Dart somo la 26: DART OOP maana ya object, na jinsi ya kuitengeneza kwenye OOP
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza Object pamoja na properties. Haa kwa ufupi tutakwenda kujifunza jinsi ya kutumia class.
Kutengeneza obje kwanza tutatakiwa kufanya instantiation. Katika programming hiki ni kitendo cha kutengeneza instance of class yaani kutengeneza object. Katika somo hili tutatkwenda kuzitumia class tatu tulizozitengeneza kwenye somo lililopita ambazo ni :-class gari{
//properties
String? jina;
String? rangi;
int? matairi;
//method
void tangazo(){
print("tunauza gari aina ya ${jina}, ina rangi ${rangi}, na matairi ${matairi}");
}
}
class website{
var jina;
String? status;
String? category;
int? creted;
taarifa(){
return "Jina la website yetu ni ${jina}, imeanzishwa mwaka ${creted}, hali yake kwa sasa ni ${status}, website yetu inahusu ${category}";
}
}
class math{
int? x;
int? y;
jumlaisha(x, y){
return x+y;
}
}
Hapa tuna class 3 ambazo ni:-
- Gari
- Website
- math
Ili kuweza kutengeneza obje kwanza utaaanza na jina la Class likifuatiwa na jina la object kisha itafuatiwa na alama ya (=) ikifuatiwa na jina la class likimaliziwa na mabano().
Mfano
void main(){
gari toyota = gari();
website myweb = website();
math jumla = math();
}
Hapo nimetengeneza object mbili ambazo ni toyota, myweb na jumla. Sasa hatuwa inayofuata ni kutengeneza property za kila object kulingana na class zao. Kutengeneza property hakuna utofauti sana na kutengeneza variable. Kilicho ongezeka hapo ni kuhusianisha na object husika.
Mfano kutengeneza property jina la toyota Avalon kwenye gari tutaweka toyota.jina = “Toyota Avalon”
Mfano:
Class gari:
gari toyota = gari();
toyota.jina = 'Toyota avalon';
toyota.rangi = "Nyeusi mpauko";
toyota.matairi = 4;
Hapo nimetengeneza property 3, sasa takwenda kuitumia method ama function tangazo() kwenye class yetu. Kufanya hivyo tutaanza na jina la object yetu ikifuatiwa na nukta, ikifuatiwa na method yetu.
class gari{
//properties
String? jina;
String? rangi;
int? matairi;
//method
void tangazo(){
print(" Tunauza gari aina ya ${jina}. Ina rangi ${rangi}. Ina matairi ${matairi}.");
}
}
void main(){
print("TANGAZO");
gari toyota = gari();
toyota.jina = 'Toyota avalon';
toyota.rangi = "Nyeusi mpauko";
toyota.matairi = 4;
toy...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 Madrasa kiganjani 👉4 Dua za Mitume na Manabii 👉5 kitabu cha Simulizi 👉6 Kitabu cha Afya
Post zinazofanana:
DART somo la 18: Dart method zinazotumika kwenye List data type
Katika somo hili utakwenda kujifunza method yhinginge zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Dart.
Soma Zaidi...DART somo la 7: matumizi ya if, else, if else, else if kwenye Dart
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu namna ambavyo program inaweza kufanya maamuzi kulingana na mashart fulani.ama namna ambavyo program inaweza ku run code zaii ya mara moja kulingana na mashart. Hapa tutazingumzia flow of control statement
Soma Zaidi...Faida za kiafya za kula majani ya kunde
Leo tutajifunza kuhusu majani ya kunde — mboga za kijani zinazotokana na mmea wa kunde (beans). Wengi hula mbegu za kunde pekee, wakisahau kuwa hata majani yake yana virutubisho vya thamani kubwa kwa mwili. Tutazungumzia vitamini, madini, na faida mbalimbali za kiafya zinazopatikana katika majani haya.
Soma Zaidi...DART somo la 20: method zinazotumika kwenye map data type kwenye Dart
Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu method ambazo hutumika kwenye map data type
Soma Zaidi...DART somo la 40: factory constructor
Katika somo hiliutakwenda kujifunza aina nyingine ya constructor ambayo hutumika kwenye Dart. aina hiyo ni factory constructory.
Soma Zaidi...DART somo la 6: Dart operator na jinsi zinavyofanya kazi.
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator kwenye Dart, kazi zake na jinsi ya kuzitumia.
Soma Zaidi...