picha

DART somo la 2: syntax za dart

Katika somo hili tutatkwenda kuziona baadhi ya xyntax yaani kanunu za uandishi wa code za dart.

Somo letu litakwenda kuanzia kwenye program ya kwanza kabisa ya Hello World copi code hapo chini kisa zi pest kwenye dart editor inayotumia kisha bofya batani ya ku excute code ama ku run code. 

Void main(){

 print('Hello World');

}

 

Kama uta run code hizo utapata majibu haya Hello World

 

Sasa somo letu linaanzia hapa. 

  1. File extension

File extension ya dart ni .dart.

 

  1. Mwanzo wa program

Dart inatumia mfumo kama baadhi ya programming lnaguage nyingine kama java. Kwamba mwanzo wa program ni kwenye function ya main(). Hapa ndipo panapoanziwa program ya dart. Kwa kuwa function yetu hai return data ndio maana hapo mwanzo kumeanza na meno void kama linavyosomeka hapo void main(){}. Hata hivyo unaweza kuondoa neno void  na bado program yetu ika run vyema.

 

Ukiangalia vyema hao utaona kuna mabano {} baada ya neno main(). Ipo hivi neno main ni jina la function na ndani ya badno () hapo kutakaa parameter nyingine zo za function na ndani ya mabano {} kutakaa code abazo zinatakiwa zifanye kazi endapo program ita run.

 

Utaona hapo ndani ya mabano ya {} kuna code zinasomeka print('Hello World');

Hizi ni code ambazo zitatakiwa kufanya kazi wakati program yetu ina run. Sasa hapo kuna function nyingine ya print(). Hii ni kwa ajili ya ku print text kwenye screen. Wacha nikupe mfano mwingine.

 

main(){

 print(3 + 6);

}

 

Hapo umeona tumetumia mahesabu sasa tume jumlisha 3 na 6. Pia tumeondoa neno void. Katika mifano yetu hiyo miwili neno print, main, void hufahamika kama keyword.

 

  1. Matumizi ya semicolon (;)

Dart hutumia semicolon ili kutenganisha statement moja na nyingine. Kama ilivyo kwenye lugha nyingine. Angalia mfano huu

main(){

 print('Karibu Bongoclass')

}

 

Hapo uki run hizo code utapata error kwa sababu hakuna semicolon kwenye function ya print. Ilitakiwa iwe print('Karibu Bongoclass');

">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2023-11-16 Topic: DART Main: ICT File: Download PDF Views 1025

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

DART somo la 28: Named constructor na constant constructor kwenye OOP

Ka tika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya named constructor na constant constructor kwenye Object Oriented Programming.

Soma Zaidi...
Dart somo la 26: DART OOP maana ya object, na jinsi ya kuitengeneza kwenye OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza Object pamoja na properties. Haa kwa ufupi tutakwenda kujifunza jinsi ya kutumia class.

Soma Zaidi...
DART somo la 11:break and continue statement kwenye Dat loop

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu break na continue kwenye Dart loop za for loop na while loop.

Soma Zaidi...
DART somo la 8: Matumizi ya switch case

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu switch case na jinsi inavyofanya kazi kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 33 concept ya polymorphism

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya polymorphism.

Soma Zaidi...
DART somo la 24: Dart OOP maana ya Object Oriented Programming kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya OOP na faida zake. Pia utakwenda kujifunza kuhusu features za OOP.

Soma Zaidi...
DART somo la 22: Jinsi ya kutumia html library kwenye Dart

Katika somo hili tutakwenda kujifunz ajinsi ya kutumia library ya html kwenye Dart. somo hili litakupeleka kujifunza jinsi ya ku display dart output kwenye faili la html.

Soma Zaidi...
DART somo la 18: Dart method zinazotumika kwenye List data type

Katika somo hili utakwenda kujifunza method yhinginge zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Dart.

Soma Zaidi...
DART somo la 41: concept ya generic kwenye dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya generics ili kuweza kufanya kazi na aina mbalimbali za data kwenye class.

Soma Zaidi...
DART somo la 6: Dart operator na jinsi zinavyofanya kazi.

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator kwenye Dart, kazi zake na jinsi ya kuzitumia.

Soma Zaidi...