image

DART somo la 43: Stream kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda ujifunz akuhusu concept ya stream kwenye Dart. pia ttaona kwa namna gani strean inaweza kutofautiana na future wakati zote mbili zipo kwenye asychronous programming.

Stream ni mfululizo wa asynchronous operations (events) yaani matukio ya asyncchronous ambayo huwasilisha malue nyingi ambazo hupatikanwa katika wakati ujao. Utafauti mkubwa wa future ni kuwa kwenye future class tunasumngumza operation moja kama tulivyoona huko nyuma, lakini ukija kwenye stream unazungumzia operationa zaidi ya moja ni sawa na iliteration kwenye synchronous operation.


 

Jinsi ya kutengeneza stream class

Kutengeneza stream class kuna mfanano sawa na future. Utaanza na keyword stream ikifuatiwa na aina ya data kama tulivyoona kwenye stream ikifuatiwa na function, ikifutaiwa na keyword async itafuatiwa na body of function. Sasa kwenye async utaongeza alama ya nyita (*).

Stream<String> tovuti() async* {

 await Future.delayed(Duration(seconds: 1));

 yield 'bongoclass';

 await Future.delayed(Duration(seconds: 1));

 yield 'facebook';

 await Future.delayed(Duration(seconds: 1));

 yield 'Google';

}

 

// main function

void main() async {

 // you can use await for loop to get the value from stream

 await for (String jina in tovuti()) {

   print(jina);

 }

}

 

 

Pia tunaweza kutumia keyword yield ili kuweza kufanya iliteration. Angalia mfano hapo chini:

Stream<int> countForOneMinute() async* {

 for (int i = 1; i <= 5; i++) {

   await Future.delayed(const Duration(seconds: 1));

   yield i;

 }

} main() async {

 await for (int i in countForOneMinute()) {

   print(i);

 }

}

 

Pia tunaweza kutumia yield* kwenye stream ama recrucive function, rejea kwenye somo a function kujuwa maana ya recrucive function

Stream<int> str(int n) async* {

 if (n > 0) {

   await Future.delayed(Duration(seconds: 2));...



Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 275


Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Madrasa kiganjani    

Post zifazofanana:-

DART somo la 32: Inheritance kwenye construct method:
Katika masomo yaliopita tumesha jifunza jinsi inheritance inavyokuwa, ila hatujaona kwa namna gani utaweza ku inherit constructor method. Somo hili litashughulika na swla hilo. Soma Zaidi...

DART somo la 40: factory constructor
Katika somo hiliutakwenda kujifunza aina nyingine ya constructor ambayo hutumika kwenye Dart. aina hiyo ni factory constructory. Soma Zaidi...

DART somo la 9: for loop na for in loop kwenye dart, kazi zake na jinsi ya kuadika
Katika somo hli utakwend akujifunza kuhusu loop kwenye Dart. Loop zimegawanyika katika makundi mnne ambayo ni for loop, while loop, for in loop na do while loop. Soma Zaidi...

DART somo la 15: parameter kwenye function za Dart
Katika somo hili tutakwenda kuzungumzia kuhusu parameter kwenye Dart function. Pia tutakwenda kuona mambo mengine yanayohusu function Soma Zaidi...

DART somo la 11:break and continue statement kwenye Dat loop
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu break na continue kwenye Dart loop za for loop na while loop. Soma Zaidi...

DART somo la 31: inheritance kwenye DART OOP
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu inheritance, na inavyoweza kutumika kwenye Dart OOP. Soma Zaidi...

DART somo la 24: Jinsi ya kutengeneza faili, folda na kuingiza data
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika data kwenye faili. Kwanza utajifunza kutengeneza folda, kisha faili na kuweka data, kisha utajifunza kufuta fali. Soma Zaidi...

DART - somo la 1: Kazi za dart programming na historia yake
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu kazi za dart language. Pia nimekuandalia istoria fupi ya lugha ya DART. Soma Zaidi...

DART somo la 21: Jinsi ya kutengeneza library kwenye Dart
Katika somo hili utajifunza kuhusu dart library. Pia tutakwend aktengeneza library yetu wennyewe kwa ajili ya kufanya mazoezi zaidi. Soma Zaidi...

DART somo la 4: Jinsi ya kuandika na kutumia variable kwenye Dart
Katika somo lililopita tumejifunza kuhusu sintaksia za dart. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza variable kwenye Dart. Soma Zaidi...

DART SOMO LA 16: String method zinazotumika kwneye Dart
Katika somo hili utakwenda kujfunza kuhusu String method zinazotumika kwenye Dart. Soma Zaidi...

DART somola 42: Asynchronous programming
Katika somo hili tutakwenda kujifunza concept nyingine ya asynchronous programming. Soma Zaidi...