Dart somo la 26: DART OOP maana ya object, na jinsi ya kuitengeneza kwenye OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza Object pamoja na properties. Haa kwa ufupi tutakwenda kujifunza jinsi ya kutumia class.

Kutengeneza obje kwanza tutatakiwa kufanya instantiation. Katika programming hiki ni kitendo cha kutengeneza instance of class yaani kutengeneza object. Katika somo hili tutatkwenda kuzitumia class tatu tulizozitengeneza kwenye somo lililopita ambazo ni :-class gari{

//properties

String? jina;

String? rangi;

int? matairi;

 

//method

void tangazo(){

 print("tunauza gari aina ya ${jina}, ina rangi ${rangi}, na matairi ${matairi}");

}

}

 

class website{

 var jina;

 String? status;

 String? category;

 int? creted;

 

 taarifa(){

   return "Jina la website yetu ni ${jina}, imeanzishwa mwaka ${creted}, hali yake kwa sasa ni ${status}, website yetu inahusu ${category}";

 }

 

}

 

class math{

 int? x;

 int? y;

 

 jumlaisha(x, y){

   return x+y;

 }

}

Hapa tuna class 3 ambazo ni:-

  1. Gari
  2. Website
  3. math

 

Ili kuweza kutengeneza obje kwanza utaaanza na jina la Class likifuatiwa na jina la object kisha itafuatiwa na alama ya (=) ikifuatiwa na  jina la class likimaliziwa na mabano().

 

Mfano

void main(){

 gari toyota = gari();

 website myweb = website();

 math jumla = math();

}

 

Hapo nimetengeneza object mbili ambazo ni toyota, myweb  na jumla. Sasa hatuwa inayofuata ni kutengeneza property za kila object kulingana na class zao. Kutengeneza property hakuna utofauti sana na kutengeneza variable. Kilicho ongezeka hapo ni kuhusianisha na object husika. 

 

Mfano kutengeneza property jina la toyota Avalon  kwenye gari tutaweka toyota.jina = “Toyota Avalon”

Mfano:

Class gari:

gari toyota = gari();

toyota.jina = 'Toyota avalon';

toyota.rangi = "Nyeusi mpauko";

toyota.matairi = 4;

 

Hapo nimetengeneza property 3, sasa takwenda kuitumia method ama function tangazo() kwenye class yetu. Kufanya hivyo tutaanza na jina la object yetu ikifuatiwa na nukta, ikifuatiwa na method yetu.

class gari{

//properties

String? jina;

String? rangi;

int? matairi;

 

//method

void tangazo(){

 print(" Tunauza gari aina ya ${jina}. Ina rangi ${rangi}. Ina matairi ${matairi}.");

}

}

 

void main(){

 print("TANGAZO");

 

 gari toyota = gari();

 toyota.jina = 'Toyota avalon';

 toyota.rangi = "Nyeusi mpauko";

 toyota.matairi = 4;

 

 toyota.tangazo();

}

 

">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: DART Main: ICT File: Download PDF Views 514

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

DART somo la 8: Matumizi ya switch case

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu switch case na jinsi inavyofanya kazi kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 19: method zinazotumika kwenye set data type kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set.

Soma Zaidi...
DART somo la 13: function kwenye dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye dart, jisni ya kziandika na matumizi yake.

Soma Zaidi...
DART somo la 37: Class interface

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class interface na inavyotofautiana na class abstract

Soma Zaidi...
DART somo la 18: Dart method zinazotumika kwenye List data type

Katika somo hili utakwenda kujifunza method yhinginge zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 3: Aina za Data

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data zinazotumika kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 17: method za namba zinazotumika kwenye dart

Katika somo hili utakwenda kuziona method za dart zinazotumika kwenye namba. pia utajifunzakuhusu math library

Soma Zaidi...
DART somo la 30 :Jinsi ya kutengeneza setter na geter kwenye OOP

Katika somo hili tutakwenda kujifunza zaidi kuhusu method za getter na setter. Tutakwenda kuona hasa zinavyotumika na zinavyotengenezwa.

Soma Zaidi...
DART somo la 40: factory constructor

Katika somo hiliutakwenda kujifunza aina nyingine ya constructor ambayo hutumika kwenye Dart. aina hiyo ni factory constructory.

Soma Zaidi...
DART somo la 44: Jinsi ya ku install mysql kwenye program ya dart

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuunganisha databse na Dart. Pia utajifunza jinsi ya kuset environment kwenye kompyuta ili kuweza kutumia Dart sdk kwenye CMD.

Soma Zaidi...