picha

Jinsi ya kutengeneza cheti kwa kutumia HTML

Katika post hii utakwenda kujifunz ajinsi ya kutengeneza cheti kwa kutumia html na css.

<style>

@page{
      size:A4 landscape;
      margin:10mm;
}

body{
    margin:0;
      padding:0;
      border:1mm solid #991B1B;
      height:188mm;
}

.border-pattern{
      position:absolute;
      left:4mm;
    top:-6mm;
    height:200mm;
    width:267mm;
    border:1mm solid #991B1B;
      /* http://www.heropatterns.com/ */
    background-color: #d6d6e4;
    background-image: url("data:image/svg+xml,%3Csvg width='16' height='16' viewBox='0 0 16 16' xmlns='http://www.w3.org/2000/svg'%3E%3Cpath d='M0 0h16v2h-6v6h6v8H8v-6H2v6H0V0zm4 4h2v2H4V4zm8 8h2v2h-2v-2zm-8 0h2v2H4v-2zm8-8h2v2h-2V4z' fill='%23991B1B' fill-opacity='1' fill-rule='evenodd'/%3E%3C/svg%3E");
}

.content{
      position:absolute;
      left:10mm;
      top:10mm;
    height:178mm;
    width:245mm;
    border:1mm solid #991B1B;
      background:white;
}

.inner-content{
    border:1mm solid #991B1B;
      margin:4mm;
      padding:10mm;
    height:148mm;
      text-align:center;
}

h1{
    text-transform:uppercase;
      font-size:48pt;
      margin-bottom:0;
}

h2{
      font-size:24pt;
      margin-top:0;
      padding-bottom:1mm;
      display:inline-block;
      border-bottom:1mm solid #991B1B;
}

h2::after{
    content:"";
      display:block;
      padding-bottom:4mm;
      border-bottom:1mm solid #991B1B;
}

h3{
      font-size:20pt;
    ...

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: HTML Main: Utambuzi File: Download PDF Views 2066

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 ai web app     👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉4 Dua za Mitume na Manabii     👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉6 Bongolite - Game zone - Play free game    

Post zinazofanana:

Jinsi ya Kutatua Tatizo la Kamera Kutofanya Kazi

Kamera ya simu au kompyuta yako imegoma kufanya kazi? Usipaniki. Tatizo hili hutokea mara kwa mara na mara nyingi halihitaji ufundi mkubwa. Makala hii inakupa suluhisho la haraka na rahisi kuanzia kusafisha lenzi, kuwasha upya vifaa, hadi kuangalia mipangilio ya ndani (permissions). Utafanya kamera yako ianze kazi tena ndani ya dakika chache bila kutumia gharama yoyote.

Soma Zaidi...
Jinsi ya Kuhamisha Data Kati ya Simu Mbili

Kubadilisha simu mpya ni jambo la kufurahisha, lakini watu wengi hupata changamoto wanapofikiria jinsi ya kuhamisha taarifa zao kutoka simu ya zamani kwenda simu mpya. Data muhimu kama picha, video, namba za simu, ujumbe, nyaraka, programu na mipangilio inaweza kuonekana kuwa ngumu kuhamisha, hasa kwa mtu ambaye hajawahi kufanya zoezi hilo. Habari njema ni kwamba leo kuna njia rahisi na salama za kuhamisha data kati ya simu mbili bila kupoteza taarifa muhimu. Unaweza kutumia intaneti, huduma za kuhifadhi taarifa mtandaoni, kebo maalumu, Bluetooth au programu zinazosaidia kufanya uhamishaji huo kwa haraka. Makala hii inaelezea hatua kwa hatua jinsi ya kuhamisha data kati ya simu mbili kwa njia rahisi ambayo kila mtu anaweza kuelewa, hata kama hana elimu kubwa ya teknolojia.

Soma Zaidi...
Jinsi ya Kutafuta Simu Iliyopotea

Kupoteza simu ni jambo linaloweza kumpata mtu yeyote wakati wowote. Simu ya kisasa si kifaa cha kupigia simu tu, bali pia huhifadhi picha, namba za watu unaowasiliana nao, ujumbe, taarifa za benki, akaunti za mitandao ya kijamii na taarifa nyingine muhimu. Ndiyo maana kupoteza simu kunaweza kusababisha usumbufu mkubwa na hata hatari ya taarifa binafsi kuibiwa. Habari njema ni kwamba kuna njia mbalimbali zinazoweza kukusaidia kuitafuta simu iliyopotea. Unaweza kutumia huduma zilizopo ndani ya simu kama vile programu za kuitafuta simu, kutumia namba ya simu, kuwasiliana na kampuni ya mtandao, au kutumia taarifa za mwisho zilipoonekana. Makala hii inaeleza hatua kwa hatua jinsi ya kutafuta simu iliyopotea kwa njia rahisi ambayo kila mtu anaweza kuelewa.

Soma Zaidi...
HTML- somo la 2: Kazi za HTML, code na tag kwenye website.

Katika somo somo hili utajifunza maana ya code, tag na mpangilio wa faili la HTML

Soma Zaidi...
Jinsi ya Kutambua Kama Memory Card Imeharibika

Memory card (kadi ya kumbukumbu) ni kifaa kidogo kinachotunza vitu vyetu vya thamani kama picha, video, nyimbo na nyaraka muhimu katika simu au kamera. Hata hivyo, vifaa hivi mara nyingi huharibika bila kutoa taarifa. Makala hii imelenga kukusaidia wewe mtumiaji wa kawaida utambue kirahisi dalili za memory card iliyokufa au inayoelekea kuharibika. Utajifunza ishara za wazi kama faili kupotea, simu kuwa nzito, au ujumbe wa makosa (errors). Pia, tumekuwekea hatua rahisi za kufanya ili kulinda data zako zisipotee kabisa na jinsi ya kuepuka kununua kadi feki. Kila kitu kimeelekezwa kwa lugha rahisi ya Kiswahili isiyo na maneno magumu ya kiteknolojia.

Soma Zaidi...
Dalili Zinazoonyesha Simu Ina Virusi

Virusi vya simu ni mojawapo ya matatizo yanayoweza kuathiri utendaji wa simu yako bila wewe kutambua mapema. Watu wengi hudhani kuwa ni kompyuta pekee zinazoshambuliwa na virusi, lakini ukweli ni kwamba simu za Android na hata baadhi ya simu nyingine zinaweza pia kuathirika na programu hatari zinazojulikana kama virusi au malware. Makala hii inaeleza kwa kina dalili zinazoonyesha simu ina virusi, sababu zinazofanya simu ipate virusi, namna ya kujilinda, pamoja na hatua unazoweza kuchukua ili kuondoa tatizo hilo. Ikiwa simu yako imeanza kufanya mambo yasiyo ya kawaida, makala hii itakusaidia kutambua tatizo kabla halijawa kubwa

Soma Zaidi...