Katika somo hili utakwenda ujifunz akuhusu concept ya stream kwenye Dart. pia ttaona kwa namna gani strean inaweza kutofautiana na future wakati zote mbili zipo kwenye asychronous programming.
Stream ni mfululizo wa asynchronous operations (events) yaani matukio ya asyncchronous ambayo huwasilisha malue nyingi ambazo hupatikanwa katika wakati ujao. Utafauti mkubwa wa future ni kuwa kwenye future class tunasumngumza operation moja kama tulivyoona huko nyuma, lakini ukija kwenye stream unazungumzia operationa zaidi ya moja ni sawa na iliteration kwenye synchronous operation.
Jinsi ya kutengeneza stream class
Kutengeneza stream class kuna mfanano sawa na future. Utaanza na keyword stream ikifuatiwa na aina ya data kama tulivyoona kwenye stream ikifuatiwa na function, ikifutaiwa na keyword async itafuatiwa na body of function. Sasa kwenye async utaongeza alama ya nyita (*).
Stream<String> tovuti() async* {
await Future.delayed(Duration(seconds: 1));
yield 'bongoclass';
await Future.delayed(Duration(seconds: 1));
yield 'facebook';
await Future.delayed(Duration(seconds: 1));
yield 'Google';
}
// main function
void main() async {
// you can use await for loop to get the value from stream
await for (String jina in tovuti()) {
print(jina);
}
}
Pia tunaweza kutumia keyword yield ili kuweza kufanya iliteration. Angalia mfano hapo chini:
Stream<int> countForOneMinute() async* {
for (int i = 1; i <= 5; i++) {
await Future.delayed(const Duration(seconds: 1));
yield i;
}
} main() async {
await for (int i in countForOneMinute()) {
print(i);
}
}
Pia tunaweza kutumia yield* kwenye stream ama recrucive function, rejea kwenye somo a function kujuwa maana ya recrucive function
Stream<int> str(int n) async* {
if (n > 0) {
await Future.delayed(Duration(seconds: ...
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili tutakwenda kuzungumzia kuhusu parameter kwenye Dart function. Pia tutakwenda kuona mambo mengine yanayohusu function
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu switch case na jinsi inavyofanya kazi kwenye Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu dart library. Pia tutakwend aktengeneza library yetu wennyewe kwa ajili ya kufanya mazoezi zaidi.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza concept nyingine ya asynchronous programming.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator kwenye Dart, kazi zake na jinsi ya kuzitumia.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutatkwenda kuziona baadhi ya xyntax yaani kanunu za uandishi wa code za dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya mysql kwenye Dart. hakikisha umeelewa vyema na kutekeleza yalioelekezwa kutoka kwenye somo lililopita.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza method yhinginge zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Dart.
Soma Zaidi...Ka tika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya named constructor na constant constructor kwenye Object Oriented Programming.
Soma Zaidi...Katika masomo yaliopita tumesha jifunza jinsi inheritance inavyokuwa, ila hatujaona kwa namna gani utaweza ku inherit constructor method. Somo hili litashughulika na swla hilo.
Soma Zaidi...