Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya generics ili kuweza kufanya kazi na aina mbalimbali za data kwenye class.
Generics ni njia ya kutengeneza class ay function ambayo inaweza kufanya kazi na aina mbalimbali za data. Chukulia mfano kama tulivyoona kwenye list data type yenyewe inaweza kukusanya data zilizo kwenye aina mbalimbalia, namba, string n.k, huu ni mfano mzuri wa generic.
Mfano
class gari<T> {
// code
}
Hiyo T hapo huitwa generics type variable kazi yake ni kueleza aina ya data itakayotumika kwenye hiyo class. Zenyewe zipo 4 ambazo ni:-
T hii humaanisa type
E hii humaanisha element
K hii humaanisha key
V hii humaanisha value
Mfano bila ya generics
class gari {
int matairi;
gari(this.matairi);
}
class toyota {
double uzito;
toyota(this.uzito);
}
void main() {
gari g = gari(4);
toyota t = toyota(4.5);
// Print the data
print("Idadi ya matairi: ${g.matairi}");
print("Uzito ni tani: ${t.uzito}");
}
Mfano kwa kutumia gnerics
Sasa ngoja tuone mfano wetu juu hapo tunavyoweza kuuandika upya kwa kutumia generic.
// Using Generics
class gari<T> {
T matairi;
gari(this.matairi);
}
class toyota<T> {
T uzito;
toyota(this.uzito);
}
void main() {
// create an object of type int and double
gari<int> g = gari<int>(4);
toyota<double> t = toyota<double>(4.5);
// print the data
print("Idadi ya matairi ni: ${g.matairi}");
print("Uzito ni tani: ${t.uzito}");
}
Mfano kwenye map data type
T genericMethod<T>(T value) {
return value;
}
void main() {
// call the generic method
print("Int: ${genericMethod<int>(10)}");
print("Double...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu inheritance, na inavyoweza kutumika kwenye Dart OOP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya class kwenye OOP paradigm, kisha utajifunza jinsi ya kutengeneza class.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu method ambazo hutumika kwenye map data type
Soma Zaidi...Ka tika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya named constructor na constant constructor kwenye Object Oriented Programming.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza zaidi kuhusu method za getter na setter. Tutakwenda kuona hasa zinavyotumika na zinavyotengenezwa.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu dart library. Pia tutakwend aktengeneza library yetu wennyewe kwa ajili ya kufanya mazoezi zaidi.
Soma Zaidi...