Katika somo hili utakwenda kujifunza jins ya kutengeneza constructor method, pia utajifunza matumizi yake kwenye OOP.
Constructor method ni nini?
Hii ni method ambayo hutumika kutengeneza object moja kwa moja, ama kuweka property kwenye object moja kwa moja. Constructor method haina return value. Pia jina ma construct method linatakiwa liwe sawa na jina la class husika.
Katika somo hili tutaendelea utumia kifano yetu ya somo lililopita il tupate kuelewa zaidi. Utaona tofauti ya kutumia constructor na kutokutumia.
Class gari
Kwanza tutatengeneza class gari kama tulivyoona katika somo lililopita.
class gari{
String? jina;
String? rangi;
int? matairi;
}
Baada ya hapo ndani ya class body tutatengeneza constructor method, ambayo itakuwa na jina sawa na jina la class.
class gari{
String? jina;
String? rangi;
int? matairi;
gari(){
}
}
Properties zetu tutazipitisha kama parameter kwenye constructor method.
class gari{
String? jina;
String? rangi;
int? matairi;
gari(String jina, String rangi, int matairi){
}
}
Sasa tunakwenda kutumia properties zetu kwenye construct function. Tunapotaka kutumia property ndani ya class tunatumia keyword this. Katika somo liliopita hatukutuia keyword this ila tulitumia ina la class moja kwa moja ni kwa sababu tulitumia prpperty nje ya class.
class gari {
//properties
String? jina;
String? rangi;
int? matairi;
//method
gari(String jina, String rangi, int matairi){
print(" Tunauza gari aina ya ${jina}. Ina rangi ${rangi}. Ina matairi ${matairi}.");
this.jina = jina;
this.rangi = rangi;
this.matairi = matairi;
}
}
Hatuwa iliobaki ni kutengeneza object na kuweka property. Kwa mujibu wa somo lililopita tulitakiwa tufanye hivi:-
gari toyota = gari();
toyota.jina = 'Toyota avalon';
toyota.rangi = "Nyeusi mpauko";
toyota.matairi = 4;
Ila kwa kuwa tmetumia constrct method, tutaweza kutengeneza object na kuweka value kwenye properties zake moja kwa moja kw akufanya hivi:-
gari toyota = gari( "Toyota Avalon", "nyeusi", 4);
Zingatia huo mpagilio naendana na mpangilio wa parameter kwenye construct method. Hivyo code zote zitaonekana hivi:-
class gari {
//properties
String? jina;
String? rangi;
int? matairi;
//method
gari(String jina, String rangi, int matairi){
print(" Tunauza gari aina ya ${jina}. Ina rangi ${rangi}. Ina matairi ${matairi}.");
this.jina = jina;
this.rangi = rangi;
this.matairi = matairi;
}
}
void main(){
gari toyota = gari( "Toyota Avalon", "nyeusi", 4);
}
...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo lililopita tumejifunza kuhusu sintaksia za dart. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza variable kwenye Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu inheritance, na inavyoweza kutumika kwenye Dart OOP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class interface na inavyotofautiana na class abstract
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu switch case na jinsi inavyofanya kazi kwenye Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya generics ili kuweza kufanya kazi na aina mbalimbali za data kwenye class.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya OOP na faida zake. Pia utakwenda kujifunza kuhusu features za OOP.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu method ambazo hutumika kwenye map data type
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza zaidi kuhusu method za getter na setter. Tutakwenda kuona hasa zinavyotumika na zinavyotengenezwa.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu enum na inavyotumika kwenye Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu while loop na do while loop zinavyofanya kazi katika Dart.
Soma Zaidi...