Katika somo hii utakwenda kujifunza kuhusu concept mixin na jinsi inavyoweza kutumika kwenye Dart.
Mixin
Hii ni njia inayowezesha kutumia code zaidi ya mara moja kwenye class zaidi ya moja. Tunatumia keyword mixin ili kuweza kuadika code ambazo tutakwenda kuzitua kwenye class.
Mfano
mixin tangazo{
//code
}
mixin taarifa{
// code
}
Ukitaka kuzitumia hizo code tutatumia keyword with. Sasa wakati mwingine unahitaji mixin ifanyekazi kwenye class maalumu. Hivyo wakati wa kuitengeneza utatumia on, angalia mfano hapo chni:
Mfano:
mixin tangazo{
//code
}
mixin taarifa{
// code
}
class gari with mixin tangazo, taarifa{
}
Mfano kw akutumia ON
class gari{
}
mixin toyota on gari{
}
Wacha tuone mfano kwa ujumla. Hapa nina ixin bili ambayo moja nimeiita toyota na nyingine nimeiita bugati. Nitatumia with ili kutuia zote kwenye class moja. Class hiyo nimeiita garri
mixin toyota {
void tangazo() {
print('Tunauza toyota');
}
}
mixin bugati {
void taarifa() {
print('Tunauza Bugati');
}
}
class gari with toyota, bugati {
}
void main() {
var car = gari();
car.taarifa();
car.tangazo();
}
mixin toyota {
void taarifa() {
print('Toyota');
}
}
mixin bugati {
void tangazo() {
print('Bugati');
}
}
class...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye dart, jisni ya kziandika na matumizi yake.
Soma Zaidi...Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Dart kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu break na continue kwenye Dart loop za for loop na while loop.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu method ambazo hutumika kwenye map data type
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo la function. Hapa tutakwenda kuona aina za function.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika data kwenye faili. Kwanza utajifunza kutengeneza folda, kisha faili na kuweka data, kisha utajifunza kufuta fali.
Soma Zaidi...