picha

DART - somo la 1: Kazi za dart programming na historia yake

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu kazi za dart language. Pia nimekuandalia istoria fupi ya lugha ya DART.

DART

Dart ni miongoni mwa general purpose programming language. Hizi ni lugha za kikompyuta ambazo hufanyabkazi maneno mengi kwa mfano kwenye web app, software, na maneno mengineyo. 

 

Hii ni course ya dart yenye lengo la kukupa ufahamu Ili iwe rahisi kuelewa matumizi ya flutter. Katika course hii tutakwenda kujifunza lugha hii pamoja na kufanyia mazoezi.

 

Maandalizi ya somo:

  1. Kwa wanaotumia kompyuta
  1. Download software ya visual studio ya Microsoft ama webstorm ya jetbrainin
  2. Nenda kwenye sehemu ya kionstall extensions tafuta dart Kisha download. Hakikisha una bando lisilopunguwa MB 500
  3. Kisha download dart sdk  hapa kisha fuata maelekezo 
  4. Baada ya hapo utaanza project mpya ya dart.

2. Kwa watumiaji wa simu

Download App ya dart compiler hapa 

Baada ya hapo utaifunguwa na kuanza kuandika code.

 

Online compiler

Kama ukiona ni changamoto ku install dart sdk unaweza kufanya majaribio online kwenye">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2023-10-27 Topic: DART Main: ICT File: Download PDF Views 1657

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 web hosting    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 ai web app   

Post zinazofanana:

DART somo la 40: factory constructor

Katika somo hiliutakwenda kujifunza aina nyingine ya constructor ambayo hutumika kwenye Dart. aina hiyo ni factory constructory.

Soma Zaidi...
DART somo la 13: function kwenye dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye dart, jisni ya kziandika na matumizi yake.

Soma Zaidi...
DART somo la 45: Jinai ys kutuma mysql database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya mysql kwenye Dart. hakikisha umeelewa vyema na kutekeleza yalioelekezwa kutoka kwenye somo lililopita.

Soma Zaidi...
DART somo la 29: Dart encapsulation

Katika somo hili tutawenda kujifunza kuhusu encapsulatio kwenye Dart OOP na jinsi inavyoweza kutumika.

Soma Zaidi...
DART somo la 23: Jinsi ya kusoma mafaili kwa kutumia Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma na kuandika faili kwa kutumia Dart programming.

Soma Zaidi...
DART somo la 37: Class interface

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class interface na inavyotofautiana na class abstract

Soma Zaidi...
DART somo la 9: for loop na for in loop kwenye dart, kazi zake na jinsi ya kuadika

Katika somo hli utakwend akujifunza kuhusu loop kwenye Dart. Loop zimegawanyika katika makundi mnne ambayo ni for loop, while loop, for in loop na do while loop.

Soma Zaidi...
DART SOMO LA 14: Aina za function kwenye Dart

Katika somo hili tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo la function. Hapa tutakwenda kuona aina za function.

Soma Zaidi...
DART somo la 17: method za namba zinazotumika kwenye dart

Katika somo hili utakwenda kuziona method za dart zinazotumika kwenye namba. pia utajifunzakuhusu math library

Soma Zaidi...
DART somo la 43: Stream kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda ujifunz akuhusu concept ya stream kwenye Dart. pia ttaona kwa namna gani strean inaweza kutofautiana na future wakati zote mbili zipo kwenye asychronous programming.

Soma Zaidi...