picha

Dart somo la 26: DART OOP maana ya object, na jinsi ya kuitengeneza kwenye OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza Object pamoja na properties. Haa kwa ufupi tutakwenda kujifunza jinsi ya kutumia class.

Kutengeneza obje kwanza tutatakiwa kufanya instantiation. Katika programming hiki ni kitendo cha kutengeneza instance of class yaani kutengeneza object. Katika somo hili tutatkwenda kuzitumia class tatu tulizozitengeneza kwenye somo lililopita ambazo ni :-class gari{

//properties

String? jina;

String? rangi;

int? matairi;

 

//method

void tangazo(){

 print("tunauza gari aina ya ${jina}, ina rangi ${rangi}, na matairi ${matairi}");

}

}

 

class website{

 var jina;

 String? status;

 String? category;

 int? creted;

 

 taarifa(){

   return "Jina la website yetu ni ${jina}, imeanzishwa mwaka ${creted}, hali yake kwa sasa ni ${status}, website yetu inahusu ${category}";

 }

 

}

 

class math{

 int? x;

 int? y;

 

 jumlaisha(x, y){

   return x+y;

 }

}

Hapa tuna class 3 ambazo ni:-

  1. Gari
  2. Website
  3. math

 

Ili kuweza kutengeneza obje kwanza utaaanza na jina la Class likifuatiwa na jina la object kisha itafuatiwa na alama ya (=) ikifuatiwa na  jina la class likimaliziwa na mabano().

 

Mfano

void main(){

 gari toyota = gari();

 website myweb = website();

 math jumla = math();

}

 

Hapo nimetengeneza object mbili ambazo ni toyota, myweb  na jumla. Sasa hatuwa inayofuata ni kutengeneza property za kila object kulingana na class zao. Kutengeneza property hakuna utofauti sana na kutengeneza variable. Kilicho ongezeka hapo ni kuhusianisha na object husika. 

 

Mfano kutengeneza property jina la toyota Avalon  kwenye gari tutaweka toyota.jina = “Toyota Avalon”

Mfano:

Class gari:

gari toyota = gari();

toyota.jina = 'Toyota avalon';

toyota.rangi = "Nyeusi mpauko";

toyota.matairi = 4;

 

Hapo nimetengeneza property 3, sasa takwenda kuitumia method ama function tangazo() kwenye class yetu. Kufanya hivyo tutaanza na jina la object yetu ikifuatiwa na nukta, ikifuatiwa na method yetu.

class gari{

//properties

String? jina;

String? rangi;

int? matairi;

 

//method

void tangazo(){

 print(" Tunauza gari aina ya ${jina}. Ina rangi ${rangi}. Ina matairi ${matairi}.");

}

}

 

void main(){

 print("TANGAZO");

 

 gari toyota = gari();

 toyota.jina = 'Toyota avalon';

 toyota.rangi = "Nyeusi mpauko";

 toyota.matairi = 4;

 

 toy...

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: DART Main: Masomo File: Download PDF Views 986

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Simulizi za Hadithi Audio     👉3 Dua za Mitume na Manabii     👉4 web hosting     👉5 Bongolite - Game zone - Play free game     👉6 Kitau cha Fiqh    

Post zinazofanana:

DART somo la 24: Dart OOP maana ya Object Oriented Programming kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya OOP na faida zake. Pia utakwenda kujifunza kuhusu features za OOP.

Soma Zaidi...
DART somo la 9: for loop na for in loop kwenye dart, kazi zake na jinsi ya kuadika

Katika somo hli utakwend akujifunza kuhusu loop kwenye Dart. Loop zimegawanyika katika makundi mnne ambayo ni for loop, while loop, for in loop na do while loop.

Soma Zaidi...
DART somo la 36: Abstract class kweye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu abstract class na abstract method kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 13: function kwenye dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye dart, jisni ya kziandika na matumizi yake.

Soma Zaidi...
DART somo la 18: Dart method zinazotumika kwenye List data type

Katika somo hili utakwenda kujifunza method yhinginge zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 20: method zinazotumika kwenye map data type kwenye Dart

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu method ambazo hutumika kwenye map data type

Soma Zaidi...