DART somo la 39: mixin kwenye dart

Katika somo hii utakwenda kujifunza kuhusu concept mixin na jinsi inavyoweza kutumika kwenye Dart.

Mixin 

Hii ni njia inayowezesha kutumia code zaidi ya mara moja kwenye class zaidi ya moja. Tunatumia keyword mixin ili kuweza kuadika code ambazo tutakwenda kuzitua kwenye class.

Mfano

mixin tangazo{

 //code

}

mixin taarifa{

 // code

}

 

Ukitaka kuzitumia hizo code tutatumia keyword with. Sasa wakati mwingine unahitaji mixin ifanyekazi kwenye class maalumu. Hivyo wakati wa kuitengeneza utatumia on, angalia mfano hapo chni:

 

Mfano:

mixin tangazo{

 //code

}

mixin taarifa{

 // code

}

class gari with mixin tangazo, taarifa{

 

}

 

Mfano kw akutumia ON

class gari{

 

}

mixin toyota on gari{

 

}

 

Wacha tuone mfano kwa ujumla. Hapa nina ixin bili ambayo moja nimeiita toyota na nyingine nimeiita bugati. Nitatumia with ili kutuia zote kwenye class moja. Class hiyo nimeiita garri

mixin toyota {

 void tangazo() {

   print('Tunauza toyota');

 }

}

 

mixin bugati {

 void taarifa() {

   print('Tunauza Bugati');

 }

}

class gari with toyota, bugati {

}

 

void main() {

 var car = gari();

 car.taarifa();

 car.tangazo();

}

 

mixin toyota {

 void taarifa() {

   print('Toyota');

 }

}

 

mixin bugati {

 void tangazo(">...

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: DART Main: ICT File: Download PDF Views 329

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

DART somo la 30 :Jinsi ya kutengeneza setter na geter kwenye OOP

Katika somo hili tutakwenda kujifunza zaidi kuhusu method za getter na setter. Tutakwenda kuona hasa zinavyotumika na zinavyotengenezwa.

Soma Zaidi...
DART somo la 35: Enum kwenye Dart:

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu enum na inavyotumika kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 34: Static variable kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static property na jinsi ambavyo inavyotumika.

Soma Zaidi...
DART somo la 2: syntax za dart

Katika somo hili tutatkwenda kuziona baadhi ya xyntax yaani kanunu za uandishi wa code za dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 27: DART OOP: maana ya constructor method na jinsi inavyotumika kwenye OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jins ya kutengeneza constructor method, pia utajifunza matumizi yake kwenye OOP.

Soma Zaidi...
DART - somo la 1: Kazi za dart programming na historia yake

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu kazi za dart language. Pia nimekuandalia istoria fupi ya lugha ya DART.

Soma Zaidi...
DART somo la 15: parameter kwenye function za Dart

Katika somo hili tutakwenda kuzungumzia kuhusu parameter kwenye Dart function. Pia tutakwenda kuona mambo mengine yanayohusu function

Soma Zaidi...
DART somo la 29: Dart encapsulation

Katika somo hili tutawenda kujifunza kuhusu encapsulatio kwenye Dart OOP na jinsi inavyoweza kutumika.

Soma Zaidi...
DART somo la 3: Aina za Data

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data zinazotumika kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 36: Abstract class kweye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu abstract class na abstract method kwenye Dart.

Soma Zaidi...