picha

DART somola 42: Asynchronous programming

Katika somo hili tutakwenda kujifunza concept nyingine ya asynchronous programming.

Asynchronous programming hii ni njia ya kuandika code ambazo zinaruhusu program kufanya kazi nyingi kwa wakati mmoja. Kama vile kusoma na kuandika taarifa za database kutoka kwenye internet, kusoma faili na kudownload. Hizi ni baadhi ya task ambazo hazihitaji kuw ainterrupted.

 

Synchronous programming hapa program ita run mstari baada ya mstari mara moja tu. ni kwa sababu hapa inahitaji shughuli zote zikamilike ndipo program ielekee kwenye shughuli inayofuata.

Mfano:

void main() {

 print("mwanzo");

 print("kati");

 print("mwisho");

}

Hapo program itaanza na mstari mw akwanza kisha itaprint unaofuata kisha unaofuata mpaka mwisho. Hii ni tofauti na asynchronous ambapo program itaendelea ku print mstari unaofuata bila ya kupoteza muda mapaka imalize shughuli za mstari uliotangulia.

 

Hivyo tunasema synchronous programming inahitaji kusubiria lakini asynchronous programming  haihitaji kusubiria. Hivyo basi asynchronous programming huboresha program.

Mfano  wa asynchronous:

void main() {

 print("mwanzo");

 Future.delayed(Duration(seconds:3),()=>print('kati'));

 print("mwisho");

}

 

Utaona hapo mstari unaoandika kati umetangulia lakini program imeprint mwisho. Hivyo iliendelea mstari unaofuata bila hata ya kusubiria mstari wa nyuma u print.

Kwa nini tunahitaji asynchronous

  1. Kwa ajili ya kusoma data kwenye insternet
  2. Kwa ajili ya kuandika data kwenye database
  3. Ku run program ambazo zinatumia uda mrefefu
  4. Kusoma data kwenye faili
  5. Ku download
  6. Na mengineyo mengi

 

Ili uweze kutumia asynchronous unatakiw akutumia class inayoitwa future pamoja na keyword kama async na wait. Tutajifunza zaidi kwenye somo linalofuata.

 

Baadhi ya misemo muhimu ambayo hutumika:

  1. Synchronous operation hizi ni zile operation (shuguli za program) ambazo huzuia program kufanya shughuli nyingine kabla ya kukamilisha shughuli za nyuma.
  2. Synchronous function hizi ni function ambazo hufanya synchronous operation
  3. Asynchronous operation ni operation ambazo zinaruhusu shuguli nyingine kufanyika kabla ya nyingine
  4. Asynchronous function ni function zinazofanya kazi kwenye asynchronous operation

 

Mwisho:

Katika somo linalofuata utakwenda kujifunza kuhusu future  class kwenye dart.

 

 Future class

Katika somo hili utakwenda ujifunza kuhusu future class na jinsi ambavyo itakavyotumika kwenye dart.

 

Katika dart future huwakilisha value (thamani) ama error (tatizo) ambalo bado halijatokea, ila hutarajiwa kutokea wakati ujao.

 

Kwenye dart future hutengenezwa kwa kutumia future class. Hapa mwenyewe utachaguwa je itakee muda gani hiyo operation. Unaweza...

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: DART Main: Masomo File: Download PDF Views 1369

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Bongolite - Game zone - Play free game     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Simulizi za Hadithi Audio     👉5 web hosting     👉6 Madrasa kiganjani    

Post zinazofanana:

DART somo la 15: parameter kwenye function za Dart

Katika somo hili tutakwenda kuzungumzia kuhusu parameter kwenye Dart function. Pia tutakwenda kuona mambo mengine yanayohusu function

Soma Zaidi...
DART somo la 34: Static variable kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static property na jinsi ambavyo inavyotumika.

Soma Zaidi...
DART somo la 12: Kuchukuwa user input kwenye Dart

Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Dart kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program.

Soma Zaidi...
DART somo la 35: Enum kwenye Dart:

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu enum na inavyotumika kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 19: method zinazotumika kwenye set data type kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set.

Soma Zaidi...
DART SOMO LA 16: String method zinazotumika kwneye Dart

Katika somo hili utakwenda kujfunza kuhusu String method zinazotumika kwenye Dart.

Soma Zaidi...