Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static property na jinsi ambavyo inavyotumika.
Static variable ni nini?
Hii ni variable ambayo inaweza kutumika kwenye class yote. Hii hutumika kuifadhi data ambazo zipo kwenye class. Na hutengenezwa kwa ytuma keyword static. Unapotaka kutumia static variable huna haja ya kutengeneza object.
Mfano:
class gari {
// Static variable
static String jina = "toyota";
}
Ili uweze kuitumia static variable utatumia jina la class na jina la hiyo static variable kama tulivyozoea.
class gari {
// Static variable
static String jina = "toyota";
}
void main(){
String waf = gari.jina;
print(waf);
}
Angalia mfano mwingine hapo chini.
class Student {
int id;
String name;
static String schoolName = "ABC School";
Student(this.id, this.name);
void display() {
print("Id: ${this.id}");
print("Name: ${this.name}");
print("School Name: ${Student.schoolName}");
}
}
void main() {
Student s1 = new Student(1, "John");
s1.display();
Student s2 = new Student(2, "Smith");
s2.display();
}
">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye dart, jisni ya kziandika na matumizi yake.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya class kwenye OOP paradigm, kisha utajifunza jinsi ya kutengeneza class.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza Object pamoja na properties. Haa kwa ufupi tutakwenda kujifunza jinsi ya kutumia class.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu namna ambavyo program inaweza kufanya maamuzi kulingana na mashart fulani.ama namna ambavyo program inaweza ku run code zaii ya mara moja kulingana na mashart. Hapa tutazingumzia flow of control statement
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set.
Soma Zaidi...Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Dart kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jins ya kutengeneza constructor method, pia utajifunza matumizi yake kwenye OOP.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kuzungumzia kuhusu parameter kwenye Dart function. Pia tutakwenda kuona mambo mengine yanayohusu function
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu dart library. Pia tutakwend aktengeneza library yetu wennyewe kwa ajili ya kufanya mazoezi zaidi.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator kwenye Dart, kazi zake na jinsi ya kuzitumia.
Soma Zaidi...