Katika somo hili utajifunza maana ya class kwenye OOP paradigm, kisha utajifunza jinsi ya kutengeneza class.
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class kwenye Dart OOP. utajifunza sintaksia zake na jinsi ya kuweza kuitumia.
Nini maana ya class
Kwenye OOP class ni blueprint kwa ajili ya kutengeneza object. Lamda nitoe mfano upate kuelewa. Kwa mfano tunakuwa na class yetu inatwa gari kisha gari linakuwa na sifa zake na tabia zake. Kwa mfano gari lina rangi, milango na matairi hizi ji attribute za class yetu inayoitwa gari. HAlafu class yetu gari ikawa na tabia kama inatembea kwa haraka, ni ndogo, na ni nyepesi hizi ni behaviour yaani tabia. Katika course hii tutakwenda kutumia mfano wa gari.
Sasa kwa kuwa class yetu gari tumesha itengenezea tabia na sifa zake. Sasa tunapotaka kutengeneza object yeyote inayohus gari inakuwa na sifa hizo. Mfano object toyota katika sifa iiatkuwa na rangi nyeusi, milango miwili, na matairi 4, na katika tabia itakuwa ni ndogo, na ni nyepesi.
Sasa kila unapotengeneza object lazima ufuate sifa hizo. Iwe ni toyota, BMW, bugati ama object yeyote ambayo ni gari. Ndio maana tunasema class ni blueprint kwa maana object zote zitafuata mpangilio uleule wa class husika. Ni sawa na kufananisha class na ramani ya nyumba. Kwa maana nyumba itafuaa kama ramani inavyotaka.
Jinsi ya kuandika class.
Ili uweze kutengeneza Class tutatumia keyword class ikifuatiwa na jina la hiyo class mfano gari kisha itafuatiwa na mabano {} ambapo ndani yake kutakaa code za hiyo class.
Mfano:
class gari{
}
Sehemu iliyo ndani ya mabano {} ndio huitwa body of the class<">... Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu Umeionaje Makala hii.. ? Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika data kwenye faili. Kwanza utajifunza kutengeneza folda, kisha faili na kuweka data, kisha utajifunza kufuta fali. Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya generics ili kuweza kufanya kazi na aina mbalimbali za data kwenye class. Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator kwenye Dart, kazi zake na jinsi ya kuzitumia. Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Dart kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program. Katika masomo yaliopita tumesha jifunza jinsi inheritance inavyokuwa, ila hatujaona kwa namna gani utaweza ku inherit constructor method. Somo hili litashughulika na swla hilo. Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class interface na inavyotofautiana na class abstract Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data zinazotumika kwenye Dart. Katika somo hiliutakwenda kujifunza aina nyingine ya constructor ambayo hutumika kwenye Dart. aina hiyo ni factory constructory. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma na kuandika faili kwa kutumia Dart programming. Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuunganisha databse na Dart. Pia utajifunza jinsi ya kuset environment kwenye kompyuta ili kuweza kutumia Dart sdk kwenye CMD.
👉1
Simulizi za Hadithi Audio
👉2
Kitau cha Fiqh
👉3
Kitabu cha Afya
👉4
Bongolite - Game zone - Play free game
👉5
kitabu cha Simulizi
👉6
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Post zinazofanana:
DART somo la 24: Jinsi ya kutengeneza faili, folda na kuingiza data
DART somo la 41: concept ya generic kwenye dart
DART somo la 6: Dart operator na jinsi zinavyofanya kazi.
DART somo la 12: Kuchukuwa user input kwenye Dart
DART somo la 32: Inheritance kwenye construct method:
DART somo la 37: Class interface
DART somo la 3: Aina za Data
DART somo la 40: factory constructor
DART somo la 23: Jinsi ya kusoma mafaili kwa kutumia Dart
DART somo la 44: Jinsi ya ku install mysql kwenye program ya dart