DART somo la 28: Named constructor na constant constructor kwenye OOP

DART somo la 28: Named constructor na constant constructor kwenye OOP

Ka tika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya named constructor na constant constructor kwenye Object Oriented Programming.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Nini maana ya named constructor

Katika lugha nyingi za kompyuta unaweza kuwa na constructor zaidi ya moja  zenye jina moja kwenye class. Lakini kwenye Dart huwezi kufanya hivi. Ili uweze kutegeneza constructor zaidi ya oja zenye jina moja utatumia named constructor.

 

Named constructor ni constructor ambayo ina jina sawa na constructor iliyotangulia hivyo inaongezewa keyword namedConstructor.. Kwa mfano hapa nitaleta constructor mbili zenye jina moja.

class Gari {

 

 //costructor

 Gari() {

  

 }

 //named constructor

 Gari.namedConstructor(){

  

 }

}

 

Hapo kuna construct mbili ambazo zote zinatumia jina moja Gari. Na wakati wa kutengeneza object utatumia hivyo hivyo namedConstructor keyword. Angalia ,fano hapo chini:-

class Gari {

 //costructor

 Gari() {

 print("Tunauza gari");

 }

 //named constructor

 Gari.namedConstructor(){

   print("Gari letu ni jipya");

 }

}

 

void main(){

Gari();

Gari.namedConstructor();

}

 

constructor zote zinaweza kushirikiaan properties. Kwa mfano angalia hapo chini nakwenda kutumia properties kwenye constructor zote.

class Gari {

 String? jina;

 String? rangi;

 int? matairi;

 

 // Constructor

 Gari(this.jina, this.matairi, this.rangi) {

   print("Tunauza gari aina ya ${jina}, ina rangi ${rangi} na matairi ${matairi}");

 }

 

 // Named constructor

 Gari.namedConstructor(this.jina, this.rangi, this.matairi) {

   print("Gari mpya inaitwa ${jina}, ina idadi ya matairi $matairi na ina rangi $rangi");

 }

}

 

void main() {

 Gari("oyota Corolla", 6, "Nyekundu");

 

 Gari.namedConstructor("Toyota Avalon", "nyeusi", 4);

}

 

 

Pia constructor method na named constructor zinaweza kutumia method moja kwa kushirikiana. Pia unaweza kuchanganya na default parameter.Angalia mfano hapo chini. 

class gari {

 String? jina;

 String? rangi;

 int? matairi;

 

 gari(this.jina, this.rangi, this.matairi);

 // here Mobile() is a named constructor

 gari.namedConstructor(this.jina, this.rangi, [this.matairi = 4]);

 

 void tangazo() {

   print("Jina la gari ni: $jina.");

   print("Rangi ya gar ni: $rangi.");

&nb">...

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: DART Main: ICT File: Download PDF Views 406

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

DART somo la 5: Reserved keywords kwenye lugah ya Dart
DART somo la 5: Reserved keywords kwenye lugah ya Dart

Katika soo hili utakwenda kujifunza kuhusu reserved keywords katika Dart

Soma Zaidi...
DART somo la 34: Static variable kwenye Dart
DART somo la 34: Static variable kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static property na jinsi ambavyo inavyotumika.

Soma Zaidi...
DART somo la 23: Jinsi ya kusoma mafaili kwa kutumia Dart
DART somo la 23: Jinsi ya kusoma mafaili kwa kutumia Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma na kuandika faili kwa kutumia Dart programming.

Soma Zaidi...
DART somo la 6: Dart operator na jinsi zinavyofanya kazi.
DART somo la 6: Dart operator na jinsi zinavyofanya kazi.

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator kwenye Dart, kazi zake na jinsi ya kuzitumia.

Soma Zaidi...
DART somo la 45: Jinai ys kutuma mysql database
DART somo la 45: Jinai ys kutuma mysql database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya mysql kwenye Dart. hakikisha umeelewa vyema na kutekeleza yalioelekezwa kutoka kwenye somo lililopita.

Soma Zaidi...
DART somo la 3: Aina za Data
DART somo la 3: Aina za Data

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data zinazotumika kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 44: Jinsi ya ku install mysql kwenye program ya dart
DART somo la 44: Jinsi ya ku install mysql kwenye program ya dart

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuunganisha databse na Dart. Pia utajifunza jinsi ya kuset environment kwenye kompyuta ili kuweza kutumia Dart sdk kwenye CMD.

Soma Zaidi...
DART somo la 43: Stream kwenye Dart
DART somo la 43: Stream kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda ujifunz akuhusu concept ya stream kwenye Dart. pia ttaona kwa namna gani strean inaweza kutofautiana na future wakati zote mbili zipo kwenye asychronous programming.

Soma Zaidi...
DART somo la 10: while loop na do while loop kwenye Dart
DART somo la 10: while loop na do while loop kwenye Dart

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu while loop na do while loop zinavyofanya kazi katika Dart.

Soma Zaidi...
Dart somo la 26: DART OOP maana ya object, na jinsi ya kuitengeneza kwenye OOP
Dart somo la 26: DART OOP maana ya object, na jinsi ya kuitengeneza kwenye OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza Object pamoja na properties. Haa kwa ufupi tutakwenda kujifunza jinsi ya kutumia class.

Soma Zaidi...