Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya generics ili kuweza kufanya kazi na aina mbalimbali za data kwenye class.
Generics ni njia ya kutengeneza class ay function ambayo inaweza kufanya kazi na aina mbalimbali za data. Chukulia mfano kama tulivyoona kwenye list data type yenyewe inaweza kukusanya data zilizo kwenye aina mbalimbalia, namba, string n.k, huu ni mfano mzuri wa generic.
Mfano
class gari<T> {
// code
}
Hiyo T hapo huitwa generics type variable kazi yake ni kueleza aina ya data itakayotumika kwenye hiyo class. Zenyewe zipo 4 ambazo ni:-
T hii humaanisa type
E hii humaanisha element
K hii humaanisha key
V hii humaanisha value
Mfano bila ya generics
class gari {
int matairi;
gari(this.matairi);
}
class toyota {
double uzito;
toyota(this.uzito);
}
void main() {
gari g = gari(4);
toyota t = toyota(4.5);
// Print the data
print("Idadi ya matairi: ${g.matairi}");
print("Uzito ni tani: ${t.uzito}");
}
Mfano kwa kutumia gnerics
Sasa ngoja tuone mfano wetu juu hapo tunavyoweza kuuandika upya kwa kutumia generic.
// Using Generics
class gari<T> {
T matairi;
gari(this.matairi);
}
class toyota<T> {
T uzito;
toyota(this.uzito);
}
void main() {
// create an object of type int and double
gari<int> g = gari<int>(4);
toyota<double> t = toyota<double>(4.5);
// print the data
print("Idadi ya matairi ni: ${g.matairi}");
print("Uzito ni tani: ${t.uzito}");
}
Mfano kwenye map data type
T genericMethod<T>(T value) {
return value;
}
void main() {
// call the generic method
print("Int: ${genericMethod<int>(10)}");
print("Double: ${genericMethod<double>(10.5)}");
print("String: ${genericMethod<String>("Hello")}");
}
Mfano wa generics kwenye parameter zaidi ya moja">...
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujfunza kuhusu String method zinazotumika kwenye Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kuziona method za dart zinazotumika kwenye namba. pia utajifunzakuhusu math library
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kuzungumzia kuhusu parameter kwenye Dart function. Pia tutakwenda kuona mambo mengine yanayohusu function
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza method yhinginge zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Dart.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza Object pamoja na properties. Haa kwa ufupi tutakwenda kujifunza jinsi ya kutumia class.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu dart library. Pia tutakwend aktengeneza library yetu wennyewe kwa ajili ya kufanya mazoezi zaidi.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika data kwenye faili. Kwanza utajifunza kutengeneza folda, kisha faili na kuweka data, kisha utajifunza kufuta fali.
Soma Zaidi...Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Dart kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuunganisha databse na Dart. Pia utajifunza jinsi ya kuset environment kwenye kompyuta ili kuweza kutumia Dart sdk kwenye CMD.
Soma Zaidi...