image

DART somo la 39: mixin kwenye dart

Katika somo hii utakwenda kujifunza kuhusu concept mixin na jinsi inavyoweza kutumika kwenye Dart.

Mixin 

Hii ni njia inayowezesha kutumia code zaidi ya mara moja kwenye class zaidi ya moja. Tunatumia keyword mixin ili kuweza kuadika code ambazo tutakwenda kuzitua kwenye class.

Mfano

mixin tangazo{

 //code

}

mixin taarifa{

 // code

}

 

Ukitaka kuzitumia hizo code tutatumia keyword with. Sasa wakati mwingine unahitaji mixin ifanyekazi kwenye class maalumu. Hivyo wakati wa kuitengeneza utatumia on, angalia mfano hapo chni:

 

Mfano:

mixin tangazo{

 //code

}

mixin taarifa{

 // code

}

class gari with mixin tangazo, taarifa{

 

}

 

Mfano kw akutumia ON

class gari{

 

}

mixin toyota on gari{

 

}

 

Wacha tuone mfano kwa ujumla. Hapa nina ixin bili ambayo moja nimeiita toyota na nyingine nimeiita bugati. Nitatumia with ili kutuia zote kwenye class moja. Class hiyo nimeiita garri

mixin toyota {

 void tangazo() {

   print('Tunauza toyota');

 }

}

 

mixin bugati {

 void taarifa() {

   print('Tunauza Bugati');

 }

}

class gari with toyota, bugati {

}

 

void main() {

 var car = gari();

 car.taarifa();

 car.tangazo();

}

 

mixin toyota {

 void taarifa() {

   print('Toyota');

 }

}

 

mixin bugati {

 void tangazo() {

   print(">...



Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 228


Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

Dart somo la 25: DART OOP Nini maaan ya class na vipi utaweza kuitengeneza
Katika somo hili utajifunza maana ya class kwenye OOP paradigm, kisha utajifunza jinsi ya kutengeneza class. Soma Zaidi...

DART somo la 4: Jinsi ya kuandika na kutumia variable kwenye Dart
Katika somo lililopita tumejifunza kuhusu sintaksia za dart. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza variable kwenye Dart. Soma Zaidi...

DART somo la 36: Abstract class kweye Dart
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu abstract class na abstract method kwenye Dart. Soma Zaidi...

DART somo la 45: Jinai ys kutuma mysql database
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya mysql kwenye Dart. hakikisha umeelewa vyema na kutekeleza yalioelekezwa kutoka kwenye somo lililopita. Soma Zaidi...

DART somo la 19: method zinazotumika kwenye set data type kwenye Dart
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set. Soma Zaidi...

DART somo la 32: Inheritance kwenye construct method:
Katika masomo yaliopita tumesha jifunza jinsi inheritance inavyokuwa, ila hatujaona kwa namna gani utaweza ku inherit constructor method. Somo hili litashughulika na swla hilo. Soma Zaidi...

DART somo la 24: Dart OOP maana ya Object Oriented Programming kwenye Dart
Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya OOP na faida zake. Pia utakwenda kujifunza kuhusu features za OOP. Soma Zaidi...

DART somo la 33 concept ya polymorphism
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya polymorphism. Soma Zaidi...

DART SOMO LA 16: String method zinazotumika kwneye Dart
Katika somo hili utakwenda kujfunza kuhusu String method zinazotumika kwenye Dart. Soma Zaidi...

DART somo la 12: Kuchukuwa user input kwenye Dart
Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Dart kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program. Soma Zaidi...

DART somo la 37: Class interface
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class interface na inavyotofautiana na class abstract Soma Zaidi...

DART somo la 39: mixin kwenye dart
Katika somo hii utakwenda kujifunza kuhusu concept mixin na jinsi inavyoweza kutumika kwenye Dart. Soma Zaidi...