Hatua mbili kuu za kushuka kwa Quran
Quran (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
QUR’AN
5.1 Kushuka Qur’an.
- Hatua mbili kuu za kushuka Qur’an;
- Kushuka kwa jumla kutoka Lawhi-Mmahfuudh hadi mbingu ya Dunia.
- Kushuka kigodo kidogo kutoka mbingu ya Dunia kwenda kwa Mtume (s.a.w).
- Qur’an ilianza kushuka mnamo mwaka 610 A.D, Mtume (s.a.w) akiwa na umri wa miaka 40.
- Qur’an ilikamilika kushuka kwa muda wa miaka 23 sehemu kidogo kidogo.
Rejea Qur’an (97:1), (2:185), (44:3).
- Hekima ya Qur’an kushuka hatua kwa hatua;
- Ni kujibu hoja mbali mbali zilizotolewa na zilihitajia majibu ya kiwahyi.
- Ni kuwezesha utekelezaji wa maamrisho yake kuwa rahisi au mwepesi.
- Ili iwe rahisi kuhifadhika katika mioyo
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
π1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina π2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) π3 Madrasa kiganjani π4 Kitabu cha Afya π5 Kitau cha Fiqh π6 Simulizi za Hadithi Audio
π1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina π2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) π3 Madrasa kiganjani π4 Kitabu cha Afya π5 Kitau cha Fiqh π6 Simulizi za Hadithi Audio
Post zinazofanana:
Uasi katika dola ya kiislamu na matokeo yake
Uasi katika dola ya kiislamu na matokeo yake.
Soma Zaidi...Mtume Muhammad s.a. w amelewa na Baba yake mdogo
Historia na sura ya Mtume Muhammad, sehemu ya 10.
Soma Zaidi...