DART - somo la 1: Kazi za dart programming na historia yake
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu kazi za dart language. Pia nimekuandalia istoria fupi ya lugha ya DART.
DART
Dart ni miongoni mwa general purpose programming language. Hizi ni lugha za kikompyuta ambazo hufanyabkazi maneno mengi kwa mfano kwenye web app, software, na maneno mengineyo.
Hii ni course ya dart yenye lengo la kukupa ufahamu Ili iwe rahisi kuelewa matumizi ya flutter. Katika course hii tutakwenda kujifunza lugha hii pamoja na kufanyia mazoezi.
Maandalizi ya somo:
- Kwa wanaotumia kompyuta
- Download software ya visual studio ya Microsoft ama webstorm ya jetbrainin
- Nenda kwenye sehemu ya kionstall extensions tafuta dart Kisha download. Hakikisha una bando lisilopunguwa MB 500
- Kisha download dart sdk hapa kisha fuata maelekezo
- Baada ya hapo utaanza project mpya ya dart.
2. Kwa watumiaji wa simu
Download App ya dart compiler hapa
Baada ya hapo utaifunguwa na kuanza kuandika code.
Online compiler
Kama ukiona ni changamoto ku install dart sdk unaweza kufanya majaribio online kwenye dart compiler. Cheki hapa
Matumizi ya dart
Dart inaweza kutumia kwa ajili ya:-
- Kutengeneza website
- Kut...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 kitabu cha Simulizi 👉2 Kitau cha Fiqh 👉3 Madrasa kiganjani 👉4 Dua za Mitume na Manabii 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
Post zinazofanana:
DART somo la 31: inheritance kwenye DART OOP
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu inheritance, na inavyoweza kutumika kwenye Dart OOP.
Soma Zaidi...DART somo la 24: Jinsi ya kutengeneza faili, folda na kuingiza data
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika data kwenye faili. Kwanza utajifunza kutengeneza folda, kisha faili na kuweka data, kisha utajifunza kufuta fali.
Soma Zaidi...DART somo la 10: while loop na do while loop kwenye Dart
Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu while loop na do while loop zinavyofanya kazi katika Dart.
Soma Zaidi...DART somo la 30 :Jinsi ya kutengeneza setter na geter kwenye OOP
Katika somo hili tutakwenda kujifunza zaidi kuhusu method za getter na setter. Tutakwenda kuona hasa zinavyotumika na zinavyotengenezwa.
Soma Zaidi...DART somo la 2: syntax za dart
Katika somo hili tutatkwenda kuziona baadhi ya xyntax yaani kanunu za uandishi wa code za dart.
Soma Zaidi...DART SOMO LA 16: String method zinazotumika kwneye Dart
Katika somo hili utakwenda kujfunza kuhusu String method zinazotumika kwenye Dart.
Soma Zaidi...