Ka tika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya named constructor na constant constructor kwenye Object Oriented Programming.
Nini maana ya named constructor
Katika lugha nyingi za kompyuta unaweza kuwa na constructor zaidi ya moja zenye jina moja kwenye class. Lakini kwenye Dart huwezi kufanya hivi. Ili uweze kutegeneza constructor zaidi ya oja zenye jina moja utatumia named constructor.
Named constructor ni constructor ambayo ina jina sawa na constructor iliyotangulia hivyo inaongezewa keyword namedConstructor.. Kwa mfano hapa nitaleta constructor mbili zenye jina moja.
class Gari {
//costructor
Gari() {
}
//named constructor
Gari.namedConstructor(){
}
}
Hapo kuna construct mbili ambazo zote zinatumia jina moja Gari. Na wakati wa kutengeneza object utatumia hivyo hivyo namedConstructor keyword. Angalia ,fano hapo chini:-
class Gari {
//costructor
Gari() {
print("Tunauza gari");
}
//named constructor
Gari.namedConstructor(){
print("Gari letu ni jipya");
}
}
void main(){
Gari();
Gari.namedConstructor();
}
constructor zote zinaweza kushirikiaan properties. Kwa mfano angalia hapo chini nakwenda kutumia properties kwenye constructor zote.
class Gari {
String? jina;
String? rangi;
int? matairi;
// Constructor
Gari(this.jina, this.matairi, this.rangi) {
print("Tunauza gari aina ya ${jina}, ina rangi ${rangi} na matairi ${matairi}");
}
// Named constructor
Gari.namedConstructor(this.jina, this.rangi, this.matairi) {
print("Gari mpya inaitwa ${jina}, ina idadi ya matairi $matairi na ina rangi $rangi");
}
}
void main() {
Gari("oyota Corolla", 6, "Nyekundu");
Gari.namedConstructor("Toyota Avalon", "nyeusi", 4);
}
Pia constructor method na named constructor zinaweza kutumia method moja kwa kushirikiana. Pia unaweza kuchanganya na default parameter.Angalia mfano hapo chini.
class gari {
String? jina;
String? rangi;
int? matairi;
gari(this.jina, this.rangi, this.matairi);
// here Mobile() is a named constructor
gari.namedConstructor(this.jina, this.rangi, [this.matairi = 4]);
void tangazo() {
print("Jina la gari ni: $jina.");
print("Rangi ya gar ni: $rangi.");
&nb">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu while loop na do while loop zinavyofanya kazi katika Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya mysql kwenye Dart. hakikisha umeelewa vyema na kutekeleza yalioelekezwa kutoka kwenye somo lililopita.
Soma Zaidi...Katika somo lililopita tumejifunza kuhusu sintaksia za dart. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza variable kwenye Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye dart, jisni ya kziandika na matumizi yake.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika data kwenye faili. Kwanza utajifunza kutengeneza folda, kisha faili na kuweka data, kisha utajifunza kufuta fali.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class interface na inavyotofautiana na class abstract
Soma Zaidi...Katika somo hili tutawenda kujifunza kuhusu encapsulatio kwenye Dart OOP na jinsi inavyoweza kutumika.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu inheritance, na inavyoweza kutumika kwenye Dart OOP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu switch case na jinsi inavyofanya kazi kwenye Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu dart library. Pia tutakwend aktengeneza library yetu wennyewe kwa ajili ya kufanya mazoezi zaidi.
Soma Zaidi...