DART somo la 41: concept ya generic kwenye dart
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya generics ili kuweza kufanya kazi na aina mbalimbali za data kwenye class.
Generics ni njia ya kutengeneza class ay function ambayo inaweza kufanya kazi na aina mbalimbali za data. Chukulia mfano kama tulivyoona kwenye list data type yenyewe inaweza kukusanya data zilizo kwenye aina mbalimbalia, namba, string n.k, huu ni mfano mzuri wa generic.
Mfano
class gari<T> {
// code
}
Hiyo T hapo huitwa generics type variable kazi yake ni kueleza aina ya data itakayotumika kwenye hiyo class. Zenyewe zipo 4 ambazo ni:-
T hii humaanisa type
E hii humaanisha element
K hii humaanisha key
V hii humaanisha value
Mfano bila ya generics
class gari {
int matairi;
gari(this.matairi);
}
class toyota {
double uzito;
toyota(this.uzito);
}
void main() {
gari g = gari(4);
toyota t = toyota(4.5);
// Print the data
print("Idadi ya matairi: ${g.matairi}");
print("Uzito ni tani: ${t.uzito}");
}
Mfano kwa kutumia gnerics
Sasa ngoja tuone mfano wetu juu hapo tunavyoweza kuuandika upya kwa kutumia generic.
// Using Generics
class gari<T> {
T matairi;
gari(this.matairi);
}
class toyota<T> {
T uzito;
toyota(this.uzito);
}
void main() {
// create an object of type int and double
gari<int> g = gari<int>(4);
toyota<double> t = toyota<double>(4.5);
// print the data
print("Idadi ya matairi ni: ${g.matairi}");
print("Uzito ni tani: ${t.uzito}");
}
Mfano kwenye map data type
T genericMethod<T>(T value) {
return value;
}
void main() {
// call the generic method
print("Int: ${genericMethod<int>(10)}");
print("Double...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Kitabu cha Afya 👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉4 web hosting 👉5 Simulizi za Hadithi Audio 👉6 Dua za Mitume na Manabii
Post zinazofanana:
DART somo la 23: Jinsi ya kusoma mafaili kwa kutumia Dart
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma na kuandika faili kwa kutumia Dart programming.
Soma Zaidi...DART SOMO LA 16: String method zinazotumika kwneye Dart
Katika somo hili utakwenda kujfunza kuhusu String method zinazotumika kwenye Dart.
Soma Zaidi...DART SOMO LA 14: Aina za function kwenye Dart
Katika somo hili tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo la function. Hapa tutakwenda kuona aina za function.
Soma Zaidi...DART somo la 24: Jinsi ya kutengeneza faili, folda na kuingiza data
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika data kwenye faili. Kwanza utajifunza kutengeneza folda, kisha faili na kuweka data, kisha utajifunza kufuta fali.
Soma Zaidi...DART somo la 5: Reserved keywords kwenye lugah ya Dart
Katika soo hili utakwenda kujifunza kuhusu reserved keywords katika Dart
Soma Zaidi...DART somo la 6: Dart operator na jinsi zinavyofanya kazi.
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator kwenye Dart, kazi zake na jinsi ya kuzitumia.
Soma Zaidi...