Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu break na continue kwenye Dart loop za for loop na while loop.
Break statement:
Hii hutumika pale ambapo unahitaji ku stop code zisiendelee ku excute yaani kufanya kazi kama sharti fulani litafikiwa. Kwa mfano kwneye ile tebo yetu ya saba tunaweza kukatisha katikati.
Mfano tunataka tebo yetu ya saba iishie kwenye 8 kisha iishie hapo. Kufanya hivi tutatumia break statement. Itatubidi tutumie if else ili kuweka shari. Kwa mujibu wa mano wetu itabidi tuangalie je imeshafka kwenye 8, kama tayari tutakwenda ku break.
if (x == 8) {
break;
}
void main() {
print('TEBO YA 7');
for (int x = 1; x <=12; x++){
print(7*x);
if (x == 8) {
break;
}
}
}
Sasa tukitaka kuendelea na na 9 yaani turuke 8 tuendelee kwenye 9, kufanya hivi tutatumia continue statement. Ila utofauti hapa utaanza na kutweka masharti kabla ya kuprint.
void main() {
print('TEBO YA 7');
for (int x = 1; x <=12; x++){
if (x == 8) {
continue;
}
print('${x}*7 = ${x *7}');
}
}
Utaona hapo 8*7 haipo kabisa. Kwa mfano tunaweza kuruka kutoka 5 hadi 8 kusha kuendelea na 9
void main() {
print('TEBO YA 7');
for (int x = 1; x <=12; x++){
if (x >=5 && x<=8) {
continue;
}
print('${x}*7 = ${x *7}');
}
}
Wacha tuchanganye operator nyingine. Sasa tunataka kuruka 3, 5, 6, 7 na 8.
void main() {
print('TEBO YA 7');
 ...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Katika somo hili tutakwenda kujifunza concept nyingine ya asynchronous programming.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya class kwenye OOP paradigm, kisha utajifunza jinsi ya kutengeneza class.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu namna ambavyo program inaweza kufanya maamuzi kulingana na mashart fulani.ama namna ambavyo program inaweza ku run code zaii ya mara moja kulingana na mashart. Hapa tutazingumzia flow of control statement
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static property na jinsi ambavyo inavyotumika.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza Object pamoja na properties. Haa kwa ufupi tutakwenda kujifunza jinsi ya kutumia class.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika data kwenye faili. Kwanza utajifunza kutengeneza folda, kisha faili na kuweka data, kisha utajifunza kufuta fali.
Soma Zaidi...