image

Jinsi ya kutuma Email kwa kutumia PHP

Katika post hii utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia php function ya email()

KUTUMA EMAIL:

Katika somo hili tunakqenda kujifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia php. Kuna njia kama tatu za kutuma email kwa kutumia php. Ila katika somo hili .nitakufundisha njia moja ambayo ni kwa kutumai mail().

 

Njia hii ni nyepesi, ila itahitaji uwe umeshahost. Haifanyikazi kwenye localhost. Hivyo hakikisha unahost faili lako live ndipo liweze kufanya kazi.

 

Function hii ina sehemu kuu tano yaani parameta 5 ambazo ni:-

  1. To

  2. From

  3. Header

  4. Message

  5. Subject

 

To hii itabeba email ya mpokeaji wa hiyo email. From hutumika kubeba email ya mtumaji. Header hii hubeba meta information.kama wapi ukumbe umetoka, na wapi utaweza ku reply. Massage hapa ndipo ambapo utaandika meseji yako. Subject hubeba kicha cha habari. ...



Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 367


Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

PHP somola 69: jinsi ya kutuma email kwa watu zaidi ya mmoja kwa kutumia PHPMailer
Katika somo il utajifunza kutuma email kwa watu wengi kwa kutumia PHPMailer. Pia utajifunza jinsi ya kuweka Carbon Copy na Blind Carbon Copy Soma Zaidi...

PHP BLOG - somo la 10: Jinsi ya kufanya sanitization
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufanya sanitization kwenye user input ili kuzuia sql injection kwenye database. Soma Zaidi...

PHP somo la 70: jinsi ya kutuma email yenye html, picha na attachment
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email ambayo ina HTML, pia utajifunza kutuma email yenye picha na attachment nyinginezo kama pdf Soma Zaidi...

PHP somo la 68: Jinsi ya kutuma email kwa kutumia PHPMailer
Katika somo hili utakwenda kujifunza jisniya kutuma email kwa kutumia PHPMailer kwenye project ya PHP. Katika somo hili tutakwend akutuma email kwa kutumia localhost. Soma Zaidi...

PHP - somo la 15: Jinsi ya kutengeneza table kwenye database kwa kutumia PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza tabale kwenye database ya mysql . Soma Zaidi...

PHP somo la 54: class constant kwenye php
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class. Soma Zaidi...

PHP somo la 71: Jinsi ya kutengeneza PDF kwa kutumia PHP na library ya tcpdf
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku generate PDF automatik kutoka kwenye php code , html, javascript na css. Soma Zaidi...

PHP BLOG - somo la 4: Jinsi ya kutengeneza ukurasa kwa ajili ya kupost
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa kupost kwa kutumia html form Soma Zaidi...

PHP somo la 61: jinsi ya kufanya loop kwenye class kw akutumia foreach loop
Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya iteration kwenye PHP OOP hapa tutakwenda kuiona jinsi inavyofanya kazi pamoja na foreach loop Soma Zaidi...

PHP BLOG - somo la 3: Jinsi ya kutengeneza table kwenye databse kwa ajili ya blog
Hapa utajifunza jinsi ya kutengeneza table ambayo tutaitumia kwenye blog yetu Soma Zaidi...

PHP somo la 19: Jinsi ya kudhibiti mpangilio wa data baada ya kuzisoma
Katika somo hili utajifunza kupangilia data wakati wa kuzisoma kwenye database kw akutumia PHP Soma Zaidi...

PHP - somo la 12: Jinsi ya kufanyia kazi taarifa zilizokusanywa kutoka kwa mtumiaji
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia taarifa ambazo zimekusanywa kutoka kwa mtumiaji ili kuweka kutatuwa hoja mbalimbali Soma Zaidi...