Jinsi ya kutengeneza cheti kwa kutumia HTML
Katika post hii utakwenda kujifunz ajinsi ya kutengeneza cheti kwa kutumia html na css.
<style>
@page{
size:A4 landscape;
margin:10mm;
}
body{
margin:0;
padding:0;
border:1mm solid #991B1B;
height:188mm;
}
.border-pattern{
position:absolute;
left:4mm;
top:-6mm;
height:200mm;
width:267mm;
border:1mm solid #991B1B;
/* http://www.heropatterns.com/ */
background-color: #d6d6e4;
background-image: url("data:image/svg+xml,%3Csvg width='16' height='16' viewBox='0 0 16 16' xmlns='http://www.w3.org/2000/svg'%3E%3Cpath d='M0 0h16v2h-6v6h6v8H8v-6H2v6H0V0zm4 4h2v2H4V4zm8 8h2v2h-2v-2zm-8 0h2v2H4v-2zm8-8h2v2h-2V4z' fill='%23991B1B' fill-opacity='1' fill-rule='evenodd'/%3E%3C/svg%3E");
}
.content{
position:absolute;
left:10mm;
top:10mm;
height:178mm;
width:245mm;
border:1mm solid #991B1B;
background:white;
}
.inner-content{
border:1mm solid #991B1B;
margin:4mm;
padding:10mm;
height:148mm;
text-align:center;
}
h1{
text-transform:uppercase;
font-size:48pt;
margin-bottom:0;
}
h2{
font-size:24pt;
margin-top:0;
padding-bottom:1mm;
display:inline-block;
border-bottom:1mm solid #991B1B;
}
h2::after{
content:"";
display:block;
padding-bottom:4mm;
border-bottom:1mm solid #991B1B;
}
h3{
font-size:20pt;
 ...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Kitau cha Fiqh 👉2 Madrasa kiganjani 👉3 Bongolite - Game zone - Play free game 👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉5 Simulizi za Hadithi Audio 👉6 kitabu cha Simulizi
Post zinazofanana:
Jinsi ya Kuweka Password Imara
Katika maisha ya kisasa, matumizi ya simu janja na intaneti yamekuwa sehemu muhimu ya shughuli zetu za kila siku. Watu hutumia akaunti za mtandaoni kwa mawasiliano, biashara, masomo, huduma za kifedha na kuhifadhi taarifa binafsi. Kila akaunti inahitaji ulinzi, na njia ya kwanza ya ulinzi ni kutumia password au nenosiri imara. Password imara husaidia kuzuia watu wasio na ruhusa kuingia kwenye akaunti zako na kutumia taarifa zako vibaya. Hata hivyo, watu wengi bado hutumia password rahisi kama majina yao, tarehe za kuzaliwa au namba zinazofuatana kama 123456. Aina hii ya password ni rahisi kugunduliwa na inaweza kuweka taarifa zako katika hatari. Makala hii inaeleza kwa lugha rahisi jinsi ya kuweka password imara, umuhimu wa kuwa na nenosiri salama, makosa ya kuepuka na njia bora za kulinda akaunti zako mtandaoni. Lengo ni kumsaidia kila mtu, hata asiye na ujuzi mkubwa wa teknolojia, kuelewa na kutumia njia rahisi za kuongeza usalama wa taarifa zake
Soma Zaidi...Jinsi ya Kutatua Tatizo la Mtandao wa Simu
Posti hii inatoa mwongozo rahisi na wa hatua kwa hatua kuhusu jinsi ya kurekebisha matatizo ya mtandao kwenye simu yako ya mkononi. Umejifunza njia za haraka kama kuwasha ‘Upepo’ (Flight Mode), kuwasha upya simu, na kuangalia kadi ya SIM ili kurudisha mawasiliano haraka bila kuhitaji fundi.
Soma Zaidi...Jinsi ya Kutumia Face Unlock kwa Usalama
Teknolojia ya Face Unlock imekuwa sehemu muhimu katika simu nyingi za kisasa. Kipengele hiki humwezesha mtumiaji kufungua simu yake kwa kutumia uso badala ya kutumia nenosiri, mchoro wa kufungua simu au alama ya kidole. Ingawa Face Unlock hurahisisha matumizi ya simu na kuongeza kasi ya kufungua kifaa, ni muhimu kujua namna ya kuitumia kwa usalama ili kulinda taarifa binafsi. Katika dunia ya sasa ambapo simu huhifadhi taarifa nyingi kama picha, ujumbe, akaunti za mitandao ya kijamii, taarifa za benki na nyaraka muhimu, usalama wa simu ni jambo la msingi. Kutumia Face Unlock bila kuelewa mipangilio yake kunaweza kuweka taarifa zako katika hatari. Makala hii inaelezea maana ya Face Unlock, jinsi inavyofanya kazi, faida zake, changamoto zake na hatua muhimu za kuitumia kwa usalama zaidi.
Soma Zaidi...Jinsi ya Kusakinisha (Install) App kwa Usalama
Siku hizi simu za mkononi zimekuwa sehemu muhimu ya maisha ya kila siku. Tunazitumia kuwasiliana, kufanya biashara, kusoma, kulipa bili, kutazama video, kusikiliza muziki na hata kuhifadhi taarifa muhimu. Ili simu iweze kufanya kazi hizi, tunahitaji kusakinisha (install) programu mbalimbali zinazojulikana kama app. Lakini si kila app ni salama. Baadhi ya app zinaweza kuiba taarifa zako binafsi, kuharibu simu, kuonyesha matangazo mengi yasiyofaa au hata kusababisha akaunti zako kuporwa. Ndiyo maana ni muhimu kujifunza jinsi ya kusakinisha app kwa usalama. Katika makala hii utajifunza hatua zote muhimu za kusakinisha app kwa usalama, namna ya kutambua app halisi, mambo ya kuzingatia kabla na baada ya kusakinisha app, pamoja na makosa ambayo watu wengi hufanya bila kujua.
Soma Zaidi...HTML-somo la 5: Jinsi ya kupangilia munekano wa maudhui kwenye website
Katika somo hili utajifunza Kuweka picha Kuweka rangi Kuweka linki Kupangilia position na alignment ya maandishi Kuongeza ukubwa wa herufi Kukoment
Soma Zaidi...HTML - somo la 12: Sehemu kuu za faili la HTML
Katika somo hili utajifunza kuhusu sehemu kuu za faili la HTML
Soma Zaidi...