picha

Jinsi ya kutengeneza cheti kwa kutumia HTML

Katika post hii utakwenda kujifunz ajinsi ya kutengeneza cheti kwa kutumia html na css.

<style>

@page{
      size:A4 landscape;
      margin:10mm;
}

body{
    margin:0;
      padding:0;
      border:1mm solid #991B1B;
      height:188mm;
}

.border-pattern{
      position:absolute;
      left:4mm;
    top:-6mm;
    height:200mm;
    width:267mm;
    border:1mm solid #991B1B;
      /* http://www.heropatterns.com/ */
    background-color: #d6d6e4;
    background-image: url("data:image/svg+xml,%3Csvg width='16' height='16' viewBox='0 0 16 16' xmlns='http://www.w3.org/2000/svg'%3E%3Cpath d='M0 0h16v2h-6v6h6v8H8v-6H2v6H0V0zm4 4h2v2H4V4zm8 8h2v2h-2v-2zm-8 0h2v2H4v-2zm8-8h2v2h-2V4z' fill='%23991B1B' fill-opacity='1' fill-rule='evenodd'/%3E%3C/svg%3E");
}

.content{
      position:absolute;
      left:10mm;
      top:10mm;
    height:178mm;
    width:245mm;
    border:1mm solid #991B1B;
      background:white;
}

.inner-content{
    border:1mm solid #991B1B;
      margin:4mm;
      padding:10mm;
    height:148mm;
      text-align:center;
}

h1{
    text-transform:uppercase;
      font-size:48pt;
      margin-bottom:0;
}

h2{
      font-size:24pt;
      margin-top:0;
      padding-bottom:1mm;
      display:inline-block;
      border-bottom:1mm solid #991B1B;
}

h2::after{
    content:"";
      display:block;
      padding-bottom:4mm;
      border-bottom:1mm solid #991B1B;
}

h3{
      font-size:20pt;
    ...

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: HTML Main: Utambuzi File: Download PDF Views 2116

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 ai web app     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Simulizi za Hadithi Audio     👉4 Kitau cha Fiqh     👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉6 Dua za Mitume na Manabii    

Post zinazofanana:

Jinsi ya Kutatua Tatizo la Mikrofoni

Je, unajaribu kupiga simu, kurekodi sauti, au kuingia kwenye mkutano wa mtandaoni lakini mikrofoni yako haifanyi kazi? Huu ni mwongozo rahisi na wa hatua kwa hatua unaoelezea jinsi ya kutatua matatizo yote ya mikrofoni kwenye simu au kompyuta yako. Tumeandika mwongozo huu kwa lugha rahisi ya Kiswahili ili kila mtu, hata asiye na ujuzi wa teknolojia, aweze kuelewa na kurekebisha kifaa chake mara moja bila kuhitaji fundi.

Soma Zaidi...
Jinsi ya Kurejesha Backup ya Simu

Umewahi kupoteza picha, video, majina ya watu, au mazungumzo muhimu baada ya simu kuharibika, kuibiwa, au kufanya factory reset? Hali hii huwatokea watu wengi, lakini habari njema ni kwamba unaweza kuvirejesha ikiwa uliwahi kutengeneza backup ya simu yako. Katika makala hii utajifunza backup ya simu ni nini, kwa nini ni muhimu, jinsi ya kurejesha backup kwenye simu za Android na iPhone, matatizo yanayoweza kujitokeza wakati wa kurejesha backup, pamoja na njia za kuyatatua. Mwisho wa makala hii utakuwa na uelewa wa kutosha wa jinsi ya kurudisha taarifa zako kwa usalama na kwa urahisi.

Soma Zaidi...
Jinsi ya Kujua Kama Wi-Fi Ni Salama

Wi-Fi imekuwa sehemu muhimu ya maisha yetu ya kila siku. Tunaitumia kuingia kwenye mitandao ya kijamii, kutuma ujumbe, kufanya biashara mtandaoni, kusoma, kutazama video na hata kufanya malipo. Lakini pamoja na faida zake nyingi, Wi-Fi inaweza kuwa hatari ikiwa haijalindwa vizuri. Mtandao wa Wi-Fi usio salama unaweza kuruhusu watu wasiohusika kuona taarifa zako binafsi, kuiba nywila zako au kutumia intaneti yako bila ruhusa. Kujua kama Wi-Fi ni salama ni jambo muhimu kwa kila mtu anayemiliki simu, kompyuta au kifaa kingine kinachounganishwa na intaneti. Makala hii inaeleza kwa lugha rahisi jinsi ya kutambua Wi-Fi salama, dalili za Wi-Fi hatari, hatua za kulinda mtandao wako na mambo muhimu ya kuzingatia ili kutumia intaneti kwa usalama

Soma Zaidi...
Jinsi ya Kutatua Tatizo la Speaker

Spika ni kifaa kinachobadilisha mawimbi ya umeme kuwa sauti tunayosikia. Ndani ya spika kuna sumaku na utando laini unaotikisika ili kutoa sauti. Spika inapogoma kufanya kazi, vyanzo vikuu huwa ni vitatu: matatizo ya kiufundi (waya/uchafu), matatizo ya mipangilio (settings), au hitilafu za mfumo wa kompyuta/simu.Uzuri ni kwamba, matatizo mengi yanayotokea kila siku unaweza kuyatatua mwenyewe kwa kufuata hatua rahisi tulizokuandalia hapa chini

Soma Zaidi...
HTML- somo la 2: Kazi za HTML, code na tag kwenye website.

Katika somo somo hili utajifunza maana ya code, tag na mpangilio wa faili la HTML

Soma Zaidi...
Njia za kupambana na saratani

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kupambana na saratani

Soma Zaidi...