Katika somo hili utakwenda kujifunza jins ya kutengeneza constructor method, pia utajifunza matumizi yake kwenye OOP.
Constructor method ni nini?
Hii ni method ambayo hutumika kutengeneza object moja kwa moja, ama kuweka property kwenye object moja kwa moja. Constructor method haina return value. Pia jina ma construct method linatakiwa liwe sawa na jina la class husika.
Katika somo hili tutaendelea utumia kifano yetu ya somo lililopita il tupate kuelewa zaidi. Utaona tofauti ya kutumia constructor na kutokutumia.
Class gari
Kwanza tutatengeneza class gari kama tulivyoona katika somo lililopita.
class gari{
String? jina;
String? rangi;
int? matairi;
}
Baada ya hapo ndani ya class body tutatengeneza constructor method, ambayo itakuwa na jina sawa na jina la class.
class gari{
String? jina;
String? rangi;
int? matairi;
gari(){
}
}
Properties zetu tutazipitisha kama parameter kwenye constructor method.
class gari{
String? jina;
String? rangi;
int? matairi;
gari(String jina, String rangi, int matairi){
}
}
Sasa tunakwenda kutumia properties zetu kwenye construct function. Tunapotaka kutumia property ndani ya class tunatumia keyword this. Katika somo liliopita hatukutuia keyword this ila tulitumia ina la class moja kwa moja ni kwa sababu tulitumia prpperty nje ya class.
class gari {
//properties
String? jina;
String? rangi;
int? matairi;
//method
gari(String jina, String rangi, int matairi){
print(" Tunauza gari aina ya ${jina}. Ina rangi ${rangi}. Ina matairi ${matairi}.");
this.jina = jina;
this.rangi = rangi;
this.matairi = matairi;
}
}
Hatuwa iliobaki ni kutengeneza object na kuweka property. Kwa mujibu wa somo lililopita tulitakiwa tufanye hivi:-
gari toyota = gari();
toyota.jina = 'Toyota avalon';
toyota.rangi = "Nyeusi mpauko";
toyota.matairi = 4;
Ila kwa kuwa tmetumia constrct method, tutaweza kutengeneza object na kuweka value kwenye properties zake moja kwa moja kw akufanya hivi:-
gari toyota = gari( "Toyota Avalon", "nyeusi", 4);
Zingatia huo mpagilio naendana na mpangilio wa parameter kwenye construct method. Hivyo code zote zitaonekana hivi:-
class gari {
//properties
String? jina;
String? rangi;
int? matairi;
//method
gari(String jina, String rangi, int matairi){
print(" Tunauza gari aina ya ${jina}. Ina rangi ${rangi}. Ina matairi ${matairi}.");
this.jina = jina;
this.rangi = rangi;
this.matairi = matairi;
}
}
void main(){
gari toyota = gari( "Toyota Avalon", "nyeusi", 4);
}
...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator kwenye Dart, kazi zake na jinsi ya kuzitumia.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu inheritance, na inavyoweza kutumika kwenye Dart OOP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu break na continue kwenye Dart loop za for loop na while loop.
Soma Zaidi...Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Dart kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo la function. Hapa tutakwenda kuona aina za function.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza concept nyingine ya asynchronous programming.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data zinazotumika kwenye Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class interface na inavyotofautiana na class abstract
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye dart, jisni ya kziandika na matumizi yake.
Soma Zaidi...