Katika somo hili utakwenda ujifunz akuhusu concept ya stream kwenye Dart. pia ttaona kwa namna gani strean inaweza kutofautiana na future wakati zote mbili zipo kwenye asychronous programming.
Stream ni mfululizo wa asynchronous operations (events) yaani matukio ya asyncchronous ambayo huwasilisha malue nyingi ambazo hupatikanwa katika wakati ujao. Utafauti mkubwa wa future ni kuwa kwenye future class tunasumngumza operation moja kama tulivyoona huko nyuma, lakini ukija kwenye stream unazungumzia operationa zaidi ya moja ni sawa na iliteration kwenye synchronous operation.
Jinsi ya kutengeneza stream class
Kutengeneza stream class kuna mfanano sawa na future. Utaanza na keyword stream ikifuatiwa na aina ya data kama tulivyoona kwenye stream ikifuatiwa na function, ikifutaiwa na keyword async itafuatiwa na body of function. Sasa kwenye async utaongeza alama ya nyita (*).
Stream<String> tovuti() async* {
await Future.delayed(Duration(seconds: 1));
yield 'bongoclass';
await Future.delayed(Duration(seconds: 1));
yield 'facebook';
await Future.delayed(Duration(seconds: 1));
yield 'Google';
}
// main function
void main() async {
// you can use await for loop to get the value from stream
await for (String jina in tovuti()) {
print(jina);
}
}
Pia tunaweza kutumia keyword yield ili kuweza kufanya iliteration. Angalia mfano hapo chini:
Stream<int> countForOneMinute() async* {
for (int i = 1; i <= 5; i++) {
await Future.delayed(const Duration(seconds: 1));
yield i;
}
} main() async {
await for (int i in countForOneMinute()) {
print(i);
}
}
Pia tunaweza kutumia yield* kwenye stream ama recrucive function, rejea kwenye somo a function kujuwa maana ya recrucive function
Stream<int> str(int n) async* {
if (n > 0) {
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowKatika somo hili tutawenda kujifunza kuhusu encapsulatio kwenye Dart OOP na jinsi inavyoweza kutumika.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuunganisha databse na Dart. Pia utajifunza jinsi ya kuset environment kwenye kompyuta ili kuweza kutumia Dart sdk kwenye CMD.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye dart, jisni ya kziandika na matumizi yake.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu switch case na jinsi inavyofanya kazi kwenye Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data zinazotumika kwenye Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunz ajinsi ya kutumia library ya html kwenye Dart. somo hili litakupeleka kujifunza jinsi ya ku display dart output kwenye faili la html.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya mysql kwenye Dart. hakikisha umeelewa vyema na kutekeleza yalioelekezwa kutoka kwenye somo lililopita.
Soma Zaidi...Katika masomo yaliopita tumesha jifunza jinsi inheritance inavyokuwa, ila hatujaona kwa namna gani utaweza ku inherit constructor method. Somo hili litashughulika na swla hilo.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class interface na inavyotofautiana na class abstract
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya class kwenye OOP paradigm, kisha utajifunza jinsi ya kutengeneza class.
Soma Zaidi...