Dart somo la 26: DART OOP maana ya object, na jinsi ya kuitengeneza kwenye OOP
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza Object pamoja na properties. Haa kwa ufupi tutakwenda kujifunza jinsi ya kutumia class.
Kutengeneza obje kwanza tutatakiwa kufanya instantiation. Katika programming hiki ni kitendo cha kutengeneza instance of class yaani kutengeneza object. Katika somo hili tutatkwenda kuzitumia class tatu tulizozitengeneza kwenye somo lililopita ambazo ni :-class gari{
//properties
String? jina;
String? rangi;
int? matairi;
//method
void tangazo(){
print("tunauza gari aina ya ${jina}, ina rangi ${rangi}, na matairi ${matairi}");
}
}
class website{
var jina;
String? status;
String? category;
int? creted;
taarifa(){
return "Jina la website yetu ni ${jina}, imeanzishwa mwaka ${creted}, hali yake kwa sasa ni ${status}, website yetu inahusu ${category}";
}
}
class math{
int? x;
int? y;
jumlaisha(x, y){
return x+y;
}
}
Hapa tuna class 3 ambazo ni:-
- Gari
- Website
- math
Ili kuweza kutengeneza obje kwanza utaaanza na jina la Class likifuatiwa na jina la object kisha itafuatiwa na alama ya (=) ikifuatiwa na jina la class likimaliziwa na mabano().
Mfano
void main(){
gari toyota = gari();
website myweb = website();
math jumla = math();
}
Hapo nimetengeneza object mbili ambazo ni toyota, myweb na jumla. Sasa hatuwa inayofuata ni kutengeneza property za kila object kulingana na class zao. Kutengeneza property hakuna utofauti sana na kutengeneza variable. Kilicho ongezeka hapo ni kuhusianisha na object husika.
Mfano kutengeneza property jina la toyota Avalon kwenye gari tutaweka toyota.jina = “Toyota Avalon”
Mfano:
Class gari:
gari toyota = gari();
toyota.jina = 'Toyota avalon';
toyota.rangi = "Nyeusi mpauko";
toyota.matairi = 4;
Hapo nimetengeneza property 3, sasa takwenda kuitumia method ama function tangazo() kwenye class yetu. Kufanya hivyo tutaanza na jina la object yetu ikifuatiwa na nukta, ikifuatiwa na method yetu.
class gari{
//properties
String? jina;
String? rangi;
int? matairi;
//method
void tangazo(){
print(" Tunauza gari aina ya ${jina}. Ina rangi ${rangi}. Ina matairi ${matairi}.");
}
}
void main(){
print("TANGAZO");
gari toyota = gari();
toyota.jina = 'Toyota avalon';
toyota.rangi = "Nyeusi mpauko";
toyota.matairi = 4;
toy...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Kitau cha Fiqh 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 Kitabu cha Afya 👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉5 ai web app 👉6 Dua za Mitume na Manabii
Post zinazofanana:
DART somo la 43: Stream kwenye Dart
Katika somo hili utakwenda ujifunz akuhusu concept ya stream kwenye Dart. pia ttaona kwa namna gani strean inaweza kutofautiana na future wakati zote mbili zipo kwenye asychronous programming.
Soma Zaidi...DART somo la 4: Jinsi ya kuandika na kutumia variable kwenye Dart
Katika somo lililopita tumejifunza kuhusu sintaksia za dart. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza variable kwenye Dart.
Soma Zaidi...DART - somo la 1: Kazi za dart programming na historia yake
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu kazi za dart language. Pia nimekuandalia istoria fupi ya lugha ya DART.
Soma Zaidi...DART somo la 39: mixin kwenye dart
Katika somo hii utakwenda kujifunza kuhusu concept mixin na jinsi inavyoweza kutumika kwenye Dart.
Soma Zaidi...DART somo la 32: Inheritance kwenye construct method:
Katika masomo yaliopita tumesha jifunza jinsi inheritance inavyokuwa, ila hatujaona kwa namna gani utaweza ku inherit constructor method. Somo hili litashughulika na swla hilo.
Soma Zaidi...DART somo la 13: function kwenye dart
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye dart, jisni ya kziandika na matumizi yake.
Soma Zaidi...