picha

PHP somo la 49: utangulizi wa Object Oriented Programming katika PHP

Huu ni mwendelezo wa mafunzo ya PHP na hapa tunaaza rasmi advanced PHP. tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye PHP. Ni vyema kabla ya kuanza course hii ya advanced PHP uwe una uelewa wa kutosha kuhusu mafunzo yetu ya PHP.

OOP ni kifurushi Cha maneno Object Oriented Programming. Huu ni mtindo wa ku code kwa kukusanywa function zote zinazofanana kwenye ukurasa Moja unaoitwa class Ili kueepuka Hali ya kurudis rudia code katika program.

 

Ili kuelewa vyema ni Nini OOP Wacha kwanza nikufundishe kuhusu programming paradigms.

 

Je ni Nini programming paradigms?

Hizi ni staili ama mitindo ambayo hutumika na ma programmer katika uandishi wa program. Kila staili ila faida na hasara zake, ia Kila Moja Ina maeneo ambayo inafaa zaidi kutumiwa.

 

Kuna paradigms zisizopinguwa nne ambazo ni:-

  1. Imperative programming
  2. Declarative programming
  3. Procedural programming
  4. Functional programming
  5. Object oriented


 

Faida kubwa ya kutumia OOP ni kufanya code zako ziwe DRY yaani Don't Repeat Yourself.

 

OOP ilianza kwenye PHP toleo la 5. Ina maana kabla ya hapo PHP ilitumia procedural programming tu. Baada ya kuonekana umuhimu wa OOP kama ilivyokuwa ikitukiwa na language zinginezo wakati huo.

 

Faida za OOP

  1. Ipo faster zaidi kuliko procedural
  2. Ni rahisi kuitumia zaidi na zaidi
  3. Ipo salama zaidi kuliko procedura">...

    Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

    Zoezi la Maswali

    Nyuma Endelea


    Umeionaje Makala hii.. ?

    Nzuri            Mbaya            Save
    Author: Rajabu image Tarehe: 2023-11-16 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 918

    Share On:

    Facebook WhatsApp
    Sponsored links
    👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉2 ai web app    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 web hosting    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

    Post zinazofanana:

    PHP somo la 79: Custom header

    Katika somo hili utakwenda kuhifunza kuhusu Custom header na aina zake

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 43: Jinsi ya kutuma email kwa kutumia PHP

    Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia email() function ya PHP. Hii ni njia rahisi zaidi ya kutuma email. Ila hufanya kazi kwenye hosting.

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 2: sheria za uandishi wa code za PHP

    Katika somo hili utajifunza kuhusu syntax za PHP

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 46: Nini maana ya cronjob na matumizi yake

    Katika somo hili utajifunza kuhusu cronjob na matumizi yake kwenye PHP

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 73: Maana ya http header

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http header, maana yake na jinsi ya kusoma taarifa zilizopo kwenye http header.

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 92: Jinsi ya kuunganisha php na database ya sqlite

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya sqlite kwa kutumia PHP.

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 59: static property kwenye PHP

    Katika somo hili utakwend kujifunza kuhusu static property na jnsi inavyotumika

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 102: Cron job

    atika somo hli tutakwenda kujifunza kuhusu kitu kinachitwa cron job. ni moja ya teknolojia zinazotumika kufanya kazi zinazofanyika automatic

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 76: Aina za cache header

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Aina za cache header

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 54: PHP OOP class constant

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.

    Soma Zaidi...