picha

DART somola 42: Asynchronous programming

Katika somo hili tutakwenda kujifunza concept nyingine ya asynchronous programming.

Asynchronous programming hii ni njia ya kuandika code ambazo zinaruhusu program kufanya kazi nyingi kwa wakati mmoja. Kama vile kusoma na kuandika taarifa za database kutoka kwenye internet, kusoma faili na kudownload. Hizi ni baadhi ya task ambazo hazihitaji kuw ainterrupted.

 

Synchronous programming hapa program ita run mstari baada ya mstari mara moja tu. ni kwa sababu hapa inahitaji shughuli zote zikamilike ndipo program ielekee kwenye shughuli inayofuata.

Mfano:

void main() {

 print("mwanzo");

 print("kati");

 print("mwisho");

}

Hapo program itaanza na mstari mw akwanza kisha itaprint unaofuata kisha unaofuata mpaka mwisho. Hii ni tofauti na asynchronous ambapo program itaendelea ku print mstari unaofuata bila ya kupoteza muda mapaka imalize shughuli za mstari uliotangulia.

 

Hivyo tunasema synchronous programming inahitaji kusubiria lakini asynchronous programming  haihitaji kusubiria. Hivyo basi asynchronous programming huboresha program.

Mfano  wa asynchronous:

void main() {

 print("mwanzo");

 Future.delayed(Duration(seconds:3),()=>print('kati'));

 print("mwisho");

}

 

Utaona hapo mstari unaoandika kati umetangulia lakini program imeprint mwisho. Hivyo iliendelea mstari unaofuata bila hata ya kusubiria mstari wa nyuma u print.

Kwa nini tunahitaji asynchronous

  1. Kwa ajili ya kusoma data kwenye insternet
  2. Kwa ajili ya kuandika data kwenye database
  3. Ku run program ambazo zinatumia uda mrefefu
  4. Kusoma data kwenye faili
  5. Ku download
  6. Na mengineyo mengi

 

Ili uweze kutumia asynchronous unatakiw akutumia class inayoitwa future pamoja na keyword kama async na wait. Tutajifunza zaidi kwenye somo linalofuata.

 

Baadhi ya misemo muhimu ambayo hutumika:

  1. Synchronous operation hizi ni zile operation (shuguli za program) ambazo huzuia program kufanya shughuli nyingine kabla ya kukamilisha shughuli za nyuma.
  2. Synchronous function hizi ni function ambazo hufanya synchronous operation
  3. Asynchronous operation ni operation ambazo zinaruhusu shuguli nyingine kufanyika kabla ya nyingine
  4. Asynchronous function ni function zinazofanya kazi kwenye asynchronous operation

 

Mwisho:

Katika somo linalofuata utakwenda kujifunza kuhusu future  class kwenye dart.

 

 Future class

Katika somo hili utakwenda ujifunza kuhusu future class na jinsi ambavyo itakavyotumika kwenye dart.

 

Katika dart future huwakilisha value (thamani) ama error (tatizo) ambalo bado halijatokea, ila hutarajiwa kutokea wakati ujao.

 

Kwenye dart future hutengenezwa kwa kutumia future class. Hapa mwenyewe utachaguwa je itakee muda gani hiyo operation. Unaweza kuandika itokee baada ya sekunde ngapi ama dakika ngapi, unaweza kuchaguwa hata baada ya lisaa.

 

Mfano hapa nitakuletea mfano wa future ambazo operation itafanya kazi baada ya sekunde 2.

 

Kwanza utaanza kuandika keyword future ikifuatiwa na aina ya data ambayo unatarajia ku return kwenye hiyo ascynchronous operation fano kama ni string utaand">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2023-12-19 Topic: DART Main: ICT File: Download PDF Views 1306

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Dua za Mitume na Manabii    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 web hosting    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

DART somo la 17: method za namba zinazotumika kwenye dart

Katika somo hili utakwenda kuziona method za dart zinazotumika kwenye namba. pia utajifunzakuhusu math library

Soma Zaidi...
DART somo la 15: parameter kwenye function za Dart

Katika somo hili tutakwenda kuzungumzia kuhusu parameter kwenye Dart function. Pia tutakwenda kuona mambo mengine yanayohusu function

Soma Zaidi...
DART somo la 19: method zinazotumika kwenye set data type kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set.

Soma Zaidi...
DART somo la 13: function kwenye dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye dart, jisni ya kziandika na matumizi yake.

Soma Zaidi...
DART somo la 7: matumizi ya if, else, if else, else if kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu namna ambavyo program inaweza kufanya maamuzi kulingana na mashart fulani.ama namna ambavyo program inaweza ku run code zaii ya mara moja kulingana na mashart. Hapa tutazingumzia flow of control statement

Soma Zaidi...
DART somo la 21: Jinsi ya kutengeneza library kwenye Dart

Katika somo hili utajifunza kuhusu dart library. Pia tutakwend aktengeneza library yetu wennyewe kwa ajili ya kufanya mazoezi zaidi.

Soma Zaidi...
Dart somo la 25: DART OOP Nini maaan ya class na vipi utaweza kuitengeneza

Katika somo hili utajifunza maana ya class kwenye OOP paradigm, kisha utajifunza jinsi ya kutengeneza class.

Soma Zaidi...
DART somo la 3: Aina za Data

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data zinazotumika kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 39: mixin kwenye dart

Katika somo hii utakwenda kujifunza kuhusu concept mixin na jinsi inavyoweza kutumika kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 20: method zinazotumika kwenye map data type kwenye Dart

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu method ambazo hutumika kwenye map data type

Soma Zaidi...