picha

DART somo la 27: DART OOP: maana ya constructor method na jinsi inavyotumika kwenye OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jins ya kutengeneza constructor method, pia utajifunza matumizi yake kwenye OOP.

Constructor method ni nini?

Hii ni method ambayo hutumika kutengeneza object moja kwa moja, ama kuweka property kwenye object moja kwa moja. Constructor method haina return  value. Pia jina ma construct method linatakiwa liwe sawa na jina la class husika.


 

Katika somo hili tutaendelea utumia kifano yetu ya somo lililopita il tupate kuelewa zaidi. Utaona tofauti ya kutumia constructor na kutokutumia.

 

Class gari

Kwanza tutatengeneza class gari kama tulivyoona katika somo lililopita.

class gari{

String? jina;

String? rangi;

int? matairi;

 

}

Baada ya hapo ndani ya class body tutatengeneza constructor method, ambayo itakuwa na jina sawa na jina la class.

class gari{

String? jina;

String? rangi;

int? matairi;

 

   gari(){

 

    }

}

 

Properties zetu tutazipitisha kama parameter kwenye constructor method.

class gari{

String? jina;

String? rangi;

int? matairi;

 

   gari(String jina, String rangi, int matairi){

 

    }

}

 

Sasa tunakwenda kutumia properties zetu kwenye construct function. Tunapotaka kutumia property ndani ya class tunatumia keyword this. Katika somo liliopita hatukutuia keyword this  ila tulitumia ina la class moja kwa moja ni kwa sababu tulitumia prpperty nje ya class.

 

class gari {

//properties

 String? jina;

 String? rangi;

 int? matairi;

 

 //method

 gari(String jina, String rangi, int matairi){

   print(" Tunauza gari aina ya ${jina}. Ina rangi ${rangi}. Ina matairi ${matairi}.");

 

   this.jina = jina;

   this.rangi = rangi;

   this.matairi = matairi;

 }

 

}

 

Hatuwa iliobaki ni kutengeneza object na kuweka property. Kwa mujibu wa somo lililopita tulitakiwa tufanye hivi:-

gari toyota = gari();

 toyota.jina = 'Toyota avalon';

 toyota.rangi = "Nyeusi mpauko";

 toyota.matairi = 4;


 

Ila kwa kuwa tmetumia constrct method, tutaweza kutengeneza object na kuweka value kwenye properties zake moja kwa moja kw akufanya hivi:-

gari toyota = gari( "Toyota Avalon", "nyeusi", 4);

Zingatia huo mpagilio naendana na mpangilio wa parameter kwenye construct method. Hivyo code zote zitaonekana hivi:-

class gari {

//properties

 String? jina;

 String? rangi;

 int? matairi;

 

 //method

 gari(String jina, String rangi, int matairi){

   print(" Tunauza gari aina ya ${jina}. Ina rangi ${rangi}. Ina matairi ${matairi}.");

 

   this.jina = jina;

   this.rangi = rangi;

   this.matairi = matairi;

 }

 

}

 

void main(){

 gari toyota = gari( "Toyota Avalon", "nyeusi", 4);

}

 

 

Pia tunaweza kuandika code hizi kwa mtindo huu:

class gari {

//properties

 String? jina;

 String? rangi;

 int? matairi;

 

 //method

 gari(String jina, String rangi, int matairi){

   this.jina = jina;

   this.rangi = rangi;

   this.matairi = matairi;

 }

 ...

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: DART Main: Masomo File: Download PDF Views 1145

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Dua za Mitume na Manabii     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Simulizi za Hadithi Audio     👉5 Madrasa kiganjani     👉6 Bongolite - Game zone - Play free game    

Post zinazofanana:

DART somo la 9: for loop na for in loop kwenye dart, kazi zake na jinsi ya kuadika

Katika somo hli utakwend akujifunza kuhusu loop kwenye Dart. Loop zimegawanyika katika makundi mnne ambayo ni for loop, while loop, for in loop na do while loop.

Soma Zaidi...
DART somo la 45: Jinai ys kutuma mysql database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya mysql kwenye Dart. hakikisha umeelewa vyema na kutekeleza yalioelekezwa kutoka kwenye somo lililopita.

Soma Zaidi...
DART somo la 23: Jinsi ya kusoma mafaili kwa kutumia Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma na kuandika faili kwa kutumia Dart programming.

Soma Zaidi...
DART somo la 19: method zinazotumika kwenye set data type kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set.

Soma Zaidi...
DART somo la 24: Dart OOP maana ya Object Oriented Programming kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya OOP na faida zake. Pia utakwenda kujifunza kuhusu features za OOP.

Soma Zaidi...
DART somo la 35: Enum kwenye Dart:

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu enum na inavyotumika kwenye Dart.

Soma Zaidi...