picha

DART - somo la 1: Kazi za dart programming na historia yake

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu kazi za dart language. Pia nimekuandalia istoria fupi ya lugha ya DART.

DART

Dart ni miongoni mwa general purpose programming language. Hizi ni lugha za kikompyuta ambazo hufanyabkazi maneno mengi kwa mfano kwenye web app, software, na maneno mengineyo. 

 

Hii ni course ya dart yenye lengo la kukupa ufahamu Ili iwe rahisi kuelewa matumizi ya flutter. Katika course hii tutakwenda kujifunza lugha hii pamoja na kufanyia mazoezi.

 

Maandalizi ya somo:

  1. Kwa wanaotumia kompyuta
  1. Download software ya visual studio ya Microsoft ama webstorm ya jetbrainin
  2. Nenda kwenye sehemu ya kionstall extensions tafuta dart Kisha download. Hakikisha una bando lisilopunguwa MB 500
  3. Kisha download dart sdk  hapa kisha fuata maelekezo 
  4. Baada ya hapo utaanza project mpya ya dart.

2. Kwa watumiaji wa simu

Download App ya dart compiler hapa 

Baada ya hapo utaifunguwa na kuanza kuandika code.

 

Online compiler

Kama ukiona ni changamoto ku install dart sdk unaweza kufanya majaribio online kwenye">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2023-10-27 Topic: DART Main: ICT File: Download PDF Views 1647

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 web hosting    👉4 ai web app    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Dua za Mitume na Manabii   

Post zinazofanana:

DART somo la 21: Jinsi ya kutengeneza library kwenye Dart

Katika somo hili utajifunza kuhusu dart library. Pia tutakwend aktengeneza library yetu wennyewe kwa ajili ya kufanya mazoezi zaidi.

Soma Zaidi...
Dart somo la 25: DART OOP Nini maaan ya class na vipi utaweza kuitengeneza

Katika somo hili utajifunza maana ya class kwenye OOP paradigm, kisha utajifunza jinsi ya kutengeneza class.

Soma Zaidi...
DART somo la 18: Dart method zinazotumika kwenye List data type

Katika somo hili utakwenda kujifunza method yhinginge zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 23: Jinsi ya kusoma mafaili kwa kutumia Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma na kuandika faili kwa kutumia Dart programming.

Soma Zaidi...
DART somo la 39: mixin kwenye dart

Katika somo hii utakwenda kujifunza kuhusu concept mixin na jinsi inavyoweza kutumika kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 33 concept ya polymorphism

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya polymorphism.

Soma Zaidi...
DART somo la 27: DART OOP: maana ya constructor method na jinsi inavyotumika kwenye OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jins ya kutengeneza constructor method, pia utajifunza matumizi yake kwenye OOP.

Soma Zaidi...
DART somo la 7: matumizi ya if, else, if else, else if kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu namna ambavyo program inaweza kufanya maamuzi kulingana na mashart fulani.ama namna ambavyo program inaweza ku run code zaii ya mara moja kulingana na mashart. Hapa tutazingumzia flow of control statement

Soma Zaidi...
DART somo la 8: Matumizi ya switch case

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu switch case na jinsi inavyofanya kazi kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART SOMO LA 16: String method zinazotumika kwneye Dart

Katika somo hili utakwenda kujfunza kuhusu String method zinazotumika kwenye Dart.

Soma Zaidi...