picha
KIFUWA KINANIUMA KATIKATI KINAAMBATANA NAKICHWA

Maumivu ya kifuwa yanaweza kutokea baada ya kubeba kitu kizito, ama kupata mashambulizi ya vijidudu vya maradhi. maumivu ya viungo na hata vidonda vya tumbo. Lakini sasa umesha wahi fikiria maumivu ya kifuwa kwa katikati?
picha
MIMI KWENYE KORODANI YAI MOJA LIMEZUNGUKWA NA MAJIMAJI ,NA HAYA MAJI YAMEKUWEPO TOKA UTOTONI MWANGU LAKIN BADO SIJAYAONA MATATIZO YAKE , JE KITAARAMU HII INAWEZA KUA NA ATHARI GANI? ,NAOMBENI USHAURI

Korodani ni kiungo muhimu kwa mwanaume, katika afya ya uzazi. Unaweza kusema ni kiwanda cha kutengeneza mbegu za kiume. Kiungo hiki ni sawa na ovari kwa mwanamke.
picha
NAULIZIA NYENZO ALIZOTUMIA NABII ADA (A.S) KUSIMAMISHA UKHALIFA

Baada ya Nuhu(a.s) Mtume aliyemfuatia ni Nabii Hud(a.s). Hud(a.s) alitumwa na Mola wake kuwalingania kabila (taifa) la ‘Ad. Kabila la ‘Ad lilikuwa likijulikana kama ‘Ad-al-ram au ‘Ad-Ula. ‘Ad walikuwa wakiishi kusini ya Bara
picha
UKIWA UNALIMA SANA UNAWEZA KUKONDA

Unadhanivkufanya kazi kunaweza kukusababishia maradhi ama mwili kudhoofu, ama kukonda. Umeshawahivkujiuliza wanao nenepa huwa hawafanyi kazi?
picha
SWALI LANGU NI HIVI ,NAPATA MAUMIVU KWA MBALI KWENYE NJIA ZA MKOJO PIA NAPOTEZA HAM NA UWEZO WA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA KADIRI SIKU ZINAVOENDA JE,HIZI NI DALILI ZA TEZI DUME?

Hivi umeshawahikujiuliza kuhusu tezi dume. Wacha nikujuze kitu kimoja, ni kuwa tezi dume huwapata watu kuanziamiaka 40 na kuendelea. Na ifahamike kuwa tezi dume sio busha ama ngiri maji. Pia itambulikekuwa rozi dumehutibika.
picha
HAYA MAJI MEUPE HUTOKEA WAKAT MIMBA ISHATUNGWA AU UKIFANYA TENDO LA NDOA LAZIMA UTOKEE?

Majimaji yanayitoka kwenye uke yanafungamana na taarifa nyingi kuhusu afya vya mwanamke. Ujauzito, maradhi, mabadiliko ya homoni na zaidi.
picha
KAKA NASUMBULIWA SAAN NA TATIZO LA KUWASHA KWENYE KICHWA CHA UUME SIJUI NIFANYAJE

Je kichwa cha uume wako kinawasha, na je kinatoa majimaji kwenye njia ya mkojo, una muda ganinavtatizo hili. Na je ulishiriki ngono zembe siku za hivi karibuni?
picha
HABARI, NAOMBA KUULIZIA, NIMADHARA GANI ATAYAPATA MWANAMKE AKITOLEWA BIKRA BILA KUKUSUDIA

Je unawaza nini endapo bikra itatolewa bila wewe kukusudia, je imetolewa kwa njia ya kawaida yaani uume ama ilikuwa ni ajali?
picha
FAIDA ZA KUNYWA MAZIWA

Somo hili linakwenda kukuletea faida za kunywa maziwa kiafya
picha
FAIDA ZA KULA KUNDE, MAHARAGE, NJEGERE, MBAAZI NA NJUGU MAWE

Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula kunde, maharage, njegere, mbaazi na njugu mawe
picha
FAIDA ZA KIAFYA ZA KULA KABICHI

Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula kabichi
picha
FAIDA KULA FENESI

Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula fenesi
picha
FAIDA ZA KIAFYA ZA KULA KOROSHO

Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula korosho
picha
NINI KINASABABISHA UUME KUTOA MAJI MEUPE BILA MUWASHO,NA TIBA YAKE NI IPI

Je unasumbuliwa na Majimaji kwenye uume. Je unapata miwasho, ama maumivu wakati wakukojoa.
picha
SAMAHANI NAULIZA MJAMZITO AKIWA NA PRESHA140/90 KUNA MADHARA?

Presha ya kupanda hypertension huweza kuzumbuwa watu kwa jinsia zote, na umri wote. Wajawazito pia wamekuwa wakisumbuliwa na presha hii mara kwa mara.
picha
NAOMB NIULIZE UKIINGILIANA NA MWANMKE MWENY UKIMWI UNAWEZA KUAMBIKIZWA NA KUSAAMBAAA KWA MDA GAN NDAN YA MWIL

Muda gani ukimwi huweza kuonekana mwilini ama kugundulika kama umeathirika, ni dalili zipo hujitokeza punde tu utakapoathirika
picha
SORRY KUNAMCHUMBA WANGU KATOKWA NA MAJIMAJI MEUPE NA TUMBO LINAMUUMA BAADA MDA LIKAACHA NIDALILI ZA NINI AU.NIKAWAIDA TU

Majimaji msule sehemu za siriyanaweza kuashiria mambo mengi ka mwanamke. Ikiwemo ujauzitina maradhi. Pia yanaweza kuashiria kuwa mwanamke unaweza kuoatavujauzito amalaa.
picha
JE UNAWEZA SEX NA MWANAMKE MWENYE HIV NA UKAENDA KUPIMA WIKI MOJA NA UKAGUNDURIKA KWA VIPIMO VYA MAABARA

Utakapofanya ngono na aliyeathirika haimaanishi na wewe kuwa lazima utakuwa umeathirika. Kuathirika kuna mambo mengi lazima yafanyike.
picha
KUNAUWEZEKANO WA DARRI YA KCHEFUCHEFU ICTOKEE KABSA KWA MJAUZITO

Kichefuchefu ni moja katika dalili za mimba za mapema, Lucinda je upo uwezekano kwa mwanamke kuwa na ujauzito bila hata ya kuwa na kichefuchefu?
picha
NIHARISHA SIKU YA PILI BAADA YA TENDO. JANA HADI LEO SIJAPATA CHOO INAWEZAKUA NIMESHIKA UJAUZITO?

Hivi unadhani kuharisha ni katika dalili za mimba, vipi kuhusu kutopata choo pia inaweza kuwa ni ujauzito?
picha
JE KWA MFANO MIMI NMEUPATA UKIMWI LEO NA SIHITAJI KWENDA KUPIMA YAAAN UANZA KUJIONYESHA BAADA YA MUDA GANI

Watu wengi wamekuwa wakijiuliza kuwa ukimwi huonekana baada ya muda gani toka kuathirika?
picha
FAIDA ZA KIAFYA ZA KULA KARANGA

Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula karanga
picha
DAWA ZA KUTULIZA VVU ZINAONGEZA DAMU

Hakuna dawa ya UKIMWI ya kutibu kuondoa virusi mwilini, lakini zipo dawa za kuweza kupunguza makali ya virusi hawa. Hivi unesha jiuliza kuwa je zile dawa zinaongeza damu?



Page 196 of 202

Kuhusu Bongoclass


image

Bongoclass ni jukwaa la Kitanzania lenye lengo la kushirikisha maarifa na akili ili kukuza uwezo wa watu binafsi na jamii kwa ujumla. Kupitia tovuti yetu, programu ya simu, na mitandao ya kijamii, Bongoclass hutoa maudhui ya elimu bure kwa Kiswahili katika maeneo mbalimbali kama afya, burudani, na masomo ya shule. Jukwaa hili linajikita katika kutoa fursa za kujifunza, kushirikiana, na kukuza uchumi kwa kuzingatia muktadha wa kitamaduni na lugha ya Kiswahili.