Katika somo hili utajifunza maana ya class kwenye OOP paradigm, kisha utajifunza jinsi ya kutengeneza class.
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class kwenye Dart OOP. utajifunza sintaksia zake na jinsi ya kuweza kuitumia.
Nini maana ya class
Kwenye OOP class ni blueprint kwa ajili ya kutengeneza object. Lamda nitoe mfano upate kuelewa. Kwa mfano tunakuwa na class yetu inatwa gari kisha gari linakuwa na sifa zake na tabia zake. Kwa mfano gari lina rangi, milango na matairi hizi ji attribute za class yetu inayoitwa gari. HAlafu class yetu gari ikawa na tabia kama inatembea kwa haraka, ni ndogo, na ni nyepesi hizi ni behaviour yaani tabia. Katika course hii tutakwenda kutumia mfano wa gari.
Sasa kwa kuwa class yetu gari tumesha itengenezea tabia na sifa zake. Sasa tunapotaka kutengeneza object yeyote inayohus gari inakuwa na sifa hizo. Mfano object toyota katika sifa iiatkuwa na rangi nyeusi, milango miwili, na matairi 4, na katika tabia itakuwa ni ndogo, na ni nyepesi.
Sasa kila unapotengeneza object lazima ufuate sifa hizo. Iwe ni toyota, BMW, bugati ama object yeyote ambayo ni gari. Ndio maana tunasema class ni blueprint kwa maana object zote zitafuata mpangilio uleule wa class husika. Ni sawa na kufananisha class na ramani ya nyumba. Kwa maana nyumba itafuaa kama ramani inavyotaka.
Jinsi ya kuandika class.
Ili uweze kutengeneza Class tutatumia keyword class ikifuatiwa na jina la hiyo class mfano gari kisha itafuatiwa na mabano {} ambapo ndani yake kutakaa code za hiyo class.
Mfano:
class gari{
}
Sehemu iliyo ndani ya mabano {} ndio huitwa body of the class<">...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Katika somo hiliutakwenda kujifunza aina nyingine ya constructor ambayo hutumika kwenye Dart. aina hiyo ni factory constructory.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza zaidi kuhusu method za getter na setter. Tutakwenda kuona hasa zinavyotumika na zinavyotengenezwa.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya OOP na faida zake. Pia utakwenda kujifunza kuhusu features za OOP.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunz ajinsi ya kutumia library ya html kwenye Dart. somo hili litakupeleka kujifunza jinsi ya ku display dart output kwenye faili la html.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kuzungumzia kuhusu parameter kwenye Dart function. Pia tutakwenda kuona mambo mengine yanayohusu function
Soma Zaidi...Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Dart kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutawenda kujifunza kuhusu encapsulatio kwenye Dart OOP na jinsi inavyoweza kutumika.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu kazi za dart language. Pia nimekuandalia istoria fupi ya lugha ya DART.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye dart, jisni ya kziandika na matumizi yake.
Soma Zaidi...