picha

DART somo la 31: inheritance kwenye DART OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu inheritance, na inavyoweza kutumika kwenye Dart OOP.

Inheritance ni nini?

Inheritance ni uweze wa class zaidi ya moja kushirikiana katika tabia na sifa za class. Yaani method na properties za class moja  zinaweza kurithiwa (inherited) kwenye class nyingine. Tunaweza kufanya hivi kwa kutumia keyword extend.

 

Hivyo hapo tuna class inayorithi na inayorithiwa. Hii inayorithiwa ndio ambayo inaanza, hii huitwa parent class na hii inayorithi hiutwa child class. Kunaweza kuwa na child class zaidi ya moja ambazo zinarithi kutoka kwenye parent class moa. Parent class pia huitwa base class  au  supper class. Na child class pia hujulikana kama derived class au sub class.  

 

Mfano:

Hapa nina class 2 ya kwanza nimeipa jina la gari yenyewe itakuwa ina print jina la gari na namba yake. Hivyo itakuwa na property mbili.ambazo ni jina  na namba

class gari {

 // Properties

 String? jina;

 int? namba;

 

 // Method

 void display() {

   print("Jina: $jina");

   print("Namba: $namba");

 }

}

 

Kisha nina class nyingine nitaiita toyota ambayo ina print rangi ya gazi na idadi ya milango. Hvyo itakuwa na properties mbili ambazo ni rangi na  milango

class toyota{

 // Fields

 String? rangi;

 int? milango;

 

 // Method

 void displayToyota() {

   print("Rangi: $rangi");

   print("Milango : $milango");

 }

}

 

Kwa pamoja class hizi mbili zinaweza kuleta matokeo haya:

class gari {

 // Properties

 String? jina;

 int? namba;

 

 // Method

 void display() {

   print("Jina: $jina");

   print("Namba: $namba");

 }

}

 

class toyota{

 // Fields

 String? rangi;

 int? milango;

 

 // Method

 void displayToyota() {

   print("Rangi: $rangi");

   print("Milango : $milango");

 }

}

 

void main() {

 // Creating an object of the gari class

 var g1 = gari();

 g1.jina = "Toyota";

 g1.namba = 2023;

 g1.display();

 

 var g2 = toyota();

 g2.rangi = "Nyeusi";

 g2.milango = 4;

 g2.displayToyota();

}

 

 

Sasa tunakwenda kuchanganya class hizi mbili ili class ya totota iweze kurithi property na method kutoka kwenye class gari ili iweze ku print matokeo.

class gari {

 // Properties

 String? jina;

 int? namba;

 

 

 // Method

 void display() {

   print("Jina: $jina");

   print("Namba: $namba");

 }

}

 

 

class toyota extends gari{

 // Fields

 String? rangi;

 int? milango;

 

 

 // Method

 void displayToyota() {

   display();

   print("Rangi: $rangi");

   print("Milango : $milango");

 }

}

 

 

void main() {

 var g = toyota();

 g.jina = "Toyota";

 g.namba = 2023;

 g.rangi = "Nyeusi";

 g.milango = 4;

 g.displayToyota();

}

 


 

Aina za inheritance:

Inheritance imegawanyika katika makundi makuu manne ambayo ni:-

  1. Single inheritance katika aina hii class itarithi kutoka kwenye class moja tu. 
  2. Multilevel inheritance katika aina hii unaweza kurithi class ambayo nayo inarithi kutoa kwenye class nyingine.
  3. Hierachical inheritance katika aina hii parent class moja inaweza kurithiwa na class zaidi ya moja.
  4. Multiple inheritance  Katia aina hii ckass inaweza kurithi kutoka kwenye class zaidi ya koja. Hata hivyo aina hii hairuhusiwi kwenye Dart.

 

Wacha tuone mifano ya kila moja kati ya hizo:-

  1. Single inheritance. Hii ni kama tulivyoona kwenye mfano wa kwanza.

class Car {

 // Properties

 String? name;

 double? prize;

}

 

class Tesla extends Car {

 // Method to display the values of the properties

 void display() {

   print("Name: ${name}");

   print("Prize: ${prize}");

 }

}

 

void main() {

 // Create an object of Tesla class

 Tesla t = new Tesla();

 // setting values to the object

 t.name = "Tesla Model 3";

 t.prize = 50000.00;

 // Display the values of the object

&nbs...

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: DART Main: Masomo File: Download PDF Views 986

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 ai web app     👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉4 Kitau cha Fiqh     👉5 kitabu cha Simulizi     👉6 Dua za Mitume na Manabii    

Post zinazofanana:

DART somo la 39: mixin kwenye dart

Katika somo hii utakwenda kujifunza kuhusu concept mixin na jinsi inavyoweza kutumika kwenye Dart.

Soma Zaidi...
Dart somo la 25: DART OOP Nini maaan ya class na vipi utaweza kuitengeneza

Katika somo hili utajifunza maana ya class kwenye OOP paradigm, kisha utajifunza jinsi ya kutengeneza class.

Soma Zaidi...
DART somo la 28: Named constructor na constant constructor kwenye OOP

Ka tika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya named constructor na constant constructor kwenye Object Oriented Programming.

Soma Zaidi...
DART somo la 12: Kuchukuwa user input kwenye Dart

Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Dart kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program.

Soma Zaidi...
DART somo la 2: syntax za dart

Katika somo hili tutatkwenda kuziona baadhi ya xyntax yaani kanunu za uandishi wa code za dart.

Soma Zaidi...
DART SOMO LA 16: String method zinazotumika kwneye Dart

Katika somo hili utakwenda kujfunza kuhusu String method zinazotumika kwenye Dart.

Soma Zaidi...