Katika somo hili tutatkwenda kuziona baadhi ya xyntax yaani kanunu za uandishi wa code za dart.
Somo letu litakwenda kuanzia kwenye program ya kwanza kabisa ya Hello World copi code hapo chini kisa zi pest kwenye dart editor inayotumia kisha bofya batani ya ku excute code ama ku run code.
Void main(){
print('Hello World');
}
Kama uta run code hizo utapata majibu haya Hello World
Sasa somo letu linaanzia hapa.
File extension ya dart ni .dart.
Dart inatumia mfumo kama baadhi ya programming lnaguage nyingine kama java. Kwamba mwanzo wa program ni kwenye function ya main(). Hapa ndipo panapoanziwa program ya dart. Kwa kuwa function yetu hai return data ndio maana hapo mwanzo kumeanza na meno void kama linavyosomeka hapo void main(){}. Hata hivyo unaweza kuondoa neno void na bado program yetu ika run vyema.
Ukiangalia vyema hao utaona kuna mabano {} baada ya neno main(). Ipo hivi neno main ni jina la function na ndani ya badno () hapo kutakaa parameter nyingine zo za function na ndani ya mabano {} kutakaa code abazo zinatakiwa zifanye kazi endapo program ita run.
Utaona hapo ndani ya mabano ya {} kuna code zinasomeka print('Hello World');
Hizi ni code ambazo zitatakiwa kufanya kazi wakati program yetu ina run. Sasa hapo kuna function nyingine ya print(). Hii ni kwa ajili ya ku print text kwenye screen. Wacha nikupe mfano mwingine.
main(){
print(3 + 6);
}
Hapo umeona tumetumia mahesabu sasa tume jumlisha 3 na 6. Pia tumeondoa neno void. Katika mifano yetu hiyo miwili neno print, main, void hufahamika kama keyword.
Dart hutumia semicolon ili kutenganisha statement moja na nyingine. Kama ilivyo kwenye lugha nyingine. Angalia mfano huu
main(){
print('Karibu Bongoclass')
}
Hapo uki run hizo code utapata error kwa sababu hakuna semicolon kwenye function ya print. Ilitakiwa iwe print('Karibu Bongoclass');
Hivyo basi ni muhimu kuzing">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowKatika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya mysql kwenye Dart. hakikisha umeelewa vyema na kutekeleza yalioelekezwa kutoka kwenye somo lililopita.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya polymorphism.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda ujifunz akuhusu concept ya stream kwenye Dart. pia ttaona kwa namna gani strean inaweza kutofautiana na future wakati zote mbili zipo kwenye asychronous programming.
Soma Zaidi...Katika soo hili utakwenda kujifunza kuhusu reserved keywords katika Dart
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu method ambazo hutumika kwenye map data type
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika data kwenye faili. Kwanza utajifunza kutengeneza folda, kisha faili na kuweka data, kisha utajifunza kufuta fali.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunz ajinsi ya kutumia library ya html kwenye Dart. somo hili litakupeleka kujifunza jinsi ya ku display dart output kwenye faili la html.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza concept nyingine ya asynchronous programming.
Soma Zaidi...Katika somo hli utakwend akujifunza kuhusu loop kwenye Dart. Loop zimegawanyika katika makundi mnne ambayo ni for loop, while loop, for in loop na do while loop.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kuzungumzia kuhusu parameter kwenye Dart function. Pia tutakwenda kuona mambo mengine yanayohusu function
Soma Zaidi...