DART somo la 34: Static variable kwenye Dart
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static property na jinsi ambavyo inavyotumika.
Static variable ni nini?
Hii ni variable ambayo inaweza kutumika kwenye class yote. Hii hutumika kuifadhi data ambazo zipo kwenye class. Na hutengenezwa kwa ytuma keyword static. Unapotaka kutumia static variable huna haja ya kutengeneza object.
Mfano:
class gari {
// Static variable
static String jina = "toyota";
}
Ili uweze kuitumia static variable utatumia jina la class na jina la hiyo static variable kama tulivyozoea.
class gari {
// Static variable
static String jina = "toyota";
}
void main(){
String waf = gari.jina;
print(waf);
}
Angalia mfano mwingine hapo chini.
class Student {
int id;
String name;
static String schoolName = "ABC School";
Student(this.id, this.name);
void display() {
print("Id: ${this.id}");
print("Name: ${this.name}");
print("School Name: ${Student.schoolName}");
}
}
void main() {
Student s1 = new Student(1, "John");
s1.display();
Student s2 = new Student(2, "Smith");
s2.display();
}
Static variable inaweza pia ik...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉2 kitabu cha Simulizi 👉3 Dua za Mitume na Manabii 👉4 ai web app 👉5 Madrasa kiganjani 👉6 Kitau cha Fiqh
Post zinazofanana:
DART somo la 41: concept ya generic kwenye dart
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya generics ili kuweza kufanya kazi na aina mbalimbali za data kwenye class.
Soma Zaidi...Dart somo la 26: DART OOP maana ya object, na jinsi ya kuitengeneza kwenye OOP
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza Object pamoja na properties. Haa kwa ufupi tutakwenda kujifunza jinsi ya kutumia class.
Soma Zaidi...DART somo la 4: Jinsi ya kuandika na kutumia variable kwenye Dart
Katika somo lililopita tumejifunza kuhusu sintaksia za dart. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza variable kwenye Dart.
Soma Zaidi...DART somola 42: Asynchronous programming
Katika somo hili tutakwenda kujifunza concept nyingine ya asynchronous programming.
Soma Zaidi...DART somo la 32: Inheritance kwenye construct method:
Katika masomo yaliopita tumesha jifunza jinsi inheritance inavyokuwa, ila hatujaona kwa namna gani utaweza ku inherit constructor method. Somo hili litashughulika na swla hilo.
Soma Zaidi...DART somo la 44: Jinsi ya ku install mysql kwenye program ya dart
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuunganisha databse na Dart. Pia utajifunza jinsi ya kuset environment kwenye kompyuta ili kuweza kutumia Dart sdk kwenye CMD.
Soma Zaidi...