Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static property na jinsi ambavyo inavyotumika.
Static variable ni nini?
Hii ni variable ambayo inaweza kutumika kwenye class yote. Hii hutumika kuifadhi data ambazo zipo kwenye class. Na hutengenezwa kwa ytuma keyword static. Unapotaka kutumia static variable huna haja ya kutengeneza object.
Mfano:
class gari {
// Static variable
static String jina = "toyota";
}
Ili uweze kuitumia static variable utatumia jina la class na jina la hiyo static variable kama tulivyozoea.
class gari {
// Static variable
static String jina = "toyota";
}
void main(){
String waf = gari.jina;
print(waf);
}
Angalia mfano mwingine hapo chini.
class Student {
int id;
String name;
static String schoolName = "ABC School";
Student(this.id, this.name);
void display() {
print("Id: ${this.id}");
print("Name: ${this.name}");
print("School Name: ${Student.schoolName}");
}
}
void main() {
Student s1 = new Student(1, "John");
s1.display();
Student s2 = new Student(2, "Smith");
s2.display();
}
">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu break na continue kwenye Dart loop za for loop na while loop.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya generics ili kuweza kufanya kazi na aina mbalimbali za data kwenye class.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye dart, jisni ya kziandika na matumizi yake.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujfunza kuhusu String method zinazotumika kwenye Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kuziona method za dart zinazotumika kwenye namba. pia utajifunzakuhusu math library
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza concept nyingine ya asynchronous programming.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza zaidi kuhusu method za getter na setter. Tutakwenda kuona hasa zinavyotumika na zinavyotengenezwa.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza Object pamoja na properties. Haa kwa ufupi tutakwenda kujifunza jinsi ya kutumia class.
Soma Zaidi...Katika soo hili utakwenda kujifunza kuhusu reserved keywords katika Dart
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu switch case na jinsi inavyofanya kazi kwenye Dart.
Soma Zaidi...