image

PHP somo la 50: Jinsi ya kutengeneza CLASS na OBJECT kwenye PHP OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza class na object. Tunakwenda kutumia mfano wetu wa hapo juu kwa ajili ya kukamilisha somo hili.

Kutengeneza class utaanza na kuandika neno class likifuatiwa na jina la hiyo class, ikifuatiwa na mabano mawili, ambapo ndani ya mabano hayo ndio utaweka code za hiyo class.

 

class gari{

 

}

 

Mwanzo utaanza kuandika property za hiyo class. Property itaandikea kwa kuanza na access modifier yake. Mfano property ni jina, modifier ni public. Elewa public maana yake hiyo property inaweza kutumia kwenye hiyo class bila ya kizuizi.

 

class gari{

public $name;

public $speed;

public $transition;

}

 

Kinachofuata hapo ni kuweka method (functions) kwa ajili ya ku access hizo property

 

kama method itawekwa ndani ya class tutatumia $this keyword. Kama itakuwa nje hatutatumia. Sasa Wacha tuanze ya ndani ya class.

 

Tunaposema ndani ya class tunamanisha ndani ya mabano ya hiyo class Yako.

 

class gari {

//mwanzo wa class

function set_name($name){

$this->name = $name;

}

 

function set_speed($speed){

$this->speed = $speed;

}

 

function set_transition($transition){

$this->transition = $transition;

}

//mwisho wa class

}

 

Sasa tutakwenda kutengeneza function kwa ajili ya kupata value za Kila object. Function yetu ita return value ya object.

function get_name(){

return $this->name;

}

 

function get_speed(){

return $this->speed;

}

 

function get_transition (){

return $this->transition ;

}

 

Mpaka kufikia hapa tayari tumesha set propert za kila class yetu. ila bado hatujatengeneza object . hivyo sasa hatuwa inayofuata ni kutengeneza object
 

Object tunaweka nje ya class. Ili kutengeneza object tutatumia new keyword likifuatiwa na jina la class.

 

$toyota = new gari()

$speed = new gari()

$transition = new gari()

 

Mpaka kufikia hapo tumesha tengeneza object zeta tatu. Sasa kinachofuata ni kutengeneza method kwa ajili ya ku access hizo object ili kuzipa values. Tunaweza kurahisisha kwa kusema kuwa hatuwa inayofuata ni kuweka value kwenye object kutokana na propert zetu. prperty ni name, speed na transition.

 

$toyota -> set_name("toyota")

$speed ->set_speed("180")

$transition-> set_transition('manual')

 

Hapo tayari tumeshaipa Kila object value yake. Hatuwa inayofuata ni matumizi ya hizo object. Kwa mfano ngoja tuangalie value hizo

 

Code zote hizi hapa:

<?php 

 

class gari{

public $name;

public $speed;

public $transition;


 

function set_name($name){

$this->name = $name;

}

 

function set_speed($speed){

$this->speed = $speed;

}

 

function set_transition($transition){...



Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 225


Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

PHP somo la 57: class traits kwenye PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya traits kwenye OOP. hii itakusaidia ku solve baadhi ya changamoto zinazotokana na inheritance Soma Zaidi...

PHP - somo la 16: Jinsi ya kufuta tabale na database kwa kutumia php
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufuta table ya databse kwa kutumia PHP. Pia utajifunza jinsi ya kututa database yeto Soma Zaidi...

PHP - somo la 62: Project ya CRUDE operation kwa kutumia PHP - OOP na MySQL database
Katika project hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PHP OOP na MySQL database. Soma Zaidi...

PHP - somo la 14: Jinsi ya kutengeneza database kwa kutumia PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza database kwenye mysql database. Soma Zaidi...

PHP somo la 70: jinsi ya kutuma email yenye html, picha na attachment
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email ambayo ina HTML, pia utajifunza kutuma email yenye picha na attachment nyinginezo kama pdf Soma Zaidi...

PHP somo la 61: jinsi ya kufanya loop kwenye class kw akutumia foreach loop
Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya iteration kwenye PHP OOP hapa tutakwenda kuiona jinsi inavyofanya kazi pamoja na foreach loop Soma Zaidi...

PHP - somo la 37: Jinsi ya kutengeneza blo post kwa kutumia PHP
Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo unaweza kutengeneza blog ambayo utaweza ku upload faili na kuandika makala kwa kutumia PHP Soma Zaidi...

PHP BLOG - somo la 8: Jinsi ya kufuta post kwenye database
katika post hii utajifunza jinsi ya kufuta post kwenye database. pia utajifunza jinsi ya kufuta picha kwenye server Soma Zaidi...

PHP - somo la 40: Jinsi ya kutumia htaccess file kubadilisha muonekano wa link
Katika somo hili uatakwenda kujifunza jinsi ya kutumia htaccess ili kubadili muonekano wa link ya website ama blog ili kuifanya iwe rafiki zaidi. Soma Zaidi...

PHP - somo la 25: Jinsi ya kukusanya taarifa kutoka kwenye html form kwa kutumia php
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kukusanya taarifa ambazo watu wamezijaza kwa kutumia fomu ya html. Kisha utajifunza jinsi ya kuzisoma hizo taarifa. Soma Zaidi...

PHP - somo la 46: Nini maana ya cronjob na matumizi yake
Katika somo hili utajifunza kuhusu cronjob na matumizi yake kwenye PHP Soma Zaidi...

PHP somo la 53: class inheritance kwenye PHP Object Oriented Programming
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class inheritance kwenye object oriented programming. Soma Zaidi...