Hatua mbili kuu za kushuka kwa Quran
Quran (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
QUR’AN
5.1 Kushuka Qur’an.
- Hatua mbili kuu za kushuka Qur’an;
- Kushuka kwa jumla kutoka Lawhi-Mmahfuudh hadi mbingu ya Dunia.
- Kushuka kigodo kidogo kutoka mbingu ya Dunia kwenda kwa Mtume (s.a.w).
- Qur’an ilianza kushuka mnamo mwaka 610 A.D, Mtume (s.a.w) akiwa na umri wa miaka 40.
- Qur’an ilikamilika kushuka kwa muda wa miaka 23 sehemu kidogo kidogo.
Rejea Qur’an (97:1), (2:185), (44:3).
- Hekima ya Qur’an kushuka hatua kwa hatua;
- Ni kujibu hoja mbali mbali zilizotolewa na zilihitajia majibu ya kiwahyi.
- Ni kuwezesha utekelezaji wa maamrisho yake kuwa rahisi au mwepesi.
- Ili iwe rahisi kuhifadhika katika mioyo
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
π1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina π2 Madrasa kiganjani π3 Kitabu cha Afya π4 web hosting π5 Dua za Mitume na Manabii π6 kitabu cha Simulizi
Post zinazofanana:
Kuangamizwa kwa jeshi la tembo mwaka alizaliwa Mtume Muhammad s.a. w
Sura na historia ya Mtume Muhammad s.sa. w sehemu ya 4. Hapa utajifunza kuhusu historia ya kuangamiza kwa jeshi la tembo.
Soma Zaidi...KIKAO CHA KUMFUKUZA MTUME MUHAMMAD KUTOKA MAKKAH (MAKA), KIKAO ALICHOHUDHURIA IBLISI
KIKAO CHAKALIWA KUJADILI HATMA YA MUHAMMAD KATIKA MJI WA MAKAHiki ni kikao kizito hakijapata kutokea toka muhammad katika ji wa maka.
Soma Zaidi...Kuangamia kwa Mtoto na Mke wa Nuhu(a.s)
Tukirejea Qurβan (11:36-48) na (23:26 -29) tunapata maelezo juu ya mchakato wa kuangamizwa makafiri na kuokolewa waumini katika kaumu ya Nabii Nuhu(a.
Soma Zaidi...