields

 String? rangi;

 int? milango;

 

 // Method

 void displayToyota() {

   print("Rangi: $rangi");

   print("Milango : $milango");

 }

}

 

void main() {

 // Creating an object of the gari class

 var g1 = gari();

 g1.jina = "Toyota";

 g1.namba = 2023;

 g1.display();

 

 var g2 = toyota();

 g2.rangi = "Nyeusi";

 g2.milango = 4;

 g2.displayToyota();

}

 

 

Sasa tunakwenda kuchanganya class hizi mbili ili class ya totota iweze kurithi property na method kutoka kwenye class gari ili iweze ku print matokeo.

class gari {

 // Properties

 String? jina;

 int? namba;

 

 

 // Method

 void display() {

   print("Jina: $jina");

   print("Namba: $namba");

 }

}

 

 

class toyota extends gari{

 // Fields

 String? rangi;

 int? milango;

 

 

 // Method

 void displayToyota() {

   display();

   print("Rangi: $rangi");

   print("Milango : $milango");

 }

}

 

 

void main() {

 var g = toyota();

 g.jina = "Toyota";

 g.namba = 2023;

 g.rangi = "Nyeusi";

 g.milango = 4;

 g.displayToyota();

}

 


 

Aina za inheritance:

Inheritance imegawanyika katika makundi makuu manne ambayo ni:-

  1. Single inheritance katika aina hii class itarithi kutoka kwenye class moja tu. 
  2. Multilevel inheritance katika aina hii unaweza kurithi class ambayo nayo inarithi kutoa kwenye class nyingine.
  3. Hierachical inheritance katika aina hii parent class moja inaweza kurithiwa na class zaidi ya moja.
  4. Multiple inheritance  Katia aina hii ckass inaweza kurithi kutoka kwenye class zaidi ya koja. Hata hivyo aina hii hairuhusiwi kwenye Dart.

 

Wacha tuone mifano ya kila moja kati ya hizo:-

  1. Single inheritance. Hii ni kama tulivyoona kwenye mfano wa kwanza.

class Car {

 // Properties

 String? name;

 double? prize;

}

 

class Tesla extends Car {

 // Method to display the values of the properties

 void display() {

   print("Name: ${name}");

   print("Prize: ${prize}");

 }

}

 

void main() {

 // Create an object of Tesla class

 Tesla t = new Tesla();

 // setting values to the object

 t.name = "Tesla Model 3";

 t.prize = 50000.00;

 // Display the values of the object

 t.display();

}

 

 

  1. Multilevel inheritance

Katika mfano unaofuata parent class ni gari ambayo imerithiwa na class toyota ambayo pia imerithiwa na class Avalon.

class gari {

 // Properties

 String? jina;

 int? namba;

 

 

 // Method

 void display() {

   print("Jina: $jina");

   print("Namba: $namba");

 }

}

 

 

class toyota extends gari{

 // Fields

 String? rangi;

 int? milango;

 

 

 // Method

 void displayToyota() {

   display();

   print("Rangi: $rangi");

...



Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 212


Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

DART somo la 8: Matumizi ya switch case
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu switch case na jinsi inavyofanya kazi kwenye Dart. Soma Zaidi...

DART somo la 24: Dart OOP maana ya Object Oriented Programming kwenye Dart
Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya OOP na faida zake. Pia utakwenda kujifunza kuhusu features za OOP. Soma Zaidi...

DART somo la 11:break and continue statement kwenye Dat loop
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu break na continue kwenye Dart loop za for loop na while loop. Soma Zaidi...

DART - somo la 1: Kazi za dart programming na historia yake
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu kazi za dart language. Pia nimekuandalia istoria fupi ya lugha ya DART. Soma Zaidi...

DART somo la 10: while loop na do while loop kwenye Dart
Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu while loop na do while loop zinavyofanya kazi katika Dart. Soma Zaidi...

Dart somo la 26: DART OOP maana ya object, na jinsi ya kuitengeneza kwenye OOP
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza Object pamoja na properties. Haa kwa ufupi tutakwenda kujifunza jinsi ya kutumia class. Soma Zaidi...

DART somo la 22: Jinsi ya kutumia html library kwenye Dart
Katika somo hili tutakwenda kujifunz ajinsi ya kutumia library ya html kwenye Dart. somo hili litakupeleka kujifunza jinsi ya ku display dart output kwenye faili la html. Soma Zaidi...

DART SOMO LA 14: Aina za function kwenye Dart
Katika somo hili tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo la function. Hapa tutakwenda kuona aina za function. Soma Zaidi...

PHP somo la 54: PHP OOP class constant
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class. Soma Zaidi...

DART somo la 44: Jinsi ya ku install mysql kwenye program ya dart
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuunganisha databse na Dart. Pia utajifunza jinsi ya kuset environment kwenye kompyuta ili kuweza kutumia Dart sdk kwenye CMD. Soma Zaidi...

DART somo la 24: Jinsi ya kutengeneza faili, folda na kuingiza data
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika data kwenye faili. Kwanza utajifunza kutengeneza folda, kisha faili na kuweka data, kisha utajifunza kufuta fali. Soma Zaidi...

DART somo la 23: Jinsi ya kusoma mafaili kwa kutumia Dart
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma na kuandika faili kwa kutumia Dart programming. Soma Zaidi...