Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu break na continue kwenye Dart loop za for loop na while loop.
Break statement:
Hii hutumika pale ambapo unahitaji ku stop code zisiendelee ku excute yaani kufanya kazi kama sharti fulani litafikiwa. Kwa mfano kwneye ile tebo yetu ya saba tunaweza kukatisha katikati.
Mfano tunataka tebo yetu ya saba iishie kwenye 8 kisha iishie hapo. Kufanya hivi tutatumia break statement. Itatubidi tutumie if else ili kuweka shari. Kwa mujibu wa mano wetu itabidi tuangalie je imeshafka kwenye 8, kama tayari tutakwenda ku break.
if (x == 8) {
break;
}
void main() {
print('TEBO YA 7');
for (int x = 1; x <=12; x++){
print(7*x);
if (x == 8) {
break;
}
}
}
Sasa tukitaka kuendelea na na 9 yaani turuke 8 tuendelee kwenye 9, kufanya hivi tutatumia continue statement. Ila utofauti hapa utaanza na kutweka masharti kabla ya kuprint.
void main() {
print('TEBO YA 7');
for (int x = 1; x <=12; x++){
if (x == 8) {
continue;
}
print('${x}*7 = ${x *7}');
}
}
Utaona hapo 8*7 haipo kabisa. Kwa mfano tunaweza kuruka kutoka 5 hadi 8 kusha kuendelea na 9
void main() {
print('TEBO YA 7');
for (int x = 1; x <=12; x++){
if (x >=5 && x<=8) {
continue;
}
print('${x}*7 = ${x *7}');
}
}
Wacha tuchanganye operator nyingine. Sasa tunataka kuruka 3, 5, 6, 7 na 8.
void main() {
print('TEBO YA 7');
for (int x = 1; x <=12; x++){
if (x== 3 || x >=5 && x<=8) {
continue;
}<">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu method ambazo hutumika kwenye map data type
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya mysql kwenye Dart. hakikisha umeelewa vyema na kutekeleza yalioelekezwa kutoka kwenye somo lililopita.
Soma Zaidi...Ka tika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya named constructor na constant constructor kwenye Object Oriented Programming.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda ujifunz akuhusu concept ya stream kwenye Dart. pia ttaona kwa namna gani strean inaweza kutofautiana na future wakati zote mbili zipo kwenye asychronous programming.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu kazi za dart language. Pia nimekuandalia istoria fupi ya lugha ya DART.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu inheritance, na inavyoweza kutumika kwenye Dart OOP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data zinazotumika kwenye Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma na kuandika faili kwa kutumia Dart programming.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static property na jinsi ambavyo inavyotumika.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujfunza kuhusu String method zinazotumika kwenye Dart.
Soma Zaidi...