PHP somo la 84: Maana ya JSON na sheria za kuandika faili la json

PHP somo la 84: Maana ya JSON na sheria za kuandika faili la json

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Maana ya JSON na sheria za kuandika faili la json

Download Post hii hapa

JSON (JavaScript Object Notation) ni format ya kuhifadhi na kubadilishana data ambayo ni rahisi kusoma na kuandika na binadamu, na pia rahisi kwa mashine kuzichakata. Data kwenye JSON huandikwa kwenye jozi yaani key na value . key ni jina la hiyo data yaani name na value ni thamani ya hiyo data. Mfano naweza kusema umri : 30 hii ina maana umri ni key na value yae n 30



Json ni lugha kikompyuta ambayo ni format ya kubadilishana data. Json ni rahisi kuandikwa na binadamu na kusomwa. Yani data zilizopo kwneye JSON unaweza ukazisoma na kuelewa kilichiandikwa hata bila ya kuhitaji msaada wa mashine

 

Mfano:

 

{

 "jina": "John",

 "umri": 30,

 "ndoa": true,

 "watoto": ["Anna", "Ella"],

 "anwani": {

   "mtaa": "Kigonzi",

   "mji": "Mpanda",

   "post": "30"

 }

}



Katika mfano huu:

- `jina` ni "key" yenye thamani (`value`) ya "John".

- `umri` ni "key" yenye thamani (`value`) ya 30.

- `ndoa` ni "key" yenye thamani (`value`) ya true.

- `watoto` ni "key" yenye thamani (`value`) ya orodha (`array`) inayojumuisha "Anna" na "Ella".

- `anwani` ni "key" yenye thamani (`value`) ya kitu (`object`) chenye jozi kadhaa za "key" na "value".

 

Ukiangalia hapo hizo data kwa haraka TU unaweza kuelewa hapo hizo data zinamuhusi John,mwenye umri wa miaa 30 na yupo kwneye ndoa, an watoto wawili ambayo ni Ana na Ella. John anaishi Mtaa wa Kigonzi huko mjini Mpanda na anaweza kupatikana kwa address ya 30.



Matumizi ya JSON

Json imekuwa na matumizi makubwa na hata imefikia kuwa mbadala wa xml kwa baadhi ya maeneo. Miongoni mwa matumizi ya json ni kama:-

  1. Kubadilishana data kwenye network

  2. Hutumika ye API

  3. Hutuma uhifadhi data

  4. Pia hutumika kwenye setting za program

 

Sheria za uandishi wa JSON:

 

1.Json huandikwa kwenye jozi yaan key na value kama nilivyo onyesha hapo awali. Key inatakiwa iwe ndani ya double quotation mark yaani alama za funga semi. Na endapo value ni string pia itakuwa na alama hizo. Ila ikiwa value ni sio string hatutatumia alam hizo. Baada ya kuandika key itafuatiwa na nykta pacha (:). Endapo value ni zaidi ya moja utatenganisha kwa alama ya koma (,)

 

Mfano:

"name": "John Doe",

"age": 30,

"isStudent": false



2.Data za json huandikwa ndani ya mabano ambayo ni curly braces {}

Mfano:

{

 "jina": "John",

 "umri": 30,

 "ndoa": true,

 "watoto": ["Anna", "Ella"],

 "anwani": {

   "mtaa": "Kigonzi",

   "mji": "Mpanda",

   "post": "30"...

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 547

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

PHP somo la 79: Custom header
PHP somo la 79: Custom header

Katika somo hili utakwenda kuhifunza kuhusu Custom header na aina zake

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 2: Jinsi ya kutengeneza database na kuiunganisha kwenye blog
PHP BLOG - somo la 2: Jinsi ya kutengeneza database na kuiunganisha kwenye blog

Katika somo hili unakwenda kujifunza jinsi y kutengeneza database na kuungansha kwenye blog yetu.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 14: Jinsi ya kutengeneza database kwa kutumia PHP
PHP - somo la 14: Jinsi ya kutengeneza database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza database kwenye mysql database.

Soma Zaidi...
PHP somo la 86: JInsi ya ku decode json yaani kubadili json kuwa php data kama array ana object
PHP somo la 86: JInsi ya ku decode json yaani kubadili json kuwa php data kama array ana object

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kubadili json data na kuwaphp array ama php object. Kwa ufupi tunakwend aku decode json data kuwa phparray amaobject

Soma Zaidi...
PHP somo la 54: class constant kwenye php
PHP somo la 54: class constant kwenye php

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 10: Jinsi ya kundika condition statement if, ifelse na switch case
PHP - somo la 10: Jinsi ya kundika condition statement if, ifelse na switch case

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu condition statements if, ifelse na switch case. Hata utajifunza jnsi ya kuziandika na zinavyofanya kazi

Soma Zaidi...
PHP - somo la 42: Jinsi ya kufanya encryption na de cryption kwa kutumia PHP
PHP - somo la 42: Jinsi ya kufanya encryption na de cryption kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya encryption na decryption kwa kutumia PHP. hii itakusaidia kuongeza usalama kwenye taarifa za watu

Soma Zaidi...
PHP somo la 64: Jinsi ya kutengeneza database na kuingiza data kwa kuumia PDO
PHP somo la 64: Jinsi ya kutengeneza database na kuingiza data kwa kuumia PDO

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PDO kutengeneza database, kuteneneza table na kuingiza data moja na zaidi ya moja.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 27: aina za variable kwenye PHP
PHP - somo la 27: aina za variable kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina kuu 3 za variable katika PHP mabzo ni local variable, global variable na static variable.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 41: Jinsi ya kufanya hashing kwenye PHP
PHP - somo la 41: Jinsi ya kufanya hashing kwenye PHP

Katika somo hili utajifunza jinsiya kufanya hashing taarifa muhimu kama password. Kufanya hashing kunaongeza usalama wa taarifa za waumiaji kwenye blog yako.

Soma Zaidi...