Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static property na jinsi ambavyo inavyotumika.
Static variable ni nini?
Hii ni variable ambayo inaweza kutumika kwenye class yote. Hii hutumika kuifadhi data ambazo zipo kwenye class. Na hutengenezwa kwa ytuma keyword static. Unapotaka kutumia static variable huna haja ya kutengeneza object.
Mfano:
class gari {
// Static variable
static String jina = "toyota";
}
Ili uweze kuitumia static variable utatumia jina la class na jina la hiyo static variable kama tulivyozoea.
class gari {
// Static variable
static String jina = "toyota";
}
void main(){
String waf = gari.jina;
print(waf);
}
Angalia mfano mwingine hapo chini.
class Student {
int id;
String name;
static String schoolName = "ABC School";
Student(this.id, this.name);
void display() {
print("Id: ${this.id}");
print("Name: ${this.name}");
print("School Name: ${Student.schoolName}");
}
}
void main() {
Student s1 = new Student(1, "John");
s1.display();
Student s2 = new Student(2, "Smith");
s2.display();
}
">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza method yhinginge zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya class kwenye OOP paradigm, kisha utajifunza jinsi ya kutengeneza class.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza concept nyingine ya asynchronous programming.
Soma Zaidi...Katika masomo yaliopita tumesha jifunza jinsi inheritance inavyokuwa, ila hatujaona kwa namna gani utaweza ku inherit constructor method. Somo hili litashughulika na swla hilo.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu kazi za dart language. Pia nimekuandalia istoria fupi ya lugha ya DART.
Soma Zaidi...Katika soo hili utakwenda kujifunza kuhusu reserved keywords katika Dart
Soma Zaidi...Katika somo hiliutakwenda kujifunza aina nyingine ya constructor ambayo hutumika kwenye Dart. aina hiyo ni factory constructory.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo la function. Hapa tutakwenda kuona aina za function.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu while loop na do while loop zinavyofanya kazi katika Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutawenda kujifunza kuhusu encapsulatio kwenye Dart OOP na jinsi inavyoweza kutumika.
Soma Zaidi...