Katika somo hili utajifunza maana ya class kwenye OOP paradigm, kisha utajifunza jinsi ya kutengeneza class.
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class kwenye Dart OOP. utajifunza sintaksia zake na jinsi ya kuweza kuitumia.
Nini maana ya class
Kwenye OOP class ni blueprint kwa ajili ya kutengeneza object. Lamda nitoe mfano upate kuelewa. Kwa mfano tunakuwa na class yetu inatwa gari kisha gari linakuwa na sifa zake na tabia zake. Kwa mfano gari lina rangi, milango na matairi hizi ji attribute za class yetu inayoitwa gari. HAlafu class yetu gari ikawa na tabia kama inatembea kwa haraka, ni ndogo, na ni nyepesi hizi ni behaviour yaani tabia. Katika course hii tutakwenda kutumia mfano wa gari.
Sasa kwa kuwa class yetu gari tumesha itengenezea tabia na sifa zake. Sasa tunapotaka kutengeneza object yeyote inayohus gari inakuwa na sifa hizo. Mfano object toyota katika sifa iiatkuwa na rangi nyeusi, milango miwili, na matairi 4, na katika tabia itakuwa ni ndogo, na ni nyepesi.
Sasa kila unapotengeneza object lazima ufuate sifa hizo. Iwe ni toyota, BMW, bugati ama object yeyote ambayo ni gari. Ndio maana tunasema class ni blueprint kwa maana object zote zitafuata mpangilio uleule wa class husika. Ni sawa na kufananisha class na ramani ya nyumba. Kwa maana nyumba itafuaa kama ramani inavyotaka.
Jinsi ya kuandika class.
Ili uweze kutengeneza Class tutatumia keyword class ikifuatiwa na jina la hiyo class mfano gari kisha itafuatiwa na mabano {} ambapo ndani yake kutakaa code za hiyo class.
Mfano:
class gari{
}
Sehemu iliyo ndani ya mabano {} ndio huitwa body of the class<">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua. Umeionaje Makala hii.. ? Katika somo hili tutakwenda kujifunza zaidi kuhusu method za getter na setter. Tutakwenda kuona hasa zinavyotumika na zinavyotengenezwa. Katika somo hili tutatkwenda kuziona baadhi ya xyntax yaani kanunu za uandishi wa code za dart. Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu break na continue kwenye Dart loop za for loop na while loop. Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set. Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu namna ambavyo program inaweza kufanya maamuzi kulingana na mashart fulani.ama namna ambavyo program inaweza ku run code zaii ya mara moja kulingana na mashart. Hapa tutazingumzia flow of control statement Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika data kwenye faili. Kwanza utajifunza kutengeneza folda, kisha faili na kuweka data, kisha utajifunza kufuta fali. Ka tika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya named constructor na constant constructor kwenye Object Oriented Programming. Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu switch case na jinsi inavyofanya kazi kwenye Dart. Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu inheritance, na inavyoweza kutumika kwenye Dart OOP. Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Dart kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program. Download App Yetu
👉1
kitabu cha Simulizi
👉2
Madrasa kiganjani
👉3
Simulizi za Hadithi Audio
👉4
Kitau cha Fiqh
👉5
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉6
Kitabu cha Afya
Post zinazofanana:
DART somo la 30 :Jinsi ya kutengeneza setter na geter kwenye OOP
DART somo la 2: syntax za dart
DART somo la 11:break and continue statement kwenye Dat loop
DART somo la 19: method zinazotumika kwenye set data type kwenye Dart
DART somo la 7: matumizi ya if, else, if else, else if kwenye Dart
DART somo la 24: Jinsi ya kutengeneza faili, folda na kuingiza data
DART somo la 28: Named constructor na constant constructor kwenye OOP
DART somo la 8: Matumizi ya switch case
DART somo la 31: inheritance kwenye DART OOP
DART somo la 12: Kuchukuwa user input kwenye Dart