picha

DART somo la 11:break and continue statement kwenye Dat loop

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu break na continue kwenye Dart loop za for loop na while loop.

Break statement:

Hii hutumika pale ambapo unahitaji ku stop code zisiendelee ku excute yaani kufanya kazi kama sharti fulani litafikiwa. Kwa mfano kwneye ile tebo yetu ya saba tunaweza kukatisha katikati.

 

Mfano tunataka tebo yetu ya saba iishie kwenye 8 kisha iishie hapo. Kufanya hivi tutatumia break statement. Itatubidi tutumie if else ili kuweka shari. Kwa mujibu wa mano wetu itabidi tuangalie je imeshafka kwenye 8, kama tayari tutakwenda ku break.

 

if (x == 8) {

      break;

    }

 

void main() {

 print('TEBO YA 7');

 for (int x = 1; x <=12; x++){

   print(7*x);

 

   if (x == 8) {

     break;

   }

 }

}

 

 

Sasa tukitaka kuendelea na na 9 yaani turuke 8 tuendelee kwenye 9, kufanya hivi tutatumia continue statement. Ila utofauti hapa utaanza na kutweka masharti kabla ya kuprint.

void main() {

 print('TEBO YA 7');

 for (int x = 1; x <=12; x++){

   if (x == 8) {

     continue;

   }

   print('${x}*7 = ${x *7}');

 }

}

Utaona hapo 8*7 haipo kabisa. Kwa mfano tunaweza kuruka kutoka 5 hadi 8 kusha kuendelea na 9

void main() {

 print('TEBO YA 7');

 for (int x = 1; x <=12; x++){

   if (x >=5 && x<=8) {

     continue;

   }

   print('${x}*7 = ${x *7}');

 }

}

Wacha tuchanganye operator nyingine. Sasa tunataka kuruka 3, 5, 6, 7 na 8.

void main() {

 print('TEBO YA 7');

 for (int x = 1; x <=12; x++){

   if (x== 3 || x >=5 && x<=8) {

     continue;

   }<">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2023-11-22 Topic: DART Main: ICT File: Download PDF Views 905

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Dua za Mitume na Manabii    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 web hosting   

Post zinazofanana:

DART somo la 28: Named constructor na constant constructor kwenye OOP

Ka tika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya named constructor na constant constructor kwenye Object Oriented Programming.

Soma Zaidi...
DART somo la 39: mixin kwenye dart

Katika somo hii utakwenda kujifunza kuhusu concept mixin na jinsi inavyoweza kutumika kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 31: inheritance kwenye DART OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu inheritance, na inavyoweza kutumika kwenye Dart OOP.

Soma Zaidi...
DART somo la 35: Enum kwenye Dart:

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu enum na inavyotumika kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 29: Dart encapsulation

Katika somo hili tutawenda kujifunza kuhusu encapsulatio kwenye Dart OOP na jinsi inavyoweza kutumika.

Soma Zaidi...
DART somo la 5: Reserved keywords kwenye lugah ya Dart

Katika soo hili utakwenda kujifunza kuhusu reserved keywords katika Dart

Soma Zaidi...
DART somo la 13: function kwenye dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye dart, jisni ya kziandika na matumizi yake.

Soma Zaidi...
DART somo la 4: Jinsi ya kuandika na kutumia variable kwenye Dart

Katika somo lililopita tumejifunza kuhusu sintaksia za dart. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza variable kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 44: Jinsi ya ku install mysql kwenye program ya dart

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuunganisha databse na Dart. Pia utajifunza jinsi ya kuset environment kwenye kompyuta ili kuweza kutumia Dart sdk kwenye CMD.

Soma Zaidi...
DART somo la 34: Static variable kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static property na jinsi ambavyo inavyotumika.

Soma Zaidi...