Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu break na continue kwenye Dart loop za for loop na while loop.
Break statement:
Hii hutumika pale ambapo unahitaji ku stop code zisiendelee ku excute yaani kufanya kazi kama sharti fulani litafikiwa. Kwa mfano kwneye ile tebo yetu ya saba tunaweza kukatisha katikati.
Mfano tunataka tebo yetu ya saba iishie kwenye 8 kisha iishie hapo. Kufanya hivi tutatumia break statement. Itatubidi tutumie if else ili kuweka shari. Kwa mujibu wa mano wetu itabidi tuangalie je imeshafka kwenye 8, kama tayari tutakwenda ku break.
if (x == 8) {
break;
}
void main() {
print('TEBO YA 7');
for (int x = 1; x <=12; x++){
print(7*x);
if (x == 8) {
break;
}
}
}
Sasa tukitaka kuendelea na na 9 yaani turuke 8 tuendelee kwenye 9, kufanya hivi tutatumia continue statement. Ila utofauti hapa utaanza na kutweka masharti kabla ya kuprint.
void main() {
print('TEBO YA 7');
for (int x = 1; x <=12; x++){
if (x == 8) {
continue;
}
print('${x}*7 = ${x *7}');
}
}
Utaona hapo 8*7 haipo kabisa. Kwa mfano tunaweza kuruka kutoka 5 hadi 8 kusha kuendelea na 9
void main() {
print('TEBO YA 7');
for (int x = 1; x <=12; x++){
if (x >=5 && x<=8) {
continue;
}
print('${x}*7 = ${x *7}');
}
}
Wacha tuchanganye operator nyingine. Sasa tunataka kuruka 3, 5, 6, 7 na 8.
void main() {
print('TEBO YA 7');
for (int x = 1; x <=12; x++){
if (x== 3 || x >=5 && x<=8) {
continue;
}<">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye dart, jisni ya kziandika na matumizi yake.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutawenda kujifunza kuhusu encapsulatio kwenye Dart OOP na jinsi inavyoweza kutumika.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza zaidi kuhusu method za getter na setter. Tutakwenda kuona hasa zinavyotumika na zinavyotengenezwa.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu inheritance, na inavyoweza kutumika kwenye Dart OOP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuunganisha databse na Dart. Pia utajifunza jinsi ya kuset environment kwenye kompyuta ili kuweza kutumia Dart sdk kwenye CMD.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class interface na inavyotofautiana na class abstract
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya mysql kwenye Dart. hakikisha umeelewa vyema na kutekeleza yalioelekezwa kutoka kwenye somo lililopita.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunz ajinsi ya kutumia library ya html kwenye Dart. somo hili litakupeleka kujifunza jinsi ya ku display dart output kwenye faili la html.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza concept nyingine ya asynchronous programming.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya class kwenye OOP paradigm, kisha utajifunza jinsi ya kutengeneza class.
Soma Zaidi...