Huu ni mwendelezo wa mafunzo ya PHP na hapa tunaaza rasmi advanced PHP. tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye PHP. Ni vyema kabla ya kuanza course hii ya advanced PHP uwe una uelewa wa kutosha kuhusu mafunzo yetu ya PHP.
OOP ni kifurushi Cha maneno Object Oriented Programming. Huu ni mtindo wa ku code kwa kukusanywa function zote zinazofanana kwenye ukurasa Moja unaoitwa class Ili kueepuka Hali ya kurudis rudia code katika program.
Ili kuelewa vyema ni Nini OOP Wacha kwanza nikufundishe kuhusu programming paradigms.
Je ni Nini programming paradigms?
Hizi ni staili ama mitindo ambayo hutumika na ma programmer katika uandishi wa program. Kila staili ila faida na hasara zake, ia Kila Moja Ina maeneo ambayo inafaa zaidi kutumiwa.
Kuna paradigms zisizopinguwa nne ambazo ni:-
Faida kubwa ya kutumia OOP ni kufanya code zako ziwe DRY yaani Don't Repeat Yourself.
OOP ilianza kwenye PHP toleo la 5. Ina maana kabla ya hapo PHP ilitumia procedural programming tu. Baada ya kuonekana umuhimu wa OOP kama ilivyokuwa ikitukiwa na language zinginezo wakati huo.
Faida za OOP
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kuhifunza kuhusu Custom header na aina zake
Soma Zaidi...Hili ni somo la mwisho katika mfululizo huu wa ORM, kupata ujuzi zaidi endelea kusoma ORM nyinginezo ambazo nimetangulia kuzitaja awali ya masomo haya.
Soma Zaidi...Haya ni mabo ya kuzingatia unapo encode ama ku decode data za json
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email ambayo ina HTML, pia utajifunza kutuma email yenye picha na attachment nyinginezo kama pdf
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza class na object. Tunakwenda kutumia mfano wetu wa hapo juu kwa ajili ya kukamilisha somo hili.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina ya header inayoitwa Content-Disposition
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuzungumza na server ili kutengeneza mafaili, mafolda, kufuta na ku edit kwa kutumia PHP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi jinsi ya ku edit ama ku update data na kuzifuta kwenye database kwa kutumia PDO
Soma Zaidi...Katika somo hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PDO. crude operation inahusu create, read, update. Delete.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza Jinsi ya utengeneza json data kwa utumia php
Soma Zaidi...