image

PHP somo la 49: utangulizi wa Object Oriented Programming katika PHP

Huu ni mwendelezo wa mafunzo ya PHP na hapa tunaaza rasmi advanced PHP. tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye PHP. Ni vyema kabla ya kuanza course hii ya advanced PHP uwe una uelewa wa kutosha kuhusu mafunzo yetu ya PHP.

OOP ni kifurushi Cha maneno Object Oriented Programming. Huu ni mtindo wa ku code kwa kukusanywa function zote zinazofanana kwenye ukurasa Moja unaoitwa class Ili kueepuka Hali ya kurudis rudia code katika program.

 

Ili kuelewa vyema ni Nini OOP Wacha kwanza nikufundishe kuhusu programming paradigms.

 

Je ni Nini programming paradigms?

Hizi ni staili ama mitindo ambayo hutumika na ma programmer katika uandishi wa program. Kila staili ila faida na hasara zake, ia Kila Moja Ina maeneo ambayo inafaa zaidi kutumiwa.

 

Kuna paradigms zisizopinguwa nne ambazo ni:-

  1. Imperative programming
  2. Declarative programming
  3. Procedural programming
  4. Functional programming
  5. Object oriented


 

Faida kubwa ya kutumia OOP ni kufanya code zako ziwe DRY yaani Don't Repeat Yourself.

 

OOP ilianza kwenye PHP toleo la 5. Ina maana kabla ya hapo PHP ilitumia procedural programming tu. Baada ya kuonekana umuhimu wa OOP kama ilivyokuwa ikitukiwa na language zinginezo wakati huo.

 

Faida za OOP

  1. Ipo faster zaidi kuliko procedural
  2. Ni rahisi kuitumia zaidi na zaidi
  3. Ipo salama zaidi kuliko procedural
  4. Code zak">...



    Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa





               

    Je! umeipenda hii post?
    Ndio            Hapana            Save post

    Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 385


    Sponsored links
    👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Madrasa kiganjani    

    Post zifazofanana:-

    PHP - somo la 27: aina za variable kwenye PHP
    Katika somo hili utakwenda kujifunza aina kuu 3 za variable katika PHP mabzo ni local variable, global variable na static variable. Soma Zaidi...

    PHP somo la 59: static property kwenye PHP
    Katika somo hili utakwend kujifunza kuhusu static property na jnsi inavyotumika Soma Zaidi...

    PHP somo la 64: Jinsi ya kutengeneza database na kuingiza data kwa kuumia PDO
    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PDO kutengeneza database, kuteneneza table na kuingiza data moja na zaidi ya moja. Soma Zaidi...

    PHP - somo la 11: Jinsi ya kutuma tarifa zilizojazwa kwenye form
    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kukusanya taarifa za watumiaji kwa kutumia html form. Soma Zaidi...

    PHP somo la 53: class inheritance kwenye PHP Object Oriented Programming
    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class inheritance kwenye object oriented programming. Soma Zaidi...

    PHP somo la 58: static method kwenye PHP
    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static method na inavtotumika kwenye OOP Soma Zaidi...

    PHP - somo la 26: Jinsi ya kutengeneza system ya ku chat kw akutumia PHP
    Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutengeneza system ambayo mta atajisajili pamoja na kuchat na watumiaji wengine Soma Zaidi...

    PHP somola 63: Jinsi ya ku connect database kwa kutumia PDO na faida zake
    Katika soo hili utakwenda kujifunza umuhmu wa kutumia PDO kwenye PHP kwa ajili ya kutumia database. Soma Zaidi...

    PHP - somo la 8: jinsi ya kuandika constant kwenye PHP
    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika constant kwenye PHP. Pia utajifunza utofauti wake na variable Soma Zaidi...

    PHP - somo la 45: Jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP
    Katika soko hili takwenda kujufunza jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP. Hii itasaidia kama unataka kutuma OTP yaqni Onetime password Soma Zaidi...

    PHP somo la 72: Jinsi ya kuandaa PDF kutoana na data zilizopo kwenye database
    hapa utawenda utuma database wa ajl ya utengeneza maudhu ya PDF. Soma Zaidi...

    Jinsi ya kupata location ya mtu lwa kutumia IP address
    Katika post hii utajifunza jinsi ya kupata taarifa muhimu za mtumiaji kw akutumia Ip address yake. Soma Zaidi...