Ka tika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya named constructor na constant constructor kwenye Object Oriented Programming.
Nini maana ya named constructor
Katika lugha nyingi za kompyuta unaweza kuwa na constructor zaidi ya moja zenye jina moja kwenye class. Lakini kwenye Dart huwezi kufanya hivi. Ili uweze kutegeneza constructor zaidi ya oja zenye jina moja utatumia named constructor.
Named constructor ni constructor ambayo ina jina sawa na constructor iliyotangulia hivyo inaongezewa keyword namedConstructor.. Kwa mfano hapa nitaleta constructor mbili zenye jina moja.
class Gari {
//costructor
Gari() {
}
//named constructor
Gari.namedConstructor(){
}
}
Hapo kuna construct mbili ambazo zote zinatumia jina moja Gari. Na wakati wa kutengeneza object utatumia hivyo hivyo namedConstructor keyword. Angalia ,fano hapo chini:-
class Gari {
//costructor
Gari() {
print("Tunauza gari");
}
//named constructor
Gari.namedConstructor(){
print("Gari letu ni jipya");
}
}
void main(){
Gari();
Gari.namedConstructor();
}
constructor zote zinaweza kushirikiaan properties. Kwa mfano angalia hapo chini nakwenda kutumia properties kwenye constructor zote.
class Gari {
String? jina;
String? rangi;
int? matairi;
// Constructor
Gari(this.jina, this.matairi, this.rangi) {
print("Tunauza gari aina ya ${jina}, ina rangi ${rangi} na matairi ${matairi}");
}
// Named constructor
Gari.namedConstructor(this.jina, this.rangi, this.matairi) {
print("Gari mpya inaitwa ${jina}, ina idadi ya matairi $matairi na ina rangi $rangi");
}
}
void main() {
Gari("oyota Corolla", 6, "Nyekundu");
Gari.namedConstructor("Toyota Avalon", "nyeusi", 4);
}
Pia constructor method na named constructor zinaweza kutumia method moja kwa kushirikiana. Pia unaweza kuchanganya na default parameter.Angalia mfano hapo chini.
class gari {
String? jina;
String? rangi;
int? matairi;
gari(this.jina, this.rangi, this.matairi);
// here Mobile() is a named constructor
gari.namedConstructor(this.jina, this.rangi, [this.matairi = 4]);
void tangazo() {
print("Jina la gari ni: $jina.");
print("Rangi ya gar ni: $rangi.");
&nb">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya mysql kwenye Dart. hakikisha umeelewa vyema na kutekeleza yalioelekezwa kutoka kwenye somo lililopita.
Soma Zaidi...Katika somo hiliutakwenda kujifunza aina nyingine ya constructor ambayo hutumika kwenye Dart. aina hiyo ni factory constructory.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo la function. Hapa tutakwenda kuona aina za function.
Soma Zaidi...Katika masomo yaliopita tumesha jifunza jinsi inheritance inavyokuwa, ila hatujaona kwa namna gani utaweza ku inherit constructor method. Somo hili litashughulika na swla hilo.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutawenda kujifunza kuhusu encapsulatio kwenye Dart OOP na jinsi inavyoweza kutumika.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kuzungumzia kuhusu parameter kwenye Dart function. Pia tutakwenda kuona mambo mengine yanayohusu function
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data zinazotumika kwenye Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye dart, jisni ya kziandika na matumizi yake.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator kwenye Dart, kazi zake na jinsi ya kuzitumia.
Soma Zaidi...Katika somo hli utakwend akujifunza kuhusu loop kwenye Dart. Loop zimegawanyika katika makundi mnne ambayo ni for loop, while loop, for in loop na do while loop.
Soma Zaidi...