Menu



PHP somo la 49: utangulizi wa Object Oriented Programming katika PHP

Huu ni mwendelezo wa mafunzo ya PHP na hapa tunaaza rasmi advanced PHP. tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye PHP. Ni vyema kabla ya kuanza course hii ya advanced PHP uwe una uelewa wa kutosha kuhusu mafunzo yetu ya PHP.

OOP ni kifurushi Cha maneno Object Oriented Programming. Huu ni mtindo wa ku code kwa kukusanywa function zote zinazofanana kwenye ukurasa Moja unaoitwa class Ili kueepuka Hali ya kurudis rudia code katika program.

 

Ili kuelewa vyema ni Nini OOP Wacha kwanza nikufundishe kuhusu programming paradigms.

 

Je ni Nini programming paradigms?

Hizi ni staili ama mitindo ambayo hutumika na ma programmer katika uandishi wa program. Kila staili ila faida na hasara zake, ia Kila Moja Ina maeneo ambayo inafaa zaidi kutumiwa.

 

Kuna paradigms zisizopinguwa nne ambazo ni:-

  1. Imperative programming
  2. Declarative programming
  3. Procedural programming
  4. Functional programming
  5. Object oriented


 

Faida kubwa ya kutumia OOP ni kufanya code zako ziwe DRY yaani Don't Repeat Yourself.

 

OOP ilianza kwenye PHP toleo la 5. Ina maana kabla ya hapo PHP ilitumia procedural programming tu. Baada ya kuonekana umuhimu wa OOP kama ilivyokuwa ikitukiwa na language zinginezo wakati huo.

 

Faida za OOP

  1. Ipo faster zaidi kuliko procedural
  2. Ni rahisi kuitumia zaidi na zaidi
  3. Ipo salama zaidi kuliko procedural
  4. Cod">...

    Download App Yetu

    Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

    Download Now Bongoclass

    Nyuma Endelea

    Ndio     Hapana     Save post
    Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: Masomo File: Download PDF Views 485

    Share On:

    Facebook WhatsApp

    Post zinazofanana:

    PHP somo la 53: class inheritance kwenye PHP Object Oriented Programming

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class inheritance kwenye object oriented programming.

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 76: Aina za cache header

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Aina za cache header

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 71: Jinsi ya kutengeneza PDF kwa kutumia PHP na library ya tcpdf

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku generate PDF automatik kutoka kwenye php code , html, javascript na css.

    Soma Zaidi...
    PHP BLOG - somo la 12: Jinsi ya kutumia prepared statement kwenye kusoma post za blog

    Katika somo hili tutakwenda kutumia prepared ststement kwenye ku fetch data kutoka kwenye database.

    Soma Zaidi...
    PHP -somo la 31: Matumizi ya include() na require() function kwenye php

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function za PHP kama require() na iclude()

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 61: jinsi ya kufanya loop kwenye class kw akutumia foreach loop

    Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya iteration kwenye PHP OOP hapa tutakwenda kuiona jinsi inavyofanya kazi pamoja na foreach loop

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 72: Jinsi ya kuandaa PDF kutoana na data zilizopo kwenye database

    hapa utawenda utuma database wa ajl ya utengeneza maudhu ya PDF.

    Soma Zaidi...
    PHP - 9: Jinsi ya kuandika array kwenye PHP na kuzifanyia kazi

    Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu array kwenye php, na jinsi zinavyoweza kufanya kazi

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 81: Cross - Orgn Resource Sharing - CORSE header

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cross - Orgn Resource Sharing ama inafupishwa kama CORSE header

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 88: Jisnsi ya kutengeneza json data kutoka kwenye database

    Katika somo ili utakwenda kujifunz ahatuwa kwa hatuwa jinsi ya kutengeneza json data kutkana na data ambazo zio kwenye database

    Soma Zaidi...