DART somo la 2: syntax za dart

DART somo la 2: syntax za dart

Katika somo hili tutatkwenda kuziona baadhi ya xyntax yaani kanunu za uandishi wa code za dart.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Somo letu litakwenda kuanzia kwenye program ya kwanza kabisa ya Hello World copi code hapo chini kisa zi pest kwenye dart editor inayotumia kisha bofya batani ya ku excute code ama ku run code. 

Void main(){

 print('Hello World');

}

 

Kama uta run code hizo utapata majibu haya Hello World

 

Sasa somo letu linaanzia hapa. 

  1. File extension

File extension ya dart ni .dart.

 

  1. Mwanzo wa program

Dart inatumia mfumo kama baadhi ya programming lnaguage nyingine kama java. Kwamba mwanzo wa program ni kwenye function ya main(). Hapa ndipo panapoanziwa program ya dart. Kwa kuwa function yetu hai return data ndio maana hapo mwanzo kumeanza na meno void kama linavyosomeka hapo void main(){}. Hata hivyo unaweza kuondoa neno void  na bado program yetu ika run vyema.

 

Ukiangalia vyema hao utaona kuna mabano {} baada ya neno main(). Ipo hivi neno main ni jina la function na ndani ya badno () hapo kutakaa parameter nyingine zo za function na ndani ya mabano {} kutakaa code abazo zinatakiwa zifanye kazi endapo program ita run.

 

Utaona hapo ndani ya mabano ya {} kuna code zinasomeka print('Hello World');

Hizi ni code ambazo zitatakiwa kufanya kazi wakati program yetu ina run. Sasa hapo kuna function nyingine ya print(). Hii ni kwa ajili ya ku print text kwenye screen. Wacha nikupe mfano mwingine.

 

main(){

 print(3 + 6);

}

 

Hapo umeona tumetumia mahesabu sasa tume jumlisha 3 na 6. Pia tumeondoa neno void. Katika mifano yetu hiyo miwili neno print, main, void hufahamika kama keyword.

 

  1. Matumizi ya semicolon (;)

Dart hutumia semicolon ili kutenganisha statement moja na nyingine. Kama ilivyo kwenye lugha nyingine. Angalia mfano huu

main(){

 print('Karibu Bongoclass')

}

 

Hapo uki run hizo code utapata error kwa sababu hakuna semicolon kwenye function ya print. Ilitakiwa iwe print('Karibu Bongoclass');

">...

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: DART Main: ICT File: Download PDF Views 592

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Dart somo la 25: DART OOP Nini maaan ya class na vipi utaweza kuitengeneza
Dart somo la 25: DART OOP Nini maaan ya class na vipi utaweza kuitengeneza

Katika somo hili utajifunza maana ya class kwenye OOP paradigm, kisha utajifunza jinsi ya kutengeneza class.

Soma Zaidi...
DART somo la 37: Class interface
DART somo la 37: Class interface

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class interface na inavyotofautiana na class abstract

Soma Zaidi...
DART somo la 17: method za namba zinazotumika kwenye dart
DART somo la 17: method za namba zinazotumika kwenye dart

Katika somo hili utakwenda kuziona method za dart zinazotumika kwenye namba. pia utajifunzakuhusu math library

Soma Zaidi...
DART somo la 9: for loop na for in loop kwenye dart, kazi zake na jinsi ya kuadika
DART somo la 9: for loop na for in loop kwenye dart, kazi zake na jinsi ya kuadika

Katika somo hli utakwend akujifunza kuhusu loop kwenye Dart. Loop zimegawanyika katika makundi mnne ambayo ni for loop, while loop, for in loop na do while loop.

Soma Zaidi...
DART somo la 13: function kwenye dart
DART somo la 13: function kwenye dart

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye dart, jisni ya kziandika na matumizi yake.

Soma Zaidi...
DART somo la 43: Stream kwenye Dart
DART somo la 43: Stream kwenye Dart

Katika somo hili utakwenda ujifunz akuhusu concept ya stream kwenye Dart. pia ttaona kwa namna gani strean inaweza kutofautiana na future wakati zote mbili zipo kwenye asychronous programming.

Soma Zaidi...
DART somo la 45: Jinai ys kutuma mysql database
DART somo la 45: Jinai ys kutuma mysql database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya mysql kwenye Dart. hakikisha umeelewa vyema na kutekeleza yalioelekezwa kutoka kwenye somo lililopita.

Soma Zaidi...
DART somo la 15: parameter kwenye function za Dart
DART somo la 15: parameter kwenye function za Dart

Katika somo hili tutakwenda kuzungumzia kuhusu parameter kwenye Dart function. Pia tutakwenda kuona mambo mengine yanayohusu function

Soma Zaidi...
DART somo la 30 :Jinsi ya kutengeneza setter na geter kwenye OOP
DART somo la 30 :Jinsi ya kutengeneza setter na geter kwenye OOP

Katika somo hili tutakwenda kujifunza zaidi kuhusu method za getter na setter. Tutakwenda kuona hasa zinavyotumika na zinavyotengenezwa.

Soma Zaidi...
Dart somo la 26: DART OOP maana ya object, na jinsi ya kuitengeneza kwenye OOP
Dart somo la 26: DART OOP maana ya object, na jinsi ya kuitengeneza kwenye OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza Object pamoja na properties. Haa kwa ufupi tutakwenda kujifunza jinsi ya kutumia class.

Soma Zaidi...