Ka tika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya named constructor na constant constructor kwenye Object Oriented Programming.
Nini maana ya named constructor
Katika lugha nyingi za kompyuta unaweza kuwa na constructor zaidi ya moja zenye jina moja kwenye class. Lakini kwenye Dart huwezi kufanya hivi. Ili uweze kutegeneza constructor zaidi ya oja zenye jina moja utatumia named constructor.
Named constructor ni constructor ambayo ina jina sawa na constructor iliyotangulia hivyo inaongezewa keyword namedConstructor.. Kwa mfano hapa nitaleta constructor mbili zenye jina moja.
class Gari {
//costructor
Gari() {
}
//named constructor
Gari.namedConstructor(){
}
}
Hapo kuna construct mbili ambazo zote zinatumia jina moja Gari. Na wakati wa kutengeneza object utatumia hivyo hivyo namedConstructor keyword. Angalia ,fano hapo chini:-
class Gari {
//costructor
Gari() {
print("Tunauza gari");
}
//named constructor
Gari.namedConstructor(){
print("Gari letu ni jipya");
}
}
void main(){
Gari();
Gari.namedConstructor();
}
constructor zote zinaweza kushirikiaan properties. Kwa mfano angalia hapo chini nakwenda kutumia properties kwenye constructor zote.
class Gari {
String? jina;
String? rangi;
int? matairi;
// Constructor
Gari(this.jina, this.matairi, this.rangi) {
print("Tunauza gari aina ya ${jina}, ina rangi ${rangi} na matairi ${matairi}");
}
// Named constructor
Gari.namedConstructor(this.jina, this.rangi, this.matairi) {
print("Gari mpya inaitwa ${jina}, ina idadi ya matairi $matairi na ina rangi $rangi");
}
}
void main() {
Gari("oyota Corolla", 6, "Nyekundu");
Gari.namedConstructor("Toyota Avalon", "nyeusi", 4);
}
Pia constructor method na named constructor zinaweza kutumia method moja kwa kushirikiana. Pia unaweza kuchanganya na default parameter.Angalia mfano hapo chini.
class gari {
String? jina;
String? rangi;
int? matairi;
gari(this.jina, this.rangi, this.matairi);
// here Mobile() is a named constructor
gari.namedConstructor(this.jina, this.rangi, [this.matairi = 4]);
void tangazo() {
print("Jina la gari ni: $jina.");
print("Rangi ya gar ni: $rangi.");
&nb">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye dart, jisni ya kziandika na matumizi yake.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya generics ili kuweza kufanya kazi na aina mbalimbali za data kwenye class.
Soma Zaidi...Katika soo hili utakwenda kujifunza kuhusu reserved keywords katika Dart
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza zaidi kuhusu method za getter na setter. Tutakwenda kuona hasa zinavyotumika na zinavyotengenezwa.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo la function. Hapa tutakwenda kuona aina za function.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunz ajinsi ya kutumia library ya html kwenye Dart. somo hili litakupeleka kujifunza jinsi ya ku display dart output kwenye faili la html.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutawenda kujifunza kuhusu encapsulatio kwenye Dart OOP na jinsi inavyoweza kutumika.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static property na jinsi ambavyo inavyotumika.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu while loop na do while loop zinavyofanya kazi katika Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hii utakwenda kujifunza kuhusu concept mixin na jinsi inavyoweza kutumika kwenye Dart.
Soma Zaidi...