Katika somo hili utakwenda kujifunza jins ya kutengeneza constructor method, pia utajifunza matumizi yake kwenye OOP.
Constructor method ni nini?
Hii ni method ambayo hutumika kutengeneza object moja kwa moja, ama kuweka property kwenye object moja kwa moja. Constructor method haina return value. Pia jina ma construct method linatakiwa liwe sawa na jina la class husika.
Katika somo hili tutaendelea utumia kifano yetu ya somo lililopita il tupate kuelewa zaidi. Utaona tofauti ya kutumia constructor na kutokutumia.
Class gari
Kwanza tutatengeneza class gari kama tulivyoona katika somo lililopita.
class gari{
String? jina;
String? rangi;
int? matairi;
}
Baada ya hapo ndani ya class body tutatengeneza constructor method, ambayo itakuwa na jina sawa na jina la class.
class gari{
String? jina;
String? rangi;
int? matairi;
gari(){
}
}
Properties zetu tutazipitisha kama parameter kwenye constructor method.
class gari{
String? jina;
String? rangi;
int? matairi;
gari(String jina, String rangi, int matairi){
}
}
Sasa tunakwenda kutumia properties zetu kwenye construct function. Tunapotaka kutumia property ndani ya class tunatumia keyword this. Katika somo liliopita hatukutuia keyword this ila tulitumia ina la class moja kwa moja ni kwa sababu tulitumia prpperty nje ya class.
class gari {
//properties
String? jina;
String? rangi;
int? matairi;
//method
gari(String jina, String rangi, int matairi){
print(" Tunauza gari aina ya ${jina}. Ina rangi ${rangi}. Ina matairi ${matairi}.");
this.jina = jina;
this.rangi = rangi;
this.matairi = matairi;
}
}
Hatuwa iliobaki ni kutengeneza object na kuweka property. Kwa mujibu wa somo lililopita tulitakiwa tufanye hivi:-
gari toyota = gari();
toyota.jina = 'Toyota avalon';
toyota.rangi = "Nyeusi mpauko";
toyota.matairi = 4;
Ila kwa kuwa tmetumia constrct method, tutaweza kutengeneza object na kuweka value kwenye properties zake moja kwa moja kw akufanya hivi:-
gari toyota = gari( "Toyota Avalon", "nyeusi", 4);
Zingatia huo mpagilio naendana na mpangilio wa parameter kwenye construct method. Hivyo code zote zitaonekana hivi:-
class gari {
//properties
String? jina;
String? rangi;
int? matairi;
//method
gari(String jina, String rangi, int matairi){
print(" Tunauza gari aina ya ${jina}. Ina rangi ${rangi}. Ina matairi ${matairi}.");
this.jina = jina;
this.rangi = rangi;
this.matairi = matairi;
}
}
void main(){
gari toyota = gari( "Toyota Avalon", "nyeusi", 4);
}
">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download
Download NowJe! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: DART Main: Masomo File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Views 440
Sponsored links
👉1
Simulizi za Hadithi Audio
👉2
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉3
Madrasa kiganjani
👉4
kitabu cha Simulizi
👉5
Kitau cha Fiqh
👉6
Kitabu cha Afya
DART somo la 35: Enum kwenye Dart:
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu enum na inavyotumika kwenye Dart. Soma Zaidi...
DART - somo la 1: Kazi za dart programming na historia yake
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu kazi za dart language. Pia nimekuandalia istoria fupi ya lugha ya DART. Soma Zaidi...
Dart somo la 26: DART OOP maana ya object, na jinsi ya kuitengeneza kwenye OOP
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza Object pamoja na properties. Haa kwa ufupi tutakwenda kujifunza jinsi ya kutumia class. Soma Zaidi...
DART somo la 19: method zinazotumika kwenye set data type kwenye Dart
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set. Soma Zaidi...
DART somo la 45: Jinai ys kutuma mysql database
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya mysql kwenye Dart. hakikisha umeelewa vyema na kutekeleza yalioelekezwa kutoka kwenye somo lililopita. Soma Zaidi...
Dart somo la 25: DART OOP Nini maaan ya class na vipi utaweza kuitengeneza
Katika somo hili utajifunza maana ya class kwenye OOP paradigm, kisha utajifunza jinsi ya kutengeneza class. Soma Zaidi...
DART somo la 28: Named constructor na constant constructor kwenye OOP
Ka tika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya named constructor na constant constructor kwenye Object Oriented Programming. Soma Zaidi...
DART somo la 24: Dart OOP maana ya Object Oriented Programming kwenye Dart
Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya OOP na faida zake. Pia utakwenda kujifunza kuhusu features za OOP. Soma Zaidi...
DART somo la 13: function kwenye dart
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye dart, jisni ya kziandika na matumizi yake. Soma Zaidi...
DART somo la 44: Jinsi ya ku install mysql kwenye program ya dart
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuunganisha databse na Dart. Pia utajifunza jinsi ya kuset environment kwenye kompyuta ili kuweza kutumia Dart sdk kwenye CMD. Soma Zaidi...