PHP somo la 49: utangulizi wa Object Oriented Programming katika PHP

Huu ni mwendelezo wa mafunzo ya PHP na hapa tunaaza rasmi advanced PHP. tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye PHP. Ni vyema kabla ya kuanza course hii ya advanced PHP uwe una uelewa wa kutosha kuhusu mafunzo yetu ya PHP.

OOP ni kifurushi Cha maneno Object Oriented Programming. Huu ni mtindo wa ku code kwa kukusanywa function zote zinazofanana kwenye ukurasa Moja unaoitwa class Ili kueepuka Hali ya kurudis rudia code katika program.

 

Ili kuelewa vyema ni Nini OOP Wacha kwanza nikufundishe kuhusu programming paradigms.

 

Je ni Nini programming paradigms?

Hizi ni staili ama mitindo ambayo hutumika na ma programmer katika uandishi wa program. Kila staili ila faida na hasara zake, ia Kila Moja Ina maeneo ambayo inafaa zaidi kutumiwa.

 

Kuna paradigms zisizopinguwa nne ambazo ni:-

  1. Imperative programming
  2. Declarative programming
  3. Procedural programming
  4. Functional programming
  5. Object oriented


 

Faida kubwa ya kutumia OOP ni kufanya code zako ziwe DRY yaani Don't Repeat Yourself.

 

OOP ilianza kwenye PHP toleo la 5. Ina maana kabla ya hapo PHP ilitumia procedural programming tu. Baada ya kuonekana umuhimu wa OOP kama ilivyokuwa ikitukiwa na language zinginezo wakati huo.

 

Faida za OOP

  1. Ipo faster zaidi kuliko procedural
  2. Ni rahisi kuitumia zaidi na zaidi
  3. Ipo salama zaidi kuliko procedura">...

    Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

    Zoezi la Maswali

    Nyuma Endelea


    Umeionaje Makala hii.. ?

    Nzuri            Mbaya            Save
    Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 571

    Share On:

    Facebook WhatsApp
    Sponsored links
    👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Kitabu cha Afya   

    Post zinazofanana:

    PHP somo la 79: Custom header

    Katika somo hili utakwenda kuhifunza kuhusu Custom header na aina zake

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 101: Advanced RedBeanPHP - Usimamizi wa Database, Usalama, na Ufanisi

    Hili ni somo la mwisho katika mfululizo huu wa ORM, kupata ujuzi zaidi endelea kusoma ORM nyinginezo ambazo nimetangulia kuzitaja awali ya masomo haya.

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 91: Mambo ya kuzingatia unapokuwa unashughulika na data za json

    Haya ni mabo ya kuzingatia unapo encode ama ku decode data za json

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 70: jinsi ya kutuma email yenye html, picha na attachment

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email ambayo ina HTML, pia utajifunza kutuma email yenye picha na attachment nyinginezo kama pdf

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 50: Jinsi ya kutengeneza CLASS na OBJECT kwenye PHP OOP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza class na object. Tunakwenda kutumia mfano wetu wa hapo juu kwa ajili ya kukamilisha somo hili.

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 82: Content-Disposition

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina ya header inayoitwa Content-Disposition

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 39: Jinsi ya kutengeneza mafaili na mafolda kwenye server kwa kutumia PHP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuzungumza na server ili kutengeneza mafaili, mafolda, kufuta na ku edit kwa kutumia PHP.

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 66: Jinsi ya ku edit data na kufuta kwenye database kwa kutumia PDO

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi jinsi ya ku edit ama ku update data na kuzifuta kwenye database kwa kutumia PDO

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 67: Project ya CUDE operaton wa utuma OOP na PDO

    Katika somo hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PDO. crude operation inahusu create, read, update. Delete.

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 85: Jinsi ya utengeneza json data kwa utumia php

    Katika somo hili utakwenda kujifunza Jinsi ya utengeneza json data kwa utumia php

    Soma Zaidi...