Katika somo hili utakwenda ujifunz akuhusu concept ya stream kwenye Dart. pia ttaona kwa namna gani strean inaweza kutofautiana na future wakati zote mbili zipo kwenye asychronous programming.
Stream ni mfululizo wa asynchronous operations (events) yaani matukio ya asyncchronous ambayo huwasilisha malue nyingi ambazo hupatikanwa katika wakati ujao. Utafauti mkubwa wa future ni kuwa kwenye future class tunasumngumza operation moja kama tulivyoona huko nyuma, lakini ukija kwenye stream unazungumzia operationa zaidi ya moja ni sawa na iliteration kwenye synchronous operation.
Jinsi ya kutengeneza stream class
Kutengeneza stream class kuna mfanano sawa na future. Utaanza na keyword stream ikifuatiwa na aina ya data kama tulivyoona kwenye stream ikifuatiwa na function, ikifutaiwa na keyword async itafuatiwa na body of function. Sasa kwenye async utaongeza alama ya nyita (*).
Stream<String> tovuti() async* {
await Future.delayed(Duration(seconds: 1));
yield 'bongoclass';
await Future.delayed(Duration(seconds: 1));
yield 'facebook';
await Future.delayed(Duration(seconds: 1));
yield 'Google';
}
// main function
void main() async {
// you can use await for loop to get the value from stream
await for (String jina in tovuti()) {
print(jina);
}
}
Pia tunaweza kutumia keyword yield ili kuweza kufanya iliteration. Angalia mfano hapo chini:
Stream<int> countForOneMinute() async* {
for (int i = 1; i <= 5; i++) {
await Future.delayed(const Duration(seconds: 1));
yield i;
}
} main() async {
await for (int i in countForOneMinute()) {
print(i);
}
}
Pia tunaweza kutumia yield* kwenye stream ama recrucive function, rejea kwenye somo a function kujuwa maana ya recrucive function
Stream<int> str(int n) async* {
if (n > 0) {
await Future.delayed(Duration(seconds: ...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua. Umeionaje Makala hii.. ? Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data zinazotumika kwenye Dart. Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya polymorphism. Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuunganisha databse na Dart. Pia utajifunza jinsi ya kuset environment kwenye kompyuta ili kuweza kutumia Dart sdk kwenye CMD. Katika somo hili utakwenda kujifunza method yhinginge zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Dart. Katika somo hili tutatkwenda kuziona baadhi ya xyntax yaani kanunu za uandishi wa code za dart. Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu while loop na do while loop zinavyofanya kazi katika Dart. Katika somo hiliutakwenda kujifunza aina nyingine ya constructor ambayo hutumika kwenye Dart. aina hiyo ni factory constructory. Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye dart, jisni ya kziandika na matumizi yake. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma na kuandika faili kwa kutumia Dart programming. Katika somo hili tutakwenda kujifunza concept nyingine ya asynchronous programming. Download App Yetu
👉1
Kitau cha Fiqh
👉2
Bongolite - Game zone - Play free game
👉3
Kitabu cha Afya
👉4
kitabu cha Simulizi
👉5
Madrasa kiganjani
👉6
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Post zinazofanana:
DART somo la 3: Aina za Data
DART somo la 33 concept ya polymorphism
DART somo la 44: Jinsi ya ku install mysql kwenye program ya dart
DART somo la 18: Dart method zinazotumika kwenye List data type
DART somo la 2: syntax za dart
DART somo la 10: while loop na do while loop kwenye Dart
DART somo la 40: factory constructor
DART somo la 13: function kwenye dart
DART somo la 23: Jinsi ya kusoma mafaili kwa kutumia Dart
DART somola 42: Asynchronous programming