Menu



PHP somo la 84: Maana ya JSON na sheria za kuandika faili la json

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Maana ya JSON na sheria za kuandika faili la json

JSON (JavaScript Object Notation) ni format ya kuhifadhi na kubadilishana data ambayo ni rahisi kusoma na kuandika na binadamu, na pia rahisi kwa mashine kuzichakata. Data kwenye JSON huandikwa kwenye jozi yaani key na value . key ni jina la hiyo data yaani name na value ni thamani ya hiyo data. Mfano naweza kusema umri : 30 hii ina maana umri ni key na value yae n 30



Json ni lugha kikompyuta ambayo ni format ya kubadilishana data. Json ni rahisi kuandikwa na binadamu na kusomwa. Yani data zilizopo kwneye JSON unaweza ukazisoma na kuelewa kilichiandikwa hata bila ya kuhitaji msaada wa mashine

 

Mfano:

 

{

 "jina": "John",

 "umri": 30,

 "ndoa": true,

 "watoto": ["Anna", "Ella"],

 "anwani": {

   "mtaa": "Kigonzi",

   "mji": "Mpanda",

   "post": "30"

 }

}



Katika mfano huu:

- `jina` ni "key" yenye thamani (`value`) ya "John".

- `umri` ni "key" yenye thamani (`value`) ya 30.

- `ndoa` ni "key" yenye thamani (`value`) ya true.

- `watoto` ni "key" yenye thamani (`value`) ya orodha (`array`) inayojumuisha "Anna" na "Ella".

- `anwani` ni "key" yenye thamani (`value`) ya kitu (`object`) chenye jozi kadhaa za "key" na "value".

 

Ukiangalia hapo hizo data kwa haraka TU unaweza kuelewa hapo hizo data zinamuhusi John,mwenye umri wa miaa 30 na yupo kwneye ndoa, an watoto wawili ambayo ni Ana na Ella. John anaishi Mtaa wa Kigonzi huko mjini Mpanda na anaweza kupatikana kwa address ya 30.



Matumizi ya JSON

Json imekuwa na matumizi makubwa na hata imefikia kuwa mbadala wa xml kwa baadhi ya maeneo. Miongoni mwa matumizi ya json ni kama:-

  1. Kubadilishana data kwenye network

  2. Hutumika ye API

  3. Hutuma uhifadhi data

  4. Pia hutumika kwenye setting za program

 

Sheria za uandishi wa JSON:

 

1.Json huandikwa kwenye jozi yaan key na value kama nilivyo onyesha hapo awali. Key inatakiwa iwe ndani ya double quotation mark yaani alama za funga semi. Na endapo value ni string pia itakuwa na alama hizo. Ila ikiwa value ni sio string hatutatumia alam hizo. Baada ya kuandika key itafuatiwa na nykta pacha (:). Endapo value ni zaidi ya moja utatenganisha kwa alama ya koma (,)

 

Mfano:

"name": "John Doe",

"age": 30,

"isStudent": false



2.Data za json huandikwa ndani ya mabano ambayo ni curly braces {}

Mfano:

{

 "jina": "John",

 "umri": 30,

 "ndoa": true,

 "watoto": ["Anna", "Ella"],

 "anwani": {

   "mtaa": "Kigonzi",

   "mji": "Mpanda",

   "post": "30"

 }...

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea

Ndio     Hapana     Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: Masomo File: Download PDF Views 402

Share On:

Facebook WhatsApp

Post zinazofanana:

PHP - somo la 16: Jinsi ya kufuta tabale na database kwa kutumia php

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufuta table ya databse kwa kutumia PHP. Pia utajifunza jinsi ya kututa database yeto

Soma Zaidi...
PHP somola 78: Cookie Headers

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cookie Headers

Soma Zaidi...
PHP somo la 93: Jinsi ya kutumia faili la env

Faili la env ni moja kati ya mafaili ambayo ni muhimu kwa usalama wa project. Fili hili hutumika kuhifadhi data za siri

Soma Zaidi...
PHP somo la 81: Cross - Orgn Resource Sharing - CORSE header

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cross - Orgn Resource Sharing ama inafupishwa kama CORSE header

Soma Zaidi...
PHP - somo la 35: Jinsi ya ku upload mafaili kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku upload mafaili kwenye server kwa kutumia PHP

Soma Zaidi...
PHP somol la 55: PHP Abstract Class na abstract method

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept mpya ya abstract class na abstract method kwenye OOP.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 48: Jinsi ya kuzuia hacking kwenye sytem ya kujisajili na ku login

Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo utaweza kutengeneza mfumo wa kuisajiki na ku login, kisha kuangalia usalama wa mfumo kwa kuzuia sql injection.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 43: Jinsi ya kutuma email kwa kutumia PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia email() function ya PHP. Hii ni njia rahisi zaidi ya kutuma email. Ila hufanya kazi kwenye hosting.

Soma Zaidi...
PHP somola 63: Jinsi ya ku connect database kwa kutumia PDO na faida zake

Katika soo hili utakwenda kujifunza umuhmu wa kutumia PDO kwenye PHP kwa ajili ya kutumia database.

Soma Zaidi...
PHP somo la 86: JInsi ya ku decode json yaani kubadili json kuwa php data kama array ana object

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kubadili json data na kuwaphp array ama php object. Kwa ufupi tunakwend aku decode json data kuwa phparray amaobject

Soma Zaidi...